MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA DHANA YAKUSHINDA NA KUSHINDWA KWENYE VITA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 25

  • @falulukata212
    @falulukata212 Před 2 lety +7

    Kaka wewe ni azina kubwa Sana hapa nchini lakini je viongozi wa taifa letu wanatambua uwepo wako?

  • @husseinyusuph5263
    @husseinyusuph5263 Před 2 lety +2

    Hatimae leo nimekuwa wa kwanza kuview. Kaz nzur kaka gangana. Brother tulimiss sana.asante kwa kutuletea. Je naweza kuwa mmoja ya mwanafunzi wake.
    Unaweza kunisaidia kaka gangana kwa ombi ilo.?

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  Před 2 lety +1

      Karibu sana, mpigie Thabit 0652079640

    • @husseinyusuph5263
      @husseinyusuph5263 Před 2 lety +2

      Asante sana kaka. Mungu akubaliki endelea kutuelimishe vijana wa kitanzania.

    • @producerema291
      @producerema291 Před 2 lety +2

      Namkubali sana mchambuzi Thabit

    • @user-ry2mz4cx5h
      @user-ry2mz4cx5h Před 3 dny

      NAMI kaka thabiti naridhika kwa uchambuzi wako,Asante ni isaie kutoka Rwanda

  • @mwakasagule
    @mwakasagule Před 2 lety +2

    Nafurahi kuwa mtu wa 2 kuangalia interview hii tamu.

  • @user-sz1lw9kq5s
    @user-sz1lw9kq5s Před 7 měsíci +1

    kaka umetisha sana

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 2 lety +1

    Kaka mle siku nyingene aongolee zaidi kuhusu opareshen ya konk Putin naona Leo mmetuonjesha tu💪💪💪💪💪

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před 2 lety +3

    Huyu bro bwna hunifanya niingiapo CZcams nitafute Kwanza update yake

  • @deusrobart8181
    @deusrobart8181 Před rokem +1

    Nimefulai sana et usijiunge nato najiunga nato nakupiga😅😅

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 10 měsíci +1

    Tanzania kua na kichwa km ichi wajivunie sna je unapata ruzuku yyte kw taaluma kubwa ya siasa ya dunia km hii km hujaajiriwa nikuajiri ktk kampuni yngu

  • @franknyigu97
    @franknyigu97 Před rokem +1

    Ligagana tulietee mchambuzi kuhusu congo

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Před 18 dny

    Nikweli kabisa vita nikushindwa Kwa siasa Putin akili mbovoo sana mungu yupo Putin atashindaa kamweee mnaosapoti hii vitaa amuelewii mnakurupuka kushabikiaa watu wafee

  • @MrJediahmed
    @MrJediahmed Před rokem +1

    Thabit nini mchango wako kwenye Imani yako

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Před rokem +1

    Hili jamaa inaonekana liko vizuri katika uchambuzi wake

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 Před rokem +1

    mimi uchambuzi wako nimeuelewa lakini ulusi nitaifa la kigaidi sana

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Před rokem +2

    Putini ameshindwa vita mpakasasa

  • @derrikdesertman4564
    @derrikdesertman4564 Před 2 lety +1

    Huyu Jamaa anajua sana

  • @falulukata212
    @falulukata212 Před rokem +1

    kaka turetee huyu jamaa darasa lake tunalielewa,

  • @victorfocus7882
    @victorfocus7882 Před rokem +1

    P

  • @hassanhamudy982
    @hassanhamudy982 Před 2 lety +1

    The mobile university....tunamuitaji huyu jamaa kila dakika gangana!!!!!ndio sababu ya Mimi ku subscribe Chanel yako