Please naomba u SUBSCRIBE chanel yangu jina CHEKA KWETU kupata video za comedy nzur zaidi please like comment share kwa magroup name ntafanya ivyo please usi sahau kwani nahitaji sapoti yako
Why are you so hilarious, you kill me evetytime great authentic original comedy and your wonderful acting is amazing to the T. May God bless you in your future goals.
Huyu ndo mchekeshaji bora zaid hapa kibongo bongo 🌹❤.Nani anaamini ya kwamba
Fantastic
That's true
Sijawahi kupewa like jmn kwa chanel ya Jot akeeeee #sipompilePAPAPA😂😂😂😂😂
@@medylove_tz medylove_tz 😂😂😂😂
Wanafunzi wa vyuoni tuliopo majumbani na muda huu tumewahi kuangalia, kicheko cha Joti 😂😂😂....tujuane hapa
😂😂😂😂
Yusuph Diamond 😅
Kumbe siku iz nyie Madogo mnamiliki simu?? Subil tutawakazia mthn tu
Bundle mnazo msije mkawa mnabeba chenji za vitumbua
@@dapinitiative2451 😂😂😂 ili iweje Sasa
Pumzika kwa amani mama Zipompa, mbele yetu nyuma yako
Mahaba ya next level, international love 😂😂😂😂😂
Vijana wa Siku hizi wana hio Tabia,wanapenda vya bwerere,hawataki kufanya kazi.
weng sana dear
Kutoka marekani ,, kama umecheka 😂😂😂😂😂 nipe like
GOSPEL MUSIC TV pamoja sana
Asante sana
GOSPEL MUSIC TV czcams.com/channels/4Yxl2zIRGRiz1vYs043NZw.html.
Marekan upo buza alokuwepo marekan wala hasemi
@@yakfizahran4536 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Chezea ngosha nini🤣🙌🙌
M hulike kabla cjaangalia😁🤣🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥
Du! Hicho kifuko cha bunduki, nilikuwa nasubiri shuzi tu limdungue.🤣
ZIPOMPA NGUVU UMEZITOLEA WAPI🤣🤣🤣😂😂
Hahaha hahaha hahaha joti bhn mapemaaaaa Safi sana
OMARI AMIRI noma sana ha ha
😁😁😁😁🤣🤣🤣joti chizi
From Canada, we love this man.
Eti nikupe vitu next level hiyo inaitwa masozy masozy eeeh
Hahahaaa’ Mtoto Joti Maku sana Huyu mjue...!
Wapogoro woote tujee tulike apa aiseeeeeee
Joti you are the best..from Kenya bro we love you
Et masozi eee masozi ee 🤣🤣😂😂😂 uko juu joti 😂
Sasa joti mambo gani haya mpaka ninacheka pekeang Kama mwehu😆😆😅😅dahh
Kipompa kama alikua anataka kucheka yaani kajikaza huyu jamaa mwisho😁😁😁
Joti ukome kwenda nyumba za unaona mkuto huo.Safi joti
Haaaaahaaaaaa dah jot wewe ni mweuuuuuuu,hongera kwa comedy😂
Nipen like zangu wa kwanza ku comment
moses job umetisha
Duuh
Please naomba u SUBSCRIBE chanel yangu jina CHEKA KWETU kupata video za comedy nzur zaidi please like comment share kwa magroup name ntafanya ivyo please usi sahau kwani nahitaji sapoti yako
Sasa ukipewa like wee ndo ulieigiza
@@bilajasho449 ni subscribe broo please
Daaah wangapi wamezielewa sofaa jomoon😋🤤🤤🙈🙈🙈
Tamuu balaaaa
The best comedy in Africa joti tv 📺 😍
Mr kuku serikali imemfilisi dah serikali hii mbna kweli yawatu wahali yachini hahahahaa
joti umetisha kumludisha zipompa pompa mamaa kubwa
Daah jaman hy mama yupo....utu uzima ushamuingia....mising u zipompa😍
I like this guy from Burundi live in Canada 🇨🇦
Masozi eeh Masozi 🤣🤣🤣🤣 Joti jamani eti kifuko cha bunduki
Umeingia cha kiume 😂😂😂
Khaa nilijua comenti yangu itakuwa ya kwanza ivi ni huwa mnacoment kabla hata hamja tazama nini😂😂😂😂😂😂😂😂
Stephen mussa hujachelewa😄
Watu wapo fasta humu
Yeah
Joti umepata juice nzuri hahahahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nikonge rohoo wew jot si mtu mzuriii
Apo ndio kuna kifuko cha bunduki😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Yan wew joti aliekulaani kafa huyo mama utamueza hivi hiyo suruali umepima kweli kwafundi
RIP 🪦 zimpopa 😔😭
Mungu akuweke sanaa Captain jot 🤣🤣🥰😂😃😀☝️🙏
Yaani Joti haniachi mzima hata mara moja!🤣🤣 Hadi machozi!
Shukran san jot kwa comedy mzur naamin ww ndo namb 1 bong mzim
#Joti fara kweli ila co nakutukana ww n noma
Jamaa anajuwa kuchekesha sana
atar San kwawanao mkubal jot like apo
Joti Utaniua Mie.....Baby anakushika Masouzi ee Masuzii
Hahhahaha yan joti bwana,tunakuaminia... Hujawah kutuacha salama😂😂😂😂 mpeni LIKES zake kam pongez,kama uko pamoj na mm bonyeza like apo👍
nady music noma sana
Noma Sana wana
🤣🤣🤣🤣🤣joti we kiboko kabisa
Masozi eeeh Masozii
Inna lilahi wainna ilahi rajiun Mungu akusamehe dhambi zako za siri na za dhahiri Zimpompa
From Canada i love it’s movie
Ukovizurisanaaaa blooo
😂😂😂 masoziiiii . unadeserve CZcams award mzee. 🇹🇿🇹🇿
🤣🤣Uyu jamaa anaongeza maisha kwa kutupatia vicheko. Kama umekubali chungulia CHANNEL YANGU. Ata kwa dakika tu. Asante sana😎
😀😀😀😀😀 jotiiii one love from ITALY
Masozi Masozi.... 😅 😅
🤣🤣🤣🤣 Joti Asante 😂😂😂 Sio kwa mabao hayo
Mapema sana leo nimewah
Huyu atakuwa na undugu na mama dame mbona wamefanana
zipompa una roho ya joti ujue,ila joti mwehu sana,ety siku ya harusi zipompa anakua Mc mwenyewe,anapiga two in one
Rest In Peace zimpo pampopa 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimefurahi leo kumuona Zipompa pompa popile Papapa
😂😂😂😂😂😂😂ila ichi kijamaa bwana
Hahaahahahhahahahahahhhahh joti ni fala sanaaa
😂😂😂😂😂😂Dah Nimechelaa
Zipompaaa😂😂
panya kashikwa kwenye mutengo 😂😂 😂
Hahahhaa jamani joti unakuwaga na ujingaaa hahahhaaa nimechekaa sanaa
Uo uvaaji wa Nguo wa Jotii😂😂😂😂utasema anaundugu na Kofii😃😃😃😃
Joti ni atary
Ha haaha zipompa nguvu umezitolea wap baby
Masozi yeee masozi eeeh 😆😆😆😆
Nafurahi sana kukuangalia
😂😂😂 nguvu umezitolea wapi
Uyu Jamaa mwamba
Zikomplilile PAPAA .. Hahaha
Hahahaaa kifuko cha bunduki ukigusa tu inatoka
NICE MOVIE
Mahaba ya next level 😀😃😀
Umetisha
bingwa anaweza
Joti uogop wazee we we hahaha
😂😂jotinyo unabalaaa
Bonge la juice 😂😂😂
Joti😁😁😁😁😁 kwatsua gamang
Mi ni kama sindano we kama koti😂😂😂
Joti fala sana 😂😂😂😂😂😂😂😂
Aaah aaaah aaaah shkamoo jotii,,,et apo ndo kuna kifuko cha bunduki
Jot nomaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂fala kwel Joti
Hahahahahaaaaaa Eti wanao tangulia ndio wanaokoseaaa duh Jot hapana
Zipompa😂😂
Zipompa pompaaaa
😂😂😂😂😂zipo ana mwingine
Kaz kwenu
🤣🤣🤣🤣🤣 joti mi nakupenda bure tu
😂😂😂😂😂mwehu sana ww
Zipompaaaa...
Kapendezaaaa
Juuu xaaaana
Why are you so hilarious, you kill me evetytime great authentic original comedy and your wonderful acting is amazing to the T. May God bless you in your future goals.
Ndani ya do 12 wa Mia 324. Hivi huwa mnalala kweli.
MSURUALI HUOOOO,...KULELEWA KAZI KUKAAA TUUU...