Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 01. 2023
  • Hii ni Part 01 ya sehemu ya tano na ya mwisho ya Darasa la ndoa

Komentáře • 64

  • @FatimaMbeyu-mn7yf
    @FatimaMbeyu-mn7yf Před 6 měsíci +4

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Před rokem +9

    Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH
    Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN

    • @eddymaphy
      @eddymaphy Před 5 měsíci

      Aamin yarabbil'alamin

  • @AishaB-gm7to
    @AishaB-gm7to Před 4 měsíci

    Mashaa Allah shukran jazakallah

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Před rokem +2

    Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Před rokem +3

    Masha Allha nakuelewa vizur
    Ostazati wetu

  • @eddymaphy
    @eddymaphy Před 5 měsíci

    MashaAllah ❤

  • @safiasaif9741
    @safiasaif9741 Před rokem +1

    Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Před 9 měsíci +1

    Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d Před 5 měsíci

    Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Před rokem +1

    Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County

  • @aishabashirbashir-vv9lk
    @aishabashirbashir-vv9lk Před rokem +1

    Mashallah

  • @rodgersomar6597
    @rodgersomar6597 Před rokem +1

    Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Před rokem +1

    Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Před rokem +2

    Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,

  • @mhamadaldo7338
    @mhamadaldo7338 Před 6 měsíci

    Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 Před 8 měsíci

    Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...

  • @a.856
    @a.856 Před rokem +2

    Jazakallah khayran

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem +2

    😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋

  • @saidiabdi6993
    @saidiabdi6993 Před rokem +1

    Mashaallah waoe elimu

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Před rokem

    Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏

  • @zaidahadhieno1171
    @zaidahadhieno1171 Před rokem

    Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před rokem +2

    Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh

  • @maimunahhassan5132
    @maimunahhassan5132 Před rokem +2

    Tunashukuru kwa darsa zuri ukht

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 Před rokem +2

    Asant san mama💖💖💖💖💖

  • @abdulragmababdulsalam5107

    Mashaallah

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před 6 měsíci

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana

  • @jumaamwamajeni1907
    @jumaamwamajeni1907 Před 5 měsíci

    Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.

  • @mshenzigamer2645
    @mshenzigamer2645 Před rokem

    Jazaka Allah kheir.

  • @user-xh9su4qc6d
    @user-xh9su4qc6d Před 5 měsíci

    Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba

  • @user-ss8hr9bz5g
    @user-ss8hr9bz5g Před 5 měsíci

    Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni

  • @MaryamSaid-lj2sz
    @MaryamSaid-lj2sz Před 10 měsíci

    BaarakaAllah

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Před rokem

    As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před rokem +1

    Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli

    • @rashidngumbao3346
      @rashidngumbao3346 Před rokem

      Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu

  • @user-oq6hb9hh2b
    @user-oq6hb9hh2b Před 3 měsíci

    Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Před rokem +1

    Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Před rokem +1

    Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 Před rokem +1

    Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Před rokem

    Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.

    • @sadasaid7212
      @sadasaid7212 Před rokem

      Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi

    • @mkanaonlinetv2994
      @mkanaonlinetv2994 Před rokem

      Allah Karim unajitahidi mno

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Před rokem +1

    Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před rokem

      Njooo unioe mie.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před rokem

      Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 Před 7 měsíci

    Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?

  • @sumeyaahmed4187
    @sumeyaahmed4187 Před rokem

    Naomba namba ya ukhty fatma mdidi

  • @farmah9685
    @farmah9685 Před rokem

    Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Před rokem

      Umepata faida au umeangalia uchi

    • @womar4125
      @womar4125 Před rokem

      Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Před rokem

      Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.

    • @dhulfikariftikar7736
      @dhulfikariftikar7736 Před 9 měsíci

      Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Před rokem +8

    Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula

    • @chantalalia4811
      @chantalalia4811 Před rokem +1

      Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru

    • @sadakimwaki9791
      @sadakimwaki9791 Před rokem

      Huku arabuni ni mtihani

    • @winnieanyango3951
      @winnieanyango3951 Před rokem

      Pesa zinaongea

    • @ruhaymanllymuhammed2094
      @ruhaymanllymuhammed2094 Před rokem

      Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před rokem +1

      Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe

  • @BarakaChirume-wn9mi
    @BarakaChirume-wn9mi Před rokem

    Xx

  • @MwanaKombo-sh5hf
    @MwanaKombo-sh5hf Před rokem

    Mashallah