JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Alikiba

Komentáře • 348

  • @AlikibaaCom
    @AlikibaaCom Před 28 dny +84

    Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa Před 28 dny +96

    Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 Před 21 dnem +16

    Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před 28 dny +28

    Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 Před 28 dny +44

    Likes from East Africa 😂😂😂

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v Před 28 dny +26

    Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 Před 21 dnem +5

    Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music

  • @DambweRama
    @DambweRama Před 28 dny +35

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 Před 28 dny +20

    Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉

  • @SuleimanAli-jv3lt
    @SuleimanAli-jv3lt Před 28 dny +16

    All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓

  • @Lebabaz
    @Lebabaz Před 28 dny +32

    King ni mmoja tu

  • @shabaningaoga164
    @shabaningaoga164 Před 28 dny +43

    Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa

  • @HenryChristophvtl-md1cz
    @HenryChristophvtl-md1cz Před 28 dny +36

    Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥

  • @AmosItawa
    @AmosItawa Před 28 dny +37

    Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi

  • @rukiasekulu502
    @rukiasekulu502 Před 21 dnem +4

    Only one king in Africa 🥰

  • @saxprince10
    @saxprince10 Před 21 dnem +14

    Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe Před 28 dny +16

    Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz

  • @Saki930
    @Saki930 Před 28 dny +9

    Dj D Ommy bonge la hipe

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- Před 21 dnem +4

    Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo

  • @Peresi-t1d
    @Peresi-t1d Před 28 dny +23

    Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu