Tunda Special- Mwinjuma Muumini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2013
  • Mkongwe wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumini almaarufu kama Kocha wa Dunia.

Komentáře • 641

  • @user-uk6to4vw2w
    @user-uk6to4vw2w Před 2 měsíci +12

    13 _4_2024 nasikiliza enzi hizo Kama tuko pamoja gonga like

  • @hassanimatenga-du2ct
    @hassanimatenga-du2ct Před 2 měsíci +6

    Kipindi hicho wangapi tupo pamoja kwenye ngoma hii 2024 kuskiliza gonga like tuendelee kupata burudani

  • @rajabusalum6709
    @rajabusalum6709 Před 4 lety +122

    Kma bado unasikiliza Ngoma hi 2020 gonga like

  • @borahhanzuruni1872
    @borahhanzuruni1872 Před 5 měsíci +9

    Nani yupo nami 2024

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Před 5 měsíci +10

    2024 wapi

  • @martineznangale4025
    @martineznangale4025 Před 4 lety +100

    Nani yuko nami hapa mwaka huu 2020 weka like tufurahie nyimbo nzuri

  • @IflaMussa
    @IflaMussa Před 4 měsíci +5

    1/3/2024 ni kwenye hii hali nifanyeje

  • @honestytimber9962
    @honestytimber9962 Před 5 lety +152

    23/04/2019 kama bado waxkilza weka like za kutoxha hapa

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 Před 4 lety +24

    Nakumbuka huu wimbo miaka ya mwanzon mwa 2000/2001ulipotoka Kipindi hicho nna miaka 6 au 7 hivi
    Nlkuwa nausikia wakat nachezea vigari vyangu vya kitoto
    Ilikuaga club moja wanaupiga balaa miaka hiyo
    So naukubali sana kazi ilifanyika hasa kocha wa dunia🔥🔥🔥🔥

  • @biparilakiyao9337
    @biparilakiyao9337 Před 5 lety +219

    Tarehe 03/03/2019. Naangali old music km ww umeangalia baada yangu gonga like tujuane

  • @daimunicatha7173
    @daimunicatha7173 Před měsícem

    2024 from marekani Florida, ilike this song from Tanzania 😊😊

  • @saidiomali3324
    @saidiomali3324 Před 5 lety +144

    22/3/2019 nipeni like 100 tu jamani kwani hii nyimbo kipindi niko mtoto nilikua naicheza wana nipa sh tano duu kitambo sana.

  • @yahyayusufu5030
    @yahyayusufu5030 Před 3 lety +9

    Kipindi hichooooo nlikua natoka nyumbani naredio yangu Naenda kuchunga mbuzi mlimani nakuna msichana nlikua nampenda sana nikifika hapo naiweka hii nyimbo.leo tarehe 25,7,2020 nakusikiliza hapa gonga like zakutosha

    • @AmiduArphan
      @AmiduArphan Před 5 dny +1

      Kipindi hicho nikiogopa wanawake nikisikia ukimwi unauwa alafu nikitamani lakini nikiskiliza nyimbo hii nikichanganikiwa sana

  • @evancemushi8529
    @evancemushi8529 Před 3 měsíci +4

    Childhood song ❤ here in 2024.. Nostalgia brought me here

  • @travismichael5190
    @travismichael5190 Před 4 lety +28

    Kama na wew ni kijana wa nyimbo hizi gonga like yako tujuane

  • @johnShijakalidushi
    @johnShijakalidushi Před měsícem +1

    Nilkuwa cli ukpigwà huu wimbo maana nilkwa na Dada mmoja nilimelewa sana

  • @FikiriAbdalah-qe9ue
    @FikiriAbdalah-qe9ue Před měsícem

    Nakumbuka mbari xana cna la kusema wapendwa marafiki ndugu na Miata yote ubungo mpaka kimara uko wapi muumini,❤

  • @user-yh9fc6ql3m
    @user-yh9fc6ql3m Před měsícem +1

    Kuna wimbo wake, ameimba kiu ya mapenzi( Naomi) natafuta siuoni hata. Kama Kuna mtu anajua vile naeza kuupata, aniambie. Tafurahi Sana kuusilia Tena.

  • @ZuwenaKabwe
    @ZuwenaKabwe Před 2 měsíci +1

    2024 nani yuko hapa kwa kocha wa dunia

  • @celletex
    @celletex Před 2 lety +9

    Kwa wale wanao appreciate good music, kali sana

  • @justusbenjamin9
    @justusbenjamin9 Před 4 lety +14

    13/12/2019 majira ya 18:17 nipo naangalia kama naww like twende pamoja

  • @vhchjff6523
    @vhchjff6523 Před 4 lety +11

    Jamaan baby nampenda kulikoni wote !4/11/2019@gonga like kama umeguswa 😚😚

  • @salmaramadhan9580
    @salmaramadhan9580 Před 4 lety +22

    Leo trh 13 December 2019 naisikiliza hii nyimbo na ndo nafunga nayo mwaka nakumbuka nilikua drsa la 5 kila nyumba ilikua inapigwa hii nyimbo daah kweli nimeshakua muhenga

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 Před 4 lety +20

    10/11/2019 Baada ya kukumbuka wakati huo nasoma ilikuwa hatari sana. Gonga like tujuane

    • @nicholasobori1738
      @nicholasobori1738 Před 2 lety +1

      i was in class 7 when i listened first time 2000

    • @t.n.9868
      @t.n.9868 Před 2 lety

      I was in class 7 in 1998 when I enjoyed the song for the first time

  • @azizimandia6128
    @azizimandia6128 Před 3 měsíci

    Dah mwanamuziki mwenye nidhamu ya kiwango Cha hali ya juu muumini mwinjuma na anajua kuimba sanaa

  • @ramadhanij.s9537
    @ramadhanij.s9537 Před 4 lety +9

    January 2020 kama nawe unasikiliza tungo tamu za Muumin Mwinyuma weka like yako hapo

  • @anithaphilip3526
    @anithaphilip3526 Před 2 lety +11

    I wish lavalava afanye cover ya hii song, naona sauti zao kama zinaendana afu pia lavava yuko vizuri kwenye style hizi za kulalamika

  • @dadyabdullatif7011
    @dadyabdullatif7011 Před 3 měsíci +1

    Old is Gold 2024 !!! Still rocking 🔥 🔥

  • @sajiduathuman1560
    @sajiduathuman1560 Před 4 lety +7

    12/02/2020 nipo nakula good music weka like zangu jamani

  • @wangwemrongoti3
    @wangwemrongoti3 Před 5 lety +39

    Bonge la song nakumbuka hii nyingi nmetoroka nymbn xana kwendaa kuicheza disco daaaah👏

  • @mauwam3627
    @mauwam3627 Před 5 lety +57

    Nan jaman anakumbukia enzi 2019 gonga likes apa

    • @michaelpaulo626
      @michaelpaulo626 Před 5 lety +1

      Kama unagapia 5.5.2019 19;52 goga like

    • @ropedwai5118
      @ropedwai5118 Před 4 lety

      Hii tareee 04-10-2019 nimelikumbuka hili

    • @ezekielimbwambo4761
      @ezekielimbwambo4761 Před 4 lety

      Mkulima kala mbegu hatari 12/04/ 2020/ hatari kubwa Leo pasaka nakula tunda spisho

  • @fautha1salim767
    @fautha1salim767 Před 5 lety +34

    Tarehe 3/7/2019 twendee pamoja like kma zote

  • @wilsonwaziri7969
    @wilsonwaziri7969 Před 5 lety +27

    Bro hii nyimbo ilikuzidi umri ulifikiria zaidi ya uwezo wako,,

    • @yusuphchakanga3829
      @yusuphchakanga3829 Před 4 lety +1

      Kweli kabisa yaani aliitunga na ikamzidi uwezo na umli wake maana ujumbe mkali sana duuuuh! Pamoja MM

    • @shabanikimbega8003
      @shabanikimbega8003 Před 4 lety +1

      Kabisa

    • @eliamalima1718
      @eliamalima1718 Před 3 lety +1

      Muumini nyimbo hii siku iripotoka nilikuwa nimeaingiziwa mwanafunZi nimemtorosha acha inanikumbuaha mbali heshima kwako kaka

    • @prisscakalasa4996
      @prisscakalasa4996 Před 3 lety +1

      @@eliamalima1718 duuuh,una Mambo ww,Ila yote maisha best....

  • @mauajohn949
    @mauajohn949 Před 4 lety +7

    naangalia tar 16/12/2019😭😭mapenz jamani yanitesa naweza kufa kwaajil ya mapenz 😭😭😭😭😭😭

  • @joycesamwel3356
    @joycesamwel3356 Před 5 lety +3

    Mume wangu ulikuwa ukiniimbia huu wimbo sikujua unamaanisha nini ila sasahivi ndo najua nini ulimaanisha rip kipenz changu

  • @nguddajrjoseph1197
    @nguddajrjoseph1197 Před 4 lety +11

    2020 Vibe lile lile kama ndio imetoka leo😁😁

  • @mandelasakara-no3bw
    @mandelasakara-no3bw Před rokem +3

    Nakumbuka mbali huyu mwamba Mungu amjali maisha marefu🙏

  • @mamlomalocho2675
    @mamlomalocho2675 Před 5 lety +20

    Leo Tar 02.07.2019 Nasikiliza Vitu vyenye maana na kunirudisha hadi Raha.

  • @emmygalicioz4290
    @emmygalicioz4290 Před 4 lety +7

    Wasanii walikua hawa leo 7.1.2020 naskiliz nyimbo ambayo mama zang ndo wameskiliz haichuji kamwe

  • @shabanijuma7566
    @shabanijuma7566 Před 4 lety +7

    Leo 1...11...2019...10:02pm naipiga hii ngoma naikubal hatar sana jmn like zenu wapendwa ...peoples power 4rever

  • @budimutv6751
    @budimutv6751 Před 4 lety +7

    Twenty twenty gonga like twende

  • @hamdanifuku3936
    @hamdanifuku3936 Před 7 lety +28

    Ivyo vitu vya kale si mchezo Hawa vijana wa Leo wasubir sana

  • @sangomamoricee6533
    @sangomamoricee6533 Před 5 lety +5

    moja kati ya sauti tamu isiyochosha masikio asante kwa kukuona live

  • @harunimanyama2362
    @harunimanyama2362 Před 2 lety +5

    14/06/2022 bado nasikiliza muziki mzuri kutoka kwa Mwinjuma Muumini. Nakumbuka miaka hiyo ya 2000 na 2001 ndio ilitoka hii. Kama na wewe pia ni mkongwe tujuane.

  • @erlindabernard4475
    @erlindabernard4475 Před 5 lety +25

    2018...siku hizi hakuna nyimbo Kuna vituko..

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 Před rokem +9

    Now 2023 but I'm listening this song

  • @luthermbio7581
    @luthermbio7581 Před 3 lety +3

    Nimenunua smartphone jaman nyimbo ya kwanza kusikiliza ni hii coz kitambo sana mpaka leo 2021

  • @officialK-looh
    @officialK-looh Před 8 lety +9

    huu wimbo japo nilikuwa mdogo sana lakini nilikuwa nimeukariri na kuuimba kila muda japo nilikuwa sijui lolote kuhusu mapenzi

  • @msemakweldaima1685
    @msemakweldaima1685 Před 4 lety +4

    Daah nakumbuka mbali sana still listening this song in 31/09/2019
    Gonga like kama naww uko kwenye jahazi hili

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 Před 6 lety +9

    Old is Gold...Congratulation Mwijuma Muumin Mwana Bagamoyo...Enzi hizo kuna ushindani halisi wa African Revolution a.k.a Wana Tamutamu ....Apa Muumin..Badi Bakule..Halima Ngaluma na wengine...Dar ilikua Dar

  • @t.n.9868
    @t.n.9868 Před 2 lety +20

    Today Saturday 22/1/2022 at 7:05 am,
    Nairobi, Kenya. I have woken up listening to this timeless hit. A song I adored in 1998...nalia sana....

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 Před 2 lety +1

      2022 m hereeee baada ya kuachwaa 😂😂😂😂😂

  • @chazkoillah2652
    @chazkoillah2652 Před 5 lety +45

    Wahenga ndio tunaelewa hii mambo good sana

  • @mussakongakonga6416
    @mussakongakonga6416 Před 2 lety +2

    Duuuuhhhh siku zinaenda miaka inakwenda ili nyimbo hii imekuwa bora muda wote bdo inaishi mpka kesho nakumbuka mbali Sana yaaan kipindi kilee

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 Před 6 lety +19

    ilikuwaga nyimbo ya taifa hii ngoma

  • @laizermaina690
    @laizermaina690 Před rokem +5

    2023 like kama mapenzi yanauwa😍😍

  • @zaynabumustaph4200
    @zaynabumustaph4200 Před 4 lety +4

    8-10-2019 naangalia enzi izo baba zetu walivyokuwa wakienjoy na tamtam

  • @superbillionairea5987
    @superbillionairea5987 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa anayo sauti bana, Kama angezipiga leo Angelia tajiri

  • @nicholasobori1738
    @nicholasobori1738 Před 5 lety +11

    4-4-2019 tuko wengi ndani la jahazi

  • @dyzoomgonja9892
    @dyzoomgonja9892 Před 3 lety +4

    Sept 2020 like zangu jamn

  • @frankmare1708
    @frankmare1708 Před 8 lety +75

    naumbuka enzi hzo niko primary school ...naona kama watoto wa siku hizi hawafaidi muzik wa kitanzania

  • @mankakweka3460
    @mankakweka3460 Před 4 lety +10

    Jamaani weeeee daaa Kama unasikiliza hiii nyimbo 2019 gongo like kwa wingi🕵🏾👰👍👍

  • @mretamreta8058
    @mretamreta8058 Před 4 lety +2

    07032020 bado naangaliaaa,,,twende na liked

  • @fadhymtanga
    @fadhymtanga Před 8 měsíci +1

    Ni 2023 na bado naisikiliza hii ngoma.

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 Před rokem +1

    Tuliofanikiwa kung'oa chuchu miaka hiyo kupitia wimbo huu njoo tujuane. Leo 12. 6. 2023 lakini wimbo utafikiri umerekodiwa jana

  • @amosimusso7589
    @amosimusso7589 Před 5 lety +14

    Nami nipo leo 31/3/2019 nasikiliza nyimbo tamu kama hizi

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 Před 3 měsíci

    Jamani tujuane 2024❤❤🔥🔥

  • @johnmagolanga6829
    @johnmagolanga6829 Před 7 lety +12

    Duh huo wimbo wa tunda special unanikumbusha mbali,kazi nzuri onyango

  • @SharifaMkwangia-vc6tw
    @SharifaMkwangia-vc6tw Před 11 měsíci

    Pole sana kwani usilo lijua sawa na usiku ŵa kiza

  • @farajimatorwa3226
    @farajimatorwa3226 Před 5 lety +4

    nilikua mdogo sanaa kipindi icho,,,, nilikuwa siamini akisema mapenzi yanauwa nilikuwa nacheka sanaaaa siamini kama kuna kitu kama icho,,,,, ila sasa nimekuwa nayaona mwenyewe kwa macho Respect bro Mwinjuma 2018

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 Před 4 lety +6

    11/09/2019 bado tupo p1 gonga like yko kama na ww ni miongoni mwao

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 Před 5 lety +4

    hapo nikiwa darasa la kwanzaaa yani nategea baba ametoka naiba kaseti naeka kanda naizungusha na biki inarudi nyumaaa hahahahaaa daaaaaa watoto wasikuizii shololo nyingiiiiii

  • @pendojemsi7036
    @pendojemsi7036 Před 2 měsíci

    Wakati huo nikiwa na umri wa miaka 10 saivi nishakuwa shangazi kweli ya kale ni dhahabu

  • @charlesmwakasagule904
    @charlesmwakasagule904 Před 4 lety

    Jamani huyu jama alimba vizuli sana mshauli aziludishie atoe video

  • @user-cf7xd3ue1u
    @user-cf7xd3ue1u Před 29 dny

    Tupo pamoja kaka omy kutoka Mombasa steji ya Tanga kule bagamoyo Kuna madege meupe

  • @jacobshauri5603
    @jacobshauri5603 Před 6 lety +32

    Kitamboo rahaa sanaaa sio sasa wap mwinjumaa duuuuh

  • @giftpeter9118
    @giftpeter9118 Před rokem

    Nyiee old is gold walahii

  • @aminamjaka2329
    @aminamjaka2329 Před 4 lety +3

    Legendary wa hz kaz Prince M/muumin Respect 2020 bado nyimbo inauhai

  • @nivardkyulule8386
    @nivardkyulule8386 Před 8 lety +36

    ni buruda ambayo itadumu milele

  • @digostjafety6070
    @digostjafety6070 Před rokem

    Hii nyimbo nzuri saaaaaanaaaa

  • @mussamajariwa9232
    @mussamajariwa9232 Před 5 lety +8

    I was primary when I used to watch this song to some shop when i was going to school sometimes I used to be late asa yule kilema alivyo kuwa anacheza wa twangapepeta uwiii so gud memory guys I mic those days back

  • @maxwellyessaya6819
    @maxwellyessaya6819 Před 4 lety

    26 March 2020 Kama bado goma ipo moyon kinoma SANA

  • @saidifundi8023
    @saidifundi8023 Před 3 lety +3

    October 2020 nani anaangalia????

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 Před 10 měsíci

    Mbona kimya muumini nyimbo zako tamu

  • @mohamednoti1401
    @mohamednoti1401 Před 2 lety +2

    Hizi ni nyimbo nazikumbuka sana wakati nko mtoto mwaka 2003 zilipigwa sana kipindi hicho nna miaka tisa.. mpaka sasa bado nazikumbuka nikiwa na miaka 28…

  • @beatricesway6875
    @beatricesway6875 Před 4 lety +3

    2020 mpo?

  • @omarinhomoudy
    @omarinhomoudy Před 7 lety +17

    R.I.P babu yangu.. allipenda sana hii nyimbo nami nikiwa mdogo sijui hili wala lile lakini sasa ni mkubwa najua nini maana yake...

    • @herryhamis5390
      @herryhamis5390 Před 4 lety

      15.09.2019 naskiliza hatar hiii mapenzi jamanii yataniua

  • @mwajabuabdallah3544
    @mwajabuabdallah3544 Před 3 lety

    Yn unanikumbusha mbali sn hii nyimbo ikipigwa nakumbuka daa

  • @farajiomari1651
    @farajiomari1651 Před 8 lety +14

    inakumbusha mbali kaka weka na wimbo wa chande

  • @salimumwarora9353
    @salimumwarora9353 Před 8 lety +4

    Jaman mapenz hayana mfano yanafuraixha xaxa na kuhuzunixha xana unapotendwa na umpendae

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před 3 lety +2

    20.03.2021, hizi ndizo nyimbo zidumuzo, sio za anachukua anaweka

  • @mwaminisaid8057
    @mwaminisaid8057 Před 8 lety +14

    duu , ni shidaaaaaaa xna nakumbuka mbari xnaaa mwanzo wa mahusiano katika maisha yanga kuna MTU nilitokea kumpenda xna ila arikua bizee xna na masomo nje ya mji huu mwimbo ndiyo ulikuwa faraja yangu

  • @amalshamis2018
    @amalshamis2018 Před 9 měsíci +3

    Gonga like hapa km unasikiliza leo hii Sept 12,2023😅❤

  • @msozithedon1730
    @msozithedon1730 Před 2 lety +1

    Daaah iyi nyimbo naikumbuka kipindi nasoma drs 4 iyi nyimbo daah leo tr 23 mwez wa 8 ,2021 nimekuwa mtu wa Kujitafuti kwaiyo nampongeza sana amenikumbusha mda sana nimefalajika sana

  • @gretamaheri8437
    @gretamaheri8437 Před 5 lety +6

    Tangu nakuwa nasikliza wimbo huu daaah mapenzi yanauwa 😥 14/6/2019 najikuta nalia tuuu mwenyewe masikin

  • @wazirially8005
    @wazirially8005 Před rokem

    LEO 30/09/2022 nimepata wasaa wa kusikiliza, ila pia ninazo IYO album nzima ya prince muumini.. Mtoto wa TANGA CHUMBA GENI

  • @user-qj1io1qz8i
    @user-qj1io1qz8i Před 2 měsíci

    Hii nyimbo ilipotoka ndo nilikuwa nimependwa na mume wangu wa Sasa,Sasa nikikasirika ananiimbia huu wimbo nabaki kucheka tuu 2024

  • @abdllahijr3461
    @abdllahijr3461 Před 6 lety +3

    sauti ya dhahabu uwezo mkubwa hubahatishi kuimba asante baba mungu akuone

  • @ibrahimmlata2260
    @ibrahimmlata2260 Před 2 lety +1

    Lala salama babaangu hiz nyimbo ulikuwa unazipiga jumapil huend kazin utazunguka nyumbani,utafanya USAF wote hiz nyimbo zitapigwa asbh had jion duuuh 😭 baba bs tu kifo hich mim mwenzenu simsahaug babaangu ❤️

  • @henryadino5015
    @henryadino5015 Před 2 lety

    Listening from Nakuru

  • @janethtv2585
    @janethtv2585 Před 4 lety +5

    Nani anasikiliza huu wimbo like zenu twende sawa