Hawa watu wanaoharibu dini kwa masilahi yao binafsi mm nawachukia sana huyu anaharibu dini a alllah kuweni na macho wa islamu mtume hakufundixha haya hebu tusomeni watu kama hawa tuwapuunze
Anayoyafanya sio kuwa allah anayapenda hapana na anahaliibu dini huyu kijana na mbele ya allah hata hoja yeyote na aache uongo kuitumia dini kwa masilahi yake atakwenda na maji
Shekh sharifu Alla akupe umuri Ameen wewe mashaalla
Subbihana llah mungu mpe umri mrefu shekhe sharifu firidaus azid kutusaidia
Muje na kwangu wapenzi❤
Sheikh sharifu Firdausi Mola akuhifadhi
Asalam aleikum warahmatullah wabarakatuh, Shekh sharif Firdausi naitaji dozi zotee nitapataje niko Kenya
Allah akustiri ufike na mikoani 🤲
Huna karama zozote ww muongo acha kuongope watu acha muogope mungu kijana hii ni dunia kumbuk kuna akhera
Shuhuda naMaajabu Ya kumiminika hapa Tuangoma ,Subhaanahu Allah ni Mwema.
Aakhy allah akupe umri mrefu wenye faida ili watu warudi kwenye dini
Hawa watu wanaoharibu dini kwa masilahi yao binafsi mm nawachukia sana huyu anaharibu dini a alllah kuweni na macho wa islamu mtume hakufundixha haya hebu tusomeni watu kama hawa tuwapuunze
Camera man unazinguwa huoneshi vzr
Mungu AKUBALIKI sheikh Firdaus kiboko ya wachawi Tanzania mbona camera man Atuoneshi matukio Apo
Kamera nae haonyeshi vizuri
Mwamba huyu, Sheikhe Shariif Firidaus ni kiboko ya wanga na Wachawi.
Mm mtizamaji wako napatikana oman lkn mtazania natalajia nifike ofisini
Dua Kali zafanywa Tuangoma na Wachawi wahaha Kila Kona.
Ww camera 📸 man hujuwi kitu wakatn unatakikana uwoneshe izo action unaonesha wtu
Asalaam aleykum. Chupa moja ya Fathul jasadi kiasi gani?
Alikuwa asome kwanza ndipo aingie kwenye hii fani
Anayoyafanya sio kuwa allah anayapenda hapana na anahaliibu dini huyu kijana na mbele ya allah hata hoja yeyote na aache uongo kuitumia dini kwa masilahi yake atakwenda na maji
Maisha akili
No difference with what christian pastors do! Why?.
Wajinga ndo wanaomuamini mtu mwenye akiri zake sawasawa hawezi kumuamini huyuu mtu