MZEE YUSUPH CHUPU CHUPU KUTOLEWA ROHO NA MREMBO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • MFALME WA MUZIKI WA TAARAB MZEE YUSUPH AMEKUTWA NA MKASA MZITO
    HII NI BAADA YA KUSHUTUMIWA KUKIMBIA UJAUZITO WA DJ AITWAYE MONALISA
    MWANAMKE HUYO AMEMSHUTUMU MZEE YUSUPH KWA KUKATAA KABISAA KULEA MIMBA HIYO
    IKUMBUKWE MZEE YUSUPH NI MUME WA MTU NA MKE WAKE NI MUIMBAJI WA TAARAB (LEYLA RASHID)
    MZEE ALIWAHI KUBAHATIKA KUOA WAKE WAWILI
    BI LEYLA RASHID NA MAREHEMU CHIKU (RIP CHIKU)
    KWA HABARI ZA VISA/ MIKASA/VIZAA ZAA /SIMULIZI NA NA NYINGINE TUPIGIE
    0714080880

Komentáře • 391

  • @erickjmgema3923
    @erickjmgema3923 Před 2 lety +11

    Uyo ni wa mchongo ..mzee yusufu awezi ..kama inge kuwa ni kweli ange kubali kwenda kwa mzee yusfu..hapo ame mchafua sana

  • @mandarakalimbo2235
    @mandarakalimbo2235 Před rokem +2

    Unapenda wanawake KISHA unakana WATOTO Mzee USUFU msenge sana

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Před 2 lety +2

    Inna lillah waina ilei rajiun.Allah anakuona Yusuf kwa kudhalilisha dini ya uislamu.

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn Před 4 měsíci +1

    Allah anazidi kumdhalilisha mzee yusuf

  • @khadijajuma7873
    @khadijajuma7873 Před 2 lety +8

    Hapo lazima akatae nyumbani kwake kitanuka. Anaona aibu sio rahisi kukubali. Ila inaonekana ni mtu wake sana. Na ndio mana alithubutu kumakana. Na shida hayo mavazi ya binti

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 2 lety +16

    Tokea tarehe 27/7 hadi tarehe 20/ 8 ni siku 24 ni kama wiki 3 na siku 3 , kwahiyo mtu akipima mimba inaonekana kabisa.

    • @wardadimoso6649
      @wardadimoso6649 Před 2 lety +1

      Mimba inaonekan kabisa wiki tu inaonekan

    • @khadijajuma7873
      @khadijajuma7873 Před 2 lety

      Kabisa. Mwanamke atakuwa mgonjwa kama wiki tatu haujajijuwa unamimba.

    • @hannanommy302
      @hannanommy302 Před 2 lety

      Ungetulia mmezidi viranga na nyege kitunguu thaumu, safi sanaaa alivyokukana ,hamtekenywi mkatekenyekwa ,vizuri sana ulivyo kataliwa

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před rokem +2

    Mwanamke mzima Hana hata haya kujitangazia machafu nyooooooo

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 7 měsíci +1

    Mzee umejizalikisha sana

  • @rehemagandi4912
    @rehemagandi4912 Před 2 lety +2

    Mzee kaharibu bana,sema mzee nae anamambo mengi

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 Před 2 lety +14

    Vitu hivi mtu kumdhalilisha mtu na mkewe inatakiwa wawe wanashitakiwa ila mai ukufanya vizuri huyo nimume wa mtu vipi unamrecord

  • @rizmarahmed1196
    @rizmarahmed1196 Před 2 lety +7

    Maskini Leila wawatu wanaume ni viumbe wazito sanaa munatusababishia matatizo sanaa Sasa huyu baba umekosa nn Kwa mkeo mbna unadisgarage mkeo jamani unamrudisha nyuma Kwa Kila kitu

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před rokem +1

    Alhaj mzee. Yusuf kubali kulea mtoto huyu dada awezi kusema wongo mbele za watu ni kweli kabisa

  • @nucratyally3104
    @nucratyally3104 Před 2 lety +4

    Acha mungu akupige maana ni laana izo nzee

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 Před 2 lety +3

    Kaongo haka! Kanaonyesha kabisaa! Inavyoonekana Alimpenda sana mzee Yusuf , Ila mzee Alikomaa na mkewe! Na ndiyo Maana kaamua kuja kumkomoa huku! Wala mimba Hakana!! Ushauri wangu tu dada ukiachwa achika!!

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Mzee yusufu Mungu kamdhalilisha katoka hija leo kaongeza uzinifu manado utamjua M/Mungu vizuli nanyie wanawake kwa nini utembee namme wamtu duu kweli mwalimu wenu kipof

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Před rokem +2

    May umekosea ungemwambia kama ana no yako mwambie aipige hapo.

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Před 2 lety +1

    Mimba siku moja kweli kiboko Mzee Yusuphu unamke mzuri bado unaangaika na manunga embe hatari sana

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 2 lety

      mwanaume hanaga uzuri yaan hawezi kuona uzuri wa mty isipokuwa akili inavyomtuma ndio hivyo hivyo

  • @sumahyamohamedy6837
    @sumahyamohamedy6837 Před 2 lety

    Kiki kabsaaa Mai naww utuachee

  • @doreennaftal4373
    @doreennaftal4373 Před 2 lety +3

    😂😂 eti kiswahil chenyewe ujui🤣🤣🙌🏼

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 Před 2 lety +21

    Huyu mzee yusufu katu dhalilisha sisi waisllam kwenda makķ nakuja kurudi kupiga tarabu hii sasa ni athabu ya mwezi mungu huu mwanzo allha huwa hajaribiwi

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 Před 2 lety +2

      Na akaapa ndani ya masjid huyu mzee ni muhuni tu wacha mungu afanye kazi yake

    • @chikuyussuf8429
      @chikuyussuf8429 Před 2 lety +1

      Kabisa hapo nimwanzo tu tunasubira tu

    • @johnkiimbila6799
      @johnkiimbila6799 Před 2 lety +4

      Na wewe unafanya dhambi kuangalia mabo haya kama muislamu.

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 2 lety +1

      Halifa, Kajizalilisha mwenyewe. Sisi tumejizalilisha ( pamoja na mimi) kuangalia clip hii.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 2 lety +2

      @@johnkiimbila6799 Nani aliyekudanganya kuwa ukiangalia hivi unapata dhambi?

  • @josephinemghoi6015
    @josephinemghoi6015 Před 2 lety

    Mpiya haya Mzee yusufu Moja au yupi

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 Před 2 lety

    Mmmmm pole Reila

  • @aloyce6583
    @aloyce6583 Před 4 měsíci +1

    Acheni kumuhukumu mzee yusufu, licha ya kwenda maka maisha ya kiuchumi yakawa magumu, sasa militaka afe njàa,awe ombaomba? Acheni atafute pesa, hukumu ni Mungu tu anajua.

  • @witnessmanga8576
    @witnessmanga8576 Před 2 lety

    Hii Ni Kiki tumegundua🥳

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 Před 2 lety +7

    Kuna watu wanasali na kuswali wngn n sehem ya kufichia maovu ila Mungu anaona et

    • @quentinsylvia3877
      @quentinsylvia3877 Před 2 lety

      Ndiyo maana wanadhalilika km hivi unaswali wakati wewe kiongozi was maasi

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula5914 Před 2 lety +5

    Wanaume tujifunze kuchagua wanawake wa kua nao wengine ni mashetwani na majini .

  • @iradukundamike5370
    @iradukundamike5370 Před 2 lety +1

    Subhanallah mrifanya kwa siri leo hiyi mwanamuke anajizaririsha allah akbr

  • @FatumaBakari-qo6up
    @FatumaBakari-qo6up Před 3 měsíci +1

    Omba toba kaka maana sio kwa maovu hayo

  • @jengahyahaya4835
    @jengahyahaya4835 Před 2 lety

    Nice move

  • @nuruali7859
    @nuruali7859 Před 2 lety

    Hata kiswahili chenyewe hujui hahahhhhhhhhh...

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před rokem

    Wapumbavu sana tena huyu mtangazaji ni mpuuzi sana kamuharibia mzee yisuphu

  • @huyrathayrathayrathayrat177

    Hapana ukwely mimba ya mzee yusufu aiseee kapatwa aibu jaman nakipgo juuu aiseee mhhh

  • @kassimumandeleko9704
    @kassimumandeleko9704 Před 2 lety +1

    Innaalillah wainaa irah rajiun

  • @fefeonlyme5394
    @fefeonlyme5394 Před rokem +1

    Huyu dj mona si ana bwana na mtoto juu jmn😂😂😂😂

  • @fatumamnyenze9696
    @fatumamnyenze9696 Před 2 lety

    Mwanamke apigwi utafungwa ww lkni sijui sharia za Tz tena mwenye mimba

  • @rukiabari9431
    @rukiabari9431 Před rokem

    Uwiii Dj Mona but why media mfanye interview bila rukhsa ya wahusika wawili hao

  • @hajiussi6641
    @hajiussi6641 Před 2 lety

    Nimecheka tu

  • @jumbendago3707
    @jumbendago3707 Před 2 lety

    Mzee yusufu acha uhuni umri umeshaenda hizo ni laana za mungu wako

  • @habibarashidi9500
    @habibarashidi9500 Před 2 lety

    Jamani nimecheka mzee yusufu🤣🤣eti kiswahili chenyewe hujui🤣🤣

  • @imanidaraja8275
    @imanidaraja8275 Před 2 lety

    Dada anadanganya full mimba ya week mmmh katumwa amchafue mzee yusufu

  • @user-eq5mv6cd3t
    @user-eq5mv6cd3t Před rokem +1

    Sawamzzzzzzzzzzzz

  • @AllyKapongo-vn4oc
    @AllyKapongo-vn4oc Před 10 měsíci +1

    mfalme unabonge la mwanamke nini unahangaika shekhe.

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Před 2 lety +6

    Hii ni kiki wala siyo kweli

  • @sharomapesataiga246
    @sharomapesataiga246 Před 2 lety

    Hahahaha hahahaha hiyo muvi wanaigiza bana wako powa kwa waigizaji saut ya Sharo mapesa comedy

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 Před rokem

    WEWE MZE RUDI KWA ALLAH OMBA TOBA YA KWELI KUNA KUFA WACHA KUENDEKEZA DULIA

  • @SalamaAkilimali-ly3bu
    @SalamaAkilimali-ly3bu Před rokem +1

    Hicho kiguo jaman wewe dada Mzee Yusuf looo

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 2 lety +3

    Allahu Akbar 🤔 Mzee ss Dunia inakupeleka msobemsobe tena gobe gobe
    Tunza Heshima yako Mzee achana na utoto
    Lea Mimba 🤗
    Duuuh 🙄🙈🤰

  • @getrudathomas535
    @getrudathomas535 Před 2 lety +7

    Dada tafuta mume wako hawa waume za watu ni kujidhalilisha

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před 2 lety +5

    Maimartha jamani wewe mbinguni utaenda umechoka sana sana 😂

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety

      Ila maimartha bado anadai,analipa sana kwa matumizi kama mke

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před 2 lety

    Muongo mzee kaoa mke mwingine, mzee yusuphu anapenda kuoa na sio kuzini zini

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety +6

    Wazinifu nyie mtume mna mswalia vipi kwenye ujinga wenu

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před 2 lety +4

    KWA UZOEFU WANGU KWENYE HIZI KAZI JAMAA NI KWELI KAMLA HUYU DEM..sema wangekubaliana tangu mwanzoni iweje baada ya kushika mimba isingefika hapa inavyoonekana jamaa kachomoa betrii haamini kama ni yake.

    • @idarousyussuf7512
      @idarousyussuf7512 Před 2 lety

      Kwa uzoefu gani uliona kusema kwel ni ya mzee au aliwa wote wawili

    • @robertabel6984
      @robertabel6984 Před 2 lety

      Hivi umemsikia alivyouliza inamaana mara moja tu ndo nilijua nimeshakuachia mimba? Hiyo ni indicator ya msngi kujua kuwa kumbe kweli ealifanya tofauti na mwanzo alianza kuruka kuwa simjui..lakin maelezo ya mbele yaka mprove wrong 😎

  • @priscadaniel6459
    @priscadaniel6459 Před 2 lety

    Jamani kiki izi meez una kitu

  • @mwanamisirajab
    @mwanamisirajab Před rokem +1

    Hii n kiki

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +11

    Hatakama ni Kiki sio hizi za kizinifu ikiwa mzee. Yusuf ni Muislam Alhaj ndiyo unaanzakuzalilika hivyo mtihani chunga. Sana zambi xote. Unazitenda Tena wazi wazi lntakillah mzee. Yusuf. Hi Dunia usiku danganye. Angalia. Umliwao na. Uliobaki ni hasara. Tupu. Jua kabulini tunaakaasana kuliko umlitulioishi Duniani 👐

    • @nightwolf7577
      @nightwolf7577 Před 2 lety +2

      Huyo sio muislamu tena na sheria akatwe kichwa kabisa ameritadi huyoooo baba mmoja Mama mmoja na diamond platnum huyo Mzee yusuf analaana

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

      @@nightwolf7577 Subuhanallah. Kumbe ndiyomaana kilasiku zinavyoenda anazidi kutokana haibu na mambo makubwa maovu Anaya fanya azalani mtihani

    • @amamiss22
      @amamiss22 Před 2 lety

      @@nightwolf7577 kabisa kweli

    • @amamiss22
      @amamiss22 Před 2 lety +1

      Kwahiyo amerudi mjini sababu ya uzinifu atakama ni kiki hauwezi kuwa kiki ya kufanya mapenzi labda ya mimba ila ya kuwa na mausiyano siyo kiki. Mze Yusuf mwisho wake utakuwa mbaya sana haswa Laila mke wake yeye ndo sheitwani wa duniani huwizi kuwa mke mwenye mambo kama yake

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Před 2 lety

      @@amamiss22 mtihani hata haibu Hana anaesabu mawiki walivyo ingiliana kimwili Bila ya ndoa na kile kijana ke

  • @dr.madevualcantara4775
    @dr.madevualcantara4775 Před 4 měsíci +1

    Sio kweli Mzee Yusuf sio vitu vyake hivi hana mtulinga huyo mbwa basmat

  • @margrethjonesmshana8555

    Huyo Binti Wala hasingiziii, inauma sana aaa ,

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 Před 2 lety +1

    Tuulize ss msiingie tu mkaona watu wanatajika mnajitia kichwa kichwa pole sana

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Před 2 lety

    Kaenda uchiiii

  • @thamairamamy3481
    @thamairamamy3481 Před 2 lety

    Hatari mai

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 2 lety

    Wanajuana hawa doh aibu mzee yusuf

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před 2 lety

    Mai Kwa hiyo kijumbe hauwawi

  • @maimunakassim2930
    @maimunakassim2930 Před 2 lety

    Mzee yusuph sikupendi hatariii...yaani sikupendi tena harafu sikupendi mnooo

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂maimatha et weeeee kwelìii😂😂😂😂 Aaaaaah shoga weeeeee 😅😅😅😅😅 nina mimba wewe huyoo😂😂😂 weeeeeee kweliiii😅😅😅😅 wacha wee mzee yusufu huyu huyu ninae mjua mm weeeee😂😂😂😂😂😂😂Eeeeeeeh😅😅😅

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před 2 lety

    Kuzalilishana tuh

  • @saudangalleni388
    @saudangalleni388 Před 2 lety

    Mtu in mke Bado unajiachia mbaka mimba zinaingia mtu mzima ovyo alaf unakataa la mtt mdog yoni aibu jaman Yan mdg Wang ujui kwamba mume wa mtu ni stareh tu si kuzaa ndoa Wala mapenz Bora ungetulia update mume muone kuliko kubeba mimba pole sana na mtt wamwanamke pole sana hao wanaume Awana huruma

  • @mwahijasammata4334
    @mwahijasammata4334 Před 2 lety

    Jmn miguu ya da my

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    ZAA MWENDE D.N A MANA WAKAA KUNKA SANA.

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 2 lety

    Heheeheheheeehe unajua weee não weeee kwan unawatoaga wapi hawa watu alafu unajifanya kuwapa nguvu kwa maneno

  • @saidikasimu4251
    @saidikasimu4251 Před 2 lety

    Machizi hao

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Před 2 lety

    Yaaan badilisha kichwa cha hii Tv et simulizi mikasa .....semeni umbeya tuu maaan ww mtangazaji unaitikia kimbea kbsa

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 Před 2 lety +3

    Yusuf umeacha ibada umeenda kwenye dunia haya sasa wadhalilika

    • @jareengeorge5478
      @jareengeorge5478 Před 2 lety

      Huko wakati anafanya ibada mlikua mnapatia pesa ya watoto na yakula. Ibada bila pesa Kuna ibada kweli.yusuphu kazi yake kubwa no kuimba.sasa aliwa anaswalitu vipi maisha yanakwendaje????

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 2 lety

      @@jareengeorge5478 we una uwezo mdogo wakuelewa kuacha ibada ni pamoja na kuwa na wanawake michepuko that is what I suppose to mean with little brain unakimbilia mambo ya kumpatia pesa ya watoto ndo nini sasa

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před 2 lety +1

    Ndo balaa ya kuchukua changu doa hapo Mfalme Yusuf atajua hajui😂😂😂

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety +2

    Kiki zingine hizi,,,,,,dah!

  • @fatumamnyenze9696
    @fatumamnyenze9696 Před 2 lety

    Hawenzi kua uongo mai mimba yaonekana ndani ya wiki moja evaluation hua ishatake place hpo mimba tayari

  • @ibrahimsalum5918
    @ibrahimsalum5918 Před rokem

    Kwanza iyo mimba iko wapi mwenye mimba inajulikana

  • @aminakimaro5429
    @aminakimaro5429 Před 2 lety

    dear x

  • @omarswaleh6082
    @omarswaleh6082 Před 2 měsíci

    Dada ulio yatafuta ume yapata sasa tulia nenda ukale mimba mze Yusuf ni muhuni

  • @NeemaNchimbi-oj5fb
    @NeemaNchimbi-oj5fb Před 4 měsíci +1

    Changudoa anatKa kuaribu ndoa za wtu

  • @subirambogoro9843
    @subirambogoro9843 Před 2 lety

    Yaan Hutu dada ni muongooooo Ana igiza tu

  • @ahmadiimilongera7660
    @ahmadiimilongera7660 Před 2 lety

    Alhaji mzee yusuph why this

  • @user-xi8qk4lj4g
    @user-xi8qk4lj4g Před rokem +1

    Ange Baki na msimamo wa din yake Wala asinge dhalilika man din imekataz yote mabay

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 Před 2 lety

    Kidem kibaya kichafu half kimalaya iki heee

  • @mercymwabonje9953
    @mercymwabonje9953 Před rokem +1

    Kule kuna mtoto anasema Mzee yusuf n babake hutak kumbe mambo ni haya

  • @bryanmagee5681
    @bryanmagee5681 Před rokem +1

    Mzee yusufu kadume ka mbegu. Sijui kama atamkubali huyo. Amekataa kijana kafanana naye........

  • @zuhurarajabu5506
    @zuhurarajabu5506 Před 2 lety

    Nitalivua ilo Wig hahaha

  • @lianajuma1779
    @lianajuma1779 Před rokem +1

    Mpumbavu mkubwa ww mwanamke anaejielewa hawezi kukubali kuvuliwa nguo ovyo hasa na mtu ambae tayari unajua anamkewe acha yakukute fidodido ww

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 Před rokem +1

    Malaya wa kike na kiume wamezozana

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před 2 lety +1

    Hapa Kwa Mzee Yusuf kwakwel naamin Kwa upande flan mana mfalme nae 🤣🤣🙌🙌🙌Kwa vibinti hajamboo na kwakwel anapenda vitumbua 😎😎

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před rokem

      wewe nae unaamini amini tu hata uongo

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před rokem

      @@jesusislord9190 hili ata likiwa ni igizo sawa ila Mzee Yusuf Kwa ushuhuda kabisaaa ashawah kutaka kwenda kulala na mtt wa ndugu yangu Ktk shoo yake miaka ileee anavuma sana ilikua ni kahama

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před rokem

      @@zayumar2955 haya bana.. Ya MUNGU mengi

    • @zayumar2955
      @zayumar2955 Před rokem

      @@jesusislord9190 kwel

    • @jesusislord9190
      @jesusislord9190 Před rokem

      @@zayumar2955 dunia inamambo mengi sana..ukiwaangalia watu wengine huwazanii

  • @rosehaule5705
    @rosehaule5705 Před 2 lety +1

    Kaambiwa aendee.kwake mwongoo

  • @Noreen-gd6js
    @Noreen-gd6js Před 2 lety

    Mmmh ndiyo ampige

  • @hawashedrack959
    @hawashedrack959 Před 2 lety

    Mhhh kiki

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 Před 2 lety +4

    NIMECHEKA SANA JAMAA BAADA YA KUSKIA YULE ANAMAMBO YA KISHIRIKINA: WEE MAI WEE NYIE HAYO MAMBO NYIE MNAYOONGEA MKO KWENYE TV TUNADHALILISHANA😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @halimaomar8087
    @halimaomar8087 Před rokem

    Hao waitwa wanaume

  • @asiajuma5450
    @asiajuma5450 Před 2 lety

    Arafu uyo dada nkimuangalia anaonekana ajielewi ata kidogo khaa mpumbavu

  • @sandrambambazi9857
    @sandrambambazi9857 Před 2 lety

    Amemshagaza

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před 2 lety

    Mara kapigiwa cm mara kasha fika 🤣🤣🤣hii Kiki jmn zaid ya pkpk

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +1

    Huyu Mzee anamdhalilisha mke sana mtu mzima asiyefunga zipu kwa umalaya pole Leyla wallah kuvumilia mwanaume asiyejiheshim

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Před 2 lety

      Ila wakati ule kachacha hana hela alikuwa anakaa na mke wake kwa adabu mpaka anasema mm kuoa mke wa pili hapana acha nitulie na mke wangu,pesa ilipo rudii Sasa,acha kbs wanasema pata pesa tukujue tabia ndo hii Sasa.

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Před 2 lety

      @@magrethmbangama1199 yn mtihani kwl

  • @judithpetro3883
    @judithpetro3883 Před 2 lety

    Kiki hiyo

  • @mamuahmed67
    @mamuahmed67 Před 2 lety

    Wajichora