SAKATA LA USHOGA NA HAKI KWA WANAUME LAIBUKA BUNGENI, MBUNGE AMCHARARUA VIKALI WAZIRI
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2024
- If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Shida imekuwa kubwa sasa hivi. Maneno mengi ni ya kujikombakomba tu Asante sana Madame JESCA Mungu akutetee.
Creative arguments, hongera sana mama yangu mama Samia akiona inafaa akupe wizara hii
Hadi nimeskia kusisimka, inaonekana haya sio maneno ya kawaida, yana nguvu ya Mungu ndani yake. Hongera sana Mama Jesca.
Asante mamangu, uku kwetu Kenya 🇰🇪 ata mikopo atupewi sisi wanaume, utaskia kenya wimen, wimen rep, ata ukuenda kuomba kazi na mwanamke atapewa yeye, imebaki tu kuolewa na wanawake
Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Dada Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa Barikiwa sana sana sana
Asante sana mama yangu kwakulitambua hilo sababu wanaume wananyanyasika sana naawana pakukimbilia na dhani wewe ndo ungelipashwa kuwa kiongozi mku wa nchi ya
Tanzania
Uyu mama aliyeongea mungu amtizame na ampetie mema zaidi
Duuh mama umezungunza point kiasi ya kwsmba Talents kama hawa wanahitajika Sana ktk bunge
Mbunge ana madini sana,big Up
Hongera sana mbunge, wewe ndo mama wa bunge , Hili jamaume la wapi mbona hata sijalielewa , hovyo kabisa. watoto wakiume wanahalibiwa sana wabunge wakina mama lipigieni kelele sana kuwalinda watoto wote bila kuchagua jinsia
Dada yangu umeeleweka vizuri sana. Shida ya mawaziri wengi, hawana hofu ya Mungu ndani yao.Nchi inahitaji toba ya magano ya kuzimu
You are very right! Inch inahitaji toba, Tuliunganishwa na kuzimu tangu kipindi Cha Uhuru, ndo Mana tunapelekwa km Kondoo😭😭😭 9:57
MH: Mungu akubariki Sana yalikua maombi yangu sana namshukuru MUNGU amekutumia kusema hilo
Wakipatikana wabunge kumi kama huyu mama haki ya mungu tutafika pazur
Ufike wapi? Unapotaka kufika hawa wabunge nihatari kuliko hao wanaowaongelea
Unachosema nikweli Mungu kakutumia Vyema
Mama Samia huyu Mbunge naomba aongezewe Mshahara tafadahli
mama Mungu akulinde sn na akupe marifa zaid
Ninavyompendaga Jessca Yeye mkishamaliza yeye anakwenda Extra miles!👏👏👏
Toka nimesikia bunge hii ndiyo mada ya maana kwa Tanzania
Safi kbsa mbunge una maono vzr unaonambali sana bora ungekiwa samia
Umegusa kero ya kila mtu lazima kuwe na strong voice ahsante sana mama mungu akulinde kwa kugusa kiini cha maumivu makali kwa wanaume
Daaah safi sana, "WE NEED A STRONG VOICE "
Mh mbunge umeongea point wanaume tulikua tume koswa utetezi bugeni. Ongera sana Mh.
Hongera mama umesema kweli.
Na huyu kigwangala ndiyo Mwisho wa kuingia bungeni tena awamu hii
Umeongea hoja ila si kwenye hii serikali inayofuata utaratibu wa Dunia, chukua maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kabisa kaka,, mpango wa dunia ni kuhiaribu siyo kujenga, Wala si uopo was Mungu
Huyo Mwanaume hajielewi kabisa, Yaan tunasemewa na Mwanamke lenyewe linapiga. HOVYO kabisa
Huyu akaangaliwe vizuri.. pengine nae ni miongoni wa wanao suppoti ushoga
Hahaha! Et Daktari. Tatizo la elimu za kuhonga
Tumia akili apo akiongea mwanaum hawez kusikilizw sana
@@misangasaidih8764yani kamchana hatari😂😂
Mbunge wetu hoyee🎉🎉, Mungu akupe maoni zaidi.
Kilichonifrahisha nikuona mwanamke ndiye anatutetea wanaume .very nice
Kumesha haribika Sana single moms wanazidi kujazana mtaani, ko mwanamke ameliona hilo
Mashallah umeupiga mwingi mola akubariki
Hongera sana Madame Mbunge nimekuelewa sana Wewe ni Voice of Voiceless
Great love ❤️ to mamaa mungu akupe maisha marefu sana
Mama upo vizuri sana
Mungu akulinde madam jeska
Dunia ya magharibi inahubiri kutetea haki za wanawake na kumpa nguvu mwanamke ili kuwashusha wanaume kifikra na kiuchumi hasa kwa bara la Afrika.
Lengo kubwa ni kufanya bara la Africa kukubali ushoga na kupoteza nguvu ya wanaume ambao watasimama kidete dhidi ya bara la Africa.
Nimekukubari Sana you are awared person unasema kweli
Hongera sana mbunge mama kunywa soda nakuja kulipa
Well said
Asante Sana 🙏 Kwa mchango wako mzuri Mh. Mbunge. Mungu akubariki ❤
Yaani wanaume wenyewe hutujitambui kiasi hiki mpaka wanawake wanaamua kututetea. Eti wanaume nao siku hizi wamekua feminists, what a wrong turn!
Daah.Safiii sana na hongeraa sana Mhe Jesca. Umeuipiga mwingii
Haya ni matokeo ya kukubali kila mpango anaokuja nao mzungu na kuacha tamaduni zetu
Acha ujinga unashindwa na mwanamke anatoa point wanaume mpo mpotu
Mama umetisha ubarikiwe sana napenda nioe binti yako
Well said ubarikiwe sana nuru ya Mungu ikuangazie
daaaa yan mpk nimejisikia vibaya hongera sana my sister
Wew mwanamke uko smart sana umebarikiwa keep it up
Allah akuongoze
Asante sana mungu akutangulie mh hoja imeeleweka
Bigup mama umesema na asante sana umetusemea uendelee kuongoza ktk jimbo lako
Mungu akubariki sanaaa
Hongera sana mama. Mungu alishampa mwanaume uongozi mwanadamu hawezi kubadilisha ndiyo maana matatizo yamekuwa mengi siku hizi kwa kuwa mwanaadamu anataka kwenda kinyume na sheria za mungu
Kabisa broo
Hongera mama ra mama
The problem ni kukataa hekima ya Mungu na sheria zake kwa kudhani hekima ya mwanadamu itazidi ya Muumba. Now it has bounced off.
Big up
Hongera saana mama God bless you with your family and your job ❤❤❤
Safi sana Mama hongera umesema vema
Hongera mama hilo janaume ni shoga
Umeongea point mbunge watt walelew na pande mbili lakin watoto wa kiume wakiachwa kulelewa na wanawake tu ni rahis sana baadae kushindwa kujisimamia peke yao, inahitajika strong voice ili wawe hodar zaid
Asante mama umenena maana ishakua hatariii
Mama. Ubarikiwe sana
Asante xn mama hakika ww ndiye mbunge mwenye maono! Kuna wanaume wamekaa humo tu hata hawaon na wao wanapiga makofi tu hawaon kuwa wanaume wametengwa,na wananyanyaswa na wanawake kisa tu mwanamke kapewa haki zote! Hapo usawa wa kijinsia uko wapi?
Hongera sana Mh mbunge hongera sana mama
Kuna mijanaume humo yapo yapo tu, mpk kaibuka mama kutetea wanaume big up Sana jesca
Kwa Mara ya kwanza nimesikia mtu akitoa hoja bungeni hongera Sana 😂😂
Mimi nimependa hapo alipocheka na kusema halafu Daktari kwa dharau sana 😂😂😂
Mama Mungu akubariki sana , akuzidishe katika mema uyatakayo
Mama kaongea kwa umakini sanaaaa.....Mungu akubariki mnoo
Swala lipo ivi nyakati zimefika za binadamu wasio na mungu kutengeneza njia zakumweneza shetani kwa nguvuuu
Hongera sana, umeongea ukweli mtupu, hii ndio aina ya viongozi tunaohitaj
Ahsante sana mama Mungu azidi kukupa maono zaidi
mtoa taarifa atakuwa ashaleft na yeye😂😂
😂😂😂
Mama ni noma sana I want to comment for second time mpeni maua yakeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love you mama unapenda taifa pia unahofu ya mungu may God bless u❤❤❤❤
Ubarikiwe mama
Safi mama
Hongera sana. Si tuu unafaa kuwa waziri wa wizara hiyo, nadhani hata ubenge unatakiwa uchukulie kwenye jimbo la huyo mwanaume asiyejiua shida ilivyo!
ubarikiwe sana mama
Asante mama unajua xn
Dah nimempenda san huyu mama kwel tunawamama wanatutetea Bungen jmn Mungu akubarik sana mama.piga kaz
Wonderful woman❤❤❤ I like it
Hongera mama umetumia akili kubwa
5:23 usawa wa jinsia,wazee na watoto
Aliwahi kuongea Ndungai, kuwa mtoto wa kiume amesahaulika
Big up mbunge....watoto wa kiume wasiachwe nyuma
Your so smart,, apewe ulinziiii huyuu mbungeee
Mama yangu kipeenzi mungu akupe umri mrefu fanya kazi mungu atakuripa
Mungu akubariki sana mama kweli umeongea jambo la msingi sana
Hongera mama💗💗💗💗
Dah safi saaana yaani umeongea ukweli kabisa inasikitisha kama kuna wanaume wanaunga mkono mambo hayo na kuyafungia macho mambo muhim.. hivi kweli mwanaume hatambuliki umuhim wake kweli!!! Watu wa magharib hawatatulia mpaka watimize ndoto zao mbovu..
Uyu Mama Ako na Madini mengi mno kichwani. Kigwanala Kayakanyaga
Mama Mungu akulinde na akupe ujasiri zaidi, nilngekuwa mwananchi wa jimboni kwako hakika kura yangu ungepata 2025 utarudi Bungeni.
❤❤❤❤chukua mauwa yako mama na unapotokea nawaomba wananchiwako akurudishe tena bungen
Mungu akubariki Sana uishi myaka Mingi
Mashaallah mashaallah umenena shida masikio hayasikii
Mungu akulinde sana mama congole kwako❤❤❤
Asant sana❤
Nimekupenda zaid
Safi mama na ni wadhaifu Sana wanaume
Safi Sana mitano tena
Ubarikiwee
Strong point perfect say
Nimekukubali sana maana kama tukiegemea upande mmoja tunazidi kuharibu siyo kutengeneza
Hongeraaaaa sanaaaaa unahoja za upako
Safiii sana 🙏
Ubalikiwe sana tena ubalikiwe mama yetu ulinzi upewe mama yangu mwenyenzi mungu