Faida ya kumswalia mtume muhamadi dkt bin Alawi aliojaaliwa karama+255717139330

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 09. 2023

Komentáře • 18

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Před 22 dny

    Mashallah

  • @shabaniMsonde
    @shabaniMsonde Před 4 měsíci +1

    Jazaakallahu khairan

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Před 2 měsíci +1

    Shukran

  • @khamisroro4589
    @khamisroro4589 Před 5 měsíci +1

    Shukran 🤲

  • @nooornoor120
    @nooornoor120 Před 3 dny

    Naomba namba

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 Před 4 měsíci +4

    Shekheeee kidogo nkurekebishe kumswalia mtume ninavojuwa silazima uwe na udhuu na silazima uelekee kiblaa na ni mahala kokote ila ijumaa ndio tumeambiwa tukithirishe kumswalia na kumswalia mtume muhammad sw kuna faida kubwa sanaa shukran

    • @mswakisaid2320
      @mswakisaid2320 Před 2 měsíci +1

      Acha kuleta werevu kwenye somo la mwenzako wewe, si utoe la kwako kama wajua?
      Hujui faida za kuwa na udhu wala za kuelekea Kibla! warekebisha nini badala ya kuongeza maarifa kwa waliokuzidi.

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 Před 4 měsíci

    Sala ya mtume ina siri kubwa.

  • @mnipulamahahi9858
    @mnipulamahahi9858 Před 5 měsíci +1

    Mimi na mswalia mtume kila cku mara2000 nakuendelea kila cku lkn shekh hii sanane lazima au hata nikifanya saa nyingine ambazo itakuwa kunautulivu haifai?

    • @mangadullah3422
      @mangadullah3422 Před 4 měsíci +1

      Wakati Wowote Ni Sawa, Ila Siku Ya Ijumaa Usikose Kumswalia Mtume.

    • @mussaalawi
      @mussaalawi  Před 3 měsíci

      Ukimswalia mara elfu2 Kila mara mia 1 tia nia

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi Před 2 měsíci +2

      Hata ukiwa unatembea wee mswalie mtume

  • @user-ur8eu3ph9k
    @user-ur8eu3ph9k Před 2 měsíci

    Sheikh tupe Namba yako ya simu

  • @ZubedaAbdallah-yy6zh
    @ZubedaAbdallah-yy6zh Před 5 měsíci

    Asalam alaykum naomba no yako

    • @mussaalawi
      @mussaalawi  Před 3 měsíci

      Ingia ndani ya CZcams andika mussa alawi utaipata no yangu