Wawakilishi wadi kutoka Garissa walalamikia kukithiri kwa visa vya dhuluma za kiholela

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 05. 2024
  • Wawakilishi wadi kutoka kaunti ya Garissa wanalalamikia kukithiri kwa visa vya dhuluma za kiholela huku wakiitaka serikali ya kitaifa iingilie kati. Malalamishi yao yanakuja baada ya watu watano kuripotiwa kutoweka mwaka huu huku vidole vya lawama vikinyooshewa maafisa wa usalama. Wawakilishi wadi hao sasa wanatilia shaka ahadi ya rais Ruto kuwa serikali yake itangamiza visa vya watu kutoweka kiholela na hata kuuawa.

Komentáře •