MZEE YUSUPH CHUPU CHUPU KUTOLEWA ROHO NA MREMBO
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- MFALME WA MUZIKI WA TAARAB MZEE YUSUPH AMEKUTWA NA MKASA MZITO
HII NI BAADA YA KUSHUTUMIWA KUKIMBIA UJAUZITO WA DJ AITWAYE MONALISA
MWANAMKE HUYO AMEMSHUTUMU MZEE YUSUPH KWA KUKATAA KABISAA KULEA MIMBA HIYO
IKUMBUKWE MZEE YUSUPH NI MUME WA MTU NA MKE WAKE NI MUIMBAJI WA TAARAB (LEYLA RASHID)
MZEE ALIWAHI KUBAHATIKA KUOA WAKE WAWILI
BI LEYLA RASHID NA MAREHEMU CHIKU (RIP CHIKU)
KWA HABARI ZA VISA/ MIKASA/VIZAA ZAA /SIMULIZI NA NA NYINGINE TUPIGIE
0714080880
Uyo ni wa mchongo ..mzee yusufu awezi ..kama inge kuwa ni kweli ange kubali kwenda kwa mzee yusfu..hapo ame mchafua sana
Unapenda wanawake KISHA unakana WATOTO Mzee USUFU msenge sana
Inna lillah waina ilei rajiun.Allah anakuona Yusuf kwa kudhalilisha dini ya uislamu.
Allah anazidi kumdhalilisha mzee yusuf
Hapo lazima akatae nyumbani kwake kitanuka. Anaona aibu sio rahisi kukubali. Ila inaonekana ni mtu wake sana. Na ndio mana alithubutu kumakana. Na shida hayo mavazi ya binti
Tokea tarehe 27/7 hadi tarehe 20/ 8 ni siku 24 ni kama wiki 3 na siku 3 , kwahiyo mtu akipima mimba inaonekana kabisa.
Mimba inaonekan kabisa wiki tu inaonekan
Kabisa. Mwanamke atakuwa mgonjwa kama wiki tatu haujajijuwa unamimba.
Ungetulia mmezidi viranga na nyege kitunguu thaumu, safi sanaaa alivyokukana ,hamtekenywi mkatekenyekwa ,vizuri sana ulivyo kataliwa
Mwanamke mzima Hana hata haya kujitangazia machafu nyooooooo
Mzee umejizalikisha sana
Mzee kaharibu bana,sema mzee nae anamambo mengi
Mdau we umeamini hayo ni maigizo tu akuna ukweli hapo
Vitu hivi mtu kumdhalilisha mtu na mkewe inatakiwa wawe wanashitakiwa ila mai ukufanya vizuri huyo nimume wa mtu vipi unamrecord
Anafaa alivo tongoza akujua kma ana mkewe
Hizi ni script msifikirie kuwa ni kweli 😂.
Maskini Leila wawatu wanaume ni viumbe wazito sanaa munatusababishia matatizo sanaa Sasa huyu baba umekosa nn Kwa mkeo mbna unadisgarage mkeo jamani unamrudisha nyuma Kwa Kila kitu
Alhaj mzee. Yusuf kubali kulea mtoto huyu dada awezi kusema wongo mbele za watu ni kweli kabisa
Acha mungu akupige maana ni laana izo nzee
Kaongo haka! Kanaonyesha kabisaa! Inavyoonekana Alimpenda sana mzee Yusuf , Ila mzee Alikomaa na mkewe! Na ndiyo Maana kaamua kuja kumkomoa huku! Wala mimba Hakana!! Ushauri wangu tu dada ukiachwa achika!!
Mzee yusufu Mungu kamdhalilisha katoka hija leo kaongeza uzinifu manado utamjua M/Mungu vizuli nanyie wanawake kwa nini utembee namme wamtu duu kweli mwalimu wenu kipof
May umekosea ungemwambia kama ana no yako mwambie aipige hapo.
Mimba siku moja kweli kiboko Mzee Yusuphu unamke mzuri bado unaangaika na manunga embe hatari sana
mwanaume hanaga uzuri yaan hawezi kuona uzuri wa mty isipokuwa akili inavyomtuma ndio hivyo hivyo
Kiki kabsaaa Mai naww utuachee
😂😂 eti kiswahil chenyewe ujui🤣🤣🙌🏼
Huyu mzee yusufu katu dhalilisha sisi waisllam kwenda makķ nakuja kurudi kupiga tarabu hii sasa ni athabu ya mwezi mungu huu mwanzo allha huwa hajaribiwi
Na akaapa ndani ya masjid huyu mzee ni muhuni tu wacha mungu afanye kazi yake
Kabisa hapo nimwanzo tu tunasubira tu
Na wewe unafanya dhambi kuangalia mabo haya kama muislamu.
Halifa, Kajizalilisha mwenyewe. Sisi tumejizalilisha ( pamoja na mimi) kuangalia clip hii.
@@johnkiimbila6799 Nani aliyekudanganya kuwa ukiangalia hivi unapata dhambi?
Mpiya haya Mzee yusufu Moja au yupi
Mmmmm pole Reila
Acheni kumuhukumu mzee yusufu, licha ya kwenda maka maisha ya kiuchumi yakawa magumu, sasa militaka afe njàa,awe ombaomba? Acheni atafute pesa, hukumu ni Mungu tu anajua.
Akili Una wewe nawala mungu umjui we
Hii Ni Kiki tumegundua🥳
Kuna watu wanasali na kuswali wngn n sehem ya kufichia maovu ila Mungu anaona et
Ndiyo maana wanadhalilika km hivi unaswali wakati wewe kiongozi was maasi
Wanaume tujifunze kuchagua wanawake wa kua nao wengine ni mashetwani na majini .
😂😂😂
Subhanallah mrifanya kwa siri leo hiyi mwanamuke anajizaririsha allah akbr
Sio kweli wanaigiza hawa usiwena was was😁😁
Mzeee Anataka kuludi mjini kwakiki nyingi
Omba toba kaka maana sio kwa maovu hayo
Nice move
Hata kiswahili chenyewe hujui hahahhhhhhhhh...
Wapumbavu sana tena huyu mtangazaji ni mpuuzi sana kamuharibia mzee yisuphu
Hapana ukwely mimba ya mzee yusufu aiseee kapatwa aibu jaman nakipgo juuu aiseee mhhh
Innaalillah wainaa irah rajiun
Huyu dj mona si ana bwana na mtoto juu jmn😂😂😂😂
Mwanamke apigwi utafungwa ww lkni sijui sharia za Tz tena mwenye mimba
Uwiii Dj Mona but why media mfanye interview bila rukhsa ya wahusika wawili hao
Nimecheka tu
Mzee yusufu acha uhuni umri umeshaenda hizo ni laana za mungu wako
Jamani nimecheka mzee yusufu🤣🤣eti kiswahili chenyewe hujui🤣🤣
Dada anadanganya full mimba ya week mmmh katumwa amchafue mzee yusufu
Sawamzzzzzzzzzzzz
mfalme unabonge la mwanamke nini unahangaika shekhe.
Hii ni kiki wala siyo kweli
Kabisaa kiki tu hakuna kitu hapa
Hahahaha hahahaha hiyo muvi wanaigiza bana wako powa kwa waigizaji saut ya Sharo mapesa comedy
WEWE MZE RUDI KWA ALLAH OMBA TOBA YA KWELI KUNA KUFA WACHA KUENDEKEZA DULIA
Hicho kiguo jaman wewe dada Mzee Yusuf looo
Allahu Akbar 🤔 Mzee ss Dunia inakupeleka msobemsobe tena gobe gobe
Tunza Heshima yako Mzee achana na utoto
Lea Mimba 🤗
Duuuh 🙄🙈🤰
Dada tafuta mume wako hawa waume za watu ni kujidhalilisha
Maimartha jamani wewe mbinguni utaenda umechoka sana sana 😂
Ila maimartha bado anadai,analipa sana kwa matumizi kama mke
Muongo mzee kaoa mke mwingine, mzee yusuphu anapenda kuoa na sio kuzini zini
Wazinifu nyie mtume mna mswalia vipi kwenye ujinga wenu
KWA UZOEFU WANGU KWENYE HIZI KAZI JAMAA NI KWELI KAMLA HUYU DEM..sema wangekubaliana tangu mwanzoni iweje baada ya kushika mimba isingefika hapa inavyoonekana jamaa kachomoa betrii haamini kama ni yake.
Kwa uzoefu gani uliona kusema kwel ni ya mzee au aliwa wote wawili
Hivi umemsikia alivyouliza inamaana mara moja tu ndo nilijua nimeshakuachia mimba? Hiyo ni indicator ya msngi kujua kuwa kumbe kweli ealifanya tofauti na mwanzo alianza kuruka kuwa simjui..lakin maelezo ya mbele yaka mprove wrong 😎
Jamani kiki izi meez una kitu
Hii n kiki
Hatakama ni Kiki sio hizi za kizinifu ikiwa mzee. Yusuf ni Muislam Alhaj ndiyo unaanzakuzalilika hivyo mtihani chunga. Sana zambi xote. Unazitenda Tena wazi wazi lntakillah mzee. Yusuf. Hi Dunia usiku danganye. Angalia. Umliwao na. Uliobaki ni hasara. Tupu. Jua kabulini tunaakaasana kuliko umlitulioishi Duniani 👐
Huyo sio muislamu tena na sheria akatwe kichwa kabisa ameritadi huyoooo baba mmoja Mama mmoja na diamond platnum huyo Mzee yusuf analaana
@@nightwolf7577 Subuhanallah. Kumbe ndiyomaana kilasiku zinavyoenda anazidi kutokana haibu na mambo makubwa maovu Anaya fanya azalani mtihani
@@nightwolf7577 kabisa kweli
Kwahiyo amerudi mjini sababu ya uzinifu atakama ni kiki hauwezi kuwa kiki ya kufanya mapenzi labda ya mimba ila ya kuwa na mausiyano siyo kiki. Mze Yusuf mwisho wake utakuwa mbaya sana haswa Laila mke wake yeye ndo sheitwani wa duniani huwizi kuwa mke mwenye mambo kama yake
@@amamiss22 mtihani hata haibu Hana anaesabu mawiki walivyo ingiliana kimwili Bila ya ndoa na kile kijana ke
Sio kweli Mzee Yusuf sio vitu vyake hivi hana mtulinga huyo mbwa basmat
Huyo Binti Wala hasingiziii, inauma sana aaa ,
Tuulize ss msiingie tu mkaona watu wanatajika mnajitia kichwa kichwa pole sana
Yalikukuta???
Ndio kwa dadaangu jokha Kassim mkewe wa mwanzo yalimpata makubwa kuliko ayo
Kaenda uchiiii
Hatari mai
Wanajuana hawa doh aibu mzee yusuf
Mai Kwa hiyo kijumbe hauwawi
Mzee yusuph sikupendi hatariii...yaani sikupendi tena harafu sikupendi mnooo
😂😂😂😂😂😂😂😂maimatha et weeeee kwelìii😂😂😂😂 Aaaaaah shoga weeeeee 😅😅😅😅😅 nina mimba wewe huyoo😂😂😂 weeeeeee kweliiii😅😅😅😅 wacha wee mzee yusufu huyu huyu ninae mjua mm weeeee😂😂😂😂😂😂😂Eeeeeeeh😅😅😅
Kuzalilishana tuh
Mtu in mke Bado unajiachia mbaka mimba zinaingia mtu mzima ovyo alaf unakataa la mtt mdog yoni aibu jaman Yan mdg Wang ujui kwamba mume wa mtu ni stareh tu si kuzaa ndoa Wala mapenz Bora ungetulia update mume muone kuliko kubeba mimba pole sana na mtt wamwanamke pole sana hao wanaume Awana huruma
Jmn miguu ya da my
ZAA MWENDE D.N A MANA WAKAA KUNKA SANA.
Heheeheheheeehe unajua weee não weeee kwan unawatoaga wapi hawa watu alafu unajifanya kuwapa nguvu kwa maneno
Machizi hao
Yaaan badilisha kichwa cha hii Tv et simulizi mikasa .....semeni umbeya tuu maaan ww mtangazaji unaitikia kimbea kbsa
Yusuf umeacha ibada umeenda kwenye dunia haya sasa wadhalilika
Huko wakati anafanya ibada mlikua mnapatia pesa ya watoto na yakula. Ibada bila pesa Kuna ibada kweli.yusuphu kazi yake kubwa no kuimba.sasa aliwa anaswalitu vipi maisha yanakwendaje????
@@jareengeorge5478 we una uwezo mdogo wakuelewa kuacha ibada ni pamoja na kuwa na wanawake michepuko that is what I suppose to mean with little brain unakimbilia mambo ya kumpatia pesa ya watoto ndo nini sasa
Ndo balaa ya kuchukua changu doa hapo Mfalme Yusuf atajua hajui😂😂😂
Kiki zingine hizi,,,,,,dah!
Umeomaeeeeh zakijinga
Hawenzi kua uongo mai mimba yaonekana ndani ya wiki moja evaluation hua ishatake place hpo mimba tayari
Kwanza iyo mimba iko wapi mwenye mimba inajulikana
dear x
Dada ulio yatafuta ume yapata sasa tulia nenda ukale mimba mze Yusuf ni muhuni
Changudoa anatKa kuaribu ndoa za wtu
Yaan Hutu dada ni muongooooo Ana igiza tu
Alhaji mzee yusuph why this
Ange Baki na msimamo wa din yake Wala asinge dhalilika man din imekataz yote mabay
Kidem kibaya kichafu half kimalaya iki heee
Kule kuna mtoto anasema Mzee yusuf n babake hutak kumbe mambo ni haya
Mzee yusufu kadume ka mbegu. Sijui kama atamkubali huyo. Amekataa kijana kafanana naye........
Nitalivua ilo Wig hahaha
Mpumbavu mkubwa ww mwanamke anaejielewa hawezi kukubali kuvuliwa nguo ovyo hasa na mtu ambae tayari unajua anamkewe acha yakukute fidodido ww
Malaya wa kike na kiume wamezozana
Hapa Kwa Mzee Yusuf kwakwel naamin Kwa upande flan mana mfalme nae 🤣🤣🙌🙌🙌Kwa vibinti hajamboo na kwakwel anapenda vitumbua 😎😎
wewe nae unaamini amini tu hata uongo
@@jesusislord9190 hili ata likiwa ni igizo sawa ila Mzee Yusuf Kwa ushuhuda kabisaaa ashawah kutaka kwenda kulala na mtt wa ndugu yangu Ktk shoo yake miaka ileee anavuma sana ilikua ni kahama
@@zayumar2955 haya bana.. Ya MUNGU mengi
@@jesusislord9190 kwel
@@zayumar2955 dunia inamambo mengi sana..ukiwaangalia watu wengine huwazanii
Kaambiwa aendee.kwake mwongoo
Mmmh ndiyo ampige
Mhhh kiki
NIMECHEKA SANA JAMAA BAADA YA KUSKIA YULE ANAMAMBO YA KISHIRIKINA: WEE MAI WEE NYIE HAYO MAMBO NYIE MNAYOONGEA MKO KWENYE TV TUNADHALILISHANA😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Hao waitwa wanaume
Arafu uyo dada nkimuangalia anaonekana ajielewi ata kidogo khaa mpumbavu
Amemshagaza
Mara kapigiwa cm mara kasha fika 🤣🤣🤣hii Kiki jmn zaid ya pkpk
Huyu Mzee anamdhalilisha mke sana mtu mzima asiyefunga zipu kwa umalaya pole Leyla wallah kuvumilia mwanaume asiyejiheshim
Ila wakati ule kachacha hana hela alikuwa anakaa na mke wake kwa adabu mpaka anasema mm kuoa mke wa pili hapana acha nitulie na mke wangu,pesa ilipo rudii Sasa,acha kbs wanasema pata pesa tukujue tabia ndo hii Sasa.
@@magrethmbangama1199 yn mtihani kwl
Kiki hiyo
Wajichora