She is beautiful but she has to fix her smile jamani (crooked teeth) ...she needs braces; it's not too late (it will be fast to fix if she'll remove some pre-molars to create space...definitely you have money girl; fix that, it will increase your beauty and confidence. Ambao hamtanielewa na kupiga kelele; sitawashangaa...exposure is important...but that first daughter (binti wa raisi) has exposure...kajisahau tu. Fanya hivyo mpenzi...you will be happier.
Kwani kamzaa ikulu? Si wamesota pamoja wote wameajiriwa miaka na miaka,wanu mkubwa kuliko umri wa mamake ndani ya siasa,mama tangu aanza siasa ngazi za mitaani wanu tayari kikubwa,tuache roho mbaya
Ukitoka familia ambayo kuijua njaa ni wakati tu wa mfungo ama kwarezima au Ramadhani, ni mtihani mkubwa kujua mwananchi akisema ana hali ngumu ya maisha ana maanisha nini?!!!!!!!
SIYO sasa hivi tuu...nyiye miaka mingi hamjulikani mnaishi tuu . Usiseme sasa hivi tuu utakuwa unabagua hapo.. haya mambo yako ZAMAAANIIII sasa yanaendelea...
Lucy sasa walokuwa wakiiba wanyama na dhahabu na almasi zote hizo mali za UMA tokea miaka hiyo hukuwaona??? Umekuja kumuona Rais Samia....Ahhhh mbona unazidisha mambo...
Jambo zuri sana kuwafikiria wanawake visiwani na wengine katika srhemu zote za nchi watajifunza kutoka kwenu💪💪💪 Nimeona huo upungufu na mwanamke kujisahau maisha yake ya kesho yatakuwaje. Kwa mfumo huu mzuri utawawezesha wanawake kwa pamoja kusimama na kuijenga jamii na sio kusubiria kitu kipelekea unyanyasaji Afrika.
Wananchi ni maskini sana sema 80% kwasababu Serekali haina uwezo wa kuwapa Wananchi wake makazi ili kila mwezi MWANANCHI ajuwe nini anapata na anafanya kwenye maisha yake. Kuna watu washafika miaka 80 bado wanafanya kazi..na vijana wamekaa bila ya kazi...na wamesoma vizuri.
Of course kwasabu nafasi za kazi zikitoka wanapeana wenyewe mjomba, shangazi, Dada, kaka. Je? Wasio ndugu wapate wapi kazi? Tena mbaya zaidi wengine wanapewa kazi hawana hata ujuzi nazo kwasabu hawakusomea hiyo trauma. Ndo mana magufuli alikua anawatimua wengi tu humo maoficen. Just feel sorry for my people. Niliaza kutamani kurudi watakati wa magufuli but now hell No.
@@salumsheikh5349 Weee mimi sihitajii kitu kwenye SEREKALI wala lawama kwa Serekali unayo isema haa haa😂😂😂🤣 Wananchi wengi ni maskini UNGUJA NA PEMBA hao ndio Serekali IWAFIKIRIYE kwa makazi ili waendeshe maisha baada ya kuomba omba majiani...
Tz raha bwa akitoka baba hupewa mtoto akitoka mama hupewa mwana aaa! hii nchi tamu ajabu vizuri lakini mnyonge abakie mnyonge na royal family ibakie ivo ivo but kwa Allah hakutokua na iyo "inna akramakum inda LLAh atkakum"
Wake,watoto wa Marais ndio miradi yao hiyo badaye hela za Serikali zinakuwa zinahamishwa kupeleka huko. Salama Kikwete,Anna Mkapa,Mke wa Mwinyi wote hao walitengeneza foundation lengo kuu ni kuchota fedha za Serikali-sasa ni zamu ya Mtoto wa SAMIA
Mashallah, 🇷🇼🇧🇮🇰🇪🇺🇬 wanyarwanda , warundi Kenya na Uganda twasema hongera sana kwenu🇹🇿🇹🇿 tzd Africa mashariki twajivunia kuwa nanyi ndugu wa tzd
Hello. You have a first name of my grandy and my actual sir name. This amused me
Mm nipo hapa sisikilizi kinachozungumzwa mana sielewi Ila nimekuja hapa sababu ya kichwa cha habar Tu 🤣🤣🤣, Ila comments zinamakasiliko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄ww ni mm kabisa
Pia mm cielew
😂😂😂 jamn
Maashaallah hongera my dada Allah humpa ampendae namwenyekuwa nacho ndie mwenykuongezewa inshaAllah mwenyezimungu atakupa zaidi unaweza DADA
Hongera sana Binti Mungu akulinde na kukubariki
Like mama like daughter
She is beautiful but she has to fix her smile jamani (crooked teeth) ...she needs braces; it's not too late (it will be fast to fix if she'll remove some pre-molars to create space...definitely you have money girl; fix that, it will increase your beauty and confidence.
Ambao hamtanielewa na kupiga kelele; sitawashangaa...exposure is important...but that first daughter (binti wa raisi) has exposure...kajisahau tu.
Fanya hivyo mpenzi...you will be happier.
Powerful
💪💪💪Speech.
Kwani kamzaa ikulu? Si wamesota pamoja wote wameajiriwa miaka na miaka,wanu mkubwa kuliko umri wa mamake ndani ya siasa,mama tangu aanza siasa ngazi za mitaani wanu tayari kikubwa,tuache roho mbaya
Asantee sana waambie wajinga
Ni kweli
Nu Salim umeongea point ya maana sana 🙏
Nu salim, waelimishe, waache jelas
Huu ndio ukweli,wa tz tuna roho za kwanini,mtu wakati anapambana ,anaonekana mshamba,akiwin,wwnapeana.!
Hongera ni nzuri sana
MashaAllah
Alhamdulillah a step ahead
Congratulations rais
Mashallah anapendeza from 🇰🇪
Kabisa aki .
Icho kigoma cha wamakunduchi apo mwisho dj kanikosha na sijui km si cool para
Mtu mzima kabisa hongera mama samia
Ukitoka familia ambayo kuijua njaa ni wakati tu wa mfungo ama kwarezima au Ramadhani, ni mtihani mkubwa kujua mwananchi akisema ana hali ngumu ya maisha ana maanisha nini?!!!!!!!
Upo sahii
True
Ndio maana mungu akaleta mwenzi wa ramadhani ili matajili wote wafahami
Hongera sana mdogo wangu chapa kaziiiiiiiiiiiiii💯
❤ Excellent !!
Napenda wana siasa ambavyo kuwa wanawapa nafasi watoto wao na kuwainua.
Sawa mungu akubariki Sana
Safi sana ustadhat
Daaa kwahyo amekaa hapo jiran na Raisi
Mashaallah!!!
Mtoto wa Mama....
Sijui jimbo lina mwenyewe au washawahi wengine?
Super woman 🥰🥰🥰
Mapacha 💃
Good job Wanu, wewe ni mfano, uliyofanya ni makubwa na mema.
Kizazi Cha Matajili hongereni kwa kusomeshana jamani.
Wivu huo
@@bukheytmohammad2831 Wivu au ukwel
@@mwajumamohammed4975 kusoma sio utajiri.
Wasomi ni wengiiii mbona sema 🤣🤣🤣
Na wewe ungekuwa na nafasi halafu usisomeshe watoto wako tungekucheka kwamba moto umezaa jivu. Jema ni lipi? Acheni hizo.
Mashallah 🥰🥰
Anatembea kama mama yake
Ushasema kama Mama yake...
Eee kweli kama mama yake aisee
Du! Natamani sana watoto wa marehemu wakulima nao wakakumbukwa na elimu zao hawana pakutokea
Mungu atusaidie sana. Amen 🙏.
Mamaa mama uyoo mamaa mama uyooo nani km mamaaaa🤣🤣
Wamefanana kweli kweli
Mashallah wowo lipo wanuu
"TuMsifu Yesu Kristo!" umesahau kuisema. Rais JPM alikuwa anasema zote bila ubaguzi
Poleee
ili iweje
Wacha tu. Lakini kila kitu kina mwisho
@@rajabsalim6849 ili iwe inavyotakiwa kuwa..
Yawezekana wote ni waislam
huy mwili kamzidi mamayake punguza tako wew
🤣🤣🤣kumbe na ww umeona kama mm
@@blackcolour8183 my tozo hiyo imemkubali😂😂
Wivu tu mbwa wewe
@@tousihhhh6765 Nyie ahahahhah
@@tousihhhh6765 😂😂😂
Hongera Sana my
Maashaallah
Were hujui tabula
👏👏
Maasha_Allah
Wooow mwanamke anawezaaa
Kuleni riba Tu huku wanyonge wanalala na njaa
Umependeza
Masha all
Sauti kubwa kama mama yake
🤣🤣🤣🤣
Hii inchi inakula yeye kw yenyew masikin khaa hatujulikan😂😂😂
SIYO sasa hivi tuu...nyiye miaka mingi hamjulikani mnaishi tuu . Usiseme sasa hivi tuu utakuwa unabagua hapo.. haya mambo yako ZAMAAANIIII sasa yanaendelea...
@@awatifalghanim1106 sas yamezid san khaa
Lucy sasa walokuwa wakiiba wanyama na dhahabu na almasi zote hizo mali za UMA tokea miaka hiyo hukuwaona??? Umekuja kumuona Rais Samia....Ahhhh mbona unazidisha mambo...
So mana wewe pia
@@awatifalghanim1106 anakulipa sh ngapi mwenzetu naona povu linakutoka
Jambo zuri sana kuwafikiria wanawake visiwani na wengine katika srhemu zote za nchi watajifunza kutoka kwenu💪💪💪 Nimeona huo upungufu na mwanamke kujisahau maisha yake ya kesho yatakuwaje. Kwa mfumo huu mzuri utawawezesha wanawake kwa pamoja kusimama na kuijenga jamii na sio kusubiria kitu kipelekea unyanyasaji Afrika.
.
❤
Hogera sana dada angu Kwa kazi njema
🤔
mashallah toto la nguvu yan nko tayari kumuoa ❤ mashalllaah mwanamk umejaaliwa
Yaani cha kwanza ulichokiona ni kukimbilia kuoa mmmmh
😳😳
😊😀😀😀😀😀nimecheka wallah
Kashaolewa tena na Waziri... Mbunge wa Rufiji Mh. Mchengerwa
Foundation za kuchotea pesa zimeanza
Super
Waooooo❤️❤️
so salam cku hizi ziko mbili tu cyo haya bwn!
Zanzibar hakuna salam ya bwana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣daaah nimecheka Sana aisee
Wananchi ni maskini sana sema 80% kwasababu Serekali haina uwezo wa kuwapa Wananchi wake makazi ili kila mwezi MWANANCHI ajuwe nini anapata na anafanya kwenye maisha yake. Kuna watu washafika miaka 80 bado wanafanya kazi..na vijana wamekaa bila ya kazi...na wamesoma vizuri.
Of course kwasabu nafasi za kazi zikitoka wanapeana wenyewe mjomba, shangazi, Dada, kaka. Je? Wasio ndugu wapate wapi kazi? Tena mbaya zaidi wengine wanapewa kazi hawana hata ujuzi nazo kwasabu hawakusomea hiyo trauma.
Ndo mana magufuli alikua anawatimua wengi tu humo maoficen.
Just feel sorry for my people. Niliaza kutamani kurudi watakati wa magufuli but now hell No.
Serikali ikupe nini wewe , tafuta hela wacha lawama
@@salumsheikh5349 Weee mimi sihitajii kitu kwenye SEREKALI wala lawama kwa Serekali unayo isema haa haa😂😂😂🤣 Wananchi wengi ni maskini UNGUJA NA PEMBA hao ndio Serekali IWAFIKIRIYE kwa makazi ili waendeshe maisha baada ya kuomba omba majiani...
@@awatifalghanim1106 na kwani serikali inafanyaje! Hiyo taasisi ilofunguliwa imefunguliwa kwa lengo gani ?
@@ednaJF1028 Very sad....Mungu atakusaidia..Comment yako inaleta maana...siyo Comment ya kijinga..
Lkn mnaokoment vibaya mtakuwa tu na wivu
Ww ndo wafaa kumwita mama aswaaa...maana wengine twajipendekeza tu,,,kuleni niwati wenu
Usijali mamy na wewe wakati wako utafika tu
😁😁
😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Mashaallah
Daah Mtoto wa Mama♥️
Mashaallah tabarakallah
👏👏👏👏👏
CJAPENDA SALAMU YAKE ....CJACKIA AKITAJA SALAMU YETU YA BWANA YESU ASIFIWE .....
Kwakweli kwenye mkisanyiko din zote zipo
Yeye mwenyewe hazungumzia dini yake unataka azungumzie dini yako! Una kazi ww
Nsamehe bure
Tz raha bwa akitoka baba hupewa mtoto akitoka mama hupewa mwana aaa! hii nchi tamu ajabu vizuri lakini mnyonge abakie mnyonge na royal family ibakie ivo ivo but kwa Allah hakutokua na iyo "inna akramakum inda LLAh atkakum"
Mashallah mtoto wa mama ni mama.
Mamaako peke yako
@@ummu2101 HUNA ADABU NA MAMA WA WENZAKO HUJAFUNDISHWA WEWE.
@@salimmalaka256 samahan sijakutusi na ww pia huna adabu
@@ummu2101 NA NDIO MANA NIMEKUPA KAVU KAVU.
czcams.com/video/V5ALW4tokzM/video.html JOHO ANAKUBALI WALIUZA PORT..
Mh . Wanu hongera kpnz❤
Mashallah
Hongera
Mabruq mabruq (mama anaupiga mwingi )
Safi waachen wachache wapige hela tuliobaki tusubr tupewe vitenge na bombe tuipigie kura ccm tuendelee ss na vizazi vyetu kua masikini
Kwani yeye ndie Rais wa kwanza kufanya hiviiii???? Walopita wamefanya zaidi ya hayo. Basi subiri vitenge. RAIS SAMIA OYEEEEEE
,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KUMBE WEWE UNASUBIRI KAZI HUTAKI
Powerful lady
Khaaaaa mtt wake mdogo ake.....
Sio mkubwa huyu ana jimwili tu
Nimeipendasana iyo
Naona mambo yakiendelea hivi Tanzania itakua kama Kenya ambapo viongozi huleta watu wao kwa serikali yaani kurithishana uongozi
ni bora kenya wanarithishana madaraka lakini wanajali wananchi wao ndo maana kenya inaendelea
ndo maana yake hata mm ukinipa urais kwanza nawaweka ndugu zangu wote nafasi za juu ili wasiniombe
Uganda mfano mzur zaidi
@@sudaissaid8428 😄 🤣 😂
Na hii sio mfumo wa kiserekal ni wa binafsi raisi ni mualikwa tu
mashallah ❤❤❤
Yameshaanza tena mashirika ya kuchota pesa za wananchi
Ni huzuni 😭
🤣😂
Wale washua wa chato waliongeaga siku za msiba TU
Mzee alikuwa kauzu SANA😁
🤣🤣
Mama anaupiga mwingi mitano Tena😂😂😂
Ccm kitanda awawatoto wamamasamia wakishaga patamtonyo✊😆🙏⛸️🙏ata ukiwaagiza kiberiti dukani wanataka wakukunjie ngumi🍥🧧👓
Supper girl Bravo Bravo. Big up and Kongole mwanetu.
Watu hamkosi la kuongea binadamu tunamambo
Masha Allah
Mtoto wa mama
Dada jiamini kama mama samia akisimama hatetereki Mashallah
Matajiri hawaiyoni hali ilivokuwa ngumu
Mbona mtoto mzuri kuliko mama
🤣
Akizeeka atakuwa kma mama yke sbb wamefanana sana
Ww Samia pisi Kali umri tu
Hata sisi ni wadau wa elimu mje kuchukua counter book 50
Daaaaa sisi watoto wachini tulio sota kusoma ukipata nafasi kama hiiii niiite mmbwa apo kila mtu anakula alicho panda
Nyie someshanen tu mnapesa zenu
Scheme maneno mlitakaje na yy anaishi jinsi alivyo na anatenda kama apendavyo
alaaa
Bonge la mama😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@mimahally8025 kajazia mashaallah 😃
Wanakula nchi
Nzuri sana
Anaandaliwa ajekuwa waziri huyo au raisi wa Zanzibar
Ningejua Ningesoma na mimi.
Inshallah kher
Uko na mtu nauliza Kwa niaba ya jamii yangu na marafiki
Huyu ndio mtoto wa rais ama dadake😂😂😂😂
🤣🤣
Hahaha
Raisi mtarajiwa
Kumbe mama Ana mtoto mashallah hiv na hamsemi...
Mke wa waziri huyo😊
Safi Sana wengi limetugusa
Wake,watoto wa Marais ndio miradi yao hiyo badaye hela za Serikali zinakuwa zinahamishwa kupeleka huko.
Salama Kikwete,Anna Mkapa,Mke wa Mwinyi wote hao walitengeneza foundation lengo kuu ni kuchota fedha za Serikali-sasa ni zamu ya Mtoto wa SAMIA