Makovu ya ugaidi Garissa | Ni miaka 8 tangu chuo kikuu cha Garissa kushambuliwa
Vložit
- čas přidán 2. 04. 2023
- Miaka minane tangu magaidi wanne kuvamia chuo kikuu cha Garissa na kusababisha vifo vya watu 148 wakiwemo wanafunzi 146, hatua kubwa zimepigwa kuweka mikakati ya kukabiliana na ugaidi nchini na haswa kuzima uhasama wa kidini. washukiwa wawili walipata kifungo cha miaka 25 jela baada ya mahakama kupunguza kifungo cha awali cha miaka 41
😢😢😢😢😢mlioponea endeleeen kumpa mungu shukran 😢
I thank God bro Mbithi alipona hayo mauaji
147 is not just a number as an alumni of Gau staki kukumbuka hio story.... personally I don't have a photo in this monument and I was there for 4 years
Kenyans forget very fast
147 is not just a number😥😥😥
This is not a place to be!!!