Mungu awajalie afya njema, busara, hekima na ujasiri viongozi wetu. Hakika ni maneno mazito toka kwa makamun wa raisi Dk Mpango, tutumie mitandao vizuri kwa kutakiana heri ni c kuzushiana mabaya yanayosababisha taharuki kwa ndugu, jamaa, marafiki na watu wenye mapenzi mema na viongozi wao.
Watashindwa mh piga kazi uongozi ni hekima ,uvumilivu na ustahimilivu pig up mama❤❤
Tunakula sababu ya kumshukuru .Mungu kwaajili ya makamu wetu tumemuona tena
Karibu baba, karibu sana. People have been saying a lot, keep moving on.
Mama flue inakusumbuwa MUNGU AKUPE AFYA NJEMA .
mungu amlinde mama yetu😊
Hapo wa Tanzania🇹🇿 BAADA ya kumuona Makam wetu DKT. Mpango Roho zetu zimepoa na kupona Sasa 😁 na Zina amani "KAZI NA IENDELEE"
Mungu ni mwema... Hongera sana mama jopo lako la viongozi. Mungu akuongoze daima.
❤❤❤❤❤ nimefurahi sana kukuona makamo mungu akupe ngufu baba tulikuwa hatukusikii tukawakizani
Uyo mama jenista ana sifa ya uongozi haaaa marais wote walio pita ajawai tolewa kiti chake jenista jenista hongela mama
Sasa Usiri Wa Nini, Kwani Alienda Kimya Kimya Na Kurudi Kimya Kimya.
Mungu ni mwema sana Kwa Taifa hili ila Kuna wanasiasa wachache haswa Hawa watoa taarifa hawautakii mema.
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Mungu aitunze tanzania na amani iendelee
Mungu awajalie afya njema, busara, hekima na ujasiri viongozi wetu. Hakika ni maneno mazito toka kwa makamun wa raisi Dk Mpango, tutumie mitandao vizuri kwa kutakiana heri ni c kuzushiana mabaya yanayosababisha taharuki kwa ndugu, jamaa, marafiki na watu wenye mapenzi mema na viongozi wao.
Mama pole flue ya kawaida Mungu akuponye mama yetu
Piga kazi,
Mipasho Sasa kwani Kuna ubaya kuhoji makamu wetu
Ehhhh mungu ni mwema tunakuona tena mpango make tuliambiwa umekufa watakufa wao wewe utaishi maisha marefu baba
Asante mungu tumemwona mpango waziri mkuu, jenista, mama mwenyewe nawapenda
Mama yetu hongera kwa busara yako. Hakika umeonyesha hekima iliyoko kwenye kukaa kimya. Mh. Makamu wa Rais, karibu kama mama alivyosema.