Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw
Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.
💕💕 OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo
Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba
Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje
Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure
Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!
Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi
Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?
Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel
kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.
Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau
Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?
Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa
kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena
Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..
Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw
Joel na mm tatizo langu ni kukosa usingizi na pia nahisi inachangia sana na stess hii stress kwa kiasi kikubwa kuhusu maisha yangu naomba unisaidie
Stress na kidogo anxiety....
Nasahau Sana. Siwezi kuweka kumbukumbu kabisa
Samahani Mwalim
Je. Jinsi UMRI unavyosogea kuelekea UZEE hauwezi kuathiri uwezo wa kufikiri. na kuogeza kusahau
Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.
Shukran akhui vitu vitatu niko navo stress,kulala ., anxiety vinanisumbua sana
💕💕
OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo
Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba
Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje
Nikwel hata mie ndo hivyo japo siyo kwa kiwango kikubwa
Mhhhh mambo mawili
Kukosa usingizi, kunasababishwa na stress, na kingine Woga, hofu, nashaka. Hivi ni vikubwa Sana. Dah ninasaidikaje.
Asante dr Naomba soma hio comment je nivyakula gani ambavyo vina athari na vina athiri kitu kama hicho mimi nasahau sana hadi najishangaa mwenye n
Thank you so much Joel. It has been my problem for a long time now.
wasiwasi ndio .umenifanya hata nifel mambo yangu
🇰🇪❤❤ wakati nimechoka sana hua natafuta kitu nikiwa nishika kwa mkono...
Tuko pamoja brother joel ubarikiwe ww & familia yk & wazazi,rfk,& watu Wako wote Ahsanten ila km unaswali je...
Asanteee sana Mungu akubariki kwa mafunzo yako
dct.joel kwanza asante kwa kunielimisha mielewa kwa sababu huku kazi watu hadi wamechoka
Shukran sana kaka Joel unamafundisho mazur sana
Asante sana mtumishi. Najifunza mengi
Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati
ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure
Shukuran kwa malifaa 🙏🙏
Asante Kaka kwa ushauri Mungu akubariki
Asante sana Mr Joel nanauka
Asante sana
Nasahau sana simpati usingizi
Asante sana..
dah kweli kaka mara zote hofu ndio sababu kuu kwangu inayoniumiza nilikua naomba unisaidie nifanye nn ili niondoe hofu kwenye maisha yangu
Be blessed my brother,, anxiety is position,thank you so much
Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!
Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi
Thanks blood
Asante Sana bro
Thank so much
Kaka Joel nashukuru kwa elimu lkn mimi nakupendekezea uwe unatushauri na tiba tunaponaje ndugu yangu
Asante kwa somo
Nakupend cz unaendag moj kwa moj kweny point
Mie pia nasahau sana jaman najitahid lakin bado
Thanx broo
Asante san
Thanks bro true
Kwaupande wangu ni stress pamoja na hofu , kukosa usingiz pia
Shukuran sana
Mwalimu
Thank you
Asante sana najifunza sana 🙏😢
Nautical anje ety kuto fantastic ngono kunachagia kuwa na tattoo la kusahausahau
Wow great
Mpaka sasa mwalim joel niko kakita kusahau kwa hali ya juu sana kiasi kwamba ata nikisoma kitabu baada ya dakika 5 nakuwa nimesha sahau kabisa
Pole sana
Saw
Daa kweli mm nasahau sana ila nahis hof na mawazo san nifanyeje ili niondkane na hiyo hali
Me nafikiri uoga,
❤❤❤❤❤ipo vizuri
Neo la Hofu ni kubwa Sana kwangu.
Bro upo vzr Sana najifundisha mambo mengi kupitia ww
Yaani nimejikuta nguvu ikinirudia Tena baada ya kusikiliza ujumbe huu
Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?
Kwa mada nilivyoielewa basi tatizo langu lipo kukosa usingizi kwa sababu ya kazi nyingi nimekuelewa ndugu mtangazaji
Nimekuwa na hiyo shida sana
Kusahau mwaka Jana kiukweli mwaka mzima nilikuwa nasahau but at least now Ila bado nasahau
Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel
Ahsante
Umenisaidi kwa mafundisho hayo niliyoyasikia
Daah jiniaz
Namba 5 inanihsu
kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.
Kaka mm tangu nazaliwa natatizo Hilo na sijawah kupata matibabu napia nakuwa na maumivu makal sana kichwani
Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau
Kuanzia leo sitakuwa na stress Tena na nitaanza kulala mapema na simu ,movie na mambo mengi ninayaacha
Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?
Yaaan nasahau mpk najichukia
Mimi Kuanzia nipo mdogo nasahau, Ila ninavyozidi kuwa mkubwa nazidi kusahau Mara kwa Mara.
Kuongea na wateja vizuri
Mimi hofu oficini inanifanya nisahau
Mi nahitaji msaada wa mwanasaikolojia
Kwa mm chanzo cha kusahau inatokana na stress pamoja na uwoga
Anxiety😊
mimi tatizo langu ni msongo wa mawazo nimgonjwa wa kisukar mimi mwenyewe huwa najisahau kama nimm au la msaada plz
Doh kk Joel Me nlisahau kuowa mwaka jana..
😂
I'm addicted to that due to anxiety J help us kno how to deal with it
Mmi huwa nsahau nnaposom kit lazm nkirudie sana ND kikae akikin tatz nn
Mi no 4
Nahisi ni kwa sababu ya mastebretion
Mie kila kitu nikifanyacho hasa kwa watu wengi japo nakuwa najua nafanya vzur lakini nakuwaga na hofu kubwa mno
Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa
Kaka mimi hapa nilipo ni mhusika mkuu wa somo hili na hali ya kusahau imeshakuwa ni tatizo la kudumu kwangu sijui solution ni nini kwangu.
Iyo kusahau inaniathiri sana ata sehem ya kazi napata asara sana kaka yangu nanisaidiaje Please.
Niliyamiss sana mafunzo haya
Nifanye biashala gani!
Stress nafikili
kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena
Tengeneza video how to face fear
lpo
@@SandrineNduwimeNduwim nipe link
Kaka Joel mie nilishasahau hadi siku ya usahili
Mi nina mwanafunzi wa miaka 7 anasahau sana hata alphabet ukimfundisha baada ya dakika 30 anakua ashasahau na yey tatizo ni nini?mbona bado mtotp
Ili mtu awe na hamu ya kusoma afanyeje?
Brother ayo ulio eleza napitia ivo ivo nisaidie kaka
Nitibagani sasa
Mm ninasahau sana lakini mara nyingi huwa na hofu sana unanusaidiaje kiondoa. Hofu hii Ila mama yangu husahau pia pengne nimerith?
😭😭😭😭😭😭😭🙌
Mm ni namba tano
Mm nadhani Ni stress za muda mrefuuu
Pongezi sana kak #Joel_Nanauka maan umetugusa walio wengi.
Ila pia kama utakaposoma comment hii nitaarifu kuna kitu nilipenda kukumbusha 🙏🙏🙏
Stress Sana Sana... Kweli siwezi kuweka kumbukumbu kabisa.
Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..
Kaka niko n shid n wew nitkuptje