#zandaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 45

  • @DM_15
    @DM_15 Před 10 dny +2

    Mayele top score misiri

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před 10 dny +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Před 10 dny +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 Před 10 dny +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI Před 10 dny

      ❤😊😊😊
      ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka Před 10 dny +1

      F

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Před 9 dny

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re Před 10 dny

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 Před 10 dny +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud Před 10 dny +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 Před 10 dny +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 Před 10 dny

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 Před 10 dny

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Před 10 dny

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 Před 10 dny

    1

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před 10 dny

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 Před 10 dny

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln Před 10 dny

    2

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni Před 10 dny

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m Před 10 dny +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 10 dny

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před 10 dny

    Feisal

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před 10 dny

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 10 dny

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena Před 10 dny +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 Před 8 dny

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo Před 10 dny

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @stn4873
    @stn4873 Před 10 dny

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Před 10 dny

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Před 10 dny

    Fei huyo

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 10 dny

    Mbona sielewi

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Před 10 dny

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Před 10 dny +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Před 9 dny

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii Před 9 dny

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q Před 9 dny

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Před 8 dny

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 Před 10 dny

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 Před 9 dny

    Feitoto

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 Před 10 dny +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu