Neema Gospel Choir - Bado Ninakuamini (Live Music Video)
Vložit
- čas přidán 18. 06. 2024
- Huu ni wimbo wenye nguvu ya imani na kujitolea. Ni safari ya kuamini na kumtegemea Bwana, ukiwa na ombi la uongozi na uwepo wake.
Pata ujumbe wenye kugusa moyo kwamba licha ya changamoto, kimbilio letu na msaada wetu vinabaki kwa Yesu pekee.
Wimbo huu uvuvie imani yako na ufanye upya tumaini lako kwa Mungu.
Songwriter & Composer: Godwin Mlambo
Leader: Loyce Simon
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024 - Hudba
Nianze na wewe,
nimalize na wewe
Safari yangu niongozwe nawe
Ukiniacha nitapotea Bwana
Ukiniacha nitaangamia
Ukiniacha nitapotea Bwana
Usiruhusu yatokee haya
Kimbilio langu umebaki mwenyewe
Msaada wangu umebaki mwenyewe
Wewe tu, wewe tu
Bado ninakuamini
👌🙏
😭😭nianze na wewe, nimalize na wewe Bwana
Ukiniacha nitapotea Mimi usiruhusu Bwana yatokee haya
🇰🇪🇰🇪kenya show some love if you are always blessed with this grace🇰🇪
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
JAMANI TANGU NIANZE KUCOMMENT SIJAWAHI KUPATA LIKE HATA MOJA😢😢🙆🙆
nimekupa both like na comment❤
Sawa waki like unapata faida gani?😂😂😂
Kuna hitilafu upande wako basi 🙃
Be encouraged
Like za nn unakula
Wangapi Yesu kabaki kwao kama kimbilio kwenye maisha yao....❤️❤️
Ni wengi sana walionza na yesu na kubaki naye yesu wangu sio munafiki
😢 amen nipo hapa namngoja BWANA maana asipo nisaidie yeye Mimi nitakuwa nimeangamia
Wanaoupenda huu wimbo like zenu❤❤❤❤naanza na ww namaliza naww🎉❤amen bwana
Bado ninakuamuni Mungu haijakishi ntapitia magumu mangapi🥺🙇🙏🏿
Silent follower hebu kujeni apa ,Nianze nawe na nimalize nawe Bwana,good song more grace guys🙏🙏🙏.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very touching one
Badooo nakuamini MUNGU TANZANIA MPOO WAPII GONGAA LIKE HAPAA ❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri sana huu nimebarikiwa sana
UKINIACHA NITAPOTEA BWANA
UKINIACHA NITAANGAMIA
UKIACHA NITAPOTEA
USIRUHUSU YATOKEE HAYA × 2
😭😭😭😭 🙌🙌🙌🙌 HALELUYAAA
MUNGU AZIDI KUWATUMIA WATUMISHI KWA UTUKUFU WAKE
EMENIIII.......!!
Amen🙏🙏
UTUKUFU KWA MUNGU 😭😭
Kenyan nipeeni likes kwa baraka aki
Ni wimbo wenye uhai ........ ni wimbo wa kusimama nao katika kipindi chochote. Ni wimbo unaoweza kushinda nao siku nzima hasa ukiwa kwenye maombi ya mfungo, ni wimbo unaoweza kuamka nao usiku wa manane na kufungua mbingu zikafunguka. Mungu awabariki sana NGC, pia solo abarikiwe sana ❤❤❤🙏
Exactly,hawa Ndugu WAPO ktk UWEPO Mkubwa na NGUVU za Roho Mtakatifu....
Huu Wimbo unafungua anga na Kuingia ktk Maombi ktk Roho,bila kuchooka!!
Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu Kwa huduma hii njema Mnoo ❤❤
Amen utukufu kwa Mungu 🙏
Bwana Yesu ninakuamini karibu maishani mwangu ishi nami hadi mwisho wa nyakati zangu,bila kuiacha familia yangu, ndugu zangu na watu wote tunaomwamini Mwokozi wetu.Amen
Bwana Yesu ninakuamini karibu maishani mwangu ishi nami hadi mwisho wa nyakati zangu,bila kuiacha familia yangu, ndugu zangu na watu wote tunaomwamini Mwokozi wetu.Amen na wasiomwamini tuwaombee
Huu ni aina ya Wimbo unaweza kukufanya ukalia sana mbele za Mungu, ukasema kila kitu kinachokusibu, ukalalamika, ukasema kila ulichoonewa
Siwezi hata kueleza 😭😭😭
GOD 🙌🏼
Amen
Kweli ndg
Kweli bro huu wimbo ni very powerful
Neema na mafuta yaliyo juu yenu hakika Mungu anafanya makuu katika kanisa Lake... Mbarikiwe sana
Every time i listen to this song I feel the urge to pray🙏
Yesu umebaki mwenyewe, wimbo umeniliza sn, nilifiwa na mama nikiwa mdogo sn, Mungu akanibariki na ndoa baada ya miaka 10 mume kaondoka sijui alipo wala sina mawasiliano naye ni miaka ss imepita mwezi uliopita nimefiwa na baba mzazi Yesu bado ninakuamini. Huwezi kuniacha
Katika hili bado ninakuamini Mungu wangu mbarikiwe sana Watumishi wa Mungu
Huwa sichoki kusikiliza hii nyimbo mana kila nikiisikia imani yangu inazidi kuongozee nakuamini kwamba bado yupo MUNGU... Kimbilio langu ni wewe msaada wangu ni wewe BADO NAKUAMINI hii vita nitaishinda.😊
Jamani neema gospel imebarikiwa Kwa uimbaji❤❤❤❤
Mnanibariki sana Neema Gospel Mungu azidi kuwainua
Ukiniacha nitapotea BWANA..usiruhusu yatokee tena BWANA..wewe ndiye kimbilio langu..hata kama hukujibu utabaki kuwa bwana..hata kama walituacha ndugu jamaa na marafiki ..utabaki kuwa BWANA.
“Iweni hodari na moyo wa ushujaa, msiogope wala msiwahofu; kwa maana Bwana, Mungu wako, yeye ndiye anayekwenda pamoja nawe, hatakupungukia wala kukuacha.
”
- KumbuTorati 31:6
Kimbilio langu msaada wangu ni wew tuuuu
Baaado Ninakuamini na kukupenda❤❤
Kimbiliyo langu musada WANGU NI weye Tu YESU CHRISTU ❤❤❤❤❤ AMEN 🙏
Huu wimbo unanivusha mahali sijui mliwaza nini mkautunga 😢😢😢😢😢
Utukufu kwa Mungu🙏
Nimeusubilia huu wimbo
Nimebarikiwa na huu wimbo
Napitia Jaribu gumu sana 😢 Yesu bado nakuamini😭
Powerful message, at the right time, May God confort Brother Titus & Family, wasiache kumuamin huyu Mungu. Katika mapito yote, Bado tutamuamini.
Nitasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.
Zab 91:2 🙏
Mpiga solo ni mwananchi🔥🔥🔥🔥🔥
Hata kwa hili nakwamini
Powerful Message ❤ . forever NGC.🎉
Hata sasa bado ninakuamini, my Lord🙏🙏
Wimbo mzuri mnoooo watu wa Mungu. Muongezeke viwango kwa viwango katika Kristo Yesu. Amina
Asante Mungu no bado ninakuamini🙏🙏
Dado ninakuamin Mungu wangu
Tembeeni katika UWEPO vivyo hivyo Roho Mtakatifu Awaongoze katika Huduma Yenu Msimwachie Shetani Nafasi katika Huduma Yenu Msimwache huyu YESU na Azidi Kuwainua sanaa Neema Gospal Choir,,Bado Nakuamini YESU hata katika Changamoto zangu Nakuamini na Bado Nakuamini tu 🙏💝
This song is everything to me right now!bado ninakuamini Mungu wangu
Baba mungu huu wimbo ni ombi langu kwako😭😭🙏
Hakika Mungu ndo kila kitu barikiwa watumishi wa Mungu
Amen
Bado ninakuamini Adonai🙌
Amen
hakika siwezi mwenyewe bila wewe Yesu🙌🙌
Bado ninakuamini,unishughulikie Baba yangu, ponya kila kitu kwa ukuu wako wewe ni Mwaminifu Baba yangu, kwa jina la Yesu Kristo ninakuamini
Mungu Saidia Nchi Yangu Kenya. Bado Ninakuamini, hata kwenya haya mapigano na Maandamano ya Kuhusu Finance Bill
Amen, Bwana awatendee mema
Wow ❤❤❤❤❤ wapi like za wana neema
NA WAKUBALI SANA NEEMA GOSPEL ♥️♥️
Amen
Bado nakuamini Mungu wangu😢❤
Amen
Mungu azidi kuwabariki sana ❤
Jesus this song 😭 😭 😭 🔥 🔥 🔥
I still believes in YOU to eternity
Na safari yangu iongozwe nawe Kila wakati.. Much love from Kenya
Hata katika haya magumu ninayopitia mm Rachel bado nakuamini 😭😭😭🙌🙌🙌
Mungu akukumbuke Rachel
Am blessed ❤❤❤❤
Neema gospel ninyi mmebarikiwa na MUNGU azidi kuwatunza tenq sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Nitasema baba ndio kimbilio langu🙌🏼
Amen
Bado ninakuamini 🙌🙌🙏🙏
I really love this song ❤
Noma sana
Amen 🙏🙏🙏
Wimbo huyu Mungu ninaufanya ombi kwangu na kwanchi yetu 🇧🇮🇧🇮.
Mubarikiwe sana 🙌
Amen
Bado ninakuamini 🙌🙌
Natamanii kuanzaa na bwanaa na kumalizaa naee piaa
Asante Yesu kwa Tanzania Yetu, Baado twakuamini.
Amen
Wimbo huu unaweza kukupeleka rohoni kabisaa kimbilio langu umebaki mwenyewe,hongera mwimbishaji umeweza kutuvuvisha
Amen
Thanks for sound 🙏 Niko mwanza ninawapenda familia❤️❤️❤️
Mbarikiweee sana neema gospel kazii yenuu njemaa natamanii sikuu mfikeee mpakaa mkoanii kwetuu njombeee
Wimbo wa nyakati zote. Mungu wa Mbinguni awabariki
Amen
Amen......Hakika nianze na wewe na nimalize na wewe Bwana wangu
Nitausikiliza, 🎧nitausikiliza nitausikiliza unabariki, unainua moyo, umenibariki mnooo. Bado ninakuamini❤
WATU HAWA WAMEBALIKIWA SANA KWA UIMBAJI MUNGU AZIDI KUWAINUA🙏🙏🙏♥️♥️🔥🔥
Ameen❤
God bless Brethren going far in Jesus name l love the song 🙏🙏
Bado ninakuamini🙏
Amen
More Grace Neema choir. Bwana nianze nawe nimalize nawe.
Amen
Safari yangu iongozwe wewe🙏
Amen
Kiukweli katika wimbo wa neema uliowahi nigusa ssna sana ni huu dads ubarikiwe sana kuimba kws roho na mguso mkubwa
Asanteni sana Neema gospel kwa kutusemea tuliochoka na kukosa maneno ya kuongea na Baba🙌🏾
I still believe in you, Jesus; in your purpose, love, grace, glory, BLESSES be your Thy Name.
Very powerful message!! "Nianze na ww, nimalize na ww safari yangu niongozwe na ww". Mungu awape Nguvu Titus &Family
Hata nayoyapitia baba bado ninakuamini
I love this song,it has been my song the whole day
Ooooh Yesu 🙌🙌🙌
Yesu ubaki na mm wee ndio kinbilio lang Sina mtu mwingine zaid Yako Mungu Wang 😭
Ameen amenn
katika raha na katika shida YESU ni kiboko ya yote hakika
From my heart, God I still trust in you.
Amen sana MUNGU awabariki sana . bado ninakuamini YESU KRISTO
Mungu aendelee kuwainua wimbo mzuri sana...❤❤❤
Amen
Ni wewe TU ndiwe kimbilio katika changamoto zote
Amen
Bado ninakuamini YESU wangu ooooh!!!❤
Amen
Waoooh! Team ya Naoto zangu Mungu awainue zaidi, nina imani siku moja takuwa wote hapo 🙏🏻🙌❤️
Mmenona na sisi wazee msituache nyuma. nzuri sana
Amen
Mungu awatunze sana nmebarikiwa
Amen
Wooow wimbo mzuri mbarikiwe sana wana-Inland❤❤❤ nawapenda sana huduma yenu ni njema🎉🎉🎉🎉
Amen
Bado ninakuamini🙏🙏🙏Hapa Kenya bado tunakuamini
Amen
I trust in you God❤
Bado ninakuamini
Nawashukuru sana Neema Gospel choir. Nakulilia Jevovah 😢
Amen
Ni wewe tu Yesu maishani mwangu bado ninakuamini na nitakuamini sana tena sana na sana zaidi
I do not have any one else rather than you Lord....🙏🙏🙏
Amen
🙏🙏Bado ninakuamini.....
Amen