Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Beautiful! Lady humble! God bless you!
Humble ?
uko vizur
Hawa hawapendi kujifunika nywele wanaona ni jambo la kawaida tu
Mama mh ni mchapakazi hodari mpenda maendeleo
Mama ni ICT wazalendo
Mama Mariam Mwinyi Kipenz Cha Wasichana Na Wakina Mama Wengi Zanzibar Na Tanganyika Kwa Ujumla
Tanganyika?
🤔🤔🤔
@@lydiamsheri4095 Eeeh Tanganyika
Badala ya kusema tuna swali sala 5 mm na wanangu eti tunatizama movie na bongo fleva wafundishe din ndo mfano mzuri Ramadhan hii yarab Allah atuongoze
Haipendezi kabisa Yaani ...RAMADHANI HIII Kwa nini ???
Ramadhan hii viongozi funikeni vichwa venu kwn nyinyi mwnaongoza jamii iwefano km mama samia nywele yk huioni hii dunia mapto
Kama mission atakujistiri Ramadhan yote hii
MAMA JISTIRI NAKUOMBA SANA
Tafuta maana ya stara kwanza.kwani yuko Uchi?
acha unafiki wako.Ulitaka avae vipi?
Huyu nae jisitir jisitr Kwan Yuko uchi Acha unafk
@@leilamsafiri8320 ndio yupo uchi na naamini yeye ni muislamu amefika umra anaelewa nini amesema huyu nywele imeruhusiwa kuomekana hivii uache ujinga
@@AbelJosephtz wewe wacha ujinga uislamu ni heshima na nywele zipo wazi naamini mama ameelewa
Mwambieni Ajifinike nywele Zake.....
Zinakuongezea nn au zinakupunguzia nn??
Wew ndo mumewe
Zinakunyima kupumua???😏😏
Alikuwa SI mtu wa mambo hayo ila inabidi tu atazoea
Swadakta, japo kuna wengine humu wameshaanza ubishi ila ukweli nikwamba kwa kila unywele mmoja wa mwanamke nidhambi kuonekana na mwanaume asiekua miongoni mwa wanaopaswa kuuona
Beautiful! Lady humble! God bless you!
Humble ?
uko vizur
Hawa hawapendi kujifunika nywele wanaona ni jambo la kawaida tu
Mama mh ni mchapakazi hodari mpenda maendeleo
Mama ni ICT wazalendo
Mama Mariam Mwinyi Kipenz Cha Wasichana Na Wakina Mama Wengi Zanzibar Na Tanganyika Kwa Ujumla
Tanganyika?
🤔🤔🤔
@@lydiamsheri4095 Eeeh Tanganyika
Badala ya kusema tuna swali sala 5 mm na wanangu eti tunatizama movie na bongo fleva wafundishe din ndo mfano mzuri Ramadhan hii yarab Allah atuongoze
Haipendezi kabisa Yaani ...
RAMADHANI HIII Kwa nini ???
Ramadhan hii viongozi funikeni vichwa venu kwn nyinyi mwnaongoza jamii iwefano km mama samia nywele yk huioni hii dunia mapto
Kama mission atakujistiri Ramadhan yote hii
MAMA JISTIRI NAKUOMBA SANA
Tafuta maana ya stara kwanza.kwani yuko Uchi?
acha unafiki wako.Ulitaka avae vipi?
Huyu nae jisitir jisitr Kwan Yuko uchi Acha unafk
@@leilamsafiri8320 ndio yupo uchi na naamini yeye ni muislamu amefika umra anaelewa nini amesema huyu nywele imeruhusiwa kuomekana hivii uache ujinga
@@AbelJosephtz wewe wacha ujinga uislamu ni heshima na nywele zipo wazi naamini mama ameelewa
Mwambieni Ajifinike nywele Zake.....
Zinakuongezea nn au zinakupunguzia nn??
Wew ndo mumewe
Zinakunyima kupumua???😏😏
Alikuwa SI mtu wa mambo hayo ila inabidi tu atazoea
Swadakta, japo kuna wengine humu wameshaanza ubishi ila ukweli nikwamba kwa kila unywele mmoja wa mwanamke nidhambi kuonekana na mwanaume asiekua miongoni mwa wanaopaswa kuuona