Miili 12 imeopolewa kutoka mto Tana kaunti ya Garissa
Vložit
- čas přidán 10. 09. 2021
- Miili 12 imeopolewa kutoka mto Tana kaunti ya Garissa
Mkafani ya hospitali ya Garissa ina nafasi ya miili 12 pekee
Serikali yawataka waliopoteza watu wao wakatambue miili
Wakazi wa Madogo kaunti ya Garissa waishi kwa hofu
Hawa walizebea kitambo mwingine aliua Bibi na kumtupa mle mto tana river alishishwa na kutolewa bila thamani na kuachiliwa
🥲🥲🥲hawa ni askari wanafanya hiyo kazi .
Nawashuku pia
Saa zile Citizen Channel ilikuwa iki upload habari za uongo/kibandia ndipo sasa inakosea kuandika maandishi(wrong spelling)
Mungu wangu si ajabu wengine ni wale waliotoweka na hawajulikani walipo hadi leo mungu wangu
Poleni sana aky
Hehehe description:Imeopolewa
Hata ni ajabu hawajakuliwa na mamba
sorry 😔 for the families
An illiterate people are running channels these days 😂
Pole kwa familiar 😭