Gavana wa Garissa Ali Korane kulala seli akisubiri kufikishwa mahakamani
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2020
- Gavana wa Garissa Ali Korane kulala seli akisubiri kufikishwa mahakamani
Korane alihojiwa na maafisa wa EACC kabla ya kupelekwa mahakamani
Anatuhumiwa kwa ufujaji wa shilingi milioni233.5 zilizotolewa na benki ya dunia
Gavana wa Nairobi Mike Sonko ashtakiwa kwa ufisadi wa shilingi 10m
Sonko anadaiwa kujipa pesa hizo kutoka kwa kampuni ya ROG Security Limited
My first boss as a district commissioner kwale.he was humble man
garisa people voted for looter instead of Nadhif jama
We want the one of wajir county akujiwe
I wish angelala seli for one month as a garissa people we dont need him let him go forever
Who are these lawyers that every time stands to defend such looters in courts, as we always talks about fighting Corruption? Themselves needs to be arrested.
they share the loot.
@hussein,..ni biashara..
Warning msimupelekea canjero wacha akule maharagwe!
😂😂
Kweli bro
hamas Jamaa we tired with these oldskol reer badiye warlords we need maendeleo! Lami, Skol’s, hospitals dustyfoot is supersonic tunajua kujitafutia! We are not charity cases we need local governments that can keep up with dustyfoot supersonic aspirations! Leta maendeleo and watch us take off hiyo tu!
Hahaha
Garissa County people got justice. Let him pay the price. He must return all the money he looted from the county.
Afadhali garisa wapatie seat governor Mohamed abdi
Mbona joho hamumshiki na mi mwizi no moja mombasa
aibu ni ataachiliwa kesho na hii mashtaka kwisha tu hivo..
Mm nasema kwanini hawa watu hawatosheki kwa mishahara yao mikubwa mikubwa wakata hata mwananchi hapate pesa hio
Garisa tunalala njaa na iko mtu anaiba 200m. Ewe Mwenyezi mungu saidia haki itendeke.
China ukipatikana na kashfa ya ufisadi unapigwa risasi mbele ya ummati mkubwa na itakuwa Bora zaidi hapa Kenya kuwe na sheria kama hizo ikuwe fuzo kwa hawa makumbafuu kucheza na fedha ya walipa kodi yaani tumewashoka Sana wanaachiliwa baada ya kutoka na walizoiba na hao dio wanaonyima wanainchi kuwa na maendeleo,madawa,maji,miundobinu na k. d. k
wanahabari,maafisa wa polisi na walinzi wa Ali korane...whats the difference between maafisa wa polisi na walinzi wa ali korane...
Kuma mamayao wacha washikwe wamezoea kukula pesa ya watu
Huyu ni mwizi
Hapa ndo penye ma lawyers wanakulia kukulia!
Aaah pawns tu, we want the nights, bishops, queens and the kings. 200million? What about the billions? Sanitizer one day it will fail
wacha afungwe kumamake...i blame the people of garissa because people that elect corrupt leaders are not victims but accomplice.
Arest him
He is thief