Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
Likes from East Africa 😂😂😂
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
King ni mmoja tu
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
Only one king in Africa 🥰
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
Dj D Ommy bonge la hipe
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu