Sikia ushauri wa JORAM NKUMBI kwa serikali, ashusha Nondo nzito

Sdílet
Vložit

Komentáře • 16

  • @user-ik3fb9ic7s
    @user-ik3fb9ic7s Před 19 dny

    Very power! Hongera sana mwana wa Pan African movement .
    Siku unakutana na prof. PLO naomba unialike.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 10 měsíci +1

    Kumbe wazalendo wadogowadogo wapo!!! Jamani polepole wamuona huyu

  • @danielmuro5707
    @danielmuro5707 Před 10 měsíci +1

    Good idea bwana nkumbi.

    • @yapukahassan
      @yapukahassan Před 10 měsíci

      Wamekalia kuwapromote dp world hakiri mgando. Umenena vema bro

  • @user-ny2bi8yj1o
    @user-ny2bi8yj1o Před 10 měsíci

    Good my brather

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 Před 10 měsíci

    safi sana haya ndio mawazo chaya ! kwani leo umeleta mipango nyeti sana,😂😂

  • @hakiyangu
    @hakiyangu Před 10 měsíci

    Umesema safi sana ila Tz yetu viongozi akili ndogo japo wengine wana elimu kubwa.

  • @malizeniengibethi5295
    @malizeniengibethi5295 Před 7 měsíci

    Nondo mzito hizi Tanzania ni Bongo land lakini sasa ni bongo lala

  • @Hassan-bq8bg
    @Hassan-bq8bg Před 7 měsíci

    Kwa Tanzania yetu haiwezekani

  • @user-pd1kk3xd4u
    @user-pd1kk3xd4u Před 10 měsíci

    Joram wote tuna Mawazo hayohayo vijana wote lakini aya majambaz ya Karam kam akina samia ndo kikwazo

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 10 měsíci

    Vijana Kama Jeremy serikali hawaoni. Tuna vijana Wenye akiri lakini surname zawo sio Kikwete , Munaule ama Makamba. Vijana wanateuliwa sio kwa maarifa, akiri wala elimu zawo bali kwa majina yawo. kuendelea kwa uongozi wa ubaguzi tulio nawo

  • @yubraTV
    @yubraTV Před 10 měsíci

    Hakika mlumbi umetoa madini adhwim sana

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 Před 10 měsíci

    😂😂

  • @bertinkimati2674
    @bertinkimati2674 Před 10 měsíci

    Umesema jambo muhimu sana ndugu. Tatizo tulilonalo nchini ni kuwa na viongozi wabinafsi. Unapoongelea kuona technology Tanzania Ina watanzania wengi sana walionahatika kusoma nje ya nchi na ni maprofesa na wengine ni engineers. Na mnaweza kukumbuka hata ndege tulizonunua aliyeleta ni mtanzania baye ukiachia urubani yeye ni engineer wa ndege. Tumekuwa tukiomba urais pacha ili kuleta technology nyumbani tukiangalia kuwa tunaweza kurudi nje tulikojiendeleza lakini kwa sababu ya viongozi wabinafsi wanakataa waliogopa challenges za wasomi tulio nao nje ya nchi.

  • @user-mh5mx1kn8j
    @user-mh5mx1kn8j Před 10 měsíci

    Tumechoka porojo zenu kila mtu bandar bandar hamna shughuri nyinyi

    • @hakiyangu
      @hakiyangu Před 10 měsíci

      Hujielewi, jitafakari