"NGOJA WAKAANDIKE TENA SAMIA AKOHOA, MPANGO KARIBU NYUMBANI" RAIS SAMIA AWAVUNJA MBAVU UKUMBINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 12. 2023

Komentáře • 123

  • @mwijagenelsoni357

    Watashindwa mh piga kazi uongozi ni hekima ,uvumilivu na ustahimilivu pig up mama❤❤

  • @IzraelyHerman

    Tunakula sababu ya kumshukuru .Mungu kwaajili ya makamu wetu tumemuona tena

  • @kabeyamediatz

    Karibu baba, karibu sana. People have been saying a lot, keep moving on.

  • @Mumewangu

    Mama flue inakusumbuwa MUNGU AKUPE AFYA NJEMA .

  • @user-zw9gu3hi8t

    mungu amlinde mama yetu😊

  • @alexmavindi2104

    Hapo wa Tanzania🇹🇿 BAADA ya kumuona Makam wetu DKT. Mpango Roho zetu zimepoa na kupona Sasa 😁 na Zina amani "KAZI NA IENDELEE"

  • @alloycejames5285

    Mungu ni mwema... Hongera sana mama jopo lako la viongozi. Mungu akuongoze daima.

  • @khadijamhapa3056

    ❤❤❤❤❤ nimefurahi sana kukuona makamo mungu akupe ngufu baba tulikuwa hatukusikii tukawakizani

  • @rashdiyange7758

    Uyo mama jenista ana sifa ya uongozi haaaa marais wote walio pita ajawai tolewa kiti chake jenista jenista hongela mama

  • @epafraditopajenga4650

    Sasa Usiri Wa Nini, Kwani Alienda Kimya Kimya Na Kurudi Kimya Kimya.

  • @victorcephas3618

    Mungu ni mwema sana Kwa Taifa hili ila Kuna wanasiasa wachache haswa Hawa watoa taarifa hawautakii mema.

  • @user-jh6pd1jh5j

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @bakarimakame4694

    Mungu aitunze tanzania na amani iendelee

  • @zachariamalley7076

    Mungu awajalie afya njema, busara, hekima na ujasiri viongozi wetu. Hakika ni maneno mazito toka kwa makamun wa raisi Dk Mpango, tutumie mitandao vizuri kwa kutakiana heri ni c kuzushiana mabaya yanayosababisha taharuki kwa ndugu, jamaa, marafiki na watu wenye mapenzi mema na viongozi wao.

  • @rachellaiza7779

    Mama pole flue ya kawaida Mungu akuponye mama yetu

  • @khalifamutabuzi6583

    Piga kazi,

  • @user-mw7xl2zc8f

    Mipasho Sasa kwani Kuna ubaya kuhoji makamu wetu

  • @fatmamayunga6250

    Ehhhh mungu ni mwema tunakuona tena mpango make tuliambiwa umekufa watakufa wao wewe utaishi maisha marefu baba

  • @gladistaemanueliy6336

    Asante mungu tumemwona mpango waziri mkuu, jenista, mama mwenyewe nawapenda

  • @geraldmariki1098

    Mama yetu hongera kwa busara yako. Hakika umeonyesha hekima iliyoko kwenye kukaa kimya. Mh. Makamu wa Rais, karibu kama mama alivyosema.