Shekheeee kidogo nkurekebishe kumswalia mtume ninavojuwa silazima uwe na udhuu na silazima uelekee kiblaa na ni mahala kokote ila ijumaa ndio tumeambiwa tukithirishe kumswalia na kumswalia mtume muhammad sw kuna faida kubwa sanaa shukran
Acha kuleta werevu kwenye somo la mwenzako wewe, si utoe la kwako kama wajua? Hujui faida za kuwa na udhu wala za kuelekea Kibla! warekebisha nini badala ya kuongeza maarifa kwa waliokuzidi.
Mimi na mswalia mtume kila cku mara2000 nakuendelea kila cku lkn shekh hii sanane lazima au hata nikifanya saa nyingine ambazo itakuwa kunautulivu haifai?
Mashallah
Jazaakallahu khairan
Shukran
Shukran 🤲
Naomba namba
Shekheeee kidogo nkurekebishe kumswalia mtume ninavojuwa silazima uwe na udhuu na silazima uelekee kiblaa na ni mahala kokote ila ijumaa ndio tumeambiwa tukithirishe kumswalia na kumswalia mtume muhammad sw kuna faida kubwa sanaa shukran
Acha kuleta werevu kwenye somo la mwenzako wewe, si utoe la kwako kama wajua?
Hujui faida za kuwa na udhu wala za kuelekea Kibla! warekebisha nini badala ya kuongeza maarifa kwa waliokuzidi.
Sala ya mtume ina siri kubwa.
Mimi na mswalia mtume kila cku mara2000 nakuendelea kila cku lkn shekh hii sanane lazima au hata nikifanya saa nyingine ambazo itakuwa kunautulivu haifai?
Wakati Wowote Ni Sawa, Ila Siku Ya Ijumaa Usikose Kumswalia Mtume.
Ukimswalia mara elfu2 Kila mara mia 1 tia nia
Hata ukiwa unatembea wee mswalie mtume
Sheikh tupe Namba yako ya simu
Mussa alawi
Asalam alaykum naomba no yako
Ingia ndani ya CZcams andika mussa alawi utaipata no yangu