Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 09. 2022
  • Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    CZcams @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Zábava

Komentáře • 46

  • @shabanizena2612
    @shabanizena2612 Před 10 měsíci +2

    Alhamdulillah waneemat'il Islam yarab

  • @yusufbongo9785
    @yusufbongo9785 Před měsícem

    Shukran sheikh walid alhad

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Před rokem +9

    YAA RABII MPE MAZURI SH WETU DUNIAN NA KESHO AKHERA NA FEMILI YAKE

  • @aquinoilham5941
    @aquinoilham5941 Před rokem +8

    Asalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh ustaadh samahani mimi nina swali .... swali langu ni mimi ni wa kike na huwanasalia nyumbani je dua hii haifai kusomwa na wenye kuswali nyumbani ila kwa wenye kupata jamaa tu....naomba kujua sheikh wetu

    • @YusrayYunus-rr1kq
      @YusrayYunus-rr1kq Před 7 měsíci

      shekh m naomba umjibu huyu

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 Před 5 měsíci

      Ibada zote kwa mwanamke nibora nyumbani kuliko masjid. Mwanamke kwenda msikitini ni dharura tu kama ijuma ao yende kwa ajili ya darsi

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Před rokem +5

    Shukran Sheikh wetu Allah azidi kukuhifadhi

    • @hawamkumbwa6490
      @hawamkumbwa6490 Před rokem

      Sheikh asante.Kwa wanaosali nyumbani peke yao wafanyeje?? Naomba majibu nimependa sana hiyo.

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Před rokem +3

    Hakika wewe nihazina.MashaAllah

  • @harunarashid1650
    @harunarashid1650 Před rokem +3

    Mashalla Alihabibi Nakupenda Sana Alla akupe kheri.

  • @ashamussa5129
    @ashamussa5129 Před 9 měsíci +1

    MASHALLAH JAZAKALLAH KHER MUNGU ATAKULI PA HERI

  • @HairahSayyed-hs9sb
    @HairahSayyed-hs9sb Před 11 měsíci +1

    Mashaallah tabarakallah

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před rokem +2

    Barakalahu fiku Allah ajalie mwanangu qwe kama wewe

  • @habibaabass2922
    @habibaabass2922 Před rokem +2

    Ahsante sana sheikh alla akujaalie jazaa njema

  • @allymchuzi5466
    @allymchuzi5466 Před rokem +3

    Shukrani shekhe Walid kwa faida kubwa uliyotupa allh akuhifadhi na akujaalie umri mrefu tuzidi kufaidika na ww

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před rokem +3

    Masha ALLAH Tabarakallah. Shukran sheikh ALLAH akulipe kheir.

  • @basmaabdul1143
    @basmaabdul1143 Před rokem +7

    انشاالله FINALLY SHEEKH WALID IN NAIROBI THIS YEAR

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Před rokem

      Twende

    • @aminaawal8953
      @aminaawal8953 Před rokem +1

      Shekh sababu ni kua hawana kipato wala watu hawawatizami walimu wa madrasa kwa jicho la tatu mbona walimu wa school hawaombi

    • @jumamwegelo9563
      @jumamwegelo9563 Před rokem

      Allah akujalie maisha malefu amen

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Před rokem +3

    May Allah bless you sheik...darasa zako zimenipeleka mbele ki iman

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Před rokem +3

    Shukran shekhe kwa sie tunaosali nyumbn je ?

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 Před rokem +7

    Sheikh ikiwa ni mwanamke aswali nyumbani hana jamaa atakuwa hawezi kusoma ?

  • @maliamhotimaliamhoti5302

    Allah azid kukuhifadh sheikh walid, tunapata faida nying mashaa Allah. Kwa sisi tunao swali nyumban inakuwaje sasa?

    • @vamelamani2381
      @vamelamani2381 Před rokem

      Allah tabarak wa tanlaah azidi kuku ifadh sheikh walid

  • @saidasaleh6376
    @saidasaleh6376 Před rokem

    Shukran Allah akulipe jee na sie kina mama tunaoswali nyumbani itafaa au mpk wanaoswali jamaa mskitini tu

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před rokem

    Shukran jazzakallah khairan

  • @yusufchaki8683
    @yusufchaki8683 Před 11 měsíci

    Asalamualeikum. Skh jhazakkalahu khair for dua clip. Asanto

  • @mahamudguyo-fn2dj
    @mahamudguyo-fn2dj Před rokem

    JazakAllahu kheir Ahlan

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Před rokem

    Shukran kwa ijazaah, na mengineyo mengi tu

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Před rokem +5

    Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka. Vip kwasis tunayo salia nyumbani?

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 Před rokem +2

    Shukran sheikh, Allah atujibie dua zetu aamiin

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Před rokem +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🤲

  • @CholoBoy-wo9yf
    @CholoBoy-wo9yf Před 9 dny

    Nakama Ni mwanamke utafanyaje nasisi huswali nyumbani

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Před rokem

    Allah akujaalie umri mrefu wenye heri na ili waja wake wapate kuelimika kupita kwako, Ameem

  • @mgenisalim6830
    @mgenisalim6830 Před rokem +2

    Asalaam Aleiko
    Nilikuwa nauliza jee kwa wanawake tusoma vipi maana hatuswali jamaa

    • @Khamisussi
      @Khamisussi Před rokem

      W.salam. nilipata kusikia kwa masheikh kuwa jamaa ya mwanamke ni pale ambao ikisomwa azana tu akasali hapo nd itakuwa imepatikan jamaa kwa wanawk wasio sal mskitn

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Před 9 měsíci

      ​@@Khamisussinakushukuru kakaangu

  • @ashuramzungu
    @ashuramzungu Před rokem

    Shekhe kwasisi wanawake tunao swali nyumbani dua hii vipi?

  • @user-db3hv6zq1d
    @user-db3hv6zq1d Před rokem

    Kwa Sisi wanawake tunao salia nyumbani hatuwezi kusoma?

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Před rokem

    Na kama hauko kwa jamii uko nyumbani ?

  • @NajuuuzAhmed
    @NajuuuzAhmed Před rokem +3

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Je kwetu sisi wanawake huu uradi hatuwezi kuupata maana twasali nyumbani sio jamaa?

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Před rokem +2

    Kapu la Sheikh 🤣🤣🤣 ilo.