MBUNGE ALIYETUHUMIWA KUIBA MADINI, AJITOKEZA HADHARANI, AMTAJA MWANAE..!
Vložit
- čas přidán 1. 02. 2020
- MBUNGE ALIYETUHUMIWA KUIBA MADINI, AJITOKEZA HADHARANI, AMTAJA MWANAE..!
Mbunge wa Jimbo la Nyangwale Mkoa wa Geita, Hussein Amar Nassoro, ameonesha kuchukizwa na tuhumza zilizosambaa mitandaoni zikiihusisha kampuni yake ya madini ya Nyamigogo na wizi wa Dhahabu..
Global TV imezungumza nae na ametoa ufafanuzi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo..
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
czcams.com/users/playlist?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
czcams.com/users/playlist?list...
GLOBAL RADIO TV:
czcams.com/users/playlist?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
czcams.com/users/playlist?list...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline
Dah yani mzee wetu allh akulinde nakuchafuliwa hujaanza juzi wala jana kwa sisi tunao kujuwa hakuna aliye pita kwako akalalamika naimani utashida allh yupo nawewe na ubuge hukuomba uliyombwa tunalijuwa hilo mzee wetu
Kwanza huna ubaguzi mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo babaangu
Hongera Sana mbunge wawanyonge Allah atakuepusha na husda zao piga kazi baba mtegemee Allah S w t kwa kila kitu
Umeongea vizuri mh mbunge umenyosha sana maelezo nimekuelewa 100%
Huyu mzee wetu hana tabia hiyo ata sikumoja wanamchafua tu huyu mzee ni mlezi wa vijana wengi wanyonge ambao walisha jikatia tamaa ya maisha yeye akawasaidia nyakati tofauti tofauti kwaiyo anae endelea kumchafua mungu anamuona mzee huyu hana figisu yoyote na wanao mpa figisu mungu awalani mara 100000
Ccm ndiyo tabia yenu kuchafuana maana hakuna msafi kwenye hicho chama
Safi mzee chapa kazi.
Ulinisaidia sana pale ulipo niamini tukafanya kazi pamoja mungu akubariki Sana akupe afya njema na mwisho mwema
Mnamchafua bure huyu Mbunge namwaamini sana kazi zake zinajulikana.
Hiyo ni siasa tu mbunge huyu hahusiki na hayo kabisa- na mzee anajua kujieleza vizuri sana na anajiamini
Hakuna anaeweza kukuchafua mungu atakulinda na kukutunza kila fedheha ya mtakatifu ni ushuhuda binti nawe cheza na upepo pambana mpaka kufa usiogope
Mzee Wa Sonling nakukumbuka sana.. Huyu mzee kwa wale tunaomjua. Kwenye Spare za piki piki Enzi zile hebu tujuane.. Miaka ya 2008/2010. Wakiwemo wafanyakazi wake akina Shaibu Hamza Jaffari hussen Imani Moshi nawengine kibao
Unatakiwa ujiuzulu kwamaana una udine mwingi mno kwetu umtutenga katika kijiji chetu kwanza
Huyu mzee hana tatizo hata kidogo. Yuko sawa.
Ww Acha unafiki ludisha makao makeup ya wilaya ya nya'hwle kijijini nyag'hwale
du uyu mbunge mbona afahamiki jamani
Unahuska dam nzito kuliko Maj janja janja hio
Poleni sana nyamigogo
Mchanga wa mto wa namba tano, huwa unaubeba unaupeleka wapi? Na kwa makubaliano gani na wanakijiji na serikali ya nyamikonze?
Mzee nyang'hwale shida maji , umeme , barabara
Binadamu siyo wema,wanacheka nawewe kiunafiki,kumbe mioyo yao imejaa hila,jihadhari nao,watashindana lakini hawatashinda
Huyo mzee alichukua kweli mtoto wake ndo yy anawabeba
Mzee tengeneza miundo mbinu nyangwale hakuna mabarabara na maji
kazi ya mbunge sio kutengeneza barabara hio kazi ya tarura
Huyu mzee nitamkumbuka mpaka naingia kaburini
Nilikuwa simjui hila huyu mzee anaonekana Hana shida na mtu wanampakazia
Huyu mzee hata hajulikani kabisa
kaka kasuuuuu
Madini una chimba kila siku, Umeme wa mgao lkn umeshidwa kusimamia mradi wa maji, barabara ya Bukungu na ligembe.
hio sio kazi ya mbunge we kichwa maji
@@patrickKitambo ni kazi ya nani bwana mkubwa?
@@patrickKitambo Punguza hasira na jikite kwenye hoja
@@eliasgalila8589 mbunge kazi yake ni kusemea wananchi na kuwakilisha malalamiko yao mahal husika ila watendaji ni serikali either serikal kuu tanroad au serikal za mtaa, tarura... Kupitia wizara husika.. Wew ulitaka afanye nin kuhusu hizo Barabara mbovu? Ulitaka atoe fedha zake mfukon? Pia. Mbunge sio msimamzi wa miradi ya serikal Ila ni kama muwakilish tu kufuatilia kujua mwenendo wa mradi wasimamiz wapo