Huyu ndiye aliyesimamisha hotuba ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 03. 2021
  • Wengi walishtuka. Hawakujua kwa haraka kilichosababisha Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, asite wakati akihutubiwa wananchi, wageni na viongozi wenzake jijini Dodoma, kwenye mazishi ya kitaifa ya hayati John Magufuli.
    Kumbe, alifanya hivyo, kupisha wito wa suala ya adhuhuri (adhana), ambayo ilimchukua dakika moja na nusu. Hili lilidhihirisha utii wa imani.

Komentáře • 362

  • @werehadija153
    @werehadija153 Před 3 lety +53

    Mashallah kijana mdogo una sauti nzuri ya adhana.Mola azidi kukujaalia na heko kwa rais wa Kenya.

  • @fhblessedfamily6873
    @fhblessedfamily6873 Před 3 lety +48

    If we want to succeed we've to put GOD first. Kenyan national anthem it's a prayer

  • @bornvillagevlog4566
    @bornvillagevlog4566 Před 3 lety +40

    Manshallah Kwa kijana mdogo ambaye hajihusishi na mambo mbaya ila anashikilia dini nakuombea Allah akuzidishie,na sote atuongoze, ameen 🙏

  • @josephineholmlund9820
    @josephineholmlund9820 Před 3 lety +22

    WE HAVE A GREAT LEADER KENYANS..RESPECTFUL.

    • @mentuhotepii2641
      @mentuhotepii2641 Před 3 lety

      Our "great leader" needs to fight corruption in Kenya tooth and nail!

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 Před 3 lety +56

    Ongera kenyata mungu akulinde katika mambo yako yote

  • @tammymhina5454
    @tammymhina5454 Před 3 lety +11

    Hapo nimempa 💯 Uhuru Kinyata. Kijana Allah akipanfishe daraja dua yangu.

  • @idalahow
    @idalahow Před 3 lety +9

    Mashallah from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Hio ilikuwa Baraka kusikia Aadhaan na kusema Allahu akbar ambaye ina maana Allah ni Mkubwa...ALLAH IS GREAT

    • @Okwirisam254
      @Okwirisam254 Před 3 lety

      Thank you on their behalf....🇰🇪🇰🇪🇰🇪☝🏾☝🏾

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 3 lety +40

    WITOO, WITOO..... Hata Mh KENYATA katoa wito kwa WAISLAM na kutukumbusha kuwa WAKATI wa Swala umewadia.

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +58

    Hakuna shughuli za kitaifa mbele ya mwenyewe MWENYEZI MUNGU mwenye DUNIA HII ndiye anaetupa uhai ALHAMDULILLAH

  • @anastasiamainaministries2700

    Be blessed young man you will live long Kenya is watching

  • @MohamedMahmoud-ze7cn
    @MohamedMahmoud-ze7cn Před 3 lety +15

    Allah akujaalie Uhuru kenyata uwe ni mwenye kutamka kalima yalaillah haillah Muhammad rasullah na namuomba Allah mtukufu achukuwe roho yako Hali yakuwa wewe ni muislam na upo ndani ya ummat muhammad s,a ,w

    • @dianawitgar6760
      @dianawitgar6760 Před 3 lety

      Mungu wetu si wa uislamu mpedwa mungu Ni wa watu wote kwa hiyo usijidanganye uislam utakupeleka mbele za mungu.rais Kenyatta alisimamisha hotuba Ni kwa heshima ya mungu Wala si uislam kwahiyo ndugu yangu ondoa itikadi ya udini kichwani mwako.uislam Wala ukristo hauwezi kukufanya ufike mbele za mungu,Bali kumwamini mugu na matendo yaliyo mema .rais kenyata at akifa Sasa hivi lazima afike mbinguni kwasababu Hana itikadi ya udini kichwani mwake hata kengele kanisani ingepigwa angesimamisha hotuba pia.ndugu yangu usijidanganye ondoa bacteria kichwani mwako.

    • @shakila3982
      @shakila3982 Před 3 lety

      @@dianawitgar6760 qiama ikifika utajua hujui wacha vile unavyo singizia.

    • @patrickndichu3905
      @patrickndichu3905 Před 3 lety

      @@shakila3982 Kwani kuna qiama ingine ushawahi shuhudia?

  • @isaacmuturi5417
    @isaacmuturi5417 Před 3 lety +10

    The only leader who truly fears God....hongera rais wetu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 3 lety +18

    MA SHAA ALLAH ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR ALLAH AKBAR

  • @seemaa130
    @seemaa130 Před 3 lety +6

    Mashallah May God guide all those who respect the call of prayers and President Uhuru Kenyatta god will definitely rise Africa inshallah
    I will pray for my brothers and sister of Africa

  • @abdikarim458
    @abdikarim458 Před 3 lety

    Mashaa Allah my brother muadhin and Thanks you rais wetu wa jamuhuri ya Kenya Uhuru muigai Kenyatta kwa taswira njema si kwa Kenya-tanzania pekee Bali kote duniani. I really appreciate you... You're truly God-loving man and religious tolerant

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 Před 3 lety +11

    allah kareem akuzidishie katik maisha yako ameen rab allah ameen

  • @a.856
    @a.856 Před 3 lety +2

    Jazakallah khayran

  • @rogersfundi4810
    @rogersfundi4810 Před 3 lety +3

    Thats Kenyan respect ulirepresent nchi na Africa in the best way

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 3 lety +3

    Allah akupe umr mrefu wenye her na baraka nww akulinde NA klalaher ishalla

  • @henrykaruri7850
    @henrykaruri7850 Před 3 lety +2

    Hili ni jambo la kipekee,,, Mungu ni zaidi ya jinsi tunavyomjua,,, Wito na jambo la msingi kwetu sote ni Maombi.
    #zingatia #hesabika
    #may the will of God be done
    Hongera Mr President

  • @raphaelopala6998
    @raphaelopala6998 Před 3 lety +11

    Please change the headline, the boy didn't stop the president, the president obeyed the prayers to Allah

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 3 lety +16

    Badilisha kichwa cha habari. Siye huyu aliye simamisha hutba ya raisi wa kenya ni Mwenyezi Mungu alipoonesha miujiza yake kupitia kijana huyo.🙏

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 Před 3 lety

      Waislam wakenya Rais wenu kashaiyona haqi huyo wajibu wenu mlinganieni tu ataslim.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před 3 lety

      @@jumayahya2661 shukran. Kama ulifuatilia video moja ya Sheikh Kishk akiwa na mtoto mmoja aliye fanya kuwa na miujiza ya kuwa na elim. Alimuombea dua Raisi huyo wa Kenya awe Muislam baada ya kupata ruhsa kuonana naye ana kwa ana. Ni jukum letu sote kumuombea dua aslim

    • @horatiusmzaledo1698
      @horatiusmzaledo1698 Před 3 lety

      Hio ndio miujisa? ha ha ha ha.

    • @shakila3982
      @shakila3982 Před 3 lety +1

      Mie muislamu mkenya lakini raisi uhuru twamjua na mapombe yake, kusimamisha otumba yake kisa athana, kwa uhuru alitaka sifa tu, hili aonekane mpenda dini lakini mnafiki mkubwa uhuru, serikali yake imeishi kuwauwa mashekhe na hakuna kitu anacho kisema, waslamu wanauliwa usiku kucha Kenya na asemi chochote, mashekhe kufungwa jela kila wakati na hasemi chochote, uhuru ni bangi tu, jitu la raisi likwende.

    • @TK-pi1vr
      @TK-pi1vr Před 3 lety

      @@shakila3982 Hivi kazi ya mungu kuhukumu, sio uislam kabisa kuhukumu wengine kwa visingizio. Alifanya yake, Mungu wake ayajua. Wewe nawe ushajitwaka jukumu la Mungu kuhukumu wengine...

  • @roselynekagali4722
    @roselynekagali4722 Před 3 lety +4

    Mungu amlinde mtoto huyu

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 Před 3 lety +4

    Mash Allah may Allah grant you jannah ameen

  • @user-eg1dr6so4c
    @user-eg1dr6so4c Před 3 lety +9

    Bismillah Maa sha Allah

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 Před 3 lety +17

    Mashallah

  • @azamukha510
    @azamukha510 Před 3 lety +3

    Masha Allah

  • @ELISSKGTV
    @ELISSKGTV Před 3 lety +32

    Proudly kenyan🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 3 lety +11

    Mashallah 🤲🏻

  • @kulobamary4859
    @kulobamary4859 Před 3 lety +6

    If it was m7n he can't stop , respect mr president uhuru kenyatta from uganda

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před 3 lety +2

    Mungu kuongoza Kaka etu barikiwa Kaka

  • @mathayonelson6289
    @mathayonelson6289 Před 3 lety

    Mungu akubariki sana kijana kwa sauti nzuri

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety +6

    Alhamdulilah mashaallah

  • @truthchannel5285
    @truthchannel5285 Před 3 lety +19

    Working hard to promote a religious idiology at all cost and with all means .

  • @rehemamsabah3632
    @rehemamsabah3632 Před 3 lety +5

    MashaAllah

  • @kimennjeri5248
    @kimennjeri5248 Před 3 lety +1

    Welcome Kenya kijana.our prezo honour God no matter religion

  • @leemakonnengava9866
    @leemakonnengava9866 Před 3 lety +2

    Good work bro.Prayers is important .May Allah blessings and prosperities follow you

  • @Okwirisam254
    @Okwirisam254 Před 3 lety +8

    It was Big Respect,and this must be lessons to our Muslim brothers and sisters,because Muslim doesn't respect Christian special when they find us Praying,infact they would abuse us Makafiri.

    • @robairubby9511
      @robairubby9511 Před 3 lety +1

      Hapo umenena kakangu.. mbona wanatuita makafiri?

    • @doricas2049
      @doricas2049 Před 3 lety +1

      Yea that is true

    • @rosemaryblessed9682
      @rosemaryblessed9682 Před 3 lety +1

      U have said it

    • @anastasiamainaministries2700
      @anastasiamainaministries2700 Před 3 lety +2

      They call us that because they see us like a dirty creatures but we leave it to God to judge as for us ww must love them because we know God is love🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @robairubby9511
      @robairubby9511 Před 3 lety +1

      @@anastasiamainaministries2700 true my dear...

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 Před 3 lety +1

    Mungu akubariki sana rais wangu kwa kumpa muumba wetu heshima

  • @akothaisha048
    @akothaisha048 Před 3 lety +1

    😭😭😭😭😭😭Mabruk, mashallah so amazing our president knew Islamic rule he is so good example to us may Allah guide him may Allah bless us too

  • @jamelaega2779
    @jamelaega2779 Před 3 lety +2

    Mungu akuzidishie umri kijana na sote pia inshallah

  • @simbafc16
    @simbafc16 Před 3 lety +46

    Nilitokwa na machozi ALLAH AWAONGOZE WENZETU

  • @ibrahimAhmed-zq5hj
    @ibrahimAhmed-zq5hj Před 3 lety +5

    MashAllah

  • @penninahthegrace3036
    @penninahthegrace3036 Před 3 lety +7

    Ata Mimi hapa nilishangaa kitendo hicho salam toka🇰🇪

    • @Okwirisam254
      @Okwirisam254 Před 3 lety

      Juu tuna waheshimu Sana,Swali ni,Inge kwa ni Nyinyi,munge fanya hivo? Ati Mchungaji Moja ako kando na aka aza kuomba,muta sisitisha shugli ya kitaifa,na mungonje amalize maombi yake kwa Mungu aliye tupenda sana aka tutumiaa mwanawe,afe,afufuke na kushinda mauti,God the Father,Son and the Holy Ghost....Amen

    • @keyjoh2971
      @keyjoh2971 Před 3 lety

      🥰🥰🥰

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 Před 3 lety +4

    Allahu Akbr

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 lety +10

    " Jah rise while the enemies are scattered " bob marley

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +3

    maashaallah maashaallah

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před 3 lety +8

    heshima kwako kenyata

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 3 lety +12

    اللهم اهدي هذا الرئيس في الإسلام

  • @victorkasalu7613
    @victorkasalu7613 Před 3 lety +2

    Hongera

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 3 lety +4

    Mashallah,.

  • @barakasabule3172
    @barakasabule3172 Před 3 lety +9

    Hongera mungu ndio kila kitu

  • @sophiezakaria
    @sophiezakaria Před 3 lety +26

    Bodyguard alishangaa 😁😁😁

    • @sanurandune8066
      @sanurandune8066 Před 3 lety +3

      Kimbe uliona pia🤣🤣

    • @sophiezakaria
      @sophiezakaria Před 3 lety

      @@sanurandune8066 kabisaa😂😂😂

    • @sarahali5938
      @sarahali5938 Před 3 lety +2

      😂😂🤣 ndio nmeona alitaka kuliza kuna nn Mr president mashaAllah nampenda Sana rahis wangu Kenyatta

    • @diananamusia9906
      @diananamusia9906 Před 3 lety +2

      😄 🤣 😂 😆 😄 🤣

    • @ayshaayush8539
      @ayshaayush8539 Před 3 lety +1

      Alikua ana wacwac 😂😂😂

  • @penanauae316
    @penanauae316 Před 3 lety

    God bless you so much my president

  • @aishakkk6693
    @aishakkk6693 Před 3 lety +2

    MaashaAllah

  • @bito7949
    @bito7949 Před 3 lety

    May Allah show you and us the straight path

  • @wambuirarimi5669
    @wambuirarimi5669 Před 3 lety

    God fearing president..hongera

  • @jacklinemuthama3428
    @jacklinemuthama3428 Před 3 lety +1

    Mashaaallah

  • @mohammadalfani8004
    @mohammadalfani8004 Před 3 lety +6

    Eleweni bwana..!aliye simamisha hutba n Allah.. Sisi wakenya tuna elewa ivyo.. Mungu ameonyesha ukubwa wake. Kenyatta hamjui uyo aliye adhini alijua mungu tu ndo maana akanyamaza..

    • @oscahinyangala1490
      @oscahinyangala1490 Před 3 lety

      Allah no nini nyinyi mbona msiombe kwa kizungu

    • @MuhammadAli-we7sz
      @MuhammadAli-we7sz Před 3 lety +1

      @@oscahinyangala1490 kiarabu no lugha kamali. Na mungu aliyeteremsha wahyi alitaka hivo

  • @keivgerrard7597
    @keivgerrard7597 Před 3 lety +5

    Heshima yake kwa Mungu na kwa imani za wengine ukiongezea na uungwana ndio uliomfanya Kenyata afanye kile wala sio huyo mpiga adhana!Mungu ni mmoja na ndiomana alijeshimu

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 Před 3 lety

      *Kilicho staajabisha ni mungu alivyoonyesha dunia nzima THAMANI YA ADHANA inavyoathiri binaadamu. Sio kwamba kwakua yeye ni rais, hapana kwa kua uzito wa adhana unavyomathiri binaadamu. Kama vile VAN DAME, MORGAN FREE MAN, PRIYANKA CHOPRA na wengine walivyosema hisia zao. Tizama CZcams utawaona walivyosema mwili humsisimuka mtu anapoisikia hususan wanaofwata dini nyingine, Allah huwaongoza kwa njia hiyo*

  • @hanifahanifa2364
    @hanifahanifa2364 Před 3 lety

    Mashallah,, proudly kenyan

  • @bakarbakar3961
    @bakarbakar3961 Před 3 lety +1

    Allah amjaalie amuongowe Uhuru Kinyatta.

  • @sheikhsalimagwambo5364

    Bravo!! Our president our heroe...may Allah guide you to the straight path of Islam, Amiin

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 Před 3 lety

    Ma shaa Allah

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 Před 3 lety +1

    Maa shaa Allah

  • @joycemajala4355
    @joycemajala4355 Před 3 lety +6

    Kabisaa

  • @halimayusuf9969
    @halimayusuf9969 Před 3 lety

    Maashallah rais kenyata Allah akuongoze

  • @mwacitywakanay2101
    @mwacitywakanay2101 Před 3 lety +5

    Nilitokwa n machoz jmn kwa jmnc nilivyofrh kwamb ni jmnc gan mwenyezimung nmkubwa

  • @imranndal9493
    @imranndal9493 Před 3 lety +5

    Adhana ni mwito ni watu wote wanaitwa waende wamuabud u Mwenyezi Mungu

  • @fudasiakishe15
    @fudasiakishe15 Před 3 lety

    Namtukuza MUNGU BABA kwa ajili ya Raisi wa Kenya , kitendo hiki tungekiiga sisi sote kuona umuhimu wa kumpa Mungu muumba wa Kila kitu ibada, bila kujani Niko na Nani. Heri uliyeiona adhana hi na kuiheshimu. Amani hi isiondoke maishani kwako

  • @aminarufae4473
    @aminarufae4473 Před 3 lety

    That's great

  • @seremenikibwene8633
    @seremenikibwene8633 Před 3 lety +3

    Rekebisha kichwa cha habari, Adhana Ndiyo Imemsababisha Rais Uhuru Asitishe Hutuba. Co Sema Huyu Ndiye Alie Adhini.

    • @oscahinyangala1490
      @oscahinyangala1490 Před 3 lety

      Hawa watu wanashida ya kutoelewa nyinyi mtabatizwa na maji mengi Sana ngojeni tuu mpaka mkubali YESU CHRISTO ni simba wa YUDA

  • @rosewambui4999
    @rosewambui4999 Před 3 lety

    Waaah,, God first

  • @sabringwal3079
    @sabringwal3079 Před 3 lety +2

    WITOO...WITOOO nimefurahi atarii Rais kenyata muungu atakulipa hapa duniani na akera pamoja na sisi

  • @sabringwal3079
    @sabringwal3079 Před 3 lety

    Naipenda sna hii video kwakweli nilifurahishwa na huyu rais

  • @masuodhassan1871
    @masuodhassan1871 Před 3 lety +1

    Mashaa Allah

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 Před 3 lety +1

    mashaalah

  • @AbrazaNewsKE
    @AbrazaNewsKE Před 3 lety +1

    Sadfa ni kwamba Rais alizungumzia mwito kabla ya kusimamisha hotuba yake.

  • @aishasmoni5881
    @aishasmoni5881 Před 3 lety

    Masha Allaah

  • @jamesmaina9246
    @jamesmaina9246 Před 3 lety

    Asante sana Rais KENYATTA kwa kuweka mwenyezi mbere ya mambo yote

  • @samsamuel20
    @samsamuel20 Před 3 lety +5

    Heshima sio utumwa

  • @hustlernationisunstoppable4083

    Huyu ndiye alisimamisha reggae

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 Před 3 lety +5

    Sema huyu ndie alie adhini adhana ilio msimamisha Rais Kenyatta
    Lakini sio eti huyu ndie alie msimamisha Rais Kenyatta inamana rais hakusimamisha khutba yake kwa ajili ya adhana ni kwa ajili yake makosa hayo

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 3 lety +1

    MashAalah

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 Před 3 lety

    Ma shaa Allah.Allahu Akbar

  • @omaryally5555
    @omaryally5555 Před 3 lety +1

    Sio kijana bali ni maamrisho ya mwenyezi mungu kila adhana ikiita nilazima shughuli zisimame hadi kuongeaongea lazima mnyamaze

  • @geffmukozi1550
    @geffmukozi1550 Před 3 lety

    God above all to be revered....

  • @petermwariri1215
    @petermwariri1215 Před 3 lety

    President Uhuru Kenyatta is blessed

  • @shikeniwilliam5531
    @shikeniwilliam5531 Před 3 lety +6

    Kwa kweli Ali interrupt shughuli ya Kitaifa, kwa kuwa haikuwa kwenye ratiba, kwa sisi ambao sio waislam hatukuelewa maana yake ni nini,, Tanzania 🇹🇿 kuna dini nyingi, ikiwa kila dini ingefunga ma spika na kufungulia kwa sauti, ingekuwa tafrani pale. Nawapenda na kuwaheshimu wa islamu na dini zingine, lakini ni vyema kila dini iheshimu dini zingine na shughuli za kitaifa.

    • @maryciousbolingo5510
      @maryciousbolingo5510 Před 3 lety +1

      Ubarikiwe

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 3 lety

      Nani ameinterrupt kwa mwenzake?
      Muda wa adhana ndio ule umefika na ni jambo la kila siku na la kiimani ya dini husika.Sasa wasitekeleze eti kwasabababu kuna shughuli za kitaifa!! Kama ingelikuwa kunatolewa mawaidha kwa sauti kubwa kama ile na wala sio muda wa ibada hapo ingekuwa ame interrupt.

    • @rashidomar1558
      @rashidomar1558 Před 3 lety +1

      Be careful Allah is GREAT. TAKE CARE

    • @yahyashariff5693
      @yahyashariff5693 Před 3 lety +1

      Shikeni William, hako kachuki unakoonyesha sio wewe wa kwanza hata makafiri wa mwanzo kabisa walionyesha, mbona huku tunakokaa kaa makanisa yanapiga kelele usiku mzima tunashindwa mpaka kulala na hatusemi, ila Adhana ambayo haimalizi hata dakika tano imekukera.

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 Před 3 lety

      *Kilicho staajabisha ni mungu alivyoonyesha dunia nzima THAMANI YA ADHANA inavyoathiri binaadamu. Sio kwamba kwakua yeye ni rais, hapana kwa kua uzito wa adhana unavyomathiri binaadamu. Kama vile VAN DAME, MORGAN FREE MAN, PRIYANKA CHOPRA na wengine walivyosema hisia zao. Tizama CZcams utawaona walivyosema mwili humsisimuka mtu anapoisikia hususan wanaofwata dini nyingine, Allah huwaongoza kwa njia hiyo*

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 Před 3 lety

    Mashaallah mashaallah

  • @mohamedabdille6431
    @mohamedabdille6431 Před 3 lety

    Mashalah

  • @hafidhmohammed4653
    @hafidhmohammed4653 Před 3 lety +3

    Mbeele ya Allah hkun rais

  • @kanuriken9480
    @kanuriken9480 Před 3 lety

    Mungu ahimidiwe

  • @Matildariziki123
    @Matildariziki123 Před 3 lety

    Munakosa kuelewa raisi wetu aliheshimu mungu siyo mwenye aiadhini eleweni hilo acheni masifa hata kenya hufanya hivyo yy

  • @teresiahkiarie8440
    @teresiahkiarie8440 Před 3 lety

    Glory to God almighty

  • @farhatislam6550
    @farhatislam6550 Před 3 lety

    Maa shaa allah

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 3 lety

    Mashaalah

  • @hawasalim6388
    @hawasalim6388 Před 3 lety

    Maashaalah maashaalah

  • @fatmamwalimu4769
    @fatmamwalimu4769 Před 3 lety

    Masha llwahu

  • @vumbakingvumbaking9571

    Allahhu Akbar!!