Siri ya kifimbo cha mwalimu Nyerere yawekwa wazi na aliyempatia
Vložit
- čas přidán 13. 10. 2018
- Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere ameacha alama nyingi zinazodumu, moja wapo ikiwa ni kifimbo ambacho mara kwa mara alikuwa akitembea nacho kiasi cha kumpa umaarufu na kikaitwa kifimbo cha Mwalimu.
Inawezekana mwalimu alikuwa na vi-fimbo vingi alivyokuwa akitumia lakini msanii maarufu wa uchongaji vinyago na uchoraji mzee Omary Mwariko mkazi wa mjini Moshi amesema alimpatia mwalimu kifimbo hicho mwaka 1967 alipotembelea mjini Moshi.
Da kumbe .ni mdingi Hongera Sana
Kuna ripoti inaonyesha pia mwl alipewa kifimbo cha utawala na mtoto wa Chief Mazengo wa wagogo km zawadi ikiwa ni wosia alioacha kuwa akifa Nyerere apewe hiyo fimbo, ingemsaidia ktk kutawala. Mtoto wa Chief aliwahi kukiri hilo na kuna mwandishi mzungu aliwahi kueleza hilo kwa kina. Mazengo alikuwa km baba kwa Nyerere. Unaweza ku Google hii habari " The forgotten Chief who was like a father to Nyerere"
Safi sn babu
Sio Kweli kuwa Nyerere alianza Kubeba Fimbo wakati wa 1967 Nyerere Alikuwa Akipenda Mkongoji.czcams.com/video/aF3CHxwhObE/video.html
Ni kweli 1967
siyo kiki
Mbna unakosea sna
Daaah safi sana ubunifu huwa ni kitu kizuri sana!!! OK ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii Bofya kapicha kushoto
Af mtangazaj mbn kuongea vzr huwez
Kumbe ni mchaga mwenzetu chaga tupo juu
Acha kughata maneno ya kiswahili na kuweka ktk kingereza..... Ndio maana unakosea kuongea
Iyo fimbo naham kubwa sana ya kuijua iyo fimbo na maajabu yake 2nayoyasikia sikia2
Diamond Platnumz watu wazushi sana ,Mimi najua fimbo hiyo alipewa na mganga mmoja wa Tanga korongwe marehemu kwa sasa maarufu kama Madondo
@@salummohdnyiga9760 ✊
Kwel simbaaa
Diamond Platnumz News ninayo njo nikuuzie
@@diamondplatnumznewsajm2053 kwaio unaitaka na wewe his fimbo
Naape mnauye