Huyu ndiye aliyesimamisha hotuba ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.
Vložit
- čas přidán 23. 03. 2021
- Wengi walishtuka. Hawakujua kwa haraka kilichosababisha Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, asite wakati akihutubiwa wananchi, wageni na viongozi wenzake jijini Dodoma, kwenye mazishi ya kitaifa ya hayati John Magufuli.
Kumbe, alifanya hivyo, kupisha wito wa suala ya adhuhuri (adhana), ambayo ilimchukua dakika moja na nusu. Hili lilidhihirisha utii wa imani.
Mashallah kijana mdogo una sauti nzuri ya adhana.Mola azidi kukujaalia na heko kwa rais wa Kenya.
If we want to succeed we've to put GOD first. Kenyan national anthem it's a prayer
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
@@anastasiamainaministries2700 p00
Manshallah Kwa kijana mdogo ambaye hajihusishi na mambo mbaya ila anashikilia dini nakuombea Allah akuzidishie,na sote atuongoze, ameen 🙏
Allah akujaalie
Thanks my friend for stopping earthly thing
Amiin
WE HAVE A GREAT LEADER KENYANS..RESPECTFUL.
Our "great leader" needs to fight corruption in Kenya tooth and nail!
Ongera kenyata mungu akulinde katika mambo yako yote
Hapo nimempa 💯 Uhuru Kinyata. Kijana Allah akipanfishe daraja dua yangu.
Mashallah from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Hio ilikuwa Baraka kusikia Aadhaan na kusema Allahu akbar ambaye ina maana Allah ni Mkubwa...ALLAH IS GREAT
Thank you on their behalf....🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝🏾☝🏾
WITOO, WITOO..... Hata Mh KENYATA katoa wito kwa WAISLAM na kutukumbusha kuwa WAKATI wa Swala umewadia.
Hakuna shughuli za kitaifa mbele ya mwenyewe MWENYEZI MUNGU mwenye DUNIA HII ndiye anaetupa uhai ALHAMDULILLAH
Kwa anae jitambua kwamba tunapta ktk hii dunia
Ilikuwa heshima kubwa sana. H.E. Uhuru asante tunakupenda...
lll
Be blessed young man you will live long Kenya is watching
Allah akujaalie Uhuru kenyata uwe ni mwenye kutamka kalima yalaillah haillah Muhammad rasullah na namuomba Allah mtukufu achukuwe roho yako Hali yakuwa wewe ni muislam na upo ndani ya ummat muhammad s,a ,w
Mungu wetu si wa uislamu mpedwa mungu Ni wa watu wote kwa hiyo usijidanganye uislam utakupeleka mbele za mungu.rais Kenyatta alisimamisha hotuba Ni kwa heshima ya mungu Wala si uislam kwahiyo ndugu yangu ondoa itikadi ya udini kichwani mwako.uislam Wala ukristo hauwezi kukufanya ufike mbele za mungu,Bali kumwamini mugu na matendo yaliyo mema .rais kenyata at akifa Sasa hivi lazima afike mbinguni kwasababu Hana itikadi ya udini kichwani mwake hata kengele kanisani ingepigwa angesimamisha hotuba pia.ndugu yangu usijidanganye ondoa bacteria kichwani mwako.
@@dianawitgar6760 qiama ikifika utajua hujui wacha vile unavyo singizia.
@@shakila3982 Kwani kuna qiama ingine ushawahi shuhudia?
The only leader who truly fears God....hongera rais wetu
MA SHAA ALLAH ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR
Mashallah May God guide all those who respect the call of prayers and President Uhuru Kenyatta god will definitely rise Africa inshallah
I will pray for my brothers and sister of Africa
Mashaa Allah my brother muadhin and Thanks you rais wetu wa jamuhuri ya Kenya Uhuru muigai Kenyatta kwa taswira njema si kwa Kenya-tanzania pekee Bali kote duniani. I really appreciate you... You're truly God-loving man and religious tolerant
allah kareem akuzidishie katik maisha yako ameen rab allah ameen
Jazakallah khayran
Thats Kenyan respect ulirepresent nchi na Africa in the best way
Allah akupe umr mrefu wenye her na baraka nww akulinde NA klalaher ishalla
Hili ni jambo la kipekee,,, Mungu ni zaidi ya jinsi tunavyomjua,,, Wito na jambo la msingi kwetu sote ni Maombi.
#zingatia #hesabika
#may the will of God be done
Hongera Mr President
Please change the headline, the boy didn't stop the president, the president obeyed the prayers to Allah
Badilisha kichwa cha habari. Siye huyu aliye simamisha hutba ya raisi wa kenya ni Mwenyezi Mungu alipoonesha miujiza yake kupitia kijana huyo.🙏
Waislam wakenya Rais wenu kashaiyona haqi huyo wajibu wenu mlinganieni tu ataslim.
@@jumayahya2661 shukran. Kama ulifuatilia video moja ya Sheikh Kishk akiwa na mtoto mmoja aliye fanya kuwa na miujiza ya kuwa na elim. Alimuombea dua Raisi huyo wa Kenya awe Muislam baada ya kupata ruhsa kuonana naye ana kwa ana. Ni jukum letu sote kumuombea dua aslim
Hio ndio miujisa? ha ha ha ha.
Mie muislamu mkenya lakini raisi uhuru twamjua na mapombe yake, kusimamisha otumba yake kisa athana, kwa uhuru alitaka sifa tu, hili aonekane mpenda dini lakini mnafiki mkubwa uhuru, serikali yake imeishi kuwauwa mashekhe na hakuna kitu anacho kisema, waslamu wanauliwa usiku kucha Kenya na asemi chochote, mashekhe kufungwa jela kila wakati na hasemi chochote, uhuru ni bangi tu, jitu la raisi likwende.
@@shakila3982 Hivi kazi ya mungu kuhukumu, sio uislam kabisa kuhukumu wengine kwa visingizio. Alifanya yake, Mungu wake ayajua. Wewe nawe ushajitwaka jukumu la Mungu kuhukumu wengine...
Mungu amlinde mtoto huyu
Mash Allah may Allah grant you jannah ameen
Bismillah Maa sha Allah
Mashallah
Masha Allah
Proudly kenyan🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashallah 🤲🏻
If it was m7n he can't stop , respect mr president uhuru kenyatta from uganda
🤣🤣🤣
Mungu kuongoza Kaka etu barikiwa Kaka
Mungu akubariki sana kijana kwa sauti nzuri
Alhamdulilah mashaallah
Working hard to promote a religious idiology at all cost and with all means .
MashaAllah
Welcome Kenya kijana.our prezo honour God no matter religion
Good work bro.Prayers is important .May Allah blessings and prosperities follow you
It was Big Respect,and this must be lessons to our Muslim brothers and sisters,because Muslim doesn't respect Christian special when they find us Praying,infact they would abuse us Makafiri.
Hapo umenena kakangu.. mbona wanatuita makafiri?
Yea that is true
U have said it
They call us that because they see us like a dirty creatures but we leave it to God to judge as for us ww must love them because we know God is love🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@anastasiamainaministries2700 true my dear...
Mungu akubariki sana rais wangu kwa kumpa muumba wetu heshima
😭😭😭😭😭😭Mabruk, mashallah so amazing our president knew Islamic rule he is so good example to us may Allah guide him may Allah bless us too
Mungu akuzidishie umri kijana na sote pia inshallah
Nilitokwa na machozi ALLAH AWAONGOZE WENZETU
Kama mim nlirudia kuitizama zaid ya mara 5
Ameen 🙏
@Funny G-ga kwajili ya corona
@Funny G-ga acha uongo ni misikiti ya County 5 peke yake
MashAllah
Ata Mimi hapa nilishangaa kitendo hicho salam toka🇰🇪
Juu tuna waheshimu Sana,Swali ni,Inge kwa ni Nyinyi,munge fanya hivo? Ati Mchungaji Moja ako kando na aka aza kuomba,muta sisitisha shugli ya kitaifa,na mungonje amalize maombi yake kwa Mungu aliye tupenda sana aka tutumiaa mwanawe,afe,afufuke na kushinda mauti,God the Father,Son and the Holy Ghost....Amen
🥰🥰🥰
Allahu Akbr
" Jah rise while the enemies are scattered " bob marley
Masha'allah Allah amfanyie wepesi aijue haki
maashaallah maashaallah
heshima kwako kenyata
اللهم اهدي هذا الرئيس في الإسلام
ALLAHUMMA AMEEN!!! 🤲
Allahumma Ameen !!!
Amiina yarrab 🤲
امين يارب العالمين
Allaahumma Aamiin ya Rabb Aamiin
Hongera
Mashallah,.
Hongera mungu ndio kila kitu
Bodyguard alishangaa 😁😁😁
Kimbe uliona pia🤣🤣
@@sanurandune8066 kabisaa😂😂😂
😂😂🤣 ndio nmeona alitaka kuliza kuna nn Mr president mashaAllah nampenda Sana rahis wangu Kenyatta
😄 🤣 😂 😆 😄 🤣
Alikua ana wacwac 😂😂😂
God bless you so much my president
MaashaAllah
May Allah show you and us the straight path
God fearing president..hongera
Mashaaallah
Eleweni bwana..!aliye simamisha hutba n Allah.. Sisi wakenya tuna elewa ivyo.. Mungu ameonyesha ukubwa wake. Kenyatta hamjui uyo aliye adhini alijua mungu tu ndo maana akanyamaza..
Allah no nini nyinyi mbona msiombe kwa kizungu
@@oscahinyangala1490 kiarabu no lugha kamali. Na mungu aliyeteremsha wahyi alitaka hivo
Heshima yake kwa Mungu na kwa imani za wengine ukiongezea na uungwana ndio uliomfanya Kenyata afanye kile wala sio huyo mpiga adhana!Mungu ni mmoja na ndiomana alijeshimu
*Kilicho staajabisha ni mungu alivyoonyesha dunia nzima THAMANI YA ADHANA inavyoathiri binaadamu. Sio kwamba kwakua yeye ni rais, hapana kwa kua uzito wa adhana unavyomathiri binaadamu. Kama vile VAN DAME, MORGAN FREE MAN, PRIYANKA CHOPRA na wengine walivyosema hisia zao. Tizama CZcams utawaona walivyosema mwili humsisimuka mtu anapoisikia hususan wanaofwata dini nyingine, Allah huwaongoza kwa njia hiyo*
Mashallah,, proudly kenyan
Allah amjaalie amuongowe Uhuru Kinyatta.
Bravo!! Our president our heroe...may Allah guide you to the straight path of Islam, Amiin
Ma shaa Allah
Maa shaa Allah
Kabisaa
Maashallah rais kenyata Allah akuongoze
Nilitokwa n machoz jmn kwa jmnc nilivyofrh kwamb ni jmnc gan mwenyezimung nmkubwa
Adhana ni mwito ni watu wote wanaitwa waende wamuabud u Mwenyezi Mungu
Wanaitwa Waumini wa Kiislam, Siyo Wote .
Unaeza kunifafanulia maana ya adhana
Namtukuza MUNGU BABA kwa ajili ya Raisi wa Kenya , kitendo hiki tungekiiga sisi sote kuona umuhimu wa kumpa Mungu muumba wa Kila kitu ibada, bila kujani Niko na Nani. Heri uliyeiona adhana hi na kuiheshimu. Amani hi isiondoke maishani kwako
That's great
Rekebisha kichwa cha habari, Adhana Ndiyo Imemsababisha Rais Uhuru Asitishe Hutuba. Co Sema Huyu Ndiye Alie Adhini.
Hawa watu wanashida ya kutoelewa nyinyi mtabatizwa na maji mengi Sana ngojeni tuu mpaka mkubali YESU CHRISTO ni simba wa YUDA
Waaah,, God first
WITOO...WITOOO nimefurahi atarii Rais kenyata muungu atakulipa hapa duniani na akera pamoja na sisi
Naipenda sna hii video kwakweli nilifurahishwa na huyu rais
Mashaa Allah
mashaalah
Sadfa ni kwamba Rais alizungumzia mwito kabla ya kusimamisha hotuba yake.
Masha Allaah
Asante sana Rais KENYATTA kwa kuweka mwenyezi mbere ya mambo yote
Heshima sio utumwa
Huyu ndiye alisimamisha reggae
Sema huyu ndie alie adhini adhana ilio msimamisha Rais Kenyatta
Lakini sio eti huyu ndie alie msimamisha Rais Kenyatta inamana rais hakusimamisha khutba yake kwa ajili ya adhana ni kwa ajili yake makosa hayo
Waambie wajielewe
True
MashAalah
Ma shaa Allah.Allahu Akbar
Sio kijana bali ni maamrisho ya mwenyezi mungu kila adhana ikiita nilazima shughuli zisimame hadi kuongeaongea lazima mnyamaze
God above all to be revered....
President Uhuru Kenyatta is blessed
Kwa kweli Ali interrupt shughuli ya Kitaifa, kwa kuwa haikuwa kwenye ratiba, kwa sisi ambao sio waislam hatukuelewa maana yake ni nini,, Tanzania 🇹🇿 kuna dini nyingi, ikiwa kila dini ingefunga ma spika na kufungulia kwa sauti, ingekuwa tafrani pale. Nawapenda na kuwaheshimu wa islamu na dini zingine, lakini ni vyema kila dini iheshimu dini zingine na shughuli za kitaifa.
Ubarikiwe
Nani ameinterrupt kwa mwenzake?
Muda wa adhana ndio ule umefika na ni jambo la kila siku na la kiimani ya dini husika.Sasa wasitekeleze eti kwasabababu kuna shughuli za kitaifa!! Kama ingelikuwa kunatolewa mawaidha kwa sauti kubwa kama ile na wala sio muda wa ibada hapo ingekuwa ame interrupt.
Be careful Allah is GREAT. TAKE CARE
Shikeni William, hako kachuki unakoonyesha sio wewe wa kwanza hata makafiri wa mwanzo kabisa walionyesha, mbona huku tunakokaa kaa makanisa yanapiga kelele usiku mzima tunashindwa mpaka kulala na hatusemi, ila Adhana ambayo haimalizi hata dakika tano imekukera.
*Kilicho staajabisha ni mungu alivyoonyesha dunia nzima THAMANI YA ADHANA inavyoathiri binaadamu. Sio kwamba kwakua yeye ni rais, hapana kwa kua uzito wa adhana unavyomathiri binaadamu. Kama vile VAN DAME, MORGAN FREE MAN, PRIYANKA CHOPRA na wengine walivyosema hisia zao. Tizama CZcams utawaona walivyosema mwili humsisimuka mtu anapoisikia hususan wanaofwata dini nyingine, Allah huwaongoza kwa njia hiyo*
Mashaallah mashaallah
Mashalah
Mbeele ya Allah hkun rais
Mungu ahimidiwe
Munakosa kuelewa raisi wetu aliheshimu mungu siyo mwenye aiadhini eleweni hilo acheni masifa hata kenya hufanya hivyo yy
Glory to God almighty
Maa shaa allah
Mashaalah
Maashaalah maashaalah
Masha llwahu
Allahhu Akbar!!