Munaanzaa kuletaa utoto sas watu wanawaeshi munanzaa kuletaa utoto kwani washaaga msemaa manga diamondplatnumz ila bado hashukiii ju anajuwa anachokifaanya nakamura number moja East Africa kama sio lamadangote🦁
Kwenye upande wa content mshkajii kaongeaa point ila mtaona ni ujinga kwakuwa kaongea yy na sio mashabiki ila ni nzuri kama uchambuzi wa mwanahabari mwenyewe maybe wabongo tu tushazoea kusifia tu 💯💯💯☄🙌
Iyo ni strategic za Msanii we una mpa advice!!! Nyie mjue Simba ndie content....kwa mapungufu!! Yake!! Au Kufanikiwa kwake!! Kila corner Diamond!!! Iyo tosha!!!amawavuruga....
Nilichelewa kusikiliza hii kitu lakini nina maswali... KOMASAVA ni international song inayolenga market ya nje je wabongo wanaisapoti kutokana na content within song au dancing style...? Halafu mbaya zaidi hii kitu mondi alishafanya nyuma huko katafuta mafanikio ya international mkasema mnamtaka Mondi wa mbagala na kamwambie...Ameamua kuchanganya napo mnasema abaki international waja hamueleweki.
You guys only talk about negative things instead growing ya own artist nd talking about the greatest thing that he have done for the country music industry talk about positive nd motivation he’s hard working man without him Tanzania music wouldn’t be how it’s today
Sijawahi kuingia CZcams nikaacha kuangalia video zenu. kwasababu mnaelimisha kwa asilmia kubwa nikiona taarifa kutoka kwenu ninaamini ni ya kweli.sasa mumeanza kulewa sifa mnahamia kwenye ujinga
Hata hii tena ndo imekaa sawa zaidi coz hata wao wanafuatilia vzur mziki wa bongo pamoja na wa nje ya TZ hata marekani media kubwa tu kuna watangazaj kbao wanafanya hz hata akina paul rosenberge Ebro Laura styles wanajadili mambo kama haya vzur tu
Uyo creez yeye ni nani mpaka mtuletee hapa eti creez amchambua mabaya 3 ya diamond WHAT'S SHAME DAMN MMEKUA KAMA MAJINGA TUTAJUAJE KAMA HUJAMPANGA MMEANZA KUA KAMA GENGE LA UMBEYA
Swali kwako wewe ulivyo zaliwa wazazi wako hawakukuisisha chochote toka tumboni kutambaa kutembea shule...maisha yako sijui kama huwa unapanganga hau kuwaushisha wazazi wako usipende kusimulia ya mwenzie ..anathamini family na anavyofanya ni jinsi anathamini family yake wewe mwongelee..madrama yake au chochote..huo ni ushauri..samahani kama notakua nimekukusoea..
Mm nnajambo mambo kwa diamond mm sion umuim tena wa kuwaongerea kina harmo sio watu wa level yake tena ni kama mavi ushakunya ayana umuim tena achane nao ata asiwataje tena popote wala kuwapost
Hapo kwenye Kiki kweli kabisa hastahili kwa Level yake lakini pia Mlichosahau ni Diamond Kudate na Zuchu kwakweli Anajishushia Heshima. Mtu hata shape hamna, tako hamna na Akili ndio hamna kabisa.
Was this a real estate advertisement? Or just gossip ? It’s a weird segment, I think it would fit new characters and not the two. I mean the two guys do well with serious topics, the gossip segment is good but maybe i don’t like it from this two.
Ushauri wa Bure kwa kizazi cha sasa toa maoni yako ikifika kwenye familia tuwr makini miezi 9 kwenda shule mmmm ongea ya binafsi ya Diomond...natumaini unafamilia pia..hakuna mtu anaweza kukupa ushauri halidi kuhusu familia yayoko
Kwahyo mnataka ajiweke kando na familia yake aliyohangaika nayo kitambo? Komasava ishaenda na ishapokelewa hakukua na ubaya kuachia ngoma nyingne. Na kiki anazofanya ndo znafanya na nyie mfatiliwe na kuangaliwa
DIAMOND PLATNUMZ JUST DID A GREAT SHOW IN DUBAI BUT YOU GUYS AIN'T EVEN TALKING ABOUT IT... TANZANIANS YOU GUYS ARE SOMETHING ELSE... HATRED!! HATRED!! INSTEAD OF TALKING ABOUT SOME OTHER IMPORTANT THINGS THIS GUY HAS DONE, YOU'RE BUSY TRYING TO PULL HIM DOWN IN THE NAME OF GETTING MORE VIEWERS SINCE YOU KNOW HE'S THE CONTENT HIMSELF... SHAME ON YOU SNS. EMBRACE YOUR OWN SIMBA NOT THE OTHER WAY ROUND.. I'M PROUDLY KENYAN AND ON BEHALF OF MY FELLOW KENYANS, WE KNOW THAT WE'RE WELL REPRESENTED BY THIS MAN SIMBA HAUJUI... THE REASON HE'S ALWAYS NUMBER ONE IS BECAUSE HE'S SURROUNDED BY HATERS OF YOUR CHARACTER AND THAT'S WHERE GOD COMES IN TO SHOW YOU THAT UNLESS HIMSELF (GOD) BRINGS HIM DOWN, NO ONE ELSE CAN..... I KNOW YOU'RE TRYING TO BE ON TOP BUT THAT'S NOT HOW YOU PEOPLE SHOULD GO ABOUT IT... IF THAT'S THE STRATEGY, THEN YOU HAVE FAILED AND THAT'S THE REASON NUMBER ONE WILL ALWAYS BE WASAFI MEDIA AND NUMBER TWO MILLARD AYO... THAT'S MY ADVICE TO YOU GUYS IT'S EITHER YOU TAKE IT OR LEAVE IT #BITTERTRUTH
Mnataka Diamond awahonge sio buree, haya nmemaliza ya Mondi sasa tuambieni mabaya ya KIBA, Marioo, Harmo na wengine .., acheni roho mbaya mnakera sasa mara zote nyie SnS mnamsema vibaya Mondi
Wananchi wame ongea humu kwenye comment ila nyie wananchi muwe mna fatilia mafanikio ya mtu nje ya macho ya watu wengi siyo2 mna mkingia kifua mtu msiye mfahamu kiundani na muache kuwatukana watangazaji wetu pendwa wa SNS.
DAIMOND WA ULEWAKATI WA ZARI NA SLAMUSKAY SIYOWA SASA ALIKIWA NA SHOW ZAULAYA NA KU DATE ANAJICHUSHA ANA KUWA NA MI KKKK FOR NOTHING Important ANA JICHUSHA NRANDI 😢😢😢😢😢
Hii haijakaaa sawa kwa ukubwa wenu
Munaanzaa kuletaa utoto sas watu wanawaeshi munanzaa kuletaa utoto kwani washaaga msemaa manga diamondplatnumz ila bado hashukiii ju anajuwa anachokifaanya nakamura number moja East Africa kama sio lamadangote🦁
Poa sana kabisa. Easy and interesting content. SNS muko juu kwa sasa. Big up.
SNS, Hapo hapana, you are above this
Wapo sawa anagalien marekani kuna media kubwa sana tu wanafanya hv hv kama wao wanavyofanya
Mmezingua mnoo
Kaongea points 100%is true I like iki esko kafanya
Crisis ur dam true n fact brooo big up umesahau na uzinifu kwenywe kazi naajipe heshima ya kiume
All the way 😍😍😍
Really 💯 point 👌🌋🌋
Nanyi mmeanza kutumika kuwa machawa
Kwenye upande wa content mshkajii kaongeaa point ila mtaona ni ujinga kwakuwa kaongea yy na sio mashabiki ila ni nzuri kama uchambuzi wa mwanahabari mwenyewe maybe wabongo tu tushazoea kusifia tu 💯💯💯☄🙌
😊ata mimi naona hivohvo ila watu wenye mihemko na uteam watadis sana
Duuu yani leo mmeniangusha sana 😢😢😢😢
Iyo ni strategic za Msanii we una mpa advice!!! Nyie mjue Simba ndie content....kwa mapungufu!! Yake!! Au Kufanikiwa kwake!! Kila corner Diamond!!! Iyo tosha!!!amawavuruga....
Na wewe acha ushabiki maandazi😂
Kamvuruga nan sasa
Kama mumewe vile uyo diamond km akosei
Waoo
Sema hii mngeifuta fasta. Itakuja kuwala sana hii.
Kweli kabisa 💯💯💯💯💯✔️✔️✔️✔️
I like the house
Mshaanza kuzingua
safi sana🙌🙌🙌
Facts💪💪💪💪
Habari kama hizi sns muachie carrymastory na mbengo Tv bana you guys are above thus shit😂
Facttttttttts
#SnS you are way too professionals to have these types of titles, bless!🙌
creezy yupo sawa kabisa na sio kwa ubaya ni fuct na ina make sense, hongera kwa upeo huo wakuona
Mmezingua sio kitu kabisa hii sijui mmewaza nini
sawa
Ila watu.... Duuu!!!
Kiki zake ndio zinaangalia Sana kwenye Chanel yenu
The good thing Mondy anajuwa mziki wake ni wa East Africa tu. International artist wakati ujiamini😂
Hii ni sehemu ambayo nimeipenda kumkosoa ili afanyie kazi ili apande zaidi ya hapo alipo;sio Kila siku kumsifia tu.ATAPOTEA NA NJIA MOJA.
Fact
Creativity 100%. SKY UTA TAKE OVER MIAKA KADHAA IJAYO NI SUALA LA MUDA TU
yani ww useme anakuboaaa au anakukera itoshe kusema ya kwambaa anawapatia pesaa sanaaa kumzungumziaaa tu kuliko msanii yeyote hapa Tz
Aku nyie
Owa bwana
Hi Sns, muna maanisha nini, mabaya 3" it sounds cheap plz ur too good for this kind of titles...
Or sielewi kiswahili vizuri
Creez kaongea facts kinoma.. S/O to u Eskoo🤝🙌
🫶🫶
Creeze is very smart 👌 amemaliza yote
Mnazingua
Sasa mnataka atengane na vitu vilivyomfanya afike juu nyie niaje kwan
That’s really true
Creeez ako na point kubwa lakin nafkri sasa ayatumie hayo mawazo anunue Roys Rolls-Royce basi
Nilichelewa kusikiliza hii kitu lakini nina maswali...
KOMASAVA ni international song inayolenga market ya nje je wabongo wanaisapoti kutokana na content within song au dancing style...? Halafu mbaya zaidi hii kitu mondi alishafanya nyuma huko katafuta mafanikio ya international mkasema mnamtaka Mondi wa mbagala na kamwambie...Ameamua kuchanganya napo mnasema abaki international waja hamueleweki.
Kubabakeee mnajuaa sanaa
Ukweli kabsa sijui mashoga wa wcb wanajam kwa nn
Nimesikiliza hi kisa nimeona jina la mond
Icho cha 3 umesema ni ukweli kabisa sikupingi Mondi east Africa ashamaliza apeleke mziki kimataifa aachane nawa bongo
Points 😂😂😂sema watu povu limawatokaaa au watoto wa lukugaa😂😂😂😂😂
😂watu wamechafukwa yan
Kumanina zenu sns
😢kwa mara ya kwanza media yangu bora imeniboesha
You guys only talk about negative things instead growing ya own artist nd talking about the greatest thing that he have done for the country music industry talk about positive nd motivation he’s hard working man without him Tanzania music wouldn’t be how it’s today
Doh
I agree with him 💯
#sns apo mmezingua sidhani kama nivizuri
Huyo creez ndo nani af sns mnaboa
Kwanini usimuulizi mazuri
I love when u said he dont need tanzanian now 👏👏he need abroad
Basi tuseme KOMASAVA
Sijawahi kuingia CZcams nikaacha kuangalia video zenu. kwasababu mnaelimisha kwa asilmia kubwa nikiona taarifa kutoka kwenu ninaamini ni ya kweli.sasa mumeanza kulewa sifa mnahamia kwenye ujinga
Sidhan kama sns nyie kwa nyie mlitakiwa kujadili makwazo ya diamond mlipaswa muwaulize watu nje ya media yenu
Hata hii tena ndo imekaa sawa zaidi coz hata wao wanafuatilia vzur mziki wa bongo pamoja na wa nje ya TZ hata marekani media kubwa tu kuna watangazaj kbao wanafanya hz hata akina paul rosenberge Ebro Laura styles wanajadili mambo kama haya vzur tu
Mbona sijasikia mabaya ya harmonize?au nyie kila kitu ni diamond tu.
Muongeaji akili hakuna kabisa yaani kiazi kabisa
nikweli kabisa bro kitu chabili nikweli anazinguwa
Wazeee wa kuforce kontenti😅😂😂😂
Uyo creez yeye ni nani mpaka mtuletee hapa eti creez amchambua mabaya 3 ya diamond WHAT'S SHAME DAMN MMEKUA KAMA MAJINGA TUTAJUAJE KAMA HUJAMPANGA MMEANZA KUA KAMA GENGE LA UMBEYA
Swali kwako wewe ulivyo zaliwa wazazi wako hawakukuisisha chochote toka tumboni kutambaa kutembea shule...maisha yako sijui kama huwa unapanganga hau kuwaushisha wazazi wako usipende kusimulia ya mwenzie ..anathamini family na anavyofanya ni jinsi anathamini family yake wewe mwongelee..madrama yake au chochote..huo ni ushauri..samahani kama notakua nimekukusoea..
Asa kwa nin iwe diamond tu ? Na isiw mtuu mwingine ?
Acheni Ku posti ujinga basi
Leo mmepoteza subscriber mmoja . Mtazamaj wa kila sku kwasabsbu ya topic hii😢😢
mnazinguaa ,kikikuboaa ww sisi inatuhusu nn
Mm nnajambo mambo kwa diamond mm sion umuim tena wa kuwaongerea kina harmo sio watu wa level yake tena ni kama mavi ushakunya ayana umuim tena achane nao ata asiwataje tena popote wala kuwapost
Jamani mke wake zuchu ndio amshauriiii hiyo comasavaaa kama sampling copy ya tshalabam
Hawa c ndio wote wasiyomtakia mzr mtt wa mwanamke mwenzao , ushamba t huo makuma nyie wanaume wazima
Asa matusi ya nini!!
Mumekosa subscriber nmoja leo, naitowa
,ata mm naondoka😂😂😂😂😂
Hapo kwenye Kiki kweli kabisa hastahili kwa Level yake lakini pia Mlichosahau ni Diamond Kudate na Zuchu kwakweli Anajishushia Heshima. Mtu hata shape hamna, tako hamna na Akili ndio hamna kabisa.
Kuna hao vishuzi vitakataa ukweli😂😂😂😂😂😂😂😂
Bill gates alikua yuko kwenge biashara yake. Facebook mwenye nayo ndo anaiongoza.
SIMBA LA MASIMBA DANGOTE,.! WE ZOMBI,! HAUJUI😂😂😂
Was this a real estate advertisement? Or just gossip ? It’s a weird segment, I think it would fit new characters and not the two. I mean the two guys do well with serious topics, the gossip segment is good but maybe i don’t like it from this two.
Nawa unfollow sasa iv hamna akili nilikua nawategemea kumbe na nyie kiazi
Mwangu umongea pwentii sanaa
Mnazingua tutakuwa hatuwaangalii
😂😂😂😂😂😂😂
Ushauri wa Bure kwa kizazi cha sasa toa maoni yako ikifika kwenye familia tuwr makini miezi 9 kwenda shule mmmm ongea ya binafsi ya Diomond...natumaini unafamilia pia..hakuna mtu anaweza kukupa ushauri halidi kuhusu familia yayoko
Kwahyo mnataka ajiweke kando na familia yake aliyohangaika nayo kitambo? Komasava ishaenda na ishapokelewa hakukua na ubaya kuachia ngoma nyingne. Na kiki anazofanya ndo znafanya na nyie mfatiliwe na kuangaliwa
DIAMOND PLATNUMZ JUST DID A GREAT SHOW IN DUBAI BUT YOU GUYS AIN'T EVEN TALKING ABOUT IT... TANZANIANS YOU GUYS ARE SOMETHING ELSE... HATRED!! HATRED!! INSTEAD OF TALKING ABOUT SOME OTHER IMPORTANT THINGS THIS GUY HAS DONE, YOU'RE BUSY TRYING TO PULL HIM DOWN IN THE NAME OF GETTING MORE VIEWERS SINCE YOU KNOW HE'S THE CONTENT HIMSELF... SHAME ON YOU SNS. EMBRACE YOUR OWN SIMBA NOT THE OTHER WAY ROUND.. I'M PROUDLY KENYAN AND ON BEHALF OF MY FELLOW KENYANS, WE KNOW THAT WE'RE WELL REPRESENTED BY THIS MAN SIMBA HAUJUI... THE REASON HE'S ALWAYS NUMBER ONE IS BECAUSE HE'S SURROUNDED BY HATERS OF YOUR CHARACTER AND THAT'S WHERE GOD COMES IN TO SHOW YOU THAT UNLESS HIMSELF (GOD) BRINGS HIM DOWN, NO ONE ELSE CAN.....
I KNOW YOU'RE TRYING TO BE ON TOP BUT THAT'S NOT HOW YOU PEOPLE SHOULD GO ABOUT IT... IF THAT'S THE STRATEGY, THEN YOU HAVE FAILED AND THAT'S THE REASON NUMBER ONE WILL ALWAYS BE WASAFI MEDIA AND NUMBER TWO MILLARD AYO... THAT'S MY ADVICE TO YOU GUYS IT'S EITHER YOU TAKE IT OR LEAVE IT #BITTERTRUTH
Mnataka Diamond awahonge sio buree, haya nmemaliza ya Mondi sasa tuambieni mabaya ya KIBA, Marioo, Harmo na wengine .., acheni roho mbaya mnakera sasa mara zote nyie SnS mnamsema vibaya Mondi
Wataleta ya wasanii wengine vipi na Simba ndo biashara hahaha.
Huoni Harmo na Ali kiba hawachafui hali ya hewa.
Wananchi wame ongea humu kwenye comment ila nyie wananchi muwe mna fatilia mafanikio ya mtu nje ya macho ya watu wengi siyo2 mna mkingia kifua mtu msiye mfahamu kiundani na muache kuwatukana watangazaji wetu pendwa wa SNS.
Anzaa kuongelea mabaya Yako awu channel yenu nyie mashoga kweli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
DAIMOND WA ULEWAKATI WA ZARI NA SLAMUSKAY SIYOWA SASA ALIKIWA NA SHOW ZAULAYA NA KU DATE ANAJICHUSHA ANA KUWA NA MI KKKK FOR NOTHING Important ANA JICHUSHA NRANDI 😢😢😢😢😢
Not SNS. You can do better. Not this 😢
Nisha unsubscribe
Mmeanza utoto
NDIOMANA ALIKIBA achukiii 🫶🫶 anajielewaaa , radio yake ukubwaaaa
To much Kiki with songs with relationship
Jeolus is Deases!! Sister!!
@@RichardRutembesa-ns1knI don’t see any jealous here 😂😂 he is doing too much kiki .fact 👌👌
Mkiambiwa zero creativity kwenye kazi zenu mnabisha
Fact
Daimond choko tu semen kwel tuko pamoja😅😅😅😅😅
Ndiomana Alikiba ajuwayikushukaa 👌👌🙌🙌🙌hanaga mi kkkkk
Aliwahi panda lin