WAJUE MARAIS wa AFRIKA WALIOKUFA WAKIWA BADO WAPO MADARAKANI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 53

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 Před 3 lety +9

    Gaddafi aliwapa wananchi wake raha na kuwagawia fedha kwenye akaunti zao lkn Wamarekami na wafaransa pamoja na vibaraka wao wakaleta machafuko nchini Libya ambayo yalipelekea kifo cha Gaddafi... Mungu atawalipa

    • @hawahabibu1379
      @hawahabibu1379 Před 3 lety +2

      Cku zote vzur havidum Rais akiwa mzalendo anahatalisha maisha yake

    • @nrwawanndeny7394
      @nrwawanndeny7394 Před 3 lety

      @@hawahabibu1379 taja pia na mabaya Gaddafi

    • @amissesalimo814
      @amissesalimo814 Před 3 lety

      Daa hi Chanel ya kisenge sana samora machele

  • @mumbaimedia.5286
    @mumbaimedia.5286 Před 3 lety +1

    You represented Current president of Somali's phote ...he z alive take care

    • @yusuphusaimoni4182
      @yusuphusaimoni4182 Před rokem

      Unaelezea vizuri Sanaa kumbe viongozi wengi Huwa wanauwa duuu walinzi wanakuwagap au wanakufaga na walinzi wao naomba jibu

  • @hurumamtambo739
    @hurumamtambo739 Před 3 lety

    Mungu awabaliki

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před rokem +1

    Mnapinga kila kitu... wekeni ya kwenu basi tuone.. mdada amejitahidi

  • @kajishijakasabuku
    @kajishijakasabuku Před rokem +1

    Africa hatujitambui

  • @jamesisaac8804
    @jamesisaac8804 Před 3 lety +5

    Rais wa Rwanda na waburundi hujawataja

  • @sylvestrenyandwi7131
    @sylvestrenyandwi7131 Před 3 lety

    Hongela Sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 lety

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @mursallusinde9189
    @mursallusinde9189 Před 3 lety +1

    Mhm ugonjwa wa moyo ndo umeondoa wengi hii ni kutokana na kubeba majukum mazito ya nchi kweli uongozi si lele mama ni kazi nzito yenye lawama za kutosha

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Před rokem +1

    Huyu mtafti ana wazimu hao ndo ameona ndo marais waliouawa tu Africa

  • @sikaongaabel9350
    @sikaongaabel9350 Před rokem +2

    Pumbavu magufuli hakuumwa na ugonjwa wa moyo wali muua ili mpate madalaka

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 3 lety +2

    Ukiwapinga wazungu na ukiwa na mikakati ya kuzibit mali katika nchi yako kwa kuleta maendeleo lazima maaduwi wa ndani ya nchi yako na nchi jirani na za mbali watakuchukia to. Watakuuwa na ndio mana ukaona viongoz wengi wa Afrika huwa na hofu ya kufanya mabadiliko katika nchi zao wanakuwa na wao mafisadi na vivu wa kufanya kaz na rushwa mana wameambiwa na wazungu au umoja wa kimataifa kama bara la Afrika hatutaki liendelee kiuchumi. Na tutakwambieni sheria zetu muzifate. Kama hutaki .Tunakuuwa .

  • @rosemollel4637
    @rosemollel4637 Před rokem

    Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa

  • @jumachire3041
    @jumachire3041 Před 3 lety

    Yuko sawa...kasema ni baadhi ya marais

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 Před 3 lety +1

    Globo
    Umemsahau mwamba
    Mmoja hivi
    Sadam Abdul majiid husain
    Ndani ya iraq

  • @jimmynsemwa
    @jimmynsemwa Před rokem

    Daaa😭

  • @racinecarine818
    @racinecarine818 Před 3 lety

    Umesema vema Anmah, baadhi ya viongonzi kwa kuwa umewaacha nyuma Raisi wa Rwanda Havuarimama, Zaïre Mobutu, Malawi Kamuzu Banda, Zimbabwe Robert Mugabe, na wengine wengi

  • @gabrielsawike7327
    @gabrielsawike7327 Před 3 lety +1

    Thomas sankra wa bukinabe ambayo kwa sasa bukinafaso,Fanya utafiti upya umeaacha wengi mno

  • @homar1147
    @homar1147 Před 3 lety

    Je raisi wa Zanzibar Mzee Abeid Aman Karume yeye hayumo kwenye orodha ya viongozi wa Afrika? Maana nae alifariki kwa kuuwawa nchini kwetu Tanzania akiwa ni raisi wa Zanzibar.

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety

    KABLA HUJAATOA TAARIFA SOMA HISTORIA KWANZA MBONA MARAISI WENGI WA AFRICA HUJAWATAJA ?

  • @jfmkenda6792
    @jfmkenda6792 Před 4 měsíci

    Kuna Anuary Sadati wa misri

  • @salminmabrouk5433
    @salminmabrouk5433 Před 2 lety

    KARUME ALIKUWA BARA GANI ? AFRICA AU TUAMBIENI JAMAN MAANA KARUME ZANZIBAR AMEUWAWA AKIWA MADARAKANI

  • @kenyansonyoutube1
    @kenyansonyoutube1 Před 3 lety +5

    Na kenyatta!

    • @davismate6999
      @davismate6999 Před 3 lety +2

      hawawezi kufahamu, wajinga sana hawa wabongo, unaweza je kusahau jirani wako ...bure kabisa...

  • @bienvenukichambaomar5067
    @bienvenukichambaomar5067 Před 11 měsíci

    🇨🇩 Laurent Kabila

  • @bossmtoto133
    @bossmtoto133 Před 3 lety

    Mnazingua rais Ahmed Abdallah abderema alisoilih takidine au hawa sio marais

  • @johnonkoba740
    @johnonkoba740 Před 3 lety +1

    Gadafi aliuliwa na marekani sio waasi

  • @vicentmakoro9162
    @vicentmakoro9162 Před 3 lety

    Unaanzaje kumsahau Thomas SANKRA

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Před rokem

    Mbona hujataja kilicho muua simba wa Africa jpm??

  • @jumamwadhini6263
    @jumamwadhini6263 Před 3 lety

    Nchi za kizungu mbona hawapo au wao hawafi

  • @francischegemwang8987
    @francischegemwang8987 Před 3 lety

    Wewe Ni mbure tu na Kenya iko wapi hakuna ire unajua wewe kumbfu wewr

  • @bizimanaboubakar425
    @bizimanaboubakar425 Před 3 lety

    Ndadaye wa burundi umesahau

  • @aziziomary6118
    @aziziomary6118 Před 3 lety

    Rwanda na Burundi 1994:

  • @Jirhley
    @Jirhley Před 3 lety

    Muongo! Nkurunziza alikuwa na umri wa miaka 55

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 Před 3 lety

      Sio umri tu kukosea nkurunziza was stil young 55 pia alikufa na covid

  • @muhammedomer9256
    @muhammedomer9256 Před 3 lety

    Hiyo picha uliotowa ya Rais wa Somalia huyu ni Rais Farmajo yuko hai nahuyu sio Egal

  • @ayuzomsigwa618
    @ayuzomsigwa618 Před 3 lety

    Hgf

  • @cusmaancaadle3498
    @cusmaancaadle3498 Před 3 lety

    We vipi hio picha wa rais wa somalia ume chukua nia rais wa saahi

  • @bahatimacha5501
    @bahatimacha5501 Před 3 lety

    Samora masheli umsahau

  • @zahrahassan4175
    @zahrahassan4175 Před 3 lety

    Kwanza hakuna nchi inayoitwa somaliland pili Unamtaja Mohamed igaal halafu unaleta picha ya farmaajo...makinika madam

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 Před 3 lety

    Nkurunzinza hajafia madarakani acheni uongo jamani

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 Před 3 lety

    Asande sikuwa nimejuwa

  • @sibonilenjela3524
    @sibonilenjela3524 Před 3 lety

    You lier one think thre is lot president ded in Africa and pure kuruziza ager you don't know was haver 55 ager

  • @rosemollel4637
    @rosemollel4637 Před rokem

    Ni sawa maana wa Burundi ambaye yupo sasa alikuwa bado hajaapishwa