Muguka standoff: Governor Achani urged to outlaw Muguka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024

Komentáře • 18

  • @ayshahussein6574
    @ayshahussein6574 Před 2 měsíci +6

    Marufuku mugukaaa kwalee

  • @BrianWelakana
    @BrianWelakana Před 2 měsíci +4

    Burn cigarette too acheni upuzii

    • @kinara5365
      @kinara5365 Před 2 měsíci +1

      They will ban it when they want. Let's start with Mugukaa

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 2 měsíci

    Uyo mama ni mshenzi tu anogopa ruto

  • @josphatkithure3535
    @josphatkithure3535 Před 2 měsíci

    Achani is like other governors who are misled by thair advicers

  • @jesmilinaom6989
    @jesmilinaom6989 Před 2 měsíci +1

    Mugoka itauzwaa wuulize watoto wao wanachaganya mugoka na nini

  • @zaujiashekuwe-wk3ct
    @zaujiashekuwe-wk3ct Před 2 měsíci

    Hatutaki sumu utuliya wAtoto chani huna mtoto amua usime uislamu

  • @zaujiashekuwe-wk3ct
    @zaujiashekuwe-wk3ct Před 2 měsíci

    Mugokaa huwa mwanda wazimu tumeona megi watoto mpaka shiligi ishirin wauziwa labda wewe huna huruma nawA toto

  • @raphaelmwaura1648
    @raphaelmwaura1648 Před 2 měsíci

    Miraaa na dawa za kulevia ni halali

  • @alfanmwatamu9030
    @alfanmwatamu9030 Před 2 měsíci

    Hatuna haja na mogoka sisi wa pwani wapelekeeni wanaotaka kwani ni lazima na sisi?

  • @user-jj7qu7ov8f
    @user-jj7qu7ov8f Před 2 měsíci

    Kama nikupiga marufuku simogokaa peke yake, pombe la mnazi limehalalishwa pwani na karisa maitha, mpaka leo latumika, isitoshe wamepewa leseni za kuuza pombe, banki na dawa zakulevya mbalimbali zote zimekuwa nihali, haramu nimogokaa pekee!! Hio sikweli

    • @mishaalabdallah001
      @mishaalabdallah001 Před 2 měsíci

      Tukisema Maradhi ya Ukimwi yanaua watu wajihadhari,hatuna maana kua Cancer haiuwi, Tuberculosis haiuwi na kadhalika,yanaua piya.....Sasa wapwani tukipinga Mugukaa haimaanishi Pombe,Heroine,Khat,Rophynol,Mnazi E.T.C vyote hivi ni Haramu na vinadhuru lkn Elewa Mugukaa pwani Sasa waliwa na kila Rika mpka watto wadgo na Bei Rahisi hata kuliko huo Mnazi....kila umuonae Mombasa Atafuna Mugukaa wauzwa mpka shillingi ishirini,Heroine hupati kma huna 400 ksh,Mnazi wanywiwa na asilimia kubwa ya mijikenda lkn Asilimia kubwa hatuunywi na simaanishi ni Halali,ila Mugukaa mijikenda na wasio mijikenda waula...Sasa Wacha Hoja Dhaifu,Mugukaa usiletwe Pwani.

    • @fatumajuma592
      @fatumajuma592 Před 2 měsíci

      Pombe si mogokaa

    • @kinara5365
      @kinara5365 Před 2 měsíci +1

      Pombe ni kileo chetu, kileo Cha pwani halisia. Wacha wameru pia wajivunie kileo Chao. Wasituletee sisi na hatutawapelekea mnazi wetu

    • @angle3600
      @angle3600 Před 2 měsíci

      Achani apeleke mogokaa kwake nyumbani,mimi pia ninae wakaribu wangu ,asipokula mogokaa anakua bubu,ni mambo ya vipi hayo😢😮😢