MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 04. 2023
  • MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 131

  • @mathalanally8367
    @mathalanally8367 Před rokem +13

    Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin

  • @rasheedmbaraka7556
    @rasheedmbaraka7556 Před rokem +14

    Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya Před rokem +11

    Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo

  • @yavuz5887
    @yavuz5887 Před rokem +5

    MashaAllah very nice program thank you 🎉❤

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 Před rokem +6

    Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před rokem +16

    Sauti kama Mama 💞

    • @Boaz22
      @Boaz22 Před rokem

      Yaani kabisa 💯

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 měsíci

    Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤

  • @SophiaMinja-no8dt
    @SophiaMinja-no8dt Před rokem +4

    hongera umeongea vizuri sana

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 Před rokem +3

    Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.

  • @user-pp4rc7zc2d
    @user-pp4rc7zc2d Před 5 měsíci

    Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤

  • @imranyusuf5505
    @imranyusuf5505 Před rokem +8

    Like mother like daughter mashallah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před rokem +8

    Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲

  • @HumoudMahmoud-dq3ff
    @HumoudMahmoud-dq3ff Před rokem +5

    ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi

  • @SeleFundi-ym1bv
    @SeleFundi-ym1bv Před 8 měsíci

    Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia

  • @SindiFRegis
    @SindiFRegis Před rokem +1

    Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 Před rokem +4

    Safi sana sauti kama ya mama jamani

  • @HamIslamicFoundation
    @HamIslamicFoundation Před rokem +5

    Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu

  • @Swahili14
    @Swahili14 Před rokem +7

    WOW she's so well spoken ❣️😇

  • @magretsamba5002
    @magretsamba5002 Před rokem +7

    Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa

  • @muna1744
    @muna1744 Před rokem +4

    Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 11 měsíci

    Bismillah masha'allah 🥰❤️

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 Před rokem +1

    Hongera unafanana na baba yako sana

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Před rokem +3

    🙏🙏🙏

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 Před rokem +22

    Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem +5

      Sana hana shida ALLAH amuhifadhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +5

      Exactly! Hana mashauzi,,,

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před rokem +1

      😂😂

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem +2

      @@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před rokem +1

      @@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my

  • @SalimMahdi-kx1dp
    @SalimMahdi-kx1dp Před 3 měsíci

    Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu

  • @amanimgoba4139
    @amanimgoba4139 Před rokem

    safii sana Umeongea vizuri

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc Před 6 měsíci

    Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee

  • @DottoMalago
    @DottoMalago Před 2 měsíci

    Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 Před rokem +5

    Kama Mama, Hongera.

    • @selinalawala2270
      @selinalawala2270 Před rokem +1

      Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.

  • @user-mo1ui4qm7x
    @user-mo1ui4qm7x Před 6 měsíci

    Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii

  • @sabrinarashid7990
    @sabrinarashid7990 Před rokem

    Mashalah wanu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +3

    😍😍❤️

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Před rokem

    Maashaallah maashaallah

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 Před rokem +3

    Yko vzr Saana

  • @kissakayuni767
    @kissakayuni767 Před rokem

    Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa

  • @user-bu3ph8mx2b
    @user-bu3ph8mx2b Před 9 měsíci

    Hongera yake

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 Před rokem +1

    Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci

    Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?

  • @domimassawe7611
    @domimassawe7611 Před rokem +4

    Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Před rokem +6

    Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem +2

      🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka

    • @stevennenelwa3192
      @stevennenelwa3192 Před rokem +1

      @@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      ​@@Awatee 😂😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem +1

      @@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi

    • @Awatee
      @Awatee Před rokem

      @@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃

  • @cinterproductscinterproduc8606

    Love her

  • @SHABANIMGOMI
    @SHABANIMGOMI Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤

  • @alhammwijuma2421
    @alhammwijuma2421 Před rokem

    Good spoken that's very nice

  • @alfredibrahim7085
    @alfredibrahim7085 Před rokem +4

    Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa

  • @jerrytone6919
    @jerrytone6919 Před rokem +2

    Daaa pis kaliiiiii

  • @aminashaaban5846
    @aminashaaban5846 Před rokem

    Maashallah dada wanu

  • @aminayussuf7215
    @aminayussuf7215 Před rokem

    Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 Před rokem +1

    HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Před rokem

      Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu.
      Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +5

    Vipi yuko single?

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Před 11 měsíci

    Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 10 měsíci

    Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 3 měsíci

    Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya

  • @EMMA-oe9yt
    @EMMA-oe9yt Před rokem +5

    Yupo single wajuba me nimemwelewa

  • @KhubeybJandaal-uz4oo
    @KhubeybJandaal-uz4oo Před rokem +3

    Malezi gani wote watovu wa adabu😂

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před rokem +1

    Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu

  • @user-lt6ti6lu6l
    @user-lt6ti6lu6l Před rokem

    Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?

    • @khadijamwenda1851
      @khadijamwenda1851 Před rokem

      Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa

    • @user-lt6ti6lu6l
      @user-lt6ti6lu6l Před rokem

      @@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama

    • @epifaniamzumbwe5159
      @epifaniamzumbwe5159 Před rokem

      Cheee😂😂😂😂😂

    • @user-lt6ti6lu6l
      @user-lt6ti6lu6l Před rokem

      @@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?

  • @abdillahamour234
    @abdillahamour234 Před rokem +8

    Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc Před rokem +3

      Unakoment ujinga huna kaz za kufanya

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před rokem +2

      @@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před rokem +1

      Mhhhh

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 Před rokem +3

      ​@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před rokem +1

      Umeongea utopolo
      I'm not fat but that's body shaming
      Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀

  • @user-fe1oh4ie2i
    @user-fe1oh4ie2i Před 8 měsíci

    Video

  • @abdulwahababdulkadir9965

    Hao ni ccm

  • @HonesterMgombele-ln9wl

    The same voice to your mother

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před rokem +1

    Hakuns jipya apo

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Před rokem

    Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori

  • @glorytolord-vv6in
    @glorytolord-vv6in Před 9 měsíci

    EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy Před 6 měsíci

      Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy Před 6 měsíci

      Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣

    • @ausonjustinian4673
      @ausonjustinian4673 Před 5 měsíci

      Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před rokem

    Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Před rokem

      Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah
      Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂

    • @salyali7807
      @salyali7807 Před rokem

      @@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"