Ah, Bwan'Chuchu 2001, una canción titulada '' Sitishiki '' de Chuchu Sound Band de Tanzania famosa por el género musical '' mduara / chakacha '' en África Oriental
Mpiga solo ni marehemu king giovan ndie alokuwa mpiga solo guiter namba Moja Tanzania nzima wa pili ni maneno uvuruge hii band ilipokuwepo band zote za Tanzania zilifyata mkia na Mimi nilikuwa nao nilikuwa katibu muenezi wa chuchu sound band na mtunzi wa mashairi Sasa wanamuziki wetu walioshafariki katika band hiyo ni mao Santiago muimbaji na rapper wazir sonyo muimbaji mpiga drum number one marehemu Gabbie Katanga mwenye band hio pia Yusuf alley mpiga tumba kachumbari na mpiga drum mungine anaitwa muddy teminater wanamuziki waliobaki hai ni Omary mkali muimbaji mbwana ponda bass guiter George choka rythym jonico flower muimbaji na mpiga kinanda number one ababu mwana wa zanzibar hii band ilitamba na nyimbo zake Kali sana marafiki shanuo usione vyaelea sitishiki sibabaiki hodi hodi mama Layla mkataa pema pingu za maisha tupunge mkono fantasica na mo intro na nyingine nyingi hii band ilikuwa na wanamuziki wakweli ambao wanajua muziki sio band wanajazana wanamuziki mashati Kwa maelezo zaidi nipigie 0788713134
Ah, Bwan'Chuchu 2001, A Song titled ''Sitishiki'' by Chuchu Sound Band from Tanzania famous for music genre ''mduara / chakacha'' in East Africa. Jphamber shukrani maana nyimbo za hawa jamaa zilikuwa hazipo ktk huu mtandao wa kimataifa.
Kama unakumbuka enzi 2001 zilikuwa zinatamba kwenye ubora wak gonga like kwa sanaaaa
Huu mziki umekamilika kila kitu hadi raha kuusikia hauchuji kuanzia 2001 mpaka leo ukiusikia Kama ndo umetungwa leo,Big up
Hii Nyimbo ni 🔥 🔥 🔥 jamaa walikua na vipaji + uwezo mkubwa wa kutengeneza muziki.
Kila nisikiapo wimbo huu,nakumbuka enzi za utoto Wangu pamoja na marafiki zangu tulipokuwa tunasoma darasa la Sita.
Kweliii mpka muda uu utakuwa na miaka 34
Nakumbuka nipo kidato cha kwanza,bweni Bagamoyo daaaah
Ah, Bwan'Chuchu 2001, una canción titulada '' Sitishiki '' de Chuchu Sound Band de Tanzania famosa por el género musical '' mduara / chakacha '' en África Oriental
Nimekumbuka enzi ya kipindi cha Africa bambataa Clouds Radio, hii ngoma ilikuwa inatamba sana.
Natamani kumfahamu aliyepiga hili guitar la solo nimpatie zawadi yake kwa kweli.
CHUCHU SOUND WAS BALAA BALAAA.
King Giovanni ila keshafariki RIP
Mpiga solo ni marehemu king giovan ndie alokuwa mpiga solo guiter namba Moja Tanzania nzima wa pili ni maneno uvuruge hii band ilipokuwepo band zote za Tanzania zilifyata mkia na Mimi nilikuwa nao nilikuwa katibu muenezi wa chuchu sound band na mtunzi wa mashairi Sasa wanamuziki wetu walioshafariki katika band hiyo ni mao Santiago muimbaji na rapper wazir sonyo muimbaji mpiga drum number one marehemu Gabbie Katanga mwenye band hio pia Yusuf alley mpiga tumba kachumbari na mpiga drum mungine anaitwa muddy teminater wanamuziki waliobaki hai ni Omary mkali muimbaji mbwana ponda bass guiter George choka rythym jonico flower muimbaji na mpiga kinanda number one ababu mwana wa zanzibar hii band ilitamba na nyimbo zake Kali sana marafiki shanuo usione vyaelea sitishiki sibabaiki hodi hodi mama Layla mkataa pema pingu za maisha tupunge mkono fantasica na mo intro na nyingine nyingi hii band ilikuwa na wanamuziki wakweli ambao wanajua muziki sio band wanajazana wanamuziki mashati Kwa maelezo zaidi nipigie 0788713134
@@salehsharif3006 asante sana Kaka, Mungu akubariki kwa ufafanuzi kidogo nimepata mwanga.
Kumbe Mao Santiago alishafariki? 😢
Nipeni like zangu 2024 now
Jamani mm nataka pili pili ya shamba yawawashia nn ??
Chuchu sound nakumbuka huu wakati nilikua chaliii sana
Ali jadidi mwana zanzibar
aseee upo powa sana nilizitafuta sana shukran sana,
Hapa ndo mr nice lucas mkenda alitokea
Umerogwa ww
Tena amerogwa haswaaa@@saidmabanga388
back to time mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa minaki sekondari na washkaj zangu daaaaahhh aseee nyie acheni tu kweli muda sio rafiki
Mkiwa pamoja na edward marunda na said hamad
Bongo fleva mix
kwenye solo alisimama mtu wa kuitwa George Choka aka Baba jimmy na Bess alisimama mtu wa kuitwa Mbwana Mponda
na mtunzi ni mbwana mponda
Nikikumbuka wimbo huu nakumbuka miaka ya 2001 band nyingi ndio zilikua zinaanza kulipuka
Ilikuwa burudani ya aina yake, jamaa walikuwa wanakonga nyoyo sana, sidhani kama kuna burudani kama ilivyokuwa hapo nyuma
mtunzi wa sitishiki anaitwa mbwana mponda
Kumbe mim hata sikujua kama ni huyu mtunzi!!
Hii ndio ilikuwa miziki
Tuwekeeni naile ailaav swet bebyyy
2001 hiii...darasa la kwanza kimanga primary school tabata😢
Drs la kwanza!?😂😂😂
@@ismailhanya2327 😀😀😀sio poa..miaka imeenda sana
Sijui ilikuwa ni radio gani wakati huo kulikuwa na kipindi kinaitwa afrca bambataaa basi ndo zilikuwa zinapigwa sanaa
clouds fm
Radio One
Clouds fm
Clouds fm kipindi kilikuwa kinaendeshwa na marehem amina chifupa
@@allymuhammad325 masudi kipanya
Nice song in Tanzania old is gold
R.I.P drummer boy Gabi Katanga ni balaaa
Daaah Gabby Katanga
Lini Tena?
gabi katanga ndio mpiga drums bora kuwahi kutokea tza bahati ni kuwa kawahi kufariki
Kumbe katanga alifariki.
Yeloo Masai!!R.I.P
Ah, Bwan'Chuchu 2001, A Song titled ''Sitishiki'' by Chuchu Sound Band from Tanzania famous for music genre ''mduara / chakacha'' in East Africa. Jphamber shukrani maana nyimbo za hawa jamaa zilikuwa hazipo ktk huu mtandao wa kimataifa.
+Mtanzania Junior
shukurani sana kwa hayo maelezo
Kaka kama una nyingine zirushe
Mtanzania Junior hio ni nyimbo ya omary mkali na chuchu sound lkn imetengenezwa na MARLON LINJE
Thanks,I love the song,nyingine plizz
Chuchu uko vizuri sana mungu akueke by chabiddy @$
Rip mao santiago 😢
Hatareeee nawataman wawepo tena burudan nzur
Duh! Hatari my love nimekumbuka enzi hile
Mwaka 2001 hii...Niko darasa LA kwanza😀miaka irudi nyuma tu
😂😂😂
😢 dah! Sina lakusema
bwanchuchu alikuwa noma
MAO SANTIAGOOOOOOOO🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kitambo sanaa
haujawahi kuacha kunikosha huu wimbo jamani!!
Miaka ilud nyuma 2
2021 miaka 20 sasa na bado mzikii bado mzuri
Sad sana nakumbuka mwska 2000
Mwanzo mwisho nasikiza
Gaby kattanga
Marlon Linje ! Baba Geoerge
Marlon linje baba geogre alikuwa hatari sana kwa mikongosyo hiiiii dah kweli mziki ulikuwa zamani now makelele tu
Daaaah jamaa walikuwa noma sana Mao Santiago anajua sana
back to the old days 2001
Wapi Hababu mwana zanzibar
Alishafariki😭
8:29
Safi sana
8:28
Safi sana Chuchu Sound akina Omary Mkali na Mao Santiago
Nzuri