🔴LIVE ||PARLIAMENTARY PRESS||BANNING OF MUGUKAA || 25 DHULQADA 1445/ 3 JUNE 2024 ||

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Ahmad Badawy

Komentáře • 124

  • @CelineGPA
    @CelineGPA Před 3 měsíci +4

    We commend you all for standing for the vulnerable people. Protecting people’s health is number 1 duty of all (especially community leaders and elected officials). Stay strong!!!!

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 Před 3 měsíci +6

    Wanasiasa wa kwale wamelala statehouse innalilah wainnailahi raji'un.

  • @RamaNdurya
    @RamaNdurya Před 3 měsíci +11

    Waishimu uwamuzi wawa Coast,hongera kwa viongozi wetu wa Coast

  • @user-jh2yj4tb3u
    @user-jh2yj4tb3u Před 3 měsíci +9

    Tunawapenda viongozi wote wenye kutoka pwani kuwa na msimamo.

  • @davidangwenyi2855
    @davidangwenyi2855 Před 3 měsíci +7

    Hapo sasa. Muguka uliwe na wenye kuukuza kwao. Hongera viongozi!

  • @muhmuhsini005
    @muhmuhsini005 Před 3 měsíci

    Hongera sana Sarai umeongea kwa busara na umeonesha ujasiri kuweka tafauti za kisiasa kando na kuweka maslaha ya Jamii yako mbele ✌🏼

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci +4

    Ma sha Allah tabaraka Rahman.hogereni viogozi kua na umoja ufilie mbali ukoooo mighoka n sumu kali mnooo

  • @abdihillow8876
    @abdihillow8876 Před 3 měsíci +9

    Remember the days Britain and Europeans refused Mirra to their countries because it being dangerous drugs.

  • @user-vm9me9jr5n
    @user-vm9me9jr5n Před 3 měsíci +8

    Congratulations we are behind you guys has parents 💯

  • @lirkhsanedume488
    @lirkhsanedume488 Před 3 měsíci

    This is the move we have been waiting for. Hatutaki, hatutaki ,hatutaki.

  • @rosemarymghoi3581
    @rosemarymghoi3581 Před 3 měsíci

    Hongereni viongozi wetu tuna waunga mkono hatutaki mogokaa

  • @FamousBerry139
    @FamousBerry139 Před 3 měsíci +2

    God bless coast leaders western pia sisi hatutaki mogokaa na chang'aa

  • @Irene-rt4bf
    @Irene-rt4bf Před 3 měsíci

    Owen pamoja na wenzako msimamo n uwe huo huo tumechoka kutumiwa ata nasi tunazaa ili kesho tuje tutumie,wanatucheka wanatudharau wanawagawanya viongozi ili msiwe na msimamo mmoja bt mungu n mkubwa safari hii ametupea viongozi wa maana na ujasirri barikiweni na mungu awalinde,❤❤

  • @jasentamarura3598
    @jasentamarura3598 Před 3 měsíci +1

    Asante dungu zetu viongozi wapwani Kwa kushirikiyana mungu ampe nguvu pia na ushoga utoke pwani Asante Sana okoyeni vijana wetu tuko pamoja

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci +1

    President Ruto must respect all counties in Kenya and he obtained his votes from all counties or otherwise impeachment is cooking and president come and go regardless of political power and financial implications so Mr president serve all Kenyans no double standard so if u serve Kenyans equally then ur guaranteed next term presidency so the ball is in ur court.

  • @davidangwenyi2855
    @davidangwenyi2855 Před 3 měsíci +2

    Shukrani Mheshimiwa Owen Baya.Muguka wale wao.They can't force CS Linturi on the people of Kenya and force Muguka on the Coast people. Haiwezekani katu!

  • @AbdallaJabal-jj1sm
    @AbdallaJabal-jj1sm Před 3 měsíci

    Kwa kadri munavyo kwenda mbio kuungana kuwa kitu kimoja na vile Kuna wanao kwenda mbio kuwatenganisha,,,,,,,,,,wafykum sammauna lahum,,,,,, you must be very very very Strong,

  • @abdullabocha1526
    @abdullabocha1526 Před 3 měsíci +6

    We are behind you

  • @abdubboru860
    @abdubboru860 Před 3 měsíci +1

    Kazi nzuri next NE Inshallah

  • @nyediajohn4642
    @nyediajohn4642 Před 3 měsíci +1

    Hongera Magavana na wabunge wa pwani.hakuna haja ya sumu ya mogoka.

  • @mentomwinyi2782
    @mentomwinyi2782 Před 3 měsíci

    A.alaikum,pongezi sana kwa viongozi wetu na jamii ya pwani kwa jumla kwa muungano huu.baada Allah kutufanikisha kwa hili basi viongozi waziri kushikana tuwasilishe swala la asilimia sabini ya kila kampuni iliyopo nyumbani awe mwenyeji kama katiba isemavyo ndio vijana wawe na shughuli makazini baada kuwatoa kwenye mihadarati...#jamii yetu,jukumu letu💪

  • @dicksonmwangi5797
    @dicksonmwangi5797 Před 3 měsíci +2

    Thanks Hon. Omari Hassan KWA kusimama na wapwani na wakenya wanyonge.
    Together we shall save KENYANS.
    Manyara ODM CHAIRMAN NYANDARUA COUNTY.

  • @royalahmed7463
    @royalahmed7463 Před 3 měsíci +3

    Wakenya wote wakuwe na umoja, madhara yake ni kwa wakenya wote, lets put aside our differences.

    • @thehumblediti4939
      @thehumblediti4939 Před 3 měsíci

      Wanaouziwa na kutumia ndio wanaodhurika na wala sio wanaouza, hivyo basi usiseme wakenya wote

  • @KhamisJambo
    @KhamisJambo Před 3 měsíci

    Hongereni viongozi ,ndio maana tuko nyuma yenu

  • @kelvinbulimo4341
    @kelvinbulimo4341 Před 3 měsíci

    Big up guys never give up

  • @higahassib6614
    @higahassib6614 Před 3 měsíci

    For the first time since independence you have done a wonderful job 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 3 měsíci +3

    Kwa mara ya kwanza nimeona viongozi wamekubaliana kwa pamoja kwenye jambo la haki

  • @user-mh8lf8fm3h
    @user-mh8lf8fm3h Před 3 měsíci +1

    Northern kenya pia atafuata njia ya cost province so wacha Gachagwa aone kwamba every county is important in kenya.

  • @josephmwalaghe6500
    @josephmwalaghe6500 Před 3 měsíci +1

    Hongera viongozi wa pwani hi pwani ni ya pwani .marufuku kabisa muguka pwani wapende wasi pende wameru hii upuzi ya kutishia gavorner mta muheshimu sivyo tuta wakabili kwa njoa zote.

  • @IreneKendi-zl6zo
    @IreneKendi-zl6zo Před 3 měsíci

    Pwani muguka itauzwa mpende msipende

  • @raskinyua837
    @raskinyua837 Před 3 měsíci

    Patieni vijana wenu unga ndiyo itawasaidia

  • @dicksonmwangi5797
    @dicksonmwangi5797 Před 3 měsíci +2

    Wapwani mkae pamoja muokoe jamii na wakenya wote.

  • @bakariweko3958
    @bakariweko3958 Před 3 měsíci

    Mkosawa viongozi wetu wa pwani tuwe pamoja kila wakati nyny muonge na raisi viongozi wetu waonge na waziri ayangi akilini ayo maneno pwani juu sasa

  • @omarbachu1074
    @omarbachu1074 Před 3 měsíci

    Wakule wao hio muguka

  • @shebakuyumba3270
    @shebakuyumba3270 Před 3 měsíci

    Hongereni sana viongozi wetu wa Pwani kuwa na umoja kama huo Mungu awabariki sana Kwa kazi yenu.

  • @Neclar-wn3yp
    @Neclar-wn3yp Před 3 měsíci +6

    Kama umesikia patch line ya mama please gonga like hapa..aje anywe maji ya madafu apate uzima😂😂😂😂😂😂mama hapo umeuwqqq

  • @user-ep5dx6lk4n
    @user-ep5dx6lk4n Před 3 měsíci +1

    Sheikh Ibrahim lithome wa jamia mosque Nairobi. Alitembelea marsabit mwaka moja iliopita na kuonya vijana juu ya madhara ya majani haya kwa ajili ya maslahi yaafya yao hii nisumu kweli

  • @RacusLove
    @RacusLove Před 3 měsíci

    A house that a father is not just and favour one child over the other, that house will always not have peace.
    Mr president do Justice. Stop Mogokaa Pwani, just the way Pombe Haramu was stopped previous years on the other side by the community and government.

  • @user-iv3mj2dq3o
    @user-iv3mj2dq3o Před 3 měsíci +1

    Kanyageni hapo hapo
    Na muheshimiwa Chonga area yako hasa nyumba kwenu Silala Fanya mikakati watu wote wanaouza waondeke mara moja

  • @hassantuva3765
    @hassantuva3765 Před 3 měsíci +1

    Ingekua ivi ndio munaungana vijana wa pwani wapate ajira tungekua mbali

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před 3 měsíci +1

    Waje Coast wanywe maji ya madafu

  • @johanakaberia6318
    @johanakaberia6318 Před 3 měsíci

    Munguka munguka hakuna ingine hiyo tuu

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 3 měsíci

    Chavucha mugosi mulungu rasimie,,Owen Baya good speech

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci

    Mjomba senator Fakii tunakuaminia coz Sheria unaimanya properly.Hiongera waziri Omari Kwa kusimama kidete na watu wako ,usijali sisi watu wa Mombasa tunakuthamini na tutakuchaguwa ukisimama na sisi ,usijali kabisaa

  • @MafonyeMakhanje
    @MafonyeMakhanje Před 3 měsíci +2

    Nawapongeza viongozi wa pwani kwa umoja wenu,

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci

    Kweli tunakula Mogukaa lakini si kitu poa kabisaa imetuathiri sana,kimasimo,,kiuchumi na hata umetuongezea umasikini na uchizi or uwendaazimuu.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci

    This is the time coast region and north Eastern region must come over this menance of Mugukaaa or otherwise we are finished.wajinga wakierevuka werevu mashakani.Hakuna lolote so President Ruto must come to his sense and form atribunial of expertise to deal with this menance.

  • @johanakaberia6318
    @johanakaberia6318 Před 3 měsíci

    Kwani hunasikiwa bunduki hununue hama hule kwendeni huko hubinafusi.

  • @dicksonmwangi5797
    @dicksonmwangi5797 Před 3 měsíci +4

    Shukurani viongozi. Muguka hata laikipia imeharibu vijana ni vile lazima wafuate UDA hatakama vijana wanaisha. Manyara ODM CHAIRMAN NYANDARUA COUNTY.

    • @higahassib6614
      @higahassib6614 Před 3 měsíci

      Let’s come together and stop this poison

  • @abditari7998
    @abditari7998 Před 3 měsíci

    hongereni sana

  • @user-wg3fv6vv5n
    @user-wg3fv6vv5n Před 3 měsíci

    National gvmt has to fight bhang,cocain and heroine from entering the country not fighting counties over muguka

  • @WANJIKUgiltrap
    @WANJIKUgiltrap Před 3 měsíci

    How is the coast prepared with rehabilitation purposes? How well are we equipped to accommodate or what action will be taken once the addicts start withdrawing symptoms?

  • @januarismuli4969
    @januarismuli4969 Před 3 měsíci +2

    There is politics behind this.

  • @evansbati3019
    @evansbati3019 Před 3 měsíci +1

    Pwani si Kenya 😢

  • @Munira-le3bx
    @Munira-le3bx Před 3 měsíci +1

    Shikamaneni muwe ki2 kimoja mutafanya maedeleo mengi mukiwa ki2 kimoja viongozi wote pwani wawache kutunyanyaza hata sisi tunaweza kuwa na raisi wetu huku kisiwani pwani kisiwa hichi na tukajiamulia vitu vetu bila kupingwa shikamaneni wapwani wacheni kutumiwa hatutaki kuwaona muna jingawanya kuweni naumoja kosit

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 Před 3 měsíci

    Asanteni sasa viongozi wetu kazeni kamba hivyo hivyo hakuna kuridi nyuma tumechoka

  • @mukhtarnoor8664
    @mukhtarnoor8664 Před 3 měsíci

    Stand up as one and defeat them.Maguka is destroying our future generation and our stand remains the same.No Mogoka in Coastal Region.Same ban is coming from Somalia too

  • @menradmwaliko3661
    @menradmwaliko3661 Před 3 měsíci +1

    It's time to not let yourselves be taken advantage of. Msikubali vitisho kabisaa.

  • @johanakaberia6318
    @johanakaberia6318 Před 3 měsíci

    Kwenu pekee washa siasa ya ukabila hapo sio munguka. Ni siasa

  • @gundererthemustache5818
    @gundererthemustache5818 Před 3 měsíci

    Solutions ni kuchoma magari tuh tupeni go ahead wajomba Kazi ianze acheni mdomo mingi

  • @Munira-le3bx
    @Munira-le3bx Před 3 měsíci +1

    Hao walaji wamugoka hata hamu yachakula hawana ndio wanakubali iuzwe niwaatiriwa tayari ipo kwadamu Yao isiletwe kabisa hatumtaKi roto kuwa raisi watu hatujali huku wapwani hiki nikisiwa tujitawale wenyewe huku tuwe na raisi wetu

  • @salimhamisi29
    @salimhamisi29 Před 3 měsíci

    Wakitumia nguvu kuingiza kazi n kuchoma magari yao n mgokaa wao, period.

  • @SUNSHINE-fu4ec
    @SUNSHINE-fu4ec Před 3 měsíci +1

    Mbona mohamed ali hakuonekana kutoa maoni yake au yuko safari?

  • @lamutamu5492
    @lamutamu5492 Před 3 měsíci +1

    Watuache coast tutafune Mabuyu yetu. Mugukaaa iuzwe kwao

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 Před 3 měsíci

    POA wazito music babaishwe na watu ambao Hawa jui ku Thamba huzunguka na Najisi Mwilini

  • @johanakaberia6318
    @johanakaberia6318 Před 3 měsíci

    Mimi sio hawa masombi wenu naishi mombasa na nakula munguka vipi nitapata wapi? Hama hata mimi nimefungiwa?

  • @gsamoei
    @gsamoei Před 3 měsíci

    What's the difference between muguka and miraa. I strongly believe both drugs should be banned and farmers should be assisted with alternative high yiled crops.

  • @salimmashjary8028
    @salimmashjary8028 Před 3 měsíci +1

    Well done viongozi wetu well done mbeyu well done baya well done hassan and all

  • @Munira-le3bx
    @Munira-le3bx Před 3 měsíci +1

    Ndio hatutaki chakula imekuwa hali sababu kila mkulima ana taka kupada mugoka hauna mambo mengi wakulima sasa wanalima mugoka ndio chakula imekuwa hali walime chakula

  • @3pensink
    @3pensink Před 3 měsíci

    Mbona mmeishi Na madawa ya kukevya miaka nenda miaka Rudi ???

  • @MohamedDahir-hj2oq
    @MohamedDahir-hj2oq Před 3 měsíci

    Coast parliamentary group you better have a dialogue with cs agriculture hon linturi.if you boycott u can't win this war.

    • @rajabyanga3026
      @rajabyanga3026 Před 3 měsíci

      Wanaelewa kila kitu ndo maana hawataki kuongea naye

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci

    Sasa hakuna story mingi president Ruto hakuna kura za wa pwani kama utatubakuwa na utatuletea ujuaji basi Raia ni wajuwaji kabisaa na pwani hatutotumiwa vibaya eti ukitaka kura za uraisi unakuja pwani lakini tukiwa na shida munatuacha solemba

  • @tobbynzuga7639
    @tobbynzuga7639 Před 3 měsíci

    Congratulations good

  • @hamadmohammed9928
    @hamadmohammed9928 Před 3 měsíci

    Imagine mtu anachuma mgokaa anaenda kunya hatumii maji alfu anachuma mgokaa na hauoshwi then vijana munakula munajua munakula nn hapo tumieni akili vijana wa msa chanukeni

  • @abunanna4004
    @abunanna4004 Před 3 měsíci

    Wapeleke kwengine kwani mpaka coast

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 3 měsíci

    This is the way to depopulation, and the president is giving ahand on this.

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 3 měsíci +2

    Apo udini ubaguzi wakidini na ubaguzi warangi TU ndio mumeficha katika nafsi zene

    • @amirmohamedali7922
      @amirmohamedali7922 Před 3 měsíci

      Wewe hujui lolote nichuki tu lao wapwani wangekua na ubaguzi ama udini tusinge ishi na makabila yote ya kenya

    • @salimhamisi29
      @salimhamisi29 Před 3 měsíci

      Akili yako finyu

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e Před 3 měsíci

    BAN MIRAA AND MUGOKA IN KENYA 🇰🇪 MOMBASA IS GOOD 👍 👌 👏 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mukuvakyandangwaband
    @Mukuvakyandangwaband Před 3 měsíci

    Ama mnataka kuanzisha vita nyinyi wapwani? Aaya twende kazi

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 Před 3 měsíci +2

    Baya kwa suala la mugoka ninakuunga mkono lkn ww ulisave linturi bure sana

  • @danielogoti4700
    @danielogoti4700 Před 3 měsíci

    It will favour Linturi if they sale it upcountry.

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 Před 3 měsíci

    Tumechoka kunyanyaswa huu ndio wakati wa viongozi wa Pwani na wanapwani kuungana na kuwa kitu kimoja.

  • @AtangaWilfred-tl4uv
    @AtangaWilfred-tl4uv Před 3 měsíci

    Wabunge ni vigeugeu msiwaamini

  • @brekhemed853
    @brekhemed853 Před 3 měsíci

    Miraa na Mogoka marfuku kabisa . Waongozi wanao simama pamoja kwa Haki na wameona ukweli kua Miraa na Mogoka ni mbaya kwa bina Adamu Mwenyezi Mungu Awalinde Awahifadhi na awape nguvu ya kutetea Haki Pwani na Kenya. Haki ni Haki na Haibadiliki.

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid Před 3 měsíci

    Apo ni sawa wakule uko kwao tu

  • @fredmwangi177
    @fredmwangi177 Před 3 měsíci

    All mugoka and miraa should be uprooted and plant cannabis instead, wazee wachome kabisa, stress free 😅😅😅

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 3 měsíci

    Pwani hoeee

  • @user-ku2ln4ng5l
    @user-ku2ln4ng5l Před 3 měsíci

    Sikilamtu auzie kwake kwani lilazima. Wa
    Muambao wakue hata Bure hawataki silazima kwa jamii yao so??????? Siwauzie meru Tena siobure watu wasome mbona. Raiya wazazi. Kwao nikupunguza vitu. Via kuleiviya Sasa cost wamekataa. Siyo lazima wako na right mimi pia sikubali jast for love. And drugs.???????. Siwakauxze. Kwa bunge ama niaje wangwana

  • @DuncanKodia
    @DuncanKodia Před 3 měsíci

    Alisababu

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu Před 3 měsíci

    Simba ameongea Owen baya

  • @muhmuhsini005
    @muhmuhsini005 Před 3 měsíci

    Heko Bedzuma vilevile kwa majawabu yako ya hikma sio chuki wala ubaguzi ni kutetea jamii yetu na tuko tayari kungana na yoyote tupige vita sio tuu Mungukaa hata pia Merungi Bangi na Cocaine moja baada nyengine.

  • @josphatkithure3535
    @josphatkithure3535 Před 3 měsíci

    Mr Owen does not understand himself

  • @IreneKendi-zl6zo
    @IreneKendi-zl6zo Před 3 měsíci

    Talk about unga but not muguka

  • @True-Kenyan
    @True-Kenyan Před 3 měsíci

    Nyinyi nyooooote ni mangombe,Mimi si wa Kutoka Embu lakini mjue Rais Ruto ndiye last say na alisema muache ujinga👌👌

    • @salimhamisi29
      @salimhamisi29 Před 3 měsíci

      Kwenu si kwetu. Si Mungu yy tunampiga dude akatulia ka maji y mtungi

  • @MohamedDahir-hj2oq
    @MohamedDahir-hj2oq Před 3 měsíci

    Mogoka and mirra are cash crop can you sensitise the community on drugs like cocaine mandrax, shisha unga na mnazi.coast parliamentary group if you are serious. Can employ the youths and give sms business enterprises to widow, single mothers before you take such action .

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 3 měsíci +2

    Amjarazimishwa kunywa nyinyi mnamchezea ruto angekuwa gachagwa raisi mngefunuwa midomo yenu michafu nachuki mlizo ficha ktk vifuwa vyenu

    • @amirmohamedali7922
      @amirmohamedali7922 Před 3 měsíci

      Wewe ndie mwenye mdomo mchapo na unanuka mavi
      Wapwani ni watu wakarimu na hawana ubaguzi kama wewe pumbavu na chuki yko kwa kukataa mugokaa unasema maneno mabaya kwa pwani kwa taarifa pwani ndio Kenya yenyewe njoo pwani uone makabila yote yako pwani
      Hakuna jimbo lolote Lina makabila yote ya Kenya ispokua pwani

    • @user-jh2yj4tb3u
      @user-jh2yj4tb3u Před 3 měsíci

      Wewe peleka mogokaa kwa family yako

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci

      Kula ww mighoka acha pwani waishi kujinafas mighoka n Haram ni Haram inaeffects nyingi sana

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid Před 3 měsíci +1

    Ata iyo miraa pia iende mbelembele uko shenzi kabisa

    • @franciskabila8136
      @franciskabila8136 Před 3 měsíci

      Miraa hata kabla kenya iundwe miraa yaliwa.ushasikia miraa yauwa watu?

    • @franciskabila8136
      @franciskabila8136 Před 3 měsíci

      Alafu jua kutofautisha moguka na miraa ni vitu viwili tofauti.moguka hauna hata miaka kumu kwa market.

    • @KassimKhalaid
      @KassimKhalaid Před 3 měsíci

      @@franciskabila8136 atutaki zote ni upuzi kuleni uko ata mbuzi atumii

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 3 měsíci +1

    Ndio maana unaona ata watu weusi akuna apo niunafusi na chuki zamabaki yawarabu warabu niwabaguzi sn nimabigwa wafitina ndio maana Israel inawafundisha adabu uko

    • @salimmashjary8028
      @salimmashjary8028 Před 3 měsíci

      Wewe hujui nini unaongeya nataraji saa hii unakula mgokaa pole sana.waarabu ndio sumu yake ambaya serikali ilete police wapige risasi wamalize wote kama unavo kufa kwenu Nairobi rift Valley

    • @manfuadhashim7236
      @manfuadhashim7236 Před 3 měsíci

      Waumwa ukiwa wapi?

    • @MafonyeMakhanje
      @MafonyeMakhanje Před 3 měsíci

      Hongereni viongozi wa pwani kwa umoja wenu kukataza mugoka,

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l Před 3 měsíci

      Samahani pole sana.atutaki mighoka pwani

    • @user-jh2yj4tb3u
      @user-jh2yj4tb3u Před 3 měsíci

      Nyinyi ndio muko na chuki na roho mbaya,tumesema mogokaa hatutaki mombasa saitan

  • @DuncanKodia
    @DuncanKodia Před 3 měsíci

    Nyinyi munalipwa kufanya unafiki apa kenya

    • @raphaeloloo9641
      @raphaeloloo9641 Před 3 měsíci

      ww kungunguni tuliza mkundu au tutakukuna

    • @shuaibaslam6247
      @shuaibaslam6247 Před 3 měsíci

      Meza wembe.. hatutaki mugukaa pwani. Kuleni nyinyi

  • @josphatkithure3535
    @josphatkithure3535 Před 3 měsíci

    Ujinga mtupu