Naomba tujuane wale ambao wazazi wetu hawajatugawia vitu na hawatatugawia kabisa tunatafuta vyetu kwa jasho letu wenyew ,,maan hizi mali za wazazi huwa zinaletaga maafa makubwa ,,ila Hawa walistahili kuishi hapa maan pia ni mali za mama yao ,,sema mze mlimvuruga kwann hamjaenda harusi yake🤣🤣😂😂😂😂🤸🤸🤸🤸👌👌👌👌💃💃💃ndo ujue pesa inanguvu kuliko mkono mtupuu
Kbsaaaa Mama wa kambo. Sio mama ..wanabadilisha sana babazetu....hii kitu ishatokea kwetu ....maana hata babangu aliuza boma letu na kuoa mke mwengine na alitutenga sisi familia yake...ila mungu n mkubwa sahii wanateseka hadi wanaona Aibu..
Hilo eneo ni lake, lipo kwa jina lake so ana haki ya kufanya chochote kwenye eneo lake. MPIGIENI MAGOTI awasamehe, otherwise hamna haki yoyote hapo ni pake. Tafuteni Mali zenu, nyinyi ni watu wazima.
Haaaaa!we mzeee acha uongo kwahiyo doctor alisema usimpe mke wako v2 vitamu kwasababu ya sukari manake sijaskiaga mtu akiambiwa asishirikiane na mke au mume kwa sababu ana ugojwa wa sukari
Mzee asome alama za nyakati haya maisha yanapita tena kwa haraka sana tena kuna maradhi ambayo yanatukabili kila mmoja wetu covid 19 TUNAISHI KWA NEEMA TU YA MUNGU SIKU ZOTE Mzee MUNGU AKUJALIE UPATE HEKIMA NA BUSARA NYINGI HAYA MAMBO YA DUNIA NI YA MUDA MFUPITU
Wacheni mzee aoe mke, upweke waua. Nyinyi mko na wake zenu na familia zenu.. Jipangeni. Mama alikufa miaka mitano iliyopita, kweli, amejaribu. Ameishi miaka hii yote pekee😳
Bora wamzuie asiuze mali zake maana. Akiuza atafilisika na atakae chukua pessa zote ni yule mwanamke. Hatimae mzee atarudi tena kuwalilia shida watoto wake. Na hapo ndo itakua mwisho wa maisha yake.
Aisee kupitia tukio hili tujifunze mengi,la kwanza ukipewa eneo kabla ya kujenga hakikisha umekabidhiwa ilo eneo kwa Maandishi.pili hakikisha nyumba unayoijenga uwe na Hati.sasa Kama umejenga bila maandishi kuwa ilo eneo ulikabidhiwa na nyumba pia si itauzwa?,maana bado inaonyesha ni mali ya mzee.poleni sana Mungu yupo jitahidini kama ni haki yenu mtapata tu.pia jitahidini kutafuta mpate kwa jasho lenu.Mtegemea cha ndugu ufa masikini.
Rudin nyuma sasa...tumieni kanisa(watumishi wa Mungu) tumieni Wazee wenye hekima muombe msamaha...msishindane nae,jishusheniii! mzazi ni mzazi....na ana haki zake na nyie mna haki zenu... Baba wahurumie wanao. Mtangulizeni Mungu wapendwa.
Mwanaume anaweza owa hata kama umekufa leo din inamruhusu ila kibinadamu ndio tunaona kakosea.. ukifa na yako yamekwisha .. wanawake ndio hata din imetuamrisha mume akifa ukae enda
Hilo somo la hapo juu ni zuri kwakujifunza 1 ukifikia miaka 18 jihesabu wewe umekuwa mkubwa anzaa kutafuta maisha yako chap chap.2 hiyo nyumba shamba linahitaji kizazi kingine /zingatia hayo ukifika umri wa miaka 18 ndungu shukuru mungu chapa lapa kotkote katafute kinatakachopatikana .usipoteze muda buree na vitu vya watu.
Wazazi ni MUNGU wa duniani kwanini washindane na mzazi?? Kama mzee ana dhambi basi hata wao wana dhambi wange enda tu kwenye harusi umepewa bure halafu unaleta dharau haaaaaa!!! Nyenye kea.
Mzee uko sawa tuu kudai mali yako,sema tatizo uliisha wapa na tayari walianzisha miji yao,sasa unapowanyang'anya sasa ivi hawatakuelewa Kabisa kwa maana walikwishawekeza hapo.
Mzee ni mchapakazi na 'Campsite'/kambi za utalii sehemu kadhaa zikiwemo Loliondo/Wasso, Engarasero/Lake Natron n.k aidha wengi wa watoto wake ni tegemezi na wafujaji; Mzee km huyo ni lazima awe na msaidizi wa karibu (Mke) wa kumhudumia kwani mwisho wa maisha ya binadamu ni atakapokufa hivyo huwezi kumyang'anya mali zake eti tu amezeeka; Nawashauri hao watoto wamwangukie baba yao kwani Mzee Kamakia ni mwelewa!
Mbumbavu Sana nyinyi watoto wa mzee. Kwanza nyinyi ni watu wazima. tafuteni chenu Vipi nyinyi. He has arght ya kuhusa akule Chake. Kabla kufa. Ni Sawa au. Si. Sawa?? Commends Jamani!!!!!
Kwanini hamkwenda kwenye harusi ya baba yenu. Hamna adabu kabisa hamuwezi kuyaheshimu hata maamuzi yake. Inaonekana mmeshirikia kutoenda harusini. Sasa pambaneni na Hali yanu.
Tena mzeee katumia hekima kubwa sanaaaa,,,miezi sita kwa mwanaume yatosha,,tenaaaaa kaoa kwa Harusi,,mngetakiwa mumuonyeshe ushirikiano,,,tafuteni vyenu inaonekana hamkutaka baba aowe
Mzacky Charles kabisa hajajua tu,hii kitu sio kabisa,pesa zikiisha hapo unafkir ataenda ap? Hapo mwanamke anatka pesa tu,pia hao watt n haki yao,ila mzee kapikwa madawa huyo
Uyu mzee kalishwa ubwabwa Poli na uyo mke wapili na Kama aligawa Sasa saizi anahaha Nini? Kama aligawa atulie tu apo muombeni mkuu wa mkoa apo awasaidie
Chini ya jua hakuna km mama .Baba kumkana mtoto kwake sawa ila hajamjua huyu mwanamke anataka pesa yake na siyo huyu babu ,akikamilisha lengo lake atamwacha babu hoi.
@@vallemaparadise7620 tatizo wao ndo walipaswa kumfanyia mzee wao kwamfano kumjengea nk sasa wameingia chaka mzee kaona iyo ni zarau sasa atakavyo amua akuna wakumpinga ndomaana vyombo vya usalama vinashindwa vinawaangalia vinawaona wajinga wapiga kelele tu.
Mbona mzee huo anataka kumaliza vibaya na vijana wake? Wapi hutaweza kutupa watoto nje, na usipokua macho utamalizia maisha yako vibaya mzee! Usiwasumbui watoto!
Kwani document za hayo maeneo mliyopewa na mzee wenu mliandikishwa nyie kwa majina yenu au mliendelea kutumia jina la mzee?? Kama jibu ni ndio mlitumia jina la mzee poleni sana mzee ana nguvu kubwa ya kushinda hiyo kesi sababu bado ni mmiliki halali wa hayo maeneo na maboma😇
Mama ana jasho lake,lazima wtt wapate urizi;anataka awazulumu wtt kwa ajili mke mwingine huyo mm atamlani huko aliko kisa kuoa na huyo mke anampa jeuli
watoto wakubwa hivyo mnagombania mali ya urithi? acheni ugomvi wa kijinga tafuteni mali za kwenu? hamuna mahakama ya kusikiliza kesi ya kunyangaánywa mali uliyopewa!
Hao watoto hawana akili baba anauza Mali yake nyieee watoto tafuteni za kwenu mnataka maliza babaili iweje kwani aliwatafutia nyie Kwanza nyie wakubwa mm Nina vyangu na sioo et nitategemeeea wazi hamuoni aibuuu
Ni Kweli huyu mwanamke ndie hanaye mpeleke sha Baba yanu. Pole sana kwa watoto. Mzee hajitabuwe kapewa chakupewa na mke we tokazamani urithi haunyanganywi.
Very true, Kama anauza viwanja, basi inabidi awarudishie watoto wake thamani ya nyumba zao walizozijenga kwenye hivyo viwanja alivyokuwa ameishawagawia.
Kweli mtegemea cha ndugue hufa angali masikini .kwamimi ninavyojua kisheria mtt hana sababu yoyote ya msingi kumzuiya mze kuuza nyumba wala shamba .ila mkewe tu ndoanaweza kumzuiya .mtt wake kazi yake nikumshauli tu .kisheria wamechemka
Mzee alichokosea nikuwapa viwanja alafu wamejenga ndo aje achukue siyo haki alafu hata hivyo Mali katafuta na mama yao Mimi ningekuwa Mimi hiyo nyumba ningeibomoa alafu auze kiwanja bila nyumba
ukiwa mzazi kisha ukatoa kitu kwa mwanao afu kwasababu ume kosewa ukanyanga mtoto. huo ni upumbafu maana mtoto ana amini mzee ame mpa sehemu ukajenga afu aje aseme anataka auze huo ni upumbafu kama una jua huna moyo wa kutoa basi usi waahidi ili mtoto akomae akijua alizaliwa na mtu wa namna gani ili ajitafutie
Jamani nyinyi munao sema wakatafute vya kwao nisawa kujituma lakini wameshajenga alafu mzee anataka kuuza siwatapata hasara maskini. huyo mzee asifanye hivyo hawa ni watoto wake
Nyie hamna akili hata kidogo! Mali yake mnamxuia kuuza mbona hamjaenda harusini angali. Mnajua mama yenu ashafariki, ni mali yake ana haki ya kuuza nyie tafuteni yenu
Chamhimu mzee agawie kila mtu cha kwake asiwaache ivo atabaki kuwa baba tu .I love my Daddy he is 75 akatupea both boys and girls live long dad from +245.
@@verdianabanabi5943 Sio wamekua , ni wazee kabisa , hawana haya wala aibu wanalilia urithi Baba hajafa . Baba yao alitafuta , na wao si watafute ili watoto wao waje warithi , Babu nimempenda bureee , anawajambisha kuanzia serikali ya kitongoji mpaka polisi anatamba yy tu .
Naomba tujuane wale ambao wazazi wetu hawajatugawia vitu na hawatatugawia kabisa tunatafuta vyetu kwa jasho letu wenyew ,,maan hizi mali za wazazi huwa zinaletaga maafa makubwa ,,ila Hawa walistahili kuishi hapa maan pia ni mali za mama yao ,,sema mze mlimvuruga kwann hamjaenda harusi yake🤣🤣😂😂😂😂🤸🤸🤸🤸👌👌👌👌💃💃💃ndo ujue pesa inanguvu kuliko mkono mtupuu
Nilishasema vya wazazi wang nivyakwao ntatafuta vyangu
Mkono mtupu haulambwi
Kwa mzeee ni noma
Ukiisha kuwa MTU mzima was miaka 18 kuendelea tafuta na wewe Mali yako hiyo ya mzee haikuhusu
😝😝😝😝
Mlitakiwa kwenda kwenye harusi ya mzee !mnaona sasa kawaletea balaa😛😛😛
Hahahaha kbsa lazima wafwata amri ya baba juu yy ndo mwenye Mali
Walichokosea ni kumsusia harusi yake,pia wanacholalamika ni nn?Mbona kila mtu alishapewa chake hicho kilichobaki na yy auze,
🤣🤣🤣dahhh mzee kaleta jiko watoto wasusa
😂😂😂
Kwann hamkwenda kwenye harusi roho mbaya tu
Tatizo siyo Mzee ni uyo alie letwa . mtangulizeni Mungu kwa yote. MUNGU MKUU awasaidie. Amen.
Kbsaaaa Mama wa kambo. Sio mama ..wanabadilisha sana babazetu....hii kitu ishatokea kwetu ....maana hata babangu aliuza boma letu na kuoa mke mwengine na alitutenga sisi familia yake...ila mungu n mkubwa sahii wanateseka hadi wanaona Aibu..
Nooo!aliyeletwa sio shida!shida Ni kutoatendi harusi,pili kumbuka Mzee anaitaji kambani$ atulise Poli nayo inaitajija so mnataka aishije?jilekebisheni nyie.
@@gennesmoraa9380 ni kweli kabisa watoto walitakiwa kujua baba pia anahitaji mtu wa karibu kumsaidia n.k
Hamjui hatma yenu wazee wazima mwacheni baba yenu aenjoy maisha hamjui alitafuta vipi Mali hizo mnataka kula kilaini
Wewe ni tahira sasa amewazaa kwa nini wamechuma wote na baba yao..Mzee malaya tu
Akili hauna kwaiyo hao watoto aliwaza ili wakalale nje wewe kweli chizi maarifa
Wamwache mzee ale kwa Amani watamuua kwa presha khaaaa
Hilo eneo ni lake, lipo kwa jina lake so ana haki ya kufanya chochote kwenye eneo lake. MPIGIENI MAGOTI awasamehe, otherwise hamna haki yoyote hapo ni pake. Tafuteni Mali zenu, nyinyi ni watu wazima.
Hongera Babu kwanza unajua kuchagua halafu mali ni yako wasikubabaishe hao. Kila la kheri na mke mpya maisha marefu na afya njema
Nendeni mkatafute vya kwenu alaa mnategemea kwa dingi enu.hahaaaaaa ujana wenu mnataka kuufanyia nini kam a ujana wa dingi enu aliweka hizo sehemu
Haswaa wapambane waache uvivu
Haaaaa!we mzeee acha uongo kwahiyo doctor alisema usimpe mke wako v2 vitamu kwasababu ya sukari manake sijaskiaga mtu akiambiwa asishirikiane na mke au mume kwa sababu ana ugojwa wa sukari
3and 8
Kwa ujinga wao wanatakafungua mirathi na mzee bado yuko na migufu yake, pumbaff sana. Maamuz yake nimeyapenda, uza vyote kula bata mzee wangu!!💪💪
Na wazee wakiamua ndio utajuwa kama hujuwi
Watotommeshakuwa tafuteni vyenuuu acheni mzee auze amfurahishe kimwali, daaaah kweli kinena hatari
Ahahahaha atar sana
sasa ndugu zangu mnalilia mali ambazo mmiliki mwenyewe yupo wala hajafa nanyi bado ni vijana pambaneni mjenge vyenu jamani
mc Maulid Kambaya mau ajabu
Madada mazima yanashindwa kuholewa yanagombania Mali za babu
Yaan ni ujinga mzee ni Mali yake
Yaan nyie watoto oneni hata aibu mali za mzee mwachen mwenyewe ale chake pambaneni mpate na nyie mbona bado mnanguvu sana tu. Aibu kweli jaman
Wangeenda kula mpunga wa mzee yasingetokea
Mzee nouma kweli. Umegawa viwanja watoto wamejenga tayari.miaka 87 unahangaika na wanawake.watakuua hao.
Safi sana izomalizake embu jipatilizeni nyny tafuteni zakwenu
Mke mdogo mbn anafanana na amber rutty kwa mbali jmn au macho yangu
Hata mm nimeona
Ambar ruti mtupu
Uwiiii jamaniiii 😄😄😄
Mama unabloku huku anatokea huku"niwamiaka mingi huyo mama amekwepa mishale mingi
Kweli🤓😂😂😂
Duuuh hatr mzee bado anautak ujna kama unamkubari mzee acha like hap
Si mligoma kuhudhuria harusi? Mngejua mngeenda kupiga mpunga dadii na mbege,sahv mambo yangekua shwarii
Hahahaha Naona walijisaau
Hahaha Yan wew
Hahahahaaaa
😄😄😄😄😄
Kosa lenu kwanini hamku hudhuria harusi yake babu kaka silika
Mzee asome alama za nyakati haya maisha yanapita tena kwa haraka sana tena kuna maradhi ambayo yanatukabili kila mmoja wetu covid 19 TUNAISHI KWA NEEMA TU YA MUNGU SIKU ZOTE
Mzee MUNGU AKUJALIE UPATE HEKIMA NA BUSARA NYINGI HAYA MAMBO YA DUNIA NI YA MUDA MFUPITU
Wacheni mzee aoe mke, upweke waua. Nyinyi mko na wake zenu na familia zenu.. Jipangeni. Mama alikufa miaka mitano iliyopita, kweli, amejaribu. Ameishi miaka hii yote pekee😳
Bora wamzuie asiuze mali zake maana. Akiuza atafilisika na atakae chukua pessa zote ni yule mwanamke. Hatimae mzee atarudi tena kuwalilia shida watoto wake. Na hapo ndo itakua mwisho wa maisha yake.
True
Nyie wtt wapuuži Sana tafuteni chenu KM alivochuma yy mnajuwa aližipataje hižo mali
kashawapa tatizo ndo hilo alishawapa urdhi
Haha
qusey OMAN hao ndo wale watoto ambao hawajishugulishi wakiwa wanaona wazaz wao wakiwa na hela...
Watafuta zakwao mwacheni ale bata
Mzee uza mali zako
Asante MUNGU kwa kuniepusha na migogoro
Kweli mapenzi yana-run duniaaaa!!!
😀😂😃
Makubwa hayo wanawake ni nyoka
Aisee kupitia tukio hili tujifunze mengi,la kwanza ukipewa eneo kabla ya kujenga hakikisha umekabidhiwa ilo eneo kwa Maandishi.pili hakikisha nyumba unayoijenga uwe na Hati.sasa Kama umejenga bila maandishi kuwa ilo eneo ulikabidhiwa na nyumba pia si itauzwa?,maana bado inaonyesha ni mali ya mzee.poleni sana Mungu yupo jitahidini kama ni haki yenu mtapata tu.pia jitahidini kutafuta mpate kwa jasho lenu.Mtegemea cha ndugu ufa masikini.
Ndo maaana Mimi sitaki kabisa vya wzazi wangu,wala babu yangu wala ndugu yeyote .Bora kutafuta vyangu tu
Me2
Simtafute vyenu? Mnataka vya mzeemzee nyie wenyewe mmezeeka mlimsaidiamlimsaidia kutafuta? Acheni ujinga
siwez kujenga ktk uwanja wakupewa na wazazi bila maandishi yakueleweka never na sitakikusikia ujinga km huo, aisee sasa hao kazi wanayo
Waziri wa aridhi anahusika nini hapo? Kama mmeolewa tafuteni vyenu na waume zenu.
Mary Mfugwa tenaaaa👌🏼
Ni haki yao kuolewa ni urafk t unaweza ukavunjika mda wowote dear
😂😂😂
Mary Mfugwa shikamoo watafute vyao maboya wamuache dingilai ale vyake
Walikataa kwenda harusini mzee akachukulia spotii tu yaani barida wala hakuita media alizimia zake kanisani tu
Rudin nyuma sasa...tumieni kanisa(watumishi wa Mungu) tumieni Wazee wenye hekima muombe msamaha...msishindane nae,jishusheniii! mzazi ni mzazi....na ana haki zake na nyie mna haki zenu...
Baba wahurumie wanao.
Mtangulizeni Mungu wapendwa.
Kwel wjishushe kw mzee kulko kushndan bab ni baba tu
Maeneo yake hayo waziri lukuvi alimsaidia kuyanunua
Mambo yote haya no siku za mwisho, matukio yote haya yapo kwenye maandiko kwamba ndugu watainukiana.
Ilekitu iko muombe mungu sababu akizema amupi. Hiyo nimaliyake
Babu noma sana
Sasa uyo mzee anafanya kazi nzuri kweli duuuu 🤣🤣
Mzee kajieleza tu vzr
Wewe mzee muogope Mungu.. Hata marehemu mke wako anakuona unachowafanyia watoto hapa duniani, angalia umri wako na dhambi unazotafuta
Ukisha kufa umekufa hakuna unachokiona duniani tusijidanganye watafute vyao tuu
Mwanaume anaweza owa hata kama umekufa leo din inamruhusu ila kibinadamu ndio tunaona kakosea.. ukifa na yako yamekwisha .. wanawake ndio hata din imetuamrisha mume akifa ukae enda
Hilo somo la hapo juu ni zuri kwakujifunza 1 ukifikia miaka 18 jihesabu wewe umekuwa mkubwa anzaa kutafuta maisha yako chap chap.2 hiyo nyumba shamba linahitaji kizazi kingine /zingatia hayo ukifika umri wa miaka 18 ndungu shukuru mungu chapa lapa kotkote katafute kinatakachopatikana .usipoteze muda buree na vitu vya watu.
Wazazi ni MUNGU wa duniani kwanini washindane na mzazi?? Kama mzee ana dhambi basi hata wao wana dhambi wange enda tu kwenye harusi umepewa bure halafu unaleta dharau haaaaaa!!! Nyenye kea.
Mzee uko sawa tuu kudai mali yako,sema tatizo uliisha wapa na tayari walianzisha miji yao,sasa unapowanyang'anya sasa ivi hawatakuelewa Kabisa kwa maana walikwishawekeza hapo.
Mzee ni mchapakazi na 'Campsite'/kambi za utalii sehemu kadhaa zikiwemo Loliondo/Wasso, Engarasero/Lake Natron n.k aidha wengi wa watoto wake ni tegemezi na wafujaji;
Mzee km huyo ni lazima awe na msaidizi wa karibu (Mke) wa kumhudumia kwani mwisho wa maisha ya binadamu ni atakapokufa hivyo huwezi kumyang'anya mali zake eti tu amezeeka;
Nawashauri hao watoto wamwangukie baba yao kwani Mzee Kamakia ni mwelewa!
Yes upo sahihi . Hao watoto watafute Mali Yao.
Kabisa.wamwache auze ni vyakwake.
Nao watafute kama.baba Yao alivyotafuta
Acha atumie pesa yake nyie ndy mnamsumbua
Mbumbavu Sana nyinyi watoto wa mzee. Kwanza nyinyi ni watu wazima. tafuteni chenu Vipi nyinyi. He has arght ya kuhusa akule Chake. Kabla kufa. Ni Sawa au. Si. Sawa?? Commends Jamani!!!!!
jmn dah watoto wangeenda tu kwenye harus alaf pia siku zote mzaz wakiume au wakike akioa au kuolewa inauma coz mnawaza anakuja kututawala
kwani hapo sikutawaliwa tayar haijalish una umri gan kwa mzaz na mali zake
Unawezaje kuwatawala watu wazima kama wale jamani
Peni Gozbert haijalish wanaumri gan siumeona wanalalamika wangrweza kujitawala wangelalama
Baba siii alishaga gawa. Sasa ni nini tena uyo baba anataka. Kaowa mama tofauti sana umri wake.
Kwanini hamkwenda kwenye harusi ya baba yenu. Hamna adabu kabisa hamuwezi kuyaheshimu hata maamuzi yake. Inaonekana mmeshirikia kutoenda harusini. Sasa pambaneni na Hali yanu.
Tena mzeee katumia hekima kubwa sanaaaa,,,miezi sita kwa mwanaume yatosha,,tenaaaaa kaoa kwa Harusi,,mngetakiwa mumuonyeshe ushirikiano,,,tafuteni vyenu inaonekana hamkutaka baba aowe
Yaani wachaga tunapenda Sana'a mchezo wa kuchikuchi:hahaha..ety mtu na ndevu zake bado anamtegemea Mzee wake,shwaheeeh gonga like kama tuko pamoja
Acha ushamba wewe. Laizer siyo wachaga
romwaldo amsi @hata hivyo sidhani kama ni wachaga hawa ni waarusha
Tangu lini laiza akawa mchaga fikiri kabla ya kutenda.na kunena
Wanjamen mwachen bb amarizie njasho rak murikuwep wakat anato njasho tfuteni zakwenu.?
Kazeew kanapenda madem kichz sasa uzee wote huo bado unataka uroda
Mzee muhuni kweli,,eti waje wakae kwangu.
Yuko sawa
Wakubwa wazima ovyooo c mnunue viwanja vyenu mnakataa asioe ili awaoe nyie watoto wengine cjui mkoje muachen auze si Mali yake
We unaongea usiku yajua yasikukute
Mzacky Charles kabisa hajajua tu,hii kitu sio kabisa,pesa zikiisha hapo unafkir ataenda ap? Hapo mwanamke anatka pesa tu,pia hao watt n haki yao,ila mzee kapikwa madawa huyo
Acha maneno wewe yani umepewa kiwanja umeahajenga halafu wewe unanyang'anywa
Mzee ana kichaa ashaona shimo amejisahau huyo msichana ameoa ndo kaburi lake
Itakuwa nyie ni wa Dar😂😂😂 tafuteji mbona ni wakubwa!?
🤣🤣🤣🤣🤣
😢😢😢Mbona watoto wenyewe kama walevi tu..Mali za Baba wanalilia..Wako timamu kweli hawa😢😢
Uyu mzee kalishwa ubwabwa Poli na uyo mke wapili na Kama aligawa Sasa saizi anahaha Nini? Kama aligawa atulie tu apo muombeni mkuu wa mkoa apo awasaidie
Muombeni baba yetu msamaha mkishirikisha Mungu .
Mzee upo sawa sawa 👍
Chini ya jua hakuna km mama .Baba kumkana mtoto kwake sawa ila hajamjua huyu mwanamke anataka pesa yake na siyo huyu babu ,akikamilisha lengo lake atamwacha babu hoi.
@@vallemaparadise7620 tatizo wao ndo walipaswa kumfanyia mzee wao kwamfano kumjengea nk sasa wameingia chaka mzee kaona iyo ni zarau sasa atakavyo amua akuna wakumpinga ndomaana vyombo vya usalama vinashindwa vinawaangalia vinawaona wajinga wapiga kelele tu.
Mbona mzee huo anataka kumaliza vibaya na vijana wake? Wapi hutaweza kutupa watoto nje, na usipokua macho utamalizia maisha yako vibaya mzee! Usiwasumbui watoto!
Lakin sio haki huyu mzee kafanya. Watu wamesha jenga asinge wapa basi viwaja watt wake mtihani kweli
Kwani document za hayo maeneo mliyopewa na mzee wenu mliandikishwa nyie kwa majina yenu au mliendelea kutumia jina la mzee?? Kama jibu ni ndio mlitumia jina la mzee poleni sana mzee ana nguvu kubwa ya kushinda hiyo kesi sababu bado ni mmiliki halali wa hayo maeneo na maboma😇
Jamani babayenu kawalea kawasomesha hamtosheki? Taftenizenu
Wana roho mbaya
Mama ana jasho lake,lazima wtt wapate urizi;anataka awazulumu wtt kwa ajili mke mwingine huyo mm atamlani huko aliko kisa kuoa na huyo mke anampa jeuli
sasa kama kashaga wagawiya anauza je tena? huyo mwanamke alie owa anampeleksha mzee sn na ndio chanzo cha matatizo hayo yote
Yaani sana hayo ni sawa kabisa
Hawana adabu watafutevya kwao
Dingi mjanja aliwagawia KwAN MANENO dokumaa kabakia nazo
Dingi mjanja kawapa urithi kwa maneno Dokumaa hajawapa
Acheni ujinga katafute I chenu
Huyu mzee ni shidaaaa
Mwacheni mzee ale maisha na Mali yake, nyie tafuteni Mali yenu.
Ni kweli but hata watoto wanahaki
@@asmarashid743 mtu akiwa bado hai ana haki ya kubatilisha miradhi hyo ni kwa mujibu wa sheria humwambii kitu akiamua na mali yake.
Kabisa hao watt wasenge watafute vyao
watoto wakubwa hivyo mnagombania mali ya urithi? acheni ugomvi wa kijinga tafuteni mali za kwenu? hamuna mahakama ya kusikiliza kesi ya kunyangaánywa mali uliyopewa!
Haswaaa mzee Yuko vizuri huyo wewe hajakurupuka
Mnataka kitonga Mari zake
Izoooo
2020 tutaona mengi duuuh🤣🤣🤣🤣🤣
Am like speechless..this issue I am relating it with my family's own ..shida huwa mwenye aolewa😭😭..rip mummy..rip daddy 2015/2019 respectively
Hao watoto hawana akili baba anauza Mali yake nyieee watoto tafuteni za kwenu mnataka maliza babaili iweje kwani aliwatafutia nyie Kwanza nyie wakubwa mm Nina vyangu na sioo et nitategemeeea wazi hamuoni aibuuu
Yaan wanawake sisi yesu snatuona
Musishindane nae mwombe I msamaha mzee Musishindane nae
Mbona sisi hatujalisi lakinitunamali tafuteni zenu hizonizake anahaki
Tatizo ni kubweteka, ujinga tu watu wazima na nguvu zao wanamhangaisha mzee kutaka wapewe plot za bure
No mami ni za mama yao lazima wapate kidogo
@@jescajulius8023 za mama kivipi wakati mzee bado yupo hai? Au sheria zinasemaje? Si ni mali yake bado
Inauma na Ni mhimu kuhitaj Mali, ukute mzee hajawapeleka shule alikuwa anakula bata afu Leo alete za kuleta,,
Haaaa mwacheni mzee ajilie vyake ngombe azeeki maini maaaaaaaaaaaaaaaa
Hiyi mzee mbaya sura tu anaonesha kudhulumu watoto wake bure hajui dhulma haidumu kisa mwanamke
Poleni sana.
Kumbukeni kuwa Mali za urithi zina mikosi sana.
Nasema hivyo kwa sababu na Mimi yalinikuta!.
Mwezi1 Uliopewa KakusadiaSana
Kupata Design nzuri za #nyumbanafuu na za kisasa, fanya subscribe kwenye Account ya &BEYIND DESIGN kuzipata nyumba nzuri.
Ni Kweli huyu mwanamke ndie hanaye mpeleke sha Baba yanu. Pole sana kwa watoto. Mzee hajitabuwe kapewa chakupewa na mke we tokazamani urithi haunyanganywi.
Kama aliwapa na wakajenga sasa anataka nini! Hawa wazee wakuowa ukubwani ni shida sana
Very true,
Kama anauza viwanja, basi inabidi awarudishie watoto wake thamani ya nyumba zao walizozijenga kwenye hivyo viwanja alivyokuwa ameishawagawia.
Kweli mtegemea cha ndugue hufa angali masikini .kwamimi ninavyojua kisheria mtt hana sababu yoyote ya msingi kumzuiya mze kuuza nyumba wala shamba .ila mkewe tu ndoanaweza kumzuiya .mtt wake kazi yake nikumshauli tu .kisheria wamechemka
Mzee alichokosea nikuwapa viwanja alafu wamejenga ndo aje achukue siyo haki alafu hata hivyo Mali katafuta na mama yao Mimi ningekuwa Mimi hiyo nyumba ningeibomoa alafu auze kiwanja bila nyumba
😂😂😂
😂
Siku zone usiamini mtu anayebadilika walitakiwa kuvitafutia hati za majina yao mapema,kama hawana hati hiyo bado ni mali ya mzee
Hahahaha
Magreth John tatizo niwao kumtenga baba yao niasira tu nauzee Hawa watoto ndo walitakiwa wamsikilize tu
khaaah mbabu mtata uyuuuuuuu mskie maneno yake..... alafu anaonekana anapenda kuzimia wamuache siku atajikufisha makusudi wapewe case ya kuua
Eti watajijua waje wakae ninapokaaa khaàah
Sasa ninyi Watoto hamtaki Baba yenu aoe? Eneo ni lake akitaka kuuza Boma lake Mzee aachiwe auze.
Uza baba ulitafuta mwenyewe
Atajuta baadae
Huyu Mzee jamani mvi nyeupe adi kwa ndefu Soon atakufa kwa presha kwanza kwa nini Anafanya ivi jamani au Shangishangi alolioa lina mpelekesha 😳
Tafuteni Mali zenu muacheni baba yenu aishi!wababa bila wanawake ndani wanatia huruma sana!mmlelewa sasa inatosha
ukiwa mzazi kisha ukatoa kitu kwa mwanao afu kwasababu ume kosewa ukanyanga mtoto. huo ni upumbafu maana mtoto ana amini mzee ame mpa sehemu ukajenga afu aje aseme anataka auze huo ni upumbafu kama una jua huna moyo wa kutoa basi usi waahidi ili mtoto akomae akijua alizaliwa na mtu wa namna gani ili ajitafutie
Episode 2 please
🤣🤣🤣🤣mzee wangu popote ulipo agiza unachokunywa nakuja kulipa dadeeeeeki umenifurahisha saaana yaaan hapo shambani uza mpaka mazao waliyokuwa wamepanda💪💪💪💪😂😂😂
Charles Albert na ambye htaki kuondoka amuuze umo umo ndan 🤣😂😂😂
Nihakiyake tafuteni vya kwenu mnaingilia hisia zake upuuzi huo
@@victorianganyagwa5223 😆😆😆 mungu anakuona eti
Charles Albert ha ha ha saw
suzan felix xx utalazimixh vp mali ya mt wanafahamu alipat vp wamuache hy nguv yake bn
hahahaaaaa hamjui libwata kapewa jonjo nzuri mauno chezea mapenz
Tafuta mbona mpo watu wazima mzee alipambana mwenyewe ni ruksa kuuza au kuwapa
Fanyeni kazi
Mzee Hana makosa nyie watu wazima katafteni vyenu, Sasa mnataka mzee awe bachela na mzinifu acheni ujinga
Mzee atakufa vibaya huyo
Katafuteni mali zenuuuuu achaneni na mali ya mzeeee.Mlimchangia????Mwacheni Baba amalizie maisha yake.Epukeni Laana.
Jamani nyinyi munao sema wakatafute vya kwao nisawa kujituma lakini wameshajenga alafu mzee anataka kuuza siwatapata hasara maskini. huyo mzee asifanye hivyo hawa ni watoto wake
Wamejenga kwake kwann wanune wangeenda harusini
@@mnyakitz2007 😂😂😂😂😂
Awasaidie km unapenda
Wana roho mbaya kwa nini wamsusie ndoa yake
Mzee kachukua kitu rainiiiiii chezea malove love wee
Mzee kavu san huy🤣🤣🤣🤣🤣nimenunua ndio man nimeuza ndio man mie sitak vya kurith
Jamani kwahiyo mnataka akae bla mke??
Mamb yakugawiwa nlisha yakata mimi namiliki vyangu
Nyie hamna akili hata kidogo! Mali yake mnamxuia kuuza mbona hamjaenda harusini angali. Mnajua mama yenu ashafariki, ni mali yake ana haki ya kuuza nyie tafuteni yenu
Kweli
Babu ni Chizi Huyu. Huwezi kifukuza na kunyang’anya watu vitu ulivyowapa.
Subhannallah, mtihani
Mhiiii aya umri tatizo
Madam Saum Asalaam aleyk
Mzee anahasira mbaya sana kudadadek kauza nyumba zake alizowap sasa nyie watt mtakula kwa macho hasira hasara
Tafuteni za kwenu NYAMBAFU! Kwanza hamkumsindikiza baba yenu wakati anaenda kufunga ndoa na kiburudisho chake
Polen jaman mungu awafanyie wepes
Bbu anajielewa sana
Hawa wameru wanamwonea dingi ,mna bahati Sana amewagawia maeneo alafu Bado mnalialia bila sababu.Acheni mzee afarijiwe na bi mdogo
Huu ni msala, kama Mzee ndiye mwenye shamba na bado yupo hai hapo pagumu maana anaruhusiwa kubatilisha mirathi ya awali(kama aliandika).
Ni kweli lakini awalipe fidia ya nyumba walizojenga kwa thamani ya soko
Lazima mzee awaonyeshe urithi wao!!
Dismas Swai Ni mlolongo maana nao watatakiwa watoe uthibitisho, sio kesi rahisi...hapo ni kuomba Mungu tu wasikilizane.
@@arushamix6036 kaka mbona uthibitisho rahisi tu,,,DNA si ipo!!!!
Chamhimu mzee agawie kila mtu cha kwake asiwaache ivo atabaki kuwa baba tu .I love my Daddy he is 75 akatupea both boys and girls live long dad from +245.
Awagaiye vipi wakati tayali ameshakwisha piga bei tayali
Hee nyie vipi! Mtu ana maamuzi yake na Mali zake nyie zawahusu nini
Tafuteni zeno huko ni Keurig Kwan Hamkwenda Kenya harusi ya Baba yen.
Omba Mungu akuchukue mapema ukichelewa watoto wakakusahau utajuta
@@leinamwilongo6890
0
@@hamidmussa838 p
Pll
P
Mutafute byenu, amna haya
Nyie tafuten vya kwenu watu wazma mnaanz komalia vya urith
Ibrahim Mzee shangaa ss ng’ombe hazeeki main km anjiweza wamuache aoe tu mzee wa wt nn ch ajbu
Toka huko katafute vya kwenu acha vya urithi mmeishakuwa.
@@verdianabanabi5943
Sio wamekua , ni wazee kabisa , hawana haya wala aibu wanalilia urithi Baba hajafa .
Baba yao alitafuta , na wao si watafute ili watoto wao waje warithi , Babu nimempenda bureee , anawajambisha kuanzia serikali ya kitongoji mpaka polisi anatamba yy tu .
@@chayogasperi9783 uiisikikiza kwa makini.. nionavyo hawagombanii urithi..ila waligawiwa Viwanja wakajenga..sasa anawanyang'anya vipi..
Tafteni vyakwenu,,huyo ni mzee anaitaj faraja,,