MBUNGE ALIYETUHUMIWA KUIBA MADINI, AJITOKEZA HADHARANI, AMTAJA MWANAE..!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 02. 2020
  • MBUNGE ALIYETUHUMIWA KUIBA MADINI, AJITOKEZA HADHARANI, AMTAJA MWANAE..!
    Mbunge wa Jimbo la Nyangwale Mkoa wa Geita, Hussein Amar Nassoro, ameonesha kuchukizwa na tuhumza zilizosambaa mitandaoni zikiihusisha kampuni yake ya madini ya Nyamigogo na wizi wa Dhahabu..
    Global TV imezungumza nae na ametoa ufafanuzi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo..
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 33

  • @miundombinu1635
    @miundombinu1635 Před rokem

    Dah yani mzee wetu allh akulinde nakuchafuliwa hujaanza juzi wala jana kwa sisi tunao kujuwa hakuna aliye pita kwako akalalamika naimani utashida allh yupo nawewe na ubuge hukuomba uliyombwa tunalijuwa hilo mzee wetu

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 3 měsíci

    Kwanza huna ubaguzi mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo babaangu

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 4 lety +2

    Hongera Sana mbunge wawanyonge Allah atakuepusha na husda zao piga kazi baba mtegemee Allah S w t kwa kila kitu

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa4777 Před 4 lety +2

    Umeongea vizuri mh mbunge umenyosha sana maelezo nimekuelewa 100%

  • @jumannetoronto5996
    @jumannetoronto5996 Před 4 lety +3

    Huyu mzee wetu hana tabia hiyo ata sikumoja wanamchafua tu huyu mzee ni mlezi wa vijana wengi wanyonge ambao walisha jikatia tamaa ya maisha yeye akawasaidia nyakati tofauti tofauti kwaiyo anae endelea kumchafua mungu anamuona mzee huyu hana figisu yoyote na wanao mpa figisu mungu awalani mara 100000

    • @elizawallace2971
      @elizawallace2971 Před 4 lety

      Ccm ndiyo tabia yenu kuchafuana maana hakuna msafi kwenye hicho chama

  • @salumkilala8679
    @salumkilala8679 Před 4 lety +1

    Safi mzee chapa kazi.

  • @jumannepaskary3182
    @jumannepaskary3182 Před 4 lety

    Ulinisaidia sana pale ulipo niamini tukafanya kazi pamoja mungu akubariki Sana akupe afya njema na mwisho mwema

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 Před 4 lety +1

    Mnamchafua bure huyu Mbunge namwaamini sana kazi zake zinajulikana.

  • @mjige9088
    @mjige9088 Před 4 lety +1

    Hiyo ni siasa tu mbunge huyu hahusiki na hayo kabisa- na mzee anajua kujieleza vizuri sana na anajiamini

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 3 měsíci

    Hakuna anaeweza kukuchafua mungu atakulinda na kukutunza kila fedheha ya mtakatifu ni ushuhuda binti nawe cheza na upepo pambana mpaka kufa usiogope

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 4 lety

    Mzee Wa Sonling nakukumbuka sana.. Huyu mzee kwa wale tunaomjua. Kwenye Spare za piki piki Enzi zile hebu tujuane.. Miaka ya 2008/2010. Wakiwemo wafanyakazi wake akina Shaibu Hamza Jaffari hussen Imani Moshi nawengine kibao

  • @user-ot6so8ko8e
    @user-ot6so8ko8e Před 4 měsíci

    Unatakiwa ujiuzulu kwamaana una udine mwingi mno kwetu umtutenga katika kijiji chetu kwanza

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 Před 4 lety +1

    Huyu mzee hana tatizo hata kidogo. Yuko sawa.

  • @user-ot6so8ko8e
    @user-ot6so8ko8e Před 4 měsíci

    Ww Acha unafiki ludisha makao makeup ya wilaya ya nya'hwle kijijini nyag'hwale

  • @eliankya3272
    @eliankya3272 Před 4 lety +2

    du uyu mbunge mbona afahamiki jamani

  • @IddyMustapha-tj4du
    @IddyMustapha-tj4du Před 4 měsíci

    Unahuska dam nzito kuliko Maj janja janja hio

  • @zachariadaudi2068
    @zachariadaudi2068 Před 4 lety

    Poleni sana nyamigogo

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 Před 4 lety

    Mchanga wa mto wa namba tano, huwa unaubeba unaupeleka wapi? Na kwa makubaliano gani na wanakijiji na serikali ya nyamikonze?

  • @davythomas3550
    @davythomas3550 Před 4 lety

    Mzee nyang'hwale shida maji , umeme , barabara

  • @majaliwamsigwa3974
    @majaliwamsigwa3974 Před 4 lety

    Binadamu siyo wema,wanacheka nawewe kiunafiki,kumbe mioyo yao imejaa hila,jihadhari nao,watashindana lakini hawatashinda

  • @cosmasjeremiah9032
    @cosmasjeremiah9032 Před 3 lety

    Huyo mzee alichukua kweli mtoto wake ndo yy anawabeba

  • @cosmasjohn8831
    @cosmasjohn8831 Před 4 lety

    Mzee tengeneza miundo mbinu nyangwale hakuna mabarabara na maji

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo Před 3 lety

      kazi ya mbunge sio kutengeneza barabara hio kazi ya tarura

  • @jumannepaskary3182
    @jumannepaskary3182 Před 4 lety

    Huyu mzee nitamkumbuka mpaka naingia kaburini

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 Před 4 lety

    Nilikuwa simjui hila huyu mzee anaonekana Hana shida na mtu wanampakazia

  • @angelinasimchimba705
    @angelinasimchimba705 Před 4 lety

    Huyu mzee hata hajulikani kabisa

  • @JPrime-tu3ux
    @JPrime-tu3ux Před 4 lety

    kaka kasuuuuu

  • @eliasgalila8589
    @eliasgalila8589 Před 4 lety +1

    Madini una chimba kila siku, Umeme wa mgao lkn umeshidwa kusimamia mradi wa maji, barabara ya Bukungu na ligembe.

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo Před 3 lety

      hio sio kazi ya mbunge we kichwa maji

    • @eliasgalila8589
      @eliasgalila8589 Před 3 lety

      @@patrickKitambo ni kazi ya nani bwana mkubwa?

    • @eliasgalila8589
      @eliasgalila8589 Před 3 lety

      @@patrickKitambo Punguza hasira na jikite kwenye hoja

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo Před 3 lety

      @@eliasgalila8589 mbunge kazi yake ni kusemea wananchi na kuwakilisha malalamiko yao mahal husika ila watendaji ni serikali either serikal kuu tanroad au serikal za mtaa, tarura... Kupitia wizara husika.. Wew ulitaka afanye nin kuhusu hizo Barabara mbovu? Ulitaka atoe fedha zake mfukon? Pia. Mbunge sio msimamzi wa miradi ya serikal Ila ni kama muwakilish tu kufuatilia kujua mwenendo wa mradi wasimamiz wapo