Hakika mmemgusa Mungu kwa hiki mlichokifanya,ni taasisi ambayo kwa kweli ina mkono wa Mungu ndani yake,Hakika hamtakosa hitaji lolote la mioyo yenu na Mungu awabariki sana,Amen.
Hongera sana, Hiyo sasa ndiyo sadaka aipendayo Mungu Muumba👍. "Siyo wengine, huchangiwa sadaka na Kujitajirisha tu na kununua magari yao ya kifahari" Mungu awabariki 🙏.
Kingine nakupongeza mama angu ni jinsi ulivyoheshimu sheria za ndoa kwa kukataa mila za wazee wetu ile Tabia ya kuridisha mke kwa ndugu wa marehemu,, wakati huko watoto wa marehemu na mama yao wangeenda kunyanyaswa tu, mungu nipe utajiri na hitaji kuwasaidia Sana Sana wenye uhitaji, amen.
Mungu ni mwaminifu Sana kwetu,tunapata jaribu lililo stahiki lakini pia kwa upendo hutuonyesha njia ya kutokea,Bwana na awe upande wenu nyote mliojitoa kuleta tabasamu kwa dada Judith.
Asanteni sana kwa kitendo hiki cha kuigwa ila naomba nichangie wazo...ni Hivii !!! Hata kama ni pesa za michango, je?? Kwa nini msijenge nyumba ya kawaida tu na fungu jingine likaweza kuwasaidia wengine watatu au wanne??? Wahitaji wako wengi sana na wengi hawajianiki kwenye vituo vya mabasi wako mabondeni huko,nao ni viumbe wa Mungu.Halafu mnadiliki kujitangaza kwamba mmejenga jumba la kifahari !!! Eti na wachungaji wamekuja kubariki makosa hayo badala ya kuukemea huo ufahari.Je?? Yesu alionyesha mifano ya kifahari ???? Alipanda Punda. Mama huyo hana kazi watoto hao watano wanataka shule na chakula,nyumba itahitaji maangalizo ya hapa na pale ,kwa hiyo foundation hii itabeba maisha ya huyu mama na watoto 5 milele ????.,usimpe mtu samaki bali mpe mshipi akavue.
Mungu nisaidie na mm niwajengee wazazi wangu wewe ndie wa pekee asante kwa kuwagusa watu wako kumsaidia huyu mama na watoto wake hutomuacha anaekutumaini😢😢
MBONA WEWE , HUJAFA WAKATI WAPO WENGI WAMEKUFA?, jua maisha kila mtu na bahati yake, MUNGU kila mtu atampa kwa wakati wake, katika watu 10,anabahatika mmoja, sio wote 10,hakuna bahati za hivyo , nahao wengine MUNGU amesha waona yeye ndie mgawa riziki na hizo bahati anajua siku yao
Mama anaonekana ana Muamini Mungu kuliko kitu chochote..... Ana Hekima ya kufikiri kabla ya kuongea mashaalah
Hakika mmemgusa Mungu kwa hiki mlichokifanya,ni taasisi ambayo kwa kweli ina mkono wa Mungu ndani yake,Hakika hamtakosa hitaji lolote la mioyo yenu na Mungu awabariki sana,Amen.
Mungu aibariki sana Taasisi hii na ndugu Malisa wapewe nguvu sana wenye Taasisi hiyo
Hakuna haliye mtegemea Mungu halafu Mungu akamwacha alivyo 😇🙏🏽
Amen
Hakika
❤❤❤❤kwenye maisha usikati tama chini ya jus hakuna kinacho shindikana kila kitu mtegemee muumba wako
Amen
Mungu awabariki sana taasisi hii,na watanzania waliounga mkono jambo hili, HONGERA Judith kwa kupata makazi
Hongera sana, Hiyo sasa ndiyo sadaka aipendayo Mungu Muumba👍. "Siyo wengine, huchangiwa sadaka na Kujitajirisha tu na kununua magari yao ya kifahari" Mungu awabariki 🙏.
Jehova awabariki Sana watumishi wake
MashaaAllah mungu nimwema siku zote
Mungu nakuomba uwakumbuke hawa walioshiriki kwenye ujenzi kwa namna kila mmoja alivojitoa
Masha Allah
Allah awalipe kheir wote walomchangia ❤
Mwenyezi Mungu awatangulie katika kuitenda kazi yake
Glory be to God hallelujah..
Hautakuwa Masikini kwa kusaidia wengine
Mungu awabari sana wabeba maono
Mungu aendelee 'kutukuzwa' kwa kila msaada mtakaoutoa watanzania kupitia taasisi hii...
Mungu awabariki sana TAASISI hii.Naomba Niielewe zaidi na mimi nishiriki baraka hizi kwa Mungu.
MashaAllah
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nmemuona kaka Malisa GJ, Bibi Happy Joseph, Dr Christopher Cyrilo wakiwakilisha Gifted Heart Foundation Mungu azidi kuwabariki mno
Mashaallaah MMungu ni mwema atawalipa kwa msaada wenu.
Nimefurahi hadi machozi yamenitoka Mbarikiwe sana
Mungu sikusote ataitwa mungu. Hakunamwenye hakialiwaachwa. Asante yesu
MUNGU ni mwaminifu sana hajawai acha mja wake ateseke anajibu kwa wakati
Kingine nakupongeza mama angu ni jinsi ulivyoheshimu sheria za ndoa kwa kukataa mila za wazee wetu ile Tabia ya kuridisha mke kwa ndugu wa marehemu,, wakati huko watoto wa marehemu na mama yao wangeenda kunyanyaswa tu, mungu nipe utajiri na hitaji kuwasaidia Sana Sana wenye uhitaji, amen.
Hakika Mungu ni mkuu hajawahi kushindwa na Jambo lolote. Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa kutenda Jambo hili kupitia watu wake🙏🏼
Mungu hamuachi yeyote kila mtu ana baraka zake na hii baraka baada ya changamoto
Mungu ni mwaminifu Sana kwetu,tunapata jaribu lililo stahiki lakini pia kwa upendo hutuonyesha njia ya kutokea,Bwana na awe upande wenu nyote mliojitoa kuleta tabasamu kwa dada Judith.
Hakika baada ya dhiki siku zote huwa ni faraja, Mungu mwema wakati wote 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🫡🫡🫡🫡
Mubarikiwe team yote kwa jambo hili kubwa🙏🙏🙏🙏
Wow hongera jmn❤ mbn ni dream house yangu😊
Hivi ndivyo mungu hujidhihirisha wakati ukifika,, asante mungu kwa kusaidia familia hii ya mama huyu
Waliyo mfukuza watatamani kuja kumsalimia
Kabisa mungu wabariiki wote waiotoa hata maombi mungu yu pamoja nanyi.
Mungu awabariki taasisi hii pamoja na watu wote mliojitia
Nimependa kauli ya mwisho ya uyo Mr kwamba autokuwa masikni Kwa kumsaidia mtu good sana broo
Na mungu awabariki wote walio mchangia
Unaambiwa baada ya dhiki ni faraja ck zt na Mungu ndio ni muaminifu ck zt 🙏
Na mm muwe mnanijilisha niweze kutoa sandaka..Mungu awabariki sana kwa utumishi huu
Mungu hajawahi kumtupa mja wake sisi tuy ndo tunajisahau kujikurubisha kwa mungu
Daah hongereni sana
Mungu awaongezee paripo pungua
Allah awabariki n awalipe kheri
Amen 🙏 🙏 🙏 be blessed 🙌
MashaAllah ❤❤❤
Nyumba nzuri raman iko simple
Kaka Malisa Mungu akubariki asikupungukie hata
Mashaallah 🎉
Asant mungu kwajili ya hii family
Hongereni sana
Mungu atawawaripa
Malisa Malisa Malisa. Mungu akubariki wewe na wote ambapo mnaguswa katika kundi la wahitaji
Mungu awabarik sanaa 😢😢😢
Sasa kuna wale ndugu walio muhujumu alipofiwa na mume...sijui wataenda kumtembele....😂
Mungu bariki hii taasis na wataasii
Mama apewe ulinzi na itambue mjane hana ndugu, hongereni
M/Mungu anatupenda sana na sisi tupendane na kusaidiana! Usimdharau usiemjua!❤
Mungu awafariji sanaaaa
Alhamdullillah
Naomba na mimi mue mnanishirisha nichange kidogo nilicho nacho kwa wahitaji kama hao.
Blessings
Akikisheni watoto wanaenda shule pia mama apate kamradi ka kuendeshea maisha
Watoto wamepelekwa shule pia kbla y kujenga nyumba
Pazuri sana hongera.sana kwao
Amina
Amen
Asanteni sana kwa kitendo hiki cha kuigwa ila naomba nichangie wazo...ni Hivii !!! Hata kama ni pesa za michango, je?? Kwa nini msijenge nyumba ya kawaida tu na fungu jingine likaweza kuwasaidia wengine watatu au wanne??? Wahitaji wako wengi sana na wengi hawajianiki kwenye vituo vya mabasi wako mabondeni huko,nao ni viumbe wa Mungu.Halafu mnadiliki kujitangaza kwamba mmejenga jumba la kifahari !!! Eti na wachungaji wamekuja kubariki makosa hayo badala ya kuukemea huo ufahari.Je?? Yesu alionyesha mifano ya kifahari ???? Alipanda Punda. Mama huyo hana kazi watoto hao watano wanataka shule na chakula,nyumba itahitaji maangalizo ya hapa na pale ,kwa hiyo foundation hii itabeba maisha ya huyu mama na watoto 5 milele ????.,usimpe mtu samaki bali mpe mshipi akavue.
Kila mtu na bahati yake
Hakika mwenyezi mungu ni mkubwa
MUNGU wa mbinguni awabariki sana 😢😢😢😢
Pazuri na mama kapendez sana
❤😊
Mungu nisaidie na mm niwajengee wazazi wangu wewe ndie wa pekee asante kwa kuwagusa watu wako kumsaidia huyu mama na watoto wake hutomuacha anaekutumaini😢😢
Utawajengea tu,husijali,mimi siku nilipomaliza kuwajengea wazazi wangu,siku wanahamia waliniita nikapiga magoti wakaniombea,wakanambia hata tukifa leo,hakuna tunachokudai huku wakibubujikwa machozi ,nilijikuta napiga kelele machozi yakinitoka ,yani Acha tu 😢😢😢
ALHAMDHULILLAH 🤲
MBARIKIWE SANA
Safi sana
😢😢paka nalia😭😭
❤❤
Saa nyingine kuweka hadharani maisha Yako ni fursa jaribuni ndugu mtakuja kunikumbuka😂
Watanzania siku zote niwema sana
kamanimena mtu hajavaa vile😂😂😂 au machoyangutu ?
Naomba namba jamani mimi nina matatizo
Stendi gan hiyo na mimi nikalale aisee?!!
Hii ndiyo Tanzania tunayo itaka
Kulala maskini kuamka tajiri
Wapi ndugu wa mume
Yan sijui Kwa sas wanahali gani
@@victoremanuel29watakuwa hoi kwasasa masikini 😅
Waliomfukiza sa hii wameshaanza kutuma sms za kuonesha wema, kweli ss binadamu ni viumbe wa ajabu sana
Haika Mbowe
Hakika MUNGU wa wote 😭😭😭
Wapo wengi wenye shida kama hizo na amuwaoni
Kwahiyo wakiwepo
Kila mtu na rizki yake sio kila mwenye shida atasaidiwa
Ukimuomba Mungu akupe moyo wa shukrani itakusaidia sana.
Wew uliowaona umewasaidia?
MBONA WEWE , HUJAFA WAKATI WAPO WENGI WAMEKUFA?, jua maisha kila mtu na bahati yake, MUNGU kila mtu atampa kwa wakati wake, katika watu 10,anabahatika mmoja, sio wote 10,hakuna bahati za hivyo , nahao wengine MUNGU amesha waona yeye ndie mgawa riziki na hizo bahati anajua siku yao
Mungu awabariki sana taasisi. Hakika mmeugusa moyo wa Mungu sana.
Hongereni sana
Mpaka wabishi tumekubali basi jambo limepita