Innalilah waina illah rajiun Allah Subhana wata Allah akusamehe dhambi zako za dhahir na za siri akuekee nuru katika maKazi yako akuepushe na adhabu za kabri .. Jennah iwe pepo yako safiri salama na na malaika wawe pokezi lako katika makaz yako... Amin
Innallih wainailah rajiun 😭 Mwenyez Mungu amrehem ampe kauli thabit ampe kitab kwa mkono wakulia ampunguzie adhab ya kaburi na akugeuze upande wa pili ameeen
MwenyezMungu Ampe Hatma Njema Shekhe Wetu Lahaula Wallakuwatta Pole Kwa Familia Yote Ndg Jamaa na Marafiki Wallah Baba Yang Kampoteza Mualimu/Ndugu/Rafiki yake Mkubwa na Wakaribu Almuhimu Duaa (TUTAKUKUMBUKA MILELE)
innalillah wa innalillah rajiun inshallah mwez mngu atujalie nakauli ya ahshahadhu llailaha wa ashadhu ana Mohammadyarasulullah inshallah mwez mungu akulazeahali pema peponi kwa mawaidha mengi uliotupatia ya ushauri nawenye husia llaillah illallaha
Sheikh Hemeid bin Jumaa bin Hemeid (Al Marhum) Sheikh Kassim bin Jumaa (Al Marhum) Sheikh Suleiman Gorogosi (Al Marhum) Sheikh Suleiman Bin Amran Kilemile (Al Marhum) Sheikh Muharram Juma Doga (Al Marhum) Sheikh Twaha Suleiman Bane Wanazuoni wakubwa wa kiislamu kuwahi kutokea katika nchi hii tuliwaidhika sana kupitia RTD na mawaaidha Yao miaka Ile 1980s-1990s Allah awape Pepo waliotangulia mbele ya Haki na waliohai Allah awape umri mrefu tuzidi kufaidika nao insha'Allah
Hii ni miongoni mwa dalili za qiyama kuondoshwa kwa elimu wanawachuoni wetu ndo wanakwisha hivyo na elimu inapotea ivo m mungu amfanyie wepesi huko aendako
غفر الله له وأدخله فسيح جناته والله إن القلب ليحزن والعين لتذرف ولا نقول إلا ما يرضي الله.. اللهم يا ولي نعمتي وملاذي عند كربتي أسألك أن تجعل قبره روضة من رياض الجنة
Innahlilahi wainnahilayhi rajiun, mungu amsamehe uko kbrn aliko napia amuepushe na adhabu za kaburi pmj na zakiama, EWE MWENYEZIMUNG TUSAMESHE NA UTUONGOZE KATIKA NJIA ILIYONYOOKA PIA UTUINGIZE SOTE WAISILAMU KATIKA PEPO YAKO🙏
Inna lillah wainna ilyhi rwajiuun huu ni mwaka ambao Allah anatupima kwa mitihn mwaka huu tumeondokewa na viongoz wa dini viongoz wa serekal na sisi mungu atupe mwisho mwema.
Wewe sijui unaijiita banabi naona umecoment hapa unasema kuna wanauzikwa na watu kumi na kuna wanauzikwa na watu wengi nyamaza hapo hapo funga mdomo wako tafadhal usitutie machungu zaid tafadhal san huy Sheikh wetu haiwezekan na haitowezakana kuzikwa na watu kumi hata iwej watu tumeshikamana san kama lolote litokee lakin kwa mtu mzito kama huy haiwezekan abadan abadan Mkuu wako wa mkoa katulia wewe nan?...tena tulia kama maji ya mtungin tuwache na msiba wetu tafadhal san.....unawaona hapo Masheikh wakubwa wamejitoa pamoja na umma wa Kiislam bila kujal kuna nin sote kwake tutarejea atuna hofu wala shaka na hili ....machoz yananitoka hv sasa kwa hali hii nnayoiona umma ulivyojitokeza ..
Inalilah wainailah lajuun ndugu zangu waislam Leo hii Allha kamchukua mja wake huyu Ni huzuni kwetu maana Hawa ndy mashehe tunaowategemea ktk zama hizi tulizo nazo ngumu tumuombe Sana Allha atupe mwisho mwema na sie tulio Bali amiin🤲😭
اللهم اغفر له وارحمه، وعافه ،واعف عنه ،وأكرم نُزُله ، ووسع مُدخلهُ ، واغسله بالماء والثلج والبرد ، ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله وزوجاً خيراً من زوجه، وأدخله الجنة ،وأعذه من عذاب القبر
Innalilah waina illah rajiun Allah Subhana wata Allah akusamehe dhambi zako za dhahir na za siri akuekee nuru katika maKazi yako akuepushe na adhabu za kabri .. Jennah iwe pepo yako safiri salama na na malaika wawe pokezi lako katika makaz yako... Amin
Bab deo mungu akulipe kwa jitihada zako maana najihisi km vile nipo ktk mcba mungu ampe kauli thabiti shk wetu kilemile ameen
Inna lillah wainna illah rajiun
Allah tunakuomba kwaqadar zako umrehemu ndugu yetu naawemiongoni mwawajawako wapeponi kwaqadar zako amin
Allah Akupe Kauli Thabit Katika safari yako kubwa hii ya maisha mapya MWANACHUONI WETU MKUBWA SHEIKH SULEIMAN AMRAN KILEMILE.
Àaaaaamin
Aamiin thumma aamiin 😢
Innalilahi wainilahi rajiun..Mungu amueke mahali pema peponi yarab
Innalillah wainna ilayh rajiun😭 Allah ampe pepo, Kazikwa na ummat muhammad subhanallah😭😭😭😭
Innallih wainailah rajiun 😭 Mwenyez Mungu amrehem ampe kauli thabit ampe kitab kwa mkono wakulia ampunguzie adhab ya kaburi na akugeuze upande wa pili ameeen
Amin
Allah amuepushe na adhabu za kabur😭😭😭
AAMIIN YAA RABB
Huu mwaka unaondoka watu muhimu Sana Allah tubless wote tuwe na kauli thabiti
Kimsingi ni kweli ila watu wote ni muhimu!!
Kweli zanzibar shekh hasan husseni nyundo shekh ali kombo 😭😭😭😭
Shehe wangu shabani qari
Kuna watu hawana muhimu wte wakuwepo duniani zaidi ya kumuasi Allah
@@aliyhassan9113 wasingekuwa na umuhimu basi Mungu asingeliwapa pumzi zake au asingeliwapa rizki zake!!!
MwenyezMungu Ampe Hatma Njema Shekhe Wetu Lahaula Wallakuwatta Pole Kwa Familia Yote Ndg Jamaa na Marafiki Wallah Baba Yang Kampoteza Mualimu/Ndugu/Rafiki yake Mkubwa na Wakaribu Almuhimu Duaa (TUTAKUKUMBUKA MILELE)
Innalilahi wainnaaa ilaihiraaajiuuuna mwenyezimungu akuweke pahalipema aaamiiin
innalillah wa innalillah rajiun inshallah mwez mngu atujalie nakauli ya ahshahadhu llailaha wa ashadhu ana Mohammadyarasulullah inshallah mwez mungu akulazeahali pema peponi kwa mawaidha mengi uliotupatia ya ushauri nawenye husia llaillah illallaha
Daaah!ameswaliwa jamn na watu wengi shekh wetu..Allah amkutanishe na Kipenzi chake kipenzi chetu Muhamad s.a.w DALILI NZURI SANA HII
msangi msangi Amiin Inshaallah
MOLA TWAKUOMBA UMSAMEHE SHEIKH LETU NA UMUWEKE MAHALA PEMA PEPONI KWA BARAKA YA MTUME S.A.W
Maulana eheeee maulana Allah umemridhia sheikh wetu Allah alhamdulila .subhaana llah subhana llah.😭😭😭
Innalillahi wainnailayhi rajiuun. Allah amrehem, ampe kauli thabit.
Sheikh Hemeid bin Jumaa bin Hemeid (Al Marhum)
Sheikh Kassim bin Jumaa (Al Marhum)
Sheikh Suleiman Gorogosi (Al Marhum)
Sheikh Suleiman Bin Amran Kilemile (Al Marhum)
Sheikh Muharram Juma Doga (Al Marhum)
Sheikh Twaha Suleiman Bane
Wanazuoni wakubwa wa kiislamu kuwahi kutokea katika nchi hii tuliwaidhika sana kupitia RTD na mawaaidha Yao miaka Ile 1980s-1990s Allah awape Pepo waliotangulia mbele ya Haki na waliohai Allah awape umri mrefu tuzidi kufaidika nao insha'Allah
innah llillahi wainna illahi rajiun Allah ampke na mikono miwili ya rabbi am futie madhambi yake
Yaa Allah mrehemu sheikh wetu,msamehe,mpe kauli thabit na mlipe malipo thabit....Sisi ni wa Allah na kwake tutarejeya..
Mungu amlaze pema na wote walotangulia amswameh na sisi atuswameh na ikiwadia wakti wetu atupe nusul hatima nasisi tuzikwe na umaa kma hunuu
@@cutenahla8957 aaamiyn.
innalillahi wainna ilayhi raajjiun allah amrehemu sheikh wetu amlaze mahali pema peponi aamiin
Hii ni miongoni mwa dalili za qiyama kuondoshwa kwa elimu wanawachuoni wetu ndo wanakwisha hivyo na elimu inapotea ivo m mungu amfanyie wepesi huko aendako
Allah amrehem Sheikh wetu huko uliko amiin
Mungu amlaze mahala pema pepon amkutanishe na kipenzi cha umma mtume wetu
ALLAH AKUPE PEPO YA FRIDAUC KAZI UMEIMALIZA MBELE WW NYUMA SIE SHEKHE WETU.INNALILAH WAINNAILAH RAJIUN
Innaa lilahi wainnaa ilayhi raajuuun.allah akulaze mahala pema pepon .elim inarud kwa jalali
Innalilah waina illah rajiun , yaallah mpokee mja wako kwa mkono wa kulia
Hawa Said Amiin Ya Rabbi
Allah mrehem shekhe wetu kipenzi Suleiman kilemile hakika yapaswa tuige Yale tuliyo kuwa tunayo ona kwake na mafundisho yake aliyo tupatia Yah ALLAH Yah Qareem Yah JABAR Yah kudus Yah radhak hakika Wewe ni mwingi wa rehma Hakika kwako tutarejea pindi utakapo tuitaji waja zako hakika Shekhe wetu maalim wetu Leo umemuitaji na kaitikia wito wako 😭😭 yarab mpe kauli iliyo Thabit mjawako Uyo ambae Leo ameitikia wito wako inshallah marehem Yah ALLAH
hakika kabisa muhim sana.
Innalilah wainaillah rajeun Allah amrehem Shegh wetu innshaaAllah na Allah atujaalie mwisho mwema
Allahumma ghfirlahaa warhamhaa waskanhaa fil jannah
Innalillah Wainnailayhi Raajiuun, Allah ampe kauli thabit Sheikh wetu na ampe daraja la juu kabisa ktk pepo yake inshaallah. 😔
🔷🔶ALLAH amrehemu Sheikh wetu sheikh Suleiman Kilemile🔶🔷
______________________________
Eeh!!Allah umeamua kuwachukuwa mashekh na wachungaji tunakuamba warehemu utujalie wangine wanye hekma kama hawa amiina!!!!
Inshaallah akaigie peponi😭😭😭+254
Inalilahi wainalilahi rajiuni mwenyezi mungu ailaze mahali pema Peponi ampe kauli sabiti na mwezi uu wa ramadhani
Allaahumma ameen 🔷 🔶
@@ibinhussein8561 .
Tuma amiin
Innalilah wahinna lilahi lajuuni 🕌🙏
Hakika bab deo miladu hii ni fahari yetu waislamu wote kwa ujumla dunia nzima
غفر الله له وأدخله فسيح جناته والله إن القلب ليحزن والعين لتذرف ولا نقول إلا ما يرضي الله..
اللهم يا ولي نعمتي وملاذي عند كربتي أسألك أن تجعل قبره روضة من رياض الجنة
MashaAllah kiukwel uma urifumuka s mchezo Allah akampe mapokez mema uko aendapo
Allah amrehemu inshaallah
Allahumma ghfir lahu war hamhu waaskin hu fil jannah.amin
Subhaanaa llah Allahu akbar yaraab mjalie pepo ya firdaus sheikh wetu.😭😭😭
mungu ampenuru Kabuki lake
Allah warehem marhum zetu waepushie na adhab ya kabri sote niwa Allah na kwake tutarejea
Allahu mathabbituka min qaul thabit ...amiiin
Allah ampe kauli thabit na amjaalie nuru ktk kabur lake tumeondokewa 😭 😭
اللهم اغفرله ورحمه وسكنه في الجنة
امين
Inna lllilah rajiun Allah akupe kaul thabit
Innalillah wainnailayhi raajiuun
Allah ampe kauli thaabit Al habibi kilemile na Sisi atupe kauli thaabit mwisho wa siku
Innalillah lillah wainna ilaihi rajing'un 🕌🕌🕌
AMA KWA HAKIKA KWAKE TUTAREJEA 🙏🙏🙏😭😭😭
Kbx wallah kila nafs itaonj maut
Unamwambia mungu asimwadhibu!!! tunamuomba mungu asimwadhibu nafikiri itakuwa sahihi zaidi!!!
Dalili za kiyama ndg zangu, watu wema wanaondoka, yarabb tujalie mwisho mwema
Innalilah waiinnailah rajiun
M.mungu atupe mwisho mwema na cc yaarab na atupe msamaha wake kbl ya kurudi kwake yaalwah 🤲
Innahlilahi wainnahilayhi rajiun, mungu amsamehe uko kbrn aliko napia amuepushe na adhabu za kaburi pmj na zakiama, EWE MWENYEZIMUNG TUSAMESHE NA UTUONGOZE KATIKA NJIA ILIYONYOOKA PIA UTUINGIZE SOTE WAISILAMU KATIKA PEPO YAKO🙏
Allahuma Fiilahu Warhamhu Waaskunu Filjanna
الهم غفرله ورحمه وعفونه وأكرم نزله وودخل مدخله ونقه من خطاياه كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس. الهم بدله دار خير من داره واهلا خيرا من اهله.
innalillah wa inna ilayh raajiuun
Mbele yake nyuma yetu.mungu amrehemu shekhe wetu 😭😭😭
inna lilahi wanna ilaihi rajiuuna allah mrehemu shekhe wetu, muondoshee adhabu ya kaburi muandalie makazi mema inshallah 🙏😭
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 ALLAH AKUPOKEE SALAMA AMIN
Innalilah wainailayhirajiun Allah ampe kauli thabit amiin
اللهم ثبته بلقول الثابت
Inna lillah wainna ilyhi rwajiuun huu ni mwaka ambao Allah anatupima kwa mitihn mwaka huu tumeondokewa na viongoz wa dini viongoz wa serekal na sisi mungu atupe mwisho mwema.
Innalilaah wainnaillaah rajiun Allah ampe kauli thabit ishaallah
Allah akulaze mahali Pema Insha Allah😭😭
Wewe sijui unaijiita banabi naona umecoment hapa unasema kuna wanauzikwa na watu kumi na kuna wanauzikwa na watu wengi nyamaza hapo hapo funga mdomo wako tafadhal usitutie machungu zaid tafadhal san huy Sheikh wetu haiwezekan na haitowezakana kuzikwa na watu kumi hata iwej watu tumeshikamana san kama lolote litokee lakin kwa mtu mzito kama huy haiwezekan abadan abadan Mkuu wako wa mkoa katulia wewe nan?...tena tulia kama maji ya mtungin tuwache na msiba wetu tafadhal san.....unawaona hapo Masheikh wakubwa wamejitoa pamoja na umma wa Kiislam bila kujal kuna nin sote kwake tutarejea atuna hofu wala shaka na hili ....machoz yananitoka hv sasa kwa hali hii nnayoiona umma ulivyojitokeza ..
Naombeni kujua jaman huyu ndio mwenye anafasiri quraan kiswahili? Tafadhali nijuze
Tena atuache actubadilishe mawazo 😌na atuogope km Corona
Mungu amuweke mahali pema peponi amin
Mbele yake nyuma yetu sote ni wa Allah nakwake tutarejea Allah amuhifadhi pema Ammin nasi atupe mwisho mwema Ammin
Yaa Allah mlipe shekhe wetu kwa mafundisho alotuachia Yaa Allah nakuomba unijaalie mwisho mwema
Innalillah Wainna ilayh Rajiuun Mwenyez Mungu mjaalie mja wako huyo pepo yako ya juu
Inna lillah wa inna ilaihi rajiun
Dah nimefurahi kumuona sheikh wangu wa Riyadh kwa Mnyimaki Alhabibu Said Mohamedi Saidi Mnyimaki
Allah amrehemu na amjaalie pepo yenye darja pia atujaalie mwisho ulio mwema
Amiin, Amiin
Allah atamlipa shaikh kw alio yatanguliza ila ndugu kweny msiba mmezidisha uzushi tuzke kw mafundisho sahihi
Mwenyezi Mungu amjaalie kila lakher katika safari take hiyo mzito
Allah S .W.T ampe kauli thabit na ampe pepo ya daraja la juu kabxa !!! Amiin thumaa amiiin😭😭😭
Innaalillah wainnailayhi raajiuun.
Allah Akulaze Mahala Panapo Sitahiki
So sad 😭😭inallilah wahina Lilah laajiun
Allah akakupe sauth tabit kathik safar yko shkhe we2 mbel yko nyuma ye2
Inna lillah wa inna ilayhi raji'uuun
Inna Lillahy Wainna Ilayhi Raajioun.... Sisi wote ni wa Allah na kwake hakika tutarejea
Nimeteleza
Mungu inshaallah atatupa zaidi yake+254
Inalillah wa inna illah rajiun
Inalilah wainnaillah rajunna Allah amlaze maala pema peponi ample kauli dhabiti
Innalillah wainailah rajiun , mungu amrehem shekh wetu
Inna Lilah wainah ilayhiy ranjiun! Allah atupe mwisho mwema
Inalilah wainailah lajuun ndugu zangu waislam Leo hii Allha kamchukua mja wake huyu Ni huzuni kwetu maana Hawa ndy mashehe tunaowategemea ktk zama hizi tulizo nazo ngumu tumuombe Sana Allha atupe mwisho mwema na sie tulio Bali amiin🤲😭
Inalilah waina ilah rajioun 😭😭😭😭
ALLAH amsameh dhambi zake in shaa Allah
Allah Akbar,,innalilahi waina ilahi rajiuun
Inalillah wainna ilayhi raajioon
Yaarab,, twakuomba umpe pepo ya juu ,,aamin
Innalillah wa innailayh rajiun
Innaa lillahi wa Innaa lillayhi raajiuun
Innaa lillayhi wa innaa ilayhi raajiuun
Innalillahi wainna ilayhi rajiun
Innalilah wainnailehi rajiuni ALLAH akuhifadhi mahala pema shekhe wetu dah ni pigo kubwa kwa waisilam tuko nyuma yako kheke wetu
Inna lilahi wainna ilaihi rajiunn
Ina lilah,waina lilah rajoun
Innalillah wainallilah rajiuon
innalilah wa innailah rajuul
Innalillahir Wainnaillahi rajiun Kipenzi cha Umma wa Kiislamu Sheikh Kilemile
Innalilayh wa innalilayh rajiuun
umati muhammad, sijui mimi nitazikwa vipi, yarrabi nipe mwisho mwema
Allah amfanyie wepesi ktk qabri yake
اللهم اغفر له وارحمه، وعافه ،واعف عنه ،وأكرم نُزُله ، ووسع مُدخلهُ ، واغسله بالماء والثلج والبرد ، ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله وزوجاً خيراً من زوجه، وأدخله الجنة ،وأعذه من عذاب القبر
Amiin
Aamiin