BABU WA MIAK 87 AOA MKE WA PILI, WATOTO WAGOMEA HARUSI, AUZA NYUMBA ALIZOWAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 1,6K

  • @julytito3891
    @julytito3891 Před 4 lety +194

    Naomba tujuane wale ambao wazazi wetu hawajatugawia vitu na hawatatugawia kabisa tunatafuta vyetu kwa jasho letu wenyew ,,maan hizi mali za wazazi huwa zinaletaga maafa makubwa ,,ila Hawa walistahili kuishi hapa maan pia ni mali za mama yao ,,sema mze mlimvuruga kwann hamjaenda harusi yake🤣🤣😂😂😂😂🤸🤸🤸🤸👌👌👌👌💃💃💃ndo ujue pesa inanguvu kuliko mkono mtupuu

  • @edsongamuga7375
    @edsongamuga7375 Před 4 lety +105

    Mlitakiwa kwenda kwenye harusi ya mzee !mnaona sasa kawaletea balaa😛😛😛

    • @chainbre275
      @chainbre275 Před 4 lety +2

      Hahahaha kbsa lazima wafwata amri ya baba juu yy ndo mwenye Mali

    • @unambwenaiman5355
      @unambwenaiman5355 Před 4 lety +1

      Walichokosea ni kumsusia harusi yake,pia wanacholalamika ni nn?Mbona kila mtu alishapewa chake hicho kilichobaki na yy auze,

    • @shameemrashid5219
      @shameemrashid5219 Před 4 lety +2

      🤣🤣🤣dahhh mzee kaleta jiko watoto wasusa

    • @susans4490
      @susans4490 Před 4 lety

      😂😂😂

    • @lucyshirima7862
      @lucyshirima7862 Před 4 lety +4

      Kwann hamkwenda kwenye harusi roho mbaya tu

  • @uwezowamunguutendaokazi3043

    Tatizo siyo Mzee ni uyo alie letwa . mtangulizeni Mungu kwa yote. MUNGU MKUU awasaidie. Amen.

    • @BabyRas5927
      @BabyRas5927 Před 4 lety +1

      Kbsaaaa Mama wa kambo. Sio mama ..wanabadilisha sana babazetu....hii kitu ishatokea kwetu ....maana hata babangu aliuza boma letu na kuoa mke mwengine na alitutenga sisi familia yake...ila mungu n mkubwa sahii wanateseka hadi wanaona Aibu..

    • @gennesmoraa9380
      @gennesmoraa9380 Před 4 lety +1

      Nooo!aliyeletwa sio shida!shida Ni kutoatendi harusi,pili kumbuka Mzee anaitaji kambani$ atulise Poli nayo inaitajija so mnataka aishije?jilekebisheni nyie.

    • @nkeshigomegwa1686
      @nkeshigomegwa1686 Před 2 lety

      @@gennesmoraa9380 ni kweli kabisa watoto walitakiwa kujua baba pia anahitaji mtu wa karibu kumsaidia n.k

  • @chunanachu2529
    @chunanachu2529 Před 4 lety +35

    Hamjui hatma yenu wazee wazima mwacheni baba yenu aenjoy maisha hamjui alitafuta vipi Mali hizo mnataka kula kilaini

    • @hashimrashid9885
      @hashimrashid9885 Před 3 lety

      Wewe ni tahira sasa amewazaa kwa nini wamechuma wote na baba yao..Mzee malaya tu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Akili hauna kwaiyo hao watoto aliwaza ili wakalale nje wewe kweli chizi maarifa

    • @wakembetajaphary3648
      @wakembetajaphary3648 Před 2 lety

      Wamwache mzee ale kwa Amani watamuua kwa presha khaaaa

  • @msangazimsangazipapaandomb8761

    Hilo eneo ni lake, lipo kwa jina lake so ana haki ya kufanya chochote kwenye eneo lake. MPIGIENI MAGOTI awasamehe, otherwise hamna haki yoyote hapo ni pake. Tafuteni Mali zenu, nyinyi ni watu wazima.

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 4 lety +1

    Hongera Babu kwanza unajua kuchagua halafu mali ni yako wasikubabaishe hao. Kila la kheri na mke mpya maisha marefu na afya njema

  • @genovevatarimo7023
    @genovevatarimo7023 Před 4 lety +26

    Nendeni mkatafute vya kwenu alaa mnategemea kwa dingi enu.hahaaaaaa ujana wenu mnataka kuufanyia nini kam a ujana wa dingi enu aliweka hizo sehemu

    • @maryamoman1370
      @maryamoman1370 Před 4 lety

      Haswaa wapambane waache uvivu

    • @annaishebabi4940
      @annaishebabi4940 Před 4 lety

      Haaaaa!we mzeee acha uongo kwahiyo doctor alisema usimpe mke wako v2 vitamu kwasababu ya sukari manake sijaskiaga mtu akiambiwa asishirikiane na mke au mume kwa sababu ana ugojwa wa sukari

    • @martinseveina6306
      @martinseveina6306 Před 3 lety

      3and 8

  • @goodneema3056
    @goodneema3056 Před 4 lety +2

    Kwa ujinga wao wanatakafungua mirathi na mzee bado yuko na migufu yake, pumbaff sana. Maamuz yake nimeyapenda, uza vyote kula bata mzee wangu!!💪💪

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Před 4 lety +13

    Watotommeshakuwa tafuteni vyenuuu acheni mzee auze amfurahishe kimwali, daaaah kweli kinena hatari

  • @mcmaulidkambayamau1494
    @mcmaulidkambayamau1494 Před 4 lety +94

    sasa ndugu zangu mnalilia mali ambazo mmiliki mwenyewe yupo wala hajafa nanyi bado ni vijana pambaneni mjenge vyenu jamani

    • @biancamass8921
      @biancamass8921 Před 4 lety

      mc Maulid Kambaya mau ajabu

    • @dennismtoma3626
      @dennismtoma3626 Před 4 lety +1

      Madada mazima yanashindwa kuholewa yanagombania Mali za babu

    • @reginamanyangu6682
      @reginamanyangu6682 Před 4 lety +1

      Yaan ni ujinga mzee ni Mali yake

    • @salmasaidy87
      @salmasaidy87 Před 4 lety +2

      Yaan nyie watoto oneni hata aibu mali za mzee mwachen mwenyewe ale chake pambaneni mpate na nyie mbona bado mnanguvu sana tu. Aibu kweli jaman

    • @maryamoscar438
      @maryamoscar438 Před 4 lety +3

      Wangeenda kula mpunga wa mzee yasingetokea

  • @raynittu4599
    @raynittu4599 Před 4 lety +8

    Mzee nouma kweli. Umegawa viwanja watoto wamejenga tayari.miaka 87 unahangaika na wanawake.watakuua hao.

  • @katibatanzania3089
    @katibatanzania3089 Před 4 lety

    Safi sana izomalizake embu jipatilizeni nyny tafuteni zakwenu

  • @rukiamohammed5031
    @rukiamohammed5031 Před 4 lety +174

    Mke mdogo mbn anafanana na amber rutty kwa mbali jmn au macho yangu

  • @shabbynyoni2922
    @shabbynyoni2922 Před 4 lety

    Duuuh hatr mzee bado anautak ujna kama unamkubari mzee acha like hap

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 Před 4 lety +21

    Si mligoma kuhudhuria harusi? Mngejua mngeenda kupiga mpunga dadii na mbege,sahv mambo yangekua shwarii

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 4 lety

    Mzee asome alama za nyakati haya maisha yanapita tena kwa haraka sana tena kuna maradhi ambayo yanatukabili kila mmoja wetu covid 19 TUNAISHI KWA NEEMA TU YA MUNGU SIKU ZOTE
    Mzee MUNGU AKUJALIE UPATE HEKIMA NA BUSARA NYINGI HAYA MAMBO YA DUNIA NI YA MUDA MFUPITU

  • @fancytulula9537
    @fancytulula9537 Před 4 lety +3

    Wacheni mzee aoe mke, upweke waua. Nyinyi mko na wake zenu na familia zenu.. Jipangeni. Mama alikufa miaka mitano iliyopita, kweli, amejaribu. Ameishi miaka hii yote pekee😳

  • @amanistephano5208
    @amanistephano5208 Před 4 lety +1

    Bora wamzuie asiuze mali zake maana. Akiuza atafilisika na atakae chukua pessa zote ni yule mwanamke. Hatimae mzee atarudi tena kuwalilia shida watoto wake. Na hapo ndo itakua mwisho wa maisha yake.

  • @sabrinaislam4200
    @sabrinaislam4200 Před 4 lety +59

    Nyie wtt wapuuži Sana tafuteni chenu KM alivochuma yy mnajuwa aližipataje hižo mali

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety

    Asante MUNGU kwa kuniepusha na migogoro

  • @husseinally5880
    @husseinally5880 Před 4 lety +27

    Kweli mapenzi yana-run duniaaaa!!!

  • @johnhauba584
    @johnhauba584 Před 4 lety

    Aisee kupitia tukio hili tujifunze mengi,la kwanza ukipewa eneo kabla ya kujenga hakikisha umekabidhiwa ilo eneo kwa Maandishi.pili hakikisha nyumba unayoijenga uwe na Hati.sasa Kama umejenga bila maandishi kuwa ilo eneo ulikabidhiwa na nyumba pia si itauzwa?,maana bado inaonyesha ni mali ya mzee.poleni sana Mungu yupo jitahidini kama ni haki yenu mtapata tu.pia jitahidini kutafuta mpate kwa jasho lenu.Mtegemea cha ndugu ufa masikini.

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu6780 Před 4 lety +20

    Ndo maaana Mimi sitaki kabisa vya wzazi wangu,wala babu yangu wala ndugu yeyote .Bora kutafuta vyangu tu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 3 lety

    siwez kujenga ktk uwanja wakupewa na wazazi bila maandishi yakueleweka never na sitakikusikia ujinga km huo, aisee sasa hao kazi wanayo

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 Před 4 lety +64

    Waziri wa aridhi anahusika nini hapo? Kama mmeolewa tafuteni vyenu na waume zenu.

    • @victorianganyagwa5223
      @victorianganyagwa5223 Před 4 lety

      Mary Mfugwa tenaaaa👌🏼

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 4 lety +1

      Ni haki yao kuolewa ni urafk t unaweza ukavunjika mda wowote dear

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 4 lety

      😂😂😂

    • @godmanmullar4154
      @godmanmullar4154 Před 4 lety

      Mary Mfugwa shikamoo watafute vyao maboya wamuache dingilai ale vyake

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 Před 4 lety +1

      Walikataa kwenda harusini mzee akachukulia spotii tu yaani barida wala hakuita media alizimia zake kanisani tu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 4 lety +2

    Rudin nyuma sasa...tumieni kanisa(watumishi wa Mungu) tumieni Wazee wenye hekima muombe msamaha...msishindane nae,jishusheniii! mzazi ni mzazi....na ana haki zake na nyie mna haki zenu...
    Baba wahurumie wanao.
    Mtangulizeni Mungu wapendwa.

    • @japhetnnko7398
      @japhetnnko7398 Před 4 lety

      Kwel wjishushe kw mzee kulko kushndan bab ni baba tu

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 4 lety +20

    Maeneo yake hayo waziri lukuvi alimsaidia kuyanunua

  • @memoryngambi7003
    @memoryngambi7003 Před 4 lety +13

    Mambo yote haya no siku za mwisho, matukio yote haya yapo kwenye maandiko kwamba ndugu watainukiana.

  • @sizmaggymaggy5677
    @sizmaggymaggy5677 Před 4 lety +4

    Ilekitu iko muombe mungu sababu akizema amupi. Hiyo nimaliyake

  • @gracewiliam8872
    @gracewiliam8872 Před 3 lety

    Babu noma sana

  • @jamilairakoze6600
    @jamilairakoze6600 Před 4 lety +4

    Sasa uyo mzee anafanya kazi nzuri kweli duuuu 🤣🤣

  • @enock7271
    @enock7271 Před 4 lety +1

    Mzee kajieleza tu vzr

  • @patriciakidaha8296
    @patriciakidaha8296 Před 4 lety +11

    Wewe mzee muogope Mungu.. Hata marehemu mke wako anakuona unachowafanyia watoto hapa duniani, angalia umri wako na dhambi unazotafuta

    • @chuwimkali547
      @chuwimkali547 Před 4 lety

      Ukisha kufa umekufa hakuna unachokiona duniani tusijidanganye watafute vyao tuu

    • @swaumukareemu9247
      @swaumukareemu9247 Před 4 lety

      Mwanaume anaweza owa hata kama umekufa leo din inamruhusu ila kibinadamu ndio tunaona kakosea.. ukifa na yako yamekwisha .. wanawake ndio hata din imetuamrisha mume akifa ukae enda

    • @hajjshabani9683
      @hajjshabani9683 Před 4 lety +1

      Hilo somo la hapo juu ni zuri kwakujifunza 1 ukifikia miaka 18 jihesabu wewe umekuwa mkubwa anzaa kutafuta maisha yako chap chap.2 hiyo nyumba shamba linahitaji kizazi kingine /zingatia hayo ukifika umri wa miaka 18 ndungu shukuru mungu chapa lapa kotkote katafute kinatakachopatikana .usipoteze muda buree na vitu vya watu.

    • @khadijamwandumbya3032
      @khadijamwandumbya3032 Před 4 lety

      Wazazi ni MUNGU wa duniani kwanini washindane na mzazi?? Kama mzee ana dhambi basi hata wao wana dhambi wange enda tu kwenye harusi umepewa bure halafu unaleta dharau haaaaaa!!! Nyenye kea.

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 4 lety +1

    Mzee uko sawa tuu kudai mali yako,sema tatizo uliisha wapa na tayari walianzisha miji yao,sasa unapowanyang'anya sasa ivi hawatakuelewa Kabisa kwa maana walikwishawekeza hapo.

  • @mengikiguruwe6750
    @mengikiguruwe6750 Před 4 lety +8

    Mzee ni mchapakazi na 'Campsite'/kambi za utalii sehemu kadhaa zikiwemo Loliondo/Wasso, Engarasero/Lake Natron n.k aidha wengi wa watoto wake ni tegemezi na wafujaji;
    Mzee km huyo ni lazima awe na msaidizi wa karibu (Mke) wa kumhudumia kwani mwisho wa maisha ya binadamu ni atakapokufa hivyo huwezi kumyang'anya mali zake eti tu amezeeka;
    Nawashauri hao watoto wamwangukie baba yao kwani Mzee Kamakia ni mwelewa!

  • @rosemarykatogomusanga1619

    Mbumbavu Sana nyinyi watoto wa mzee. Kwanza nyinyi ni watu wazima. tafuteni chenu Vipi nyinyi. He has arght ya kuhusa akule Chake. Kabla kufa. Ni Sawa au. Si. Sawa?? Commends Jamani!!!!!

  • @bernardkihiyo1945
    @bernardkihiyo1945 Před 4 lety +9

    jmn dah watoto wangeenda tu kwenye harus alaf pia siku zote mzaz wakiume au wakike akioa au kuolewa inauma coz mnawaza anakuja kututawala

    • @bernardkihiyo1945
      @bernardkihiyo1945 Před 4 lety

      kwani hapo sikutawaliwa tayar haijalish una umri gan kwa mzaz na mali zake

    • @penigozbert1156
      @penigozbert1156 Před 4 lety

      Unawezaje kuwatawala watu wazima kama wale jamani

    • @bernardkihiyo1945
      @bernardkihiyo1945 Před 4 lety

      Peni Gozbert haijalish wanaumri gan siumeona wanalalamika wangrweza kujitawala wangelalama

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 2 lety

    Baba siii alishaga gawa. Sasa ni nini tena uyo baba anataka. Kaowa mama tofauti sana umri wake.

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 Před 4 lety +4

    Kwanini hamkwenda kwenye harusi ya baba yenu. Hamna adabu kabisa hamuwezi kuyaheshimu hata maamuzi yake. Inaonekana mmeshirikia kutoenda harusini. Sasa pambaneni na Hali yanu.

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 Před 4 lety +1

    Tena mzeee katumia hekima kubwa sanaaaa,,,miezi sita kwa mwanaume yatosha,,tenaaaaa kaoa kwa Harusi,,mngetakiwa mumuonyeshe ushirikiano,,,tafuteni vyenu inaonekana hamkutaka baba aowe

  • @romwaldoamsi2783
    @romwaldoamsi2783 Před 4 lety +21

    Yaani wachaga tunapenda Sana'a mchezo wa kuchikuchi:hahaha..ety mtu na ndevu zake bado anamtegemea Mzee wake,shwaheeeh gonga like kama tuko pamoja

    • @Mimi-wf7mb
      @Mimi-wf7mb Před 4 lety +1

      Acha ushamba wewe. Laizer siyo wachaga

    • @jonathaneliabu2298
      @jonathaneliabu2298 Před 4 lety

      romwaldo amsi @hata hivyo sidhani kama ni wachaga hawa ni waarusha

    • @gililwise
      @gililwise Před 4 lety

      Tangu lini laiza akawa mchaga fikiri kabla ya kutenda.na kunena

    • @elizabethcharles8045
      @elizabethcharles8045 Před 4 lety

      Wanjamen mwachen bb amarizie njasho rak murikuwep wakat anato njasho tfuteni zakwenu.?

  • @righton19
    @righton19 Před 4 lety

    Kazeew kanapenda madem kichz sasa uzee wote huo bado unataka uroda

  • @halimalule1225
    @halimalule1225 Před 4 lety +5

    Mzee muhuni kweli,,eti waje wakae kwangu.

  • @pendobaharia6922
    @pendobaharia6922 Před 4 lety +12

    Wakubwa wazima ovyooo c mnunue viwanja vyenu mnakataa asioe ili awaoe nyie watoto wengine cjui mkoje muachen auze si Mali yake

    • @zacqtv9855
      @zacqtv9855 Před 4 lety

      We unaongea usiku yajua yasikukute

    • @poureenkunambi6413
      @poureenkunambi6413 Před 4 lety +1

      Mzacky Charles kabisa hajajua tu,hii kitu sio kabisa,pesa zikiisha hapo unafkir ataenda ap? Hapo mwanamke anatka pesa tu,pia hao watt n haki yao,ila mzee kapikwa madawa huyo

    • @a.s.afishfarming6225
      @a.s.afishfarming6225 Před 4 lety +1

      Acha maneno wewe yani umepewa kiwanja umeahajenga halafu wewe unanyang'anywa

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 Před 4 lety +1

    Mzee ana kichaa ashaona shimo amejisahau huyo msichana ameoa ndo kaburi lake

  • @nover8035
    @nover8035 Před 4 lety +11

    Itakuwa nyie ni wa Dar😂😂😂 tafuteji mbona ni wakubwa!?

  • @tmt2642
    @tmt2642 Před 5 měsíci

    😢😢😢Mbona watoto wenyewe kama walevi tu..Mali za Baba wanalilia..Wako timamu kweli hawa😢😢

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 Před 4 lety +10

    Uyu mzee kalishwa ubwabwa Poli na uyo mke wapili na Kama aligawa Sasa saizi anahaha Nini? Kama aligawa atulie tu apo muombeni mkuu wa mkoa apo awasaidie

  • @devothaenock9325
    @devothaenock9325 Před 4 lety +2

    Muombeni baba yetu msamaha mkishirikisha Mungu .

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 Před 4 lety +4

    Mzee upo sawa sawa 👍

    • @vallemaparadise7620
      @vallemaparadise7620 Před 4 lety

      Chini ya jua hakuna km mama .Baba kumkana mtoto kwake sawa ila hajamjua huyu mwanamke anataka pesa yake na siyo huyu babu ,akikamilisha lengo lake atamwacha babu hoi.

    • @peterjohn1969
      @peterjohn1969 Před 4 lety +1

      @@vallemaparadise7620 tatizo wao ndo walipaswa kumfanyia mzee wao kwamfano kumjengea nk sasa wameingia chaka mzee kaona iyo ni zarau sasa atakavyo amua akuna wakumpinga ndomaana vyombo vya usalama vinashindwa vinawaangalia vinawaona wajinga wapiga kelele tu.

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Před 2 lety

    Mbona mzee huo anataka kumaliza vibaya na vijana wake? Wapi hutaweza kutupa watoto nje, na usipokua macho utamalizia maisha yako vibaya mzee! Usiwasumbui watoto!

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 Před 4 lety +11

    Lakin sio haki huyu mzee kafanya. Watu wamesha jenga asinge wapa basi viwaja watt wake mtihani kweli

  • @remmywillyz8472
    @remmywillyz8472 Před 3 lety +1

    Kwani document za hayo maeneo mliyopewa na mzee wenu mliandikishwa nyie kwa majina yenu au mliendelea kutumia jina la mzee?? Kama jibu ni ndio mlitumia jina la mzee poleni sana mzee ana nguvu kubwa ya kushinda hiyo kesi sababu bado ni mmiliki halali wa hayo maeneo na maboma😇

  • @abdallahsharif318
    @abdallahsharif318 Před 4 lety +9

    Jamani babayenu kawalea kawasomesha hamtosheki? Taftenizenu

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Před 2 lety

    Mama ana jasho lake,lazima wtt wapate urizi;anataka awazulumu wtt kwa ajili mke mwingine huyo mm atamlani huko aliko kisa kuoa na huyo mke anampa jeuli

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 4 lety +20

    sasa kama kashaga wagawiya anauza je tena? huyo mwanamke alie owa anampeleksha mzee sn na ndio chanzo cha matatizo hayo yote

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 Před 2 lety

    Huyu mzee ni shidaaaa

  • @japhetkavishe2347
    @japhetkavishe2347 Před 4 lety +137

    Mwacheni mzee ale maisha na Mali yake, nyie tafuteni Mali yenu.

    • @asmarashid743
      @asmarashid743 Před 4 lety +2

      Ni kweli but hata watoto wanahaki

    • @japhetkavishe2347
      @japhetkavishe2347 Před 4 lety +1

      @@asmarashid743 mtu akiwa bado hai ana haki ya kubatilisha miradhi hyo ni kwa mujibu wa sheria humwambii kitu akiamua na mali yake.

    • @abubakarihamissi4178
      @abubakarihamissi4178 Před 4 lety +8

      Kabisa hao watt wasenge watafute vyao

    • @mivunjoc.miyego1427
      @mivunjoc.miyego1427 Před 4 lety +3

      watoto wakubwa hivyo mnagombania mali ya urithi? acheni ugomvi wa kijinga tafuteni mali za kwenu? hamuna mahakama ya kusikiliza kesi ya kunyangaánywa mali uliyopewa!

    • @denicmsigwa5199
      @denicmsigwa5199 Před 4 lety

      Haswaaa mzee Yuko vizuri huyo wewe hajakurupuka

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Před 2 lety

    Mnataka kitonga Mari zake
    Izoooo

  • @sirlankagirl6256
    @sirlankagirl6256 Před 4 lety +3

    2020 tutaona mengi duuuh🤣🤣🤣🤣🤣

  • @annngugi989
    @annngugi989 Před 3 lety

    Am like speechless..this issue I am relating it with my family's own ..shida huwa mwenye aolewa😭😭..rip mummy..rip daddy 2015/2019 respectively

    • @miriammustafa5380
      @miriammustafa5380 Před 2 lety

      Hao watoto hawana akili baba anauza Mali yake nyieee watoto tafuteni za kwenu mnataka maliza babaili iweje kwani aliwatafutia nyie Kwanza nyie wakubwa mm Nina vyangu na sioo et nitategemeeea wazi hamuoni aibuuu

  • @evashayo5914
    @evashayo5914 Před 4 lety +4

    Yaan wanawake sisi yesu snatuona

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 Před 2 lety

    Musishindane nae mwombe I msamaha mzee Musishindane nae

  • @mariamhpilipo7189
    @mariamhpilipo7189 Před 4 lety +49

    Mbona sisi hatujalisi lakinitunamali tafuteni zenu hizonizake anahaki

    • @pattymzee1
      @pattymzee1 Před 4 lety

      Tatizo ni kubweteka, ujinga tu watu wazima na nguvu zao wanamhangaisha mzee kutaka wapewe plot za bure

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 4 lety +1

      No mami ni za mama yao lazima wapate kidogo

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 4 lety

      @@jescajulius8023 za mama kivipi wakati mzee bado yupo hai? Au sheria zinasemaje? Si ni mali yake bado

    • @mabubakitambi6599
      @mabubakitambi6599 Před 4 lety

      Inauma na Ni mhimu kuhitaj Mali, ukute mzee hajawapeleka shule alikuwa anakula bata afu Leo alete za kuleta,,

    • @lucyshirima7862
      @lucyshirima7862 Před 4 lety

      Haaaa mwacheni mzee ajilie vyake ngombe azeeki maini maaaaaaaaaaaaaaaa

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 4 lety

    Hiyi mzee mbaya sura tu anaonesha kudhulumu watoto wake bure hajui dhulma haidumu kisa mwanamke

  • @Mamatonny2065
    @Mamatonny2065 Před 4 lety +3

    Poleni sana.
    Kumbukeni kuwa Mali za urithi zina mikosi sana.
    Nasema hivyo kwa sababu na Mimi yalinikuta!.

  • @khamisawadh7333
    @khamisawadh7333 Před 2 lety

    Mwezi1 Uliopewa KakusadiaSana

  • @jengatech_tanzania
    @jengatech_tanzania Před 4 lety +4

    Kupata Design nzuri za #nyumbanafuu na za kisasa, fanya subscribe kwenye Account ya &BEYIND DESIGN kuzipata nyumba nzuri.

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni Před 4 lety

    Ni Kweli huyu mwanamke ndie hanaye mpeleke sha Baba yanu. Pole sana kwa watoto. Mzee hajitabuwe kapewa chakupewa na mke we tokazamani urithi haunyanganywi.

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga982 Před 4 lety +8

    Kama aliwapa na wakajenga sasa anataka nini! Hawa wazee wakuowa ukubwani ni shida sana

    • @jenniferlukambuzi356
      @jenniferlukambuzi356 Před 4 lety +1

      Very true,
      Kama anauza viwanja, basi inabidi awarudishie watoto wake thamani ya nyumba zao walizozijenga kwenye hivyo viwanja alivyokuwa ameishawagawia.

  • @elimwazembe3631
    @elimwazembe3631 Před 4 lety

    Kweli mtegemea cha ndugue hufa angali masikini .kwamimi ninavyojua kisheria mtt hana sababu yoyote ya msingi kumzuiya mze kuuza nyumba wala shamba .ila mkewe tu ndoanaweza kumzuiya .mtt wake kazi yake nikumshauli tu .kisheria wamechemka

  • @magrethjohn3463
    @magrethjohn3463 Před 4 lety +24

    Mzee alichokosea nikuwapa viwanja alafu wamejenga ndo aje achukue siyo haki alafu hata hivyo Mali katafuta na mama yao Mimi ningekuwa Mimi hiyo nyumba ningeibomoa alafu auze kiwanja bila nyumba

    • @paulinasemindu3999
      @paulinasemindu3999 Před 4 lety +1

      😂😂😂

    • @benhorta5121
      @benhorta5121 Před 4 lety +1

      😂

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 Před 4 lety +6

      Siku zone usiamini mtu anayebadilika walitakiwa kuvitafutia hati za majina yao mapema,kama hawana hati hiyo bado ni mali ya mzee

    • @khadijamalifedha4786
      @khadijamalifedha4786 Před 4 lety +1

      Hahahaha

    • @zaharajuma5019
      @zaharajuma5019 Před 4 lety

      Magreth John tatizo niwao kumtenga baba yao niasira tu nauzee Hawa watoto ndo walitakiwa wamsikilize tu

  • @priscasanga
    @priscasanga Před 4 lety

    khaaah mbabu mtata uyuuuuuuu mskie maneno yake..... alafu anaonekana anapenda kuzimia wamuache siku atajikufisha makusudi wapewe case ya kuua

    • @priscasanga
      @priscasanga Před 4 lety

      Eti watajijua waje wakae ninapokaaa khaàah

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 Před 4 lety +13

    Sasa ninyi Watoto hamtaki Baba yenu aoe? Eneo ni lake akitaka kuuza Boma lake Mzee aachiwe auze.

  • @oscaroscaroscar7974
    @oscaroscaroscar7974 Před 4 lety

    Huyu Mzee jamani mvi nyeupe adi kwa ndefu Soon atakufa kwa presha kwanza kwa nini Anafanya ivi jamani au Shangishangi alolioa lina mpelekesha 😳

  • @magrethjohn8576
    @magrethjohn8576 Před 4 lety +8

    Tafuteni Mali zenu muacheni baba yenu aishi!wababa bila wanawake ndani wanatia huruma sana!mmlelewa sasa inatosha

    • @elifasinimpagaritse7902
      @elifasinimpagaritse7902 Před 2 lety

      ukiwa mzazi kisha ukatoa kitu kwa mwanao afu kwasababu ume kosewa ukanyanga mtoto. huo ni upumbafu maana mtoto ana amini mzee ame mpa sehemu ukajenga afu aje aseme anataka auze huo ni upumbafu kama una jua huna moyo wa kutoa basi usi waahidi ili mtoto akomae akijua alizaliwa na mtu wa namna gani ili ajitafutie

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 Před 4 lety +1

    Episode 2 please

  • @charlesalbert9657
    @charlesalbert9657 Před 4 lety +9

    🤣🤣🤣🤣mzee wangu popote ulipo agiza unachokunywa nakuja kulipa dadeeeeeki umenifurahisha saaana yaaan hapo shambani uza mpaka mazao waliyokuwa wamepanda💪💪💪💪😂😂😂

    • @victorianganyagwa5223
      @victorianganyagwa5223 Před 4 lety +1

      Charles Albert na ambye htaki kuondoka amuuze umo umo ndan 🤣😂😂😂

    • @fatmakhamisi6745
      @fatmakhamisi6745 Před 4 lety

      Nihakiyake tafuteni vya kwenu mnaingilia hisia zake upuuzi huo

    • @suzanfelix8857
      @suzanfelix8857 Před 4 lety

      @@victorianganyagwa5223 😆😆😆 mungu anakuona eti

    • @husseinramadhan7644
      @husseinramadhan7644 Před 4 lety +1

      Charles Albert ha ha ha saw

    • @victorianganyagwa5223
      @victorianganyagwa5223 Před 4 lety

      suzan felix xx utalazimixh vp mali ya mt wanafahamu alipat vp wamuache hy nguv yake bn

  • @restutarhamis4609
    @restutarhamis4609 Před 4 lety

    hahahaaaaa hamjui libwata kapewa jonjo nzuri mauno chezea mapenz

  • @devothaagustin7767
    @devothaagustin7767 Před 4 lety +13

    Tafuta mbona mpo watu wazima mzee alipambana mwenyewe ni ruksa kuuza au kuwapa

  • @skywayworkshop8588
    @skywayworkshop8588 Před 2 lety

    Fanyeni kazi

  • @nesielias317
    @nesielias317 Před 4 lety +16

    Mzee Hana makosa nyie watu wazima katafteni vyenu, Sasa mnataka mzee awe bachela na mzinifu acheni ujinga

  • @nicodemuhamaro5533
    @nicodemuhamaro5533 Před 4 lety

    Katafuteni mali zenuuuuu achaneni na mali ya mzeeee.Mlimchangia????Mwacheni Baba amalizie maisha yake.Epukeni Laana.

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Před 4 lety +11

    Jamani nyinyi munao sema wakatafute vya kwao nisawa kujituma lakini wameshajenga alafu mzee anataka kuuza siwatapata hasara maskini. huyo mzee asifanye hivyo hawa ni watoto wake

  • @uswizinyanginywa2498
    @uswizinyanginywa2498 Před 4 lety

    Mzee kachukua kitu rainiiiiii chezea malove love wee

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 Před 4 lety +6

    Mzee kavu san huy🤣🤣🤣🤣🤣nimenunua ndio man nimeuza ndio man mie sitak vya kurith

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 4 lety +1

    Mamb yakugawiwa nlisha yakata mimi namiliki vyangu

  • @dominiquemushy895
    @dominiquemushy895 Před 2 lety +4

    Nyie hamna akili hata kidogo! Mali yake mnamxuia kuuza mbona hamjaenda harusini angali. Mnajua mama yenu ashafariki, ni mali yake ana haki ya kuuza nyie tafuteni yenu

  • @Papa2thaE
    @Papa2thaE Před 4 lety

    Babu ni Chizi Huyu. Huwezi kifukuza na kunyang’anya watu vitu ulivyowapa.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 4 lety +8

    Subhannallah, mtihani

  • @jasmineshechambo3401
    @jasmineshechambo3401 Před 4 lety

    Mzee anahasira mbaya sana kudadadek kauza nyumba zake alizowap sasa nyie watt mtakula kwa macho hasira hasara

  • @jafaryjey
    @jafaryjey Před 4 lety +4

    Tafuteni za kwenu NYAMBAFU! Kwanza hamkumsindikiza baba yenu wakati anaenda kufunga ndoa na kiburudisho chake

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 4 lety

    Polen jaman mungu awafanyie wepes

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 Před 4 lety +7

    Bbu anajielewa sana

  • @africanmandetraveler2847

    Hawa wameru wanamwonea dingi ,mna bahati Sana amewagawia maeneo alafu Bado mnalialia bila sababu.Acheni mzee afarijiwe na bi mdogo

  • @arushamix6036
    @arushamix6036 Před 4 lety +7

    Huu ni msala, kama Mzee ndiye mwenye shamba na bado yupo hai hapo pagumu maana anaruhusiwa kubatilisha mirathi ya awali(kama aliandika).

    • @dismasswai5838
      @dismasswai5838 Před 4 lety

      Ni kweli lakini awalipe fidia ya nyumba walizojenga kwa thamani ya soko

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      Lazima mzee awaonyeshe urithi wao!!

    • @arushamix6036
      @arushamix6036 Před 4 lety

      Dismas Swai Ni mlolongo maana nao watatakiwa watoe uthibitisho, sio kesi rahisi...hapo ni kuomba Mungu tu wasikilizane.

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety

      @@arushamix6036 kaka mbona uthibitisho rahisi tu,,,DNA si ipo!!!!

  • @mimsbaibe6mimsgul737
    @mimsbaibe6mimsgul737 Před 4 lety

    Chamhimu mzee agawie kila mtu cha kwake asiwaache ivo atabaki kuwa baba tu .I love my Daddy he is 75 akatupea both boys and girls live long dad from +245.

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      Awagaiye vipi wakati tayali ameshakwisha piga bei tayali

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 Před 4 lety +29

    Hee nyie vipi! Mtu ana maamuzi yake na Mali zake nyie zawahusu nini

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 Před 4 lety +1

    Mutafute byenu, amna haya

  • @ibrahimmzee535
    @ibrahimmzee535 Před 4 lety +56

    Nyie tafuten vya kwenu watu wazma mnaanz komalia vya urith

    • @victorianganyagwa5223
      @victorianganyagwa5223 Před 4 lety +1

      Ibrahim Mzee shangaa ss ng’ombe hazeeki main km anjiweza wamuache aoe tu mzee wa wt nn ch ajbu

    • @verdianabanabi5943
      @verdianabanabi5943 Před 4 lety

      Toka huko katafute vya kwenu acha vya urithi mmeishakuwa.

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 4 lety

      @@verdianabanabi5943
      Sio wamekua , ni wazee kabisa , hawana haya wala aibu wanalilia urithi Baba hajafa .
      Baba yao alitafuta , na wao si watafute ili watoto wao waje warithi , Babu nimempenda bureee , anawajambisha kuanzia serikali ya kitongoji mpaka polisi anatamba yy tu .

    • @lordrextz3686
      @lordrextz3686 Před 4 lety +2

      @@chayogasperi9783 uiisikikiza kwa makini.. nionavyo hawagombanii urithi..ila waligawiwa Viwanja wakajenga..sasa anawanyang'anya vipi..

    • @isiakahkadari5279
      @isiakahkadari5279 Před 4 lety

      Tafteni vyakwenu,,huyo ni mzee anaitaj faraja,,