Jinsi ya kuishinda tabia ya kusahau sana

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 122

  • @princekagay4552
    @princekagay4552 Před 3 lety +2

    Dah hilo tatzo la kusahau kwa upande wangu kwa kiasi kikubwa sana na nahisi nkutokana na stress ambayo yanafnya hadi nakosa usingiz ule uliokuw quality cuz cwez kulala mpka niwaze jinsi maisha yang nitayafnyaje ili nipate kufankiw

    • @saidmasoud1291
      @saidmasoud1291 Před 3 lety

      Joel na mm tatizo langu ni kukosa usingizi na pia nahisi inachangia sana na stess hii stress kwa kiasi kikubwa kuhusu maisha yangu naomba unisaidie

  • @maryndunge3849
    @maryndunge3849 Před 2 lety +4

    Stress na kidogo anxiety....
    Nasahau Sana. Siwezi kuweka kumbukumbu kabisa

  • @yusufubunu
    @yusufubunu Před rokem

    Samahani Mwalim
    Je. Jinsi UMRI unavyosogea kuelekea UZEE hauwezi kuathiri uwezo wa kufikiri. na kuogeza kusahau

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Před 3 lety

    Nishakutana nayo sanaa, na ilikua inasababishwa na stress nyingi pamoja na wasiwasi hasa siku ya kwanza ya wiki ilikua siipendi nikifikiria kesho ndo naanza tena Najikuta wasiwasi mwingi kama ntachelewa kama kazi zitakua nyingi afu Kibaya zaidi ni kazi nisiyoipenda hata kidogo. Nashukuru Mungu nimevikontroo,japo kazi sijabadilisha bado.

  • @5dproductiontv601
    @5dproductiontv601 Před 10 měsíci

    Shukran akhui vitu vitatu niko navo stress,kulala ., anxiety vinanisumbua sana

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Před 3 lety +1

    💕💕
    OVERTHINKING. Hili pia ni tatizo kubwa sana. Jaribu kulizungumzia hili jambo. Lona athiri sana vijana. Wanafikiria sana badala ya KITENDA. Na linasababisha pia tatizo hili. Ila kaka solution haijatosha tunajitoaje kwa tatizo hilo

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 Před 3 lety

    Asante saana Mr Joel mimi huwa nikapata hofu na chochote kuwaza huwa to much inanipeleka kasahau adi hata kumsikiliza mtu siwezi naomba nisaidie nafanyaje kwan ki2 hata kama kidogo kikiwa tofaut navoitaji lazima stres Nataka nipate njia ya kuepuka na wazo likiingia kwa kichwa kutoka ni shughuli nisaidie naomba

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před 3 lety +1

    Asante Joel, mi nadhani n dawa ya operation niliyochomwa ndio inanipa kusahau. Tangu hiyo operation miaka 3 baadae nimekuwa na tatizo la kusahau sana na sijui nalitokaje

    • @mussalulenga9939
      @mussalulenga9939 Před 2 lety

      Nikwel hata mie ndo hivyo japo siyo kwa kiwango kikubwa

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 Před rokem

    Mhhhh mambo mawili
    Kukosa usingizi, kunasababishwa na stress, na kingine Woga, hofu, nashaka. Hivi ni vikubwa Sana. Dah ninasaidikaje.

  • @yusufMohammedy-ub2pv
    @yusufMohammedy-ub2pv Před 26 dny

    Asante dr Naomba soma hio comment je nivyakula gani ambavyo vina athari na vina athiri kitu kama hicho mimi nasahau sana hadi najishangaa mwenye n

  • @linardamuindi6856
    @linardamuindi6856 Před 3 lety +1

    Thank you so much Joel. It has been my problem for a long time now.

  • @dicksongadson2223
    @dicksongadson2223 Před 3 lety +2

    wasiwasi ndio .umenifanya hata nifel mambo yangu

  • @anastasiamainaministries2700

    🇰🇪❤❤ wakati nimechoka sana hua natafuta kitu nikiwa nishika kwa mkono...

  • @mukrimhassan9470
    @mukrimhassan9470 Před rokem

    Tuko pamoja brother joel ubarikiwe ww & familia yk & wazazi,rfk,& watu Wako wote Ahsanten ila km unaswali je...

  • @rehemaaloyce1427
    @rehemaaloyce1427 Před rokem

    Asanteee sana Mungu akubariki kwa mafunzo yako

  • @piliame1249
    @piliame1249 Před 2 lety

    dct.joel kwanza asante kwa kunielimisha mielewa kwa sababu huku kazi watu hadi wamechoka

  • @user-fy5yt1dm4w
    @user-fy5yt1dm4w Před 9 měsíci

    Shukran sana kaka Joel unamafundisho mazur sana

  • @josiahjofrey5224
    @josiahjofrey5224 Před 3 lety

    Asante sana mtumishi. Najifunza mengi

  • @codaharxh._
    @codaharxh._ Před 3 lety +1

    Uoga na kutokujiamini ni moja kati ya sababu zinzofanya wanafunzi wengi kusahau / student case' Mwanafunzi akisha kuwa kati
    ka hali ya uoga anasahau haraka, kwa case ya mwanafunzi inabidi ajenge tabia ya kujiamini self-confidence to overcome exams pressure

  • @ezironvyats433
    @ezironvyats433 Před 3 lety +1

    Shukuran kwa malifaa 🙏🙏

  • @EdisaLaurian-gh1op
    @EdisaLaurian-gh1op Před rokem

    Asante Kaka kwa ushauri Mungu akubariki

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 3 lety

    Asante sana Mr Joel nanauka

  • @fanueldaud2120
    @fanueldaud2120 Před 2 lety

    Asante sana

  • @suzycharles8335
    @suzycharles8335 Před 4 měsíci

    Nasahau sana simpati usingizi

  • @annandomondo500
    @annandomondo500 Před 2 lety

    Asante sana..

  • @marusumattor7458
    @marusumattor7458 Před 2 lety

    dah kweli kaka mara zote hofu ndio sababu kuu kwangu inayoniumiza nilikua naomba unisaidie nifanye nn ili niondoe hofu kwenye maisha yangu

  • @lukunielisha848
    @lukunielisha848 Před 2 lety

    Asante kwa elimu unayo toa. Lakin mm. Nina tatizo kusahau. Hasa katika masomo yangu pamoja kuwa mzito wa. Kung'amua mambo. Hili inakuaje. Maana nikesha shindwa . Hadi napata usingizi kwa muda mfupi mnooo..!

    • @dorahmanyilika6127
      @dorahmanyilika6127 Před rokem

      Nasahau sana hata nikiwa naongea na mtu mara nasahau baadae namuuliza anikumbushe nilikuwa naongea kuhusu nini nakosa usingizi nalala karibu na asubuhi au wakati mwingine nakesha naamka nikiwa kama mlevi

  • @barakambogo6932
    @barakambogo6932 Před rokem

    Thanks blood

  • @herimailo5350
    @herimailo5350 Před rokem

    Asante Sana bro

  • @furahajoy3168
    @furahajoy3168 Před 3 lety

    Thank so much

  • @joycekerenge3605
    @joycekerenge3605 Před 2 měsíci

    Kaka Joel nashukuru kwa elimu lkn mimi nakupendekezea uwe unatushauri na tiba tunaponaje ndugu yangu

  • @kelvinandrea4759
    @kelvinandrea4759 Před 2 lety

    Asante kwa somo

  • @annatemu6311
    @annatemu6311 Před 6 měsíci

    Nakupend cz unaendag moj kwa moj kweny point

  • @StridaMheni-vu8ui
    @StridaMheni-vu8ui Před rokem

    Mie pia nasahau sana jaman najitahid lakin bado

  • @mwanaomary3034
    @mwanaomary3034 Před 9 měsíci

    Thanx broo

  • @daudifilipo8500
    @daudifilipo8500 Před 3 lety

    Asante san

  • @samahaomar7372
    @samahaomar7372 Před 2 lety

    Thanks bro true

  • @user-ff6ej3ii3d
    @user-ff6ej3ii3d Před 5 měsíci

    Kwaupande wangu ni stress pamoja na hofu , kukosa usingiz pia

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před rokem

    Shukuran sana
    Mwalimu

  • @brothersforevergroup4464

    Thank you

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 3 lety

    Asante sana najifunza sana 🙏😢

  • @user-de9df7qo3z
    @user-de9df7qo3z Před 4 měsíci

    Nautical anje ety kuto fantastic ngono kunachagia kuwa na tattoo la kusahausahau

  • @RUGESHGEOFFREY
    @RUGESHGEOFFREY Před 3 lety

    Wow great

  • @sanggroupofcompanylimited.

    Mpaka sasa mwalim joel niko kakita kusahau kwa hali ya juu sana kiasi kwamba ata nikisoma kitabu baada ya dakika 5 nakuwa nimesha sahau kabisa

  • @elymrutu8888
    @elymrutu8888 Před 2 lety

    Saw

  • @waziriali7895
    @waziriali7895 Před rokem

    Daa kweli mm nasahau sana ila nahis hof na mawazo san nifanyeje ili niondkane na hiyo hali

  • @makwesamohamedialli
    @makwesamohamedialli Před 9 měsíci

    Me nafikiri uoga,

  • @user-yb4oz4yf9g
    @user-yb4oz4yf9g Před rokem

    ❤❤❤❤❤ipo vizuri

  • @josiahlwakatare3701
    @josiahlwakatare3701 Před rokem

    Neo la Hofu ni kubwa Sana kwangu.

  • @aishahassani3921
    @aishahassani3921 Před 3 lety

    Bro upo vzr Sana najifundisha mambo mengi kupitia ww

  • @ceciliathomas3128
    @ceciliathomas3128 Před 2 lety

    Yaani nimejikuta nguvu ikinirudia Tena baada ya kusikiliza ujumbe huu

  • @bintykhuwailyd7567
    @bintykhuwailyd7567 Před 3 lety +1

    Mimi ninasahau sana ,na sababu huenda ikawa ni mbili stress ama axiety ,lakini nkijaribu kuzifikiria hizo streess zangu na shindwa kuzijua ila nahisi kabisa kuwa nna stress,kwahapo unanisaidiaje?

  • @samsonsimonndalangavye5501

    Kwa mada nilivyoielewa basi tatizo langu lipo kukosa usingizi kwa sababu ya kazi nyingi nimekuelewa ndugu mtangazaji

  • @tracykinana8673
    @tracykinana8673 Před 2 lety

    Nimekuwa na hiyo shida sana

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 Před 3 lety

    Kusahau mwaka Jana kiukweli mwaka mzima nilikuwa nasahau but at least now Ila bado nasahau

  • @letionnews310
    @letionnews310 Před 3 lety +1

    Brother Joel, hili tatzo la kusahau limeninyemelea huu ni mwez wa pili sasa najikuta nasahau kitu hata kama nimekifanya muda huo lekin najikuta nimesahau... Lekin kwa somo lako sasa umenifumbua akiri lazima nichukue hatua.. Mungu azidi kukulinda brother Joel

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 3 lety

    Ahsante

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 Před 3 lety

    Umenisaidi kwa mafundisho hayo niliyoyasikia

  • @tembomelody5407
    @tembomelody5407 Před 3 lety

    Daah jiniaz

  • @jonasmwarja2957
    @jonasmwarja2957 Před 3 lety

    Namba 5 inanihsu

  • @TimothMbogoEmpire
    @TimothMbogoEmpire Před rokem

    kaka mimi ninatatizo la kusahau toka nikiwa shuleni kwenye masomo unaweza ukajifunza ukaelewa vzr lakn tatzo la kusahau lilikuwa changamoto na nimejtahd kutafuta hata dawa za kutumia ili niweze kuishnda hyo hali lakn ni kwakias kdogo sana nimefanikiwa kutokana na dawa hzo.Naomba ushaur wako kaka joeli nifanye Nini ili niwe na uwezo mzur wa kutunza kumbukumbu.

  • @mariamchonde
    @mariamchonde Před rokem

    Kaka mm tangu nazaliwa natatizo Hilo na sijawah kupata matibabu napia nakuwa na maumivu makal sana kichwani

  • @eustelachiwanga3470
    @eustelachiwanga3470 Před rokem

    Nasahau sana , nahisi kutopumzika vya kutosha na stress. Ili ulale vya kutosha kuepuka UGONJWA wa kusahau unatakiwa ulale masaa mangapi? Na je mambo mengi yanasababisha kusahau

  • @ceciliathomas3128
    @ceciliathomas3128 Před 2 lety

    Kuanzia leo sitakuwa na stress Tena na nitaanza kulala mapema na simu ,movie na mambo mengi ninayaacha

  • @nuryatmussa9966
    @nuryatmussa9966 Před rokem

    Nina mama angu anasaha hadi mazingira yanyumban anauliza hapa nipo wapi yani anakua hajuai hata nyumbani😢hua kinaanza kuuma kichwa sana baada yahapo hakumbuki tena anakua nawasiwasi sana anakosa amani anataman akae mbali nawa2 iyo inatokana nann?

  • @farihiamass8739
    @farihiamass8739 Před 2 lety

    Yaaan nasahau mpk najichukia

  • @MalegesiMakunja
    @MalegesiMakunja Před 3 lety

    Mimi Kuanzia nipo mdogo nasahau, Ila ninavyozidi kuwa mkubwa nazidi kusahau Mara kwa Mara.

  • @jumamafita8052
    @jumamafita8052 Před 2 lety

    Kuongea na wateja vizuri

  • @NeemaLeonard-wc2qc
    @NeemaLeonard-wc2qc Před 3 měsíci

    Mimi hofu oficini inanifanya nisahau

  • @sadammbarak8281
    @sadammbarak8281 Před 2 lety

    Mi nahitaji msaada wa mwanasaikolojia

  • @elizabethbernard3636
    @elizabethbernard3636 Před 3 lety

    Kwa mm chanzo cha kusahau inatokana na stress pamoja na uwoga

  • @elibarikishukya-lf3sk

    Anxiety😊

  • @alikhamad6431
    @alikhamad6431 Před rokem

    mimi tatizo langu ni msongo wa mawazo nimgonjwa wa kisukar mimi mwenyewe huwa najisahau kama nimm au la msaada plz

  • @khalidabdulla6545
    @khalidabdulla6545 Před 3 lety

    Doh kk Joel Me nlisahau kuowa mwaka jana..

  • @breshnyanjwa3102
    @breshnyanjwa3102 Před 3 lety

    I'm addicted to that due to anxiety J help us kno how to deal with it

  • @razakiabdul2354
    @razakiabdul2354 Před 2 lety

    Mmi huwa nsahau nnaposom kit lazm nkirudie sana ND kikae akikin tatz nn

  • @lesusi7872
    @lesusi7872 Před 3 lety

    Mi no 4

  • @ahazisimwakwenda3535
    @ahazisimwakwenda3535 Před rokem

    Nahisi ni kwa sababu ya mastebretion

  • @furahaemanuel4861
    @furahaemanuel4861 Před 3 lety

    Mie kila kitu nikifanyacho hasa kwa watu wengi japo nakuwa najua nafanya vzur lakini nakuwaga na hofu kubwa mno

  • @aishahassani3921
    @aishahassani3921 Před 3 lety

    Mm nime kuwa mtu wakusahau tangia hili tatizo lijitokeze ni mda sasa hata mwez wa tatu mwaka huu nimesafir airport kuna sehem nilikaa bs ktk kuamka nilisahau passport dubai so nitatizo kubwa

  • @leshingaosekei5929
    @leshingaosekei5929 Před 3 lety

    Kaka mimi hapa nilipo ni mhusika mkuu wa somo hili na hali ya kusahau imeshakuwa ni tatizo la kudumu kwangu sijui solution ni nini kwangu.

  • @siahraphael9349
    @siahraphael9349 Před rokem

    Iyo kusahau inaniathiri sana ata sehem ya kazi napata asara sana kaka yangu nanisaidiaje Please.

  • @deboralaiton1929
    @deboralaiton1929 Před 3 lety

    Niliyamiss sana mafunzo haya

  • @gustaphampinga951
    @gustaphampinga951 Před 3 lety

    Nifanye biashala gani!

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Před rokem

    Stress nafikili

  • @damaridaudi9785
    @damaridaudi9785 Před 9 měsíci

    kiukwel mwalimu joeli tena dakik hii naweza ongea na mtu sahii sahiyo nikigeuk tu nilazima tu nimtafute nimuambie dada samaja kwan mda ule uniliambia nini please nielekezd tena

  • @abduldandy3077
    @abduldandy3077 Před 3 lety +2

    Tengeneza video how to face fear

  • @furahaemanuel4861
    @furahaemanuel4861 Před 3 lety

    Kaka Joel mie nilishasahau hadi siku ya usahili

  • @kanasolange1063
    @kanasolange1063 Před 2 lety

    Mi nina mwanafunzi wa miaka 7 anasahau sana hata alphabet ukimfundisha baada ya dakika 30 anakua ashasahau na yey tatizo ni nini?mbona bado mtotp

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 Před 2 lety

    Ili mtu awe na hamu ya kusoma afanyeje?

  • @JemsMunis-mu3tv
    @JemsMunis-mu3tv Před 11 měsíci

    Brother ayo ulio eleza napitia ivo ivo nisaidie kaka

  • @meshakimukangwa7482
    @meshakimukangwa7482 Před 2 lety

    Nitibagani sasa

  • @violetmatovu6563
    @violetmatovu6563 Před 3 lety

    Mm ninasahau sana lakini mara nyingi huwa na hofu sana unanusaidiaje kiondoa. Hofu hii Ila mama yangu husahau pia pengne nimerith?

  • @maryemanuel1404
    @maryemanuel1404 Před rokem

    😭😭😭😭😭😭😭🙌

  • @shabanshabanmkahana7250

    Mm ni namba tano

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před 2 lety

    Mm nadhani Ni stress za muda mrefuuu

  • @pawnyakyeelwa
    @pawnyakyeelwa Před 3 lety

    Pongezi sana kak #Joel_Nanauka maan umetugusa walio wengi.
    Ila pia kama utakaposoma comment hii nitaarifu kuna kitu nilipenda kukumbusha 🙏🙏🙏

  • @maryndunge3849
    @maryndunge3849 Před 2 lety

    Stress Sana Sana... Kweli siwezi kuweka kumbukumbu kabisa.

  • @hekimanyato5630
    @hekimanyato5630 Před 3 lety

    Ili tatizo limekuja kuakubwa sn katka ufaham wang ila nilikua natumiaga alcohol kwasas nimeacha: ila stress nahofu ndio vinaniandama kwasas: japo kuna mda kumbukumbu hurejea pale stress nahofu upunga: ila haidum kwakua stress nahofu hurejea kilawakat.. pia nashukuru sn bro Joel kwan tangu nianze kukufwatilia nimejifunz mengi sn kaka..

  • @edgerpeter1675
    @edgerpeter1675 Před 3 lety

    Kaka niko n shid n wew nitkuptje