Masoud Kipanya: Kwanini sitaogopa kumchora Rais (NYUNDO YA BARUAN MUHUZA - 17/01/2019)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Mchoraji wa katuni maarufu ya ‘Kipanya’, ambaye pia ni mtangazaji wa radio na TV, Masoud Kipanya amefunguka kuwa hajawahi kuogopa kumchora kiongozi mkuu wa nchi (Rais) kwa kuwa havunji sheria yoyote.
    Masoud ameeleza hayo katika kipindi hiki cha Nyundo ya Baruan Muhuza kilichoruka Alhamisi ya tarehe 17/01/2019 baada ya kuulizwa swali hilo na mtangazaji, Baruan Muhuza.
    Mbali na hilo, Masoud amezungumza mengi ikiwemo historia yake katika uchoraji na utangazaji, jinsi alivyoajiriwa kisha kufukuzwa kazi katika Kituo cha Radio cha Clouds FM na jinsi alivyorejea kazini baada ya kukaa nje ya kituo hicho kwa muda wa miaka nane, ilipofia biashara yake ya mavazi ya KP Wear n.k.
    Mengine aliyoyaweka wazi ni kiini cha ugomvi wake na aliyekuwa mtangazaji mwenzake waliyekuwa naye Clouds FM, Gerald Hando, story ya yeye kupotea iliyomtokea mwanzoni mwa mwaka jana 2018 n.k.
    Pia amemtaja mtu aliyempa jina la Kipanya.
    Kipindi cha #NyundoYaBaruanMuhuza ni kila Alhamisi saa 1:00 usiku #AzamSports2

Komentáře • 205

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 Před 5 lety +31

    Aisee masoud Mimi ni Mkubwa k wako ila baadae ya kumuona Malcolm na wewe ulivyo mbele ya jamii nimegundua wewe ni strong kuliko mimi! Big up Sana masoud mungu uendelee Ku!kupa ujasiri!zaidi!

  • @ramahzedon6688
    @ramahzedon6688 Před 5 lety +28

    Moja kati ya interview nzuri za mwaka 2019 masoud yuko peace sana na huwa ni mkweli hamumunyi Maneno

  • @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI
    @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI Před 5 lety +20

    Watu wanaopenda kukaa peke yao endapo watatumia vizuri raslimali muda na mawazo yao, ndio wanaofanya mambo makubwa sana…
    wakati mwingine wanaweza kukuonesha ukubwa wa jambo lililopo kwenye kitu kidogo. Hongera Sana Kiongozi Masoud

  • @husseinkilawa3224
    @husseinkilawa3224 Před 5 lety +15

    Bonge moja la interview. Namkubali sana huyo jamaa.

  • @doctormkawa3313
    @doctormkawa3313 Před 4 lety +1

    Maa shaa Allah, Allah akufungulie zaid na zaid......u always think out of the box.
    Big up brother Masoud.

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 Před 5 lety +5

    Nikikutana najambo lolote linalokuhusu masood inanichukua mudamwingi kulifuatilia maana ktk ww najifunza vitu vingi ktk maisha big up brow.

  • @umikram6755
    @umikram6755 Před 5 lety +5

    HII NDIO ITERVEW YAWATU WENYE KUJIELEWA HASANTE MTNGAJ BARUHAN NA MASOUD.SAFI SANA ALLAH AWAHIFADH

  • @sashawambura
    @sashawambura Před 5 lety +6

    I normally skip some interviews but for this one have honestly failed..eating my mb's without regretting...Bravo both of you for the very composed interview..

  • @magezilucas1115
    @magezilucas1115 Před 5 lety +1

    Huyo brother kwangu his so special kutokaka na mzunguko wa maisha kwa sasa ni ngumu kunifahamu.
    Namkumbuka sana kwa kipindi cha Wak up show, wakiwa Dada mmoja aliyeitwa Fina Mango. Kiukweli nilikuwa shabiki namba 1 wa kipindi hicho. Mungu akutie nguvu baba la baba.

  • @scripturetz1056
    @scripturetz1056 Před 5 lety +3

    Nimependa sana hi interview
    Mungu awabariki nyote waandaaj wakipind

  • @issamohamed4165
    @issamohamed4165 Před 5 lety +18

    Km kuna kipindi nilikipenda basi maisha plus season one kk ulitisha sana nakupenda Sana kk kp natamani nikuone naomba maisha plus irudi tena mkuu

  • @zainabbola6853
    @zainabbola6853 Před 5 lety +8

    Mungu akuzidishie IMANI my bro Malcom ni zaidi faraja ktk familia

  • @jamaltz1780
    @jamaltz1780 Před 5 lety +12

    Yeeeeh Baba ile ndege ya juzi umeua bro .Masoud yupo vizuri sana.

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 Před 5 lety +7

    Masoud kipanya ni kioo bora kabisa cha jamii. Nime enjoy sana kuona interview hii

  • @omarymagwaza9753
    @omarymagwaza9753 Před 5 lety

    Hongera sana masud kipanya kwa kutimiza miaka therathini kwenye kazi yako ya uchoraji######

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 Před 5 lety +1

    Masoud ww ni zaidi ya shujaa 🙏 mungu awabariki sana plz makampuni mpeni ubalozi kwenye mkampuni yenu mbalimbali atengeneze pesa anajumu zito sana huyu mtu

  • @scholasticavyamana6788
    @scholasticavyamana6788 Před 5 lety +2

    Masoud you are such a supper dad to Malcom! I never thought that you can be such a tough dad! Very rare to find a man of your personality. Keep up taking good care of our supper handsome boy Malcom, he is a blessing to your family. I love his (Malcom's) character; charming, confident, intelligent, covered with a bright smile, above all he is always grateful to the Almighty God!! May God shower him with wonderful blessings!

    • @esterlunguya5988
      @esterlunguya5988 Před 4 lety

      Nimejifunza kitu kikubwa sana kupitie entervew yako na Malcom's pia nimefarijika sana namuombea Malcolm's kwa Mungu ili aweze kutimiza ndoto zake

    • @NyatseLogistics
      @NyatseLogistics Před 2 lety

      Masoud, good

  • @ShabaniMasaza
    @ShabaniMasaza Před 5 lety

    BARUAN MUHUZA .. zimekuwa dakika zaid ya 45 nzuri mno.. umefanya nifahamu mambo mengi ambayo nilihitaji kuvisikia toka kwa Masoud Kipanya .
    Asante kwa kuwasilisha maswali

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 5 lety +1

    Masjid, Jazaakallah umenijibiya vizuri, vizuri,vizuri saaaaaaaaana pale ulipojibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI. ALLAH azidi kukuongoza. TAWHEED imefanya kazi.

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 5 lety

      Masood, Jazaakallah, umejibu vizuri,vizuri, vizuri saaaaaaana ulipo jibu swali la Kampuni yako ya MAVAZI . Allah azidi kukuongoza
      TAWHEED imefanya kazi In shaa Allah

    • @kabwemwila1161
      @kabwemwila1161 Před 5 lety

      tupo pamoja ktk kutimiza malengo yako Malcom pole kwa yote yaliokukuta kikubwa nikuwaombea wazazi wako ambao ndio majemedari pekee ktk kuhakikisha unakuwa na furaha muda wote pia ningependa viongozi wa serikari wakuunge mkono kununua t-shirts hizi ili uweze kufikia malengo yako

  • @domicianpontian1409
    @domicianpontian1409 Před 5 lety +6

    BM huwa nafatilia hosting system yako na kuanzia upo RFA na kipindi chako cha uliza ujibiwe, na vingine kwa kwel nakukubal huwa najifunza baadhi ya vitu kwako I wish ntaonekana cku moja kwenye tathnia ya utangazaji. God is Great

  • @handsamjerry
    @handsamjerry Před 5 lety +6

    The Interview is very interesting...huitaji kufoward hata second...
    I think this is one of de best interviews... The legends...
    Big up KP

    • @janengowi3011
      @janengowi3011 Před 5 lety

      Hongera sana Masoud umekuwa baba Bora kwa mtoto na familia yako

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 5 lety +5

    From UAE
    Good interview

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 Před 5 lety +2

    Masoud yupo smart sana kiukweli nimeenjoy interview

  • @amananassor524
    @amananassor524 Před 5 lety +7

    sheikh wangu mm nipo jeddah saudi arabia lakini mtanzania mwakani na Kuja tz nita Kuja nikuone uko kipindi chako na fatilia sana na kipenda tupo pamoja

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 5 lety +2

    Yeah, this is skills interview.

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 Před 5 lety +8

    The legends them selves

  • @hamisisamuli6055
    @hamisisamuli6055 Před 5 lety +1

    Masoud upo vizuri kwenye uchoraji na utangazaji hongera sana

  • @gwamakamwangajiro8925
    @gwamakamwangajiro8925 Před 5 lety +7

    Masoud 🙌mzee wa kipanya

  • @omarinjiwa3945
    @omarinjiwa3945 Před 5 lety +2

    masoud upo vzr sana mm in mfuatiliaji sana was kz zako angalizo langu usifanye vt kwa matakwa ya wana siasa kwa kuwa siasa c fani kwa hiyo wanaweza kufanya baadhi ya watu wachukie kz zako

  • @winstonmgogo3694
    @winstonmgogo3694 Před 5 lety +2

    Ukija Italia fikia kwangu,Mimi ni mmoja wa
    Wachoraji katuni maarufu enzi hizo,Mzee Manje,naitwa Simon Mgogo,karibu Sana,mdogo
    Wangu

  • @ezeshama255
    @ezeshama255 Před 5 lety

    One among the best interviews ever... hapo kweli mmekutana wazoefu mhojiwa na mhoji

  • @neymwambep7118
    @neymwambep7118 Před 5 lety +2

    Masoud nimekukubali please njoo tufanye maisha plus Oman

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 Před 5 lety +6

    Maaoud kipanya Baba malcolm.bigup

  • @chiefmahucha6847
    @chiefmahucha6847 Před 5 lety +29

    Duuhhh...... Tuliokuwa tunadhani Mussa ni mdogo wake Masoud KP, gonga likes hapaa.......

    • @tadeimwaipaja1191
      @tadeimwaipaja1191 Před 5 lety

      Baruan anaonekana mzee 7bu anapenda kuchovya sana totoz, kifupi kuchovyachovya kibaolojia kunazeesha sana

    • @lusianomichel7946
      @lusianomichel7946 Před 5 lety

      Unapenda kuwa peke yako kipanya kwanini unapenda?

    • @zamoyonikibella4484
      @zamoyonikibella4484 Před 5 lety

      Ila ukimuangalia kwa makini wamefanana sana Masoud na Mussa wa Efm ni kama mtu na mdogowe hawa!!

  • @denisbahati6110
    @denisbahati6110 Před 5 lety +7

    Sio unaamini hivyo @masoud, lakini ukweli ni kwamba tabia yetu tuozaliwa mwezi june. Ni Watu wenye misimamo mizito,logic sana, na wabishi kwa maana ya kutetea na kulisimamia jambo katika usahihi wake.
    Sifa kuu zaidi ni Watu wavumbuzi sana wa masuala mbalimbali na wabunifu pia, lakini mapungufu yetu ni kuacha constant vitu vidogovidogo muhimu sana na kudeal na vitu vikubwa sana. Bahati nzuri tunafanikiwa sana kwenye vitu vikubwa kuliko vidogovidogo

  • @abelkabili8474
    @abelkabili8474 Před 5 lety +35

    Anaehoji ni Gwiji na anaehojiwa ni Gwiji kwahiyo interview imekuwa Machachari sana...

  • @murashanifidelisi5410
    @murashanifidelisi5410 Před 5 lety +3

    vizuri sana M. kipanya

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 5 lety +6

    Dah ukiacha kuufatilia live mpira kwenye internet hiki ndio kipindi nilichokiangalia kwa muda mrefu zaidi youtube. Sijarukisha hata Nukta. Yote sababu napenda saana kumfatilia masoud na kazi zake. Mungu akujalie zaidi...

  • @ramlagodfrey7461
    @ramlagodfrey7461 Před 5 lety +4

    Hakika wewe ni baba bora,na sio bora baba,pmj na mkeo ni strong womans kwakweli kwa mtihani huu wa Malcom hkk M/mungu hazidi kuwadumishia ushikamano juu ya mtoto wenu inshaallah

  • @saniasezzy9085
    @saniasezzy9085 Před 5 lety +2

    Nimekuwa nikimfatilia sana Masoud ila kunavitu kama vitatu ivi nilikuwa sivijui kutoka kwake ila leo ndo nimevijua, nimefurahi sana

  • @mohamedsasma879
    @mohamedsasma879 Před 5 lety +3

    Maaoud bwana Ni mkweli Sana Na Mara nyingi Sana nqpenda kazi au hata maelezo yako muda wote hasa ktk power breakfast na ukwwli ukipungua huwa sijisikii vizuri Sana

  • @CASSIUSJUSTUSKIONAMBALI

    Kazi nzuri sana Ndg. Baruan A. Mahuza.

  • @Santos-tg4cg
    @Santos-tg4cg Před 5 lety

    Good nakipenda hiki kipind piga kazi baruani Allah akuongoze

  • @rossemtui9411
    @rossemtui9411 Před 5 lety

    Hongera sana kaka masud kipanya unajitahidi sana

  • @hajikipanga485
    @hajikipanga485 Před 5 lety +7

    Masoud Upo vizuri sana,

  • @aishamgaya9676
    @aishamgaya9676 Před 5 lety +3

    big up brother

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 Před 5 lety +1

    Ali Masoud hakika nakukubali

  • @josephgaitan989
    @josephgaitan989 Před 5 lety +1

    Nafurahi Sana kuwaona mpo pamoja hivo

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 Před 5 lety +1

    Kila nikisikia BARUAN MUHUZA,nakumbuka uliza ujibiwe RFA!
    #nkumiss__kwa_wakati_huo____hongera kwa kipind kaka

  • @shamimhatim1677
    @shamimhatim1677 Před 5 lety +2

    Samahani Sana kwa swali hili nishawahi kuskia watu wenye msimamo Kama wako eti wana group "O" la damu ?

    • @lailahasan2200
      @lailahasan2200 Před 4 lety

      Ni kweli kabisa, hlf tunajiamin kuliko na yt ya kher

    • @chrischleopa7738
      @chrischleopa7738 Před 4 lety

      @@lailahasan2200 😁😁😁😁tuko wengi kumbe

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 Před 5 lety +4

    Good

  • @farajiayubuduma6969
    @farajiayubuduma6969 Před 5 lety +5

    Bonge la kipindi asnte muhuza asante azamtv

  • @ramakabelele2530
    @ramakabelele2530 Před 5 lety

    Hongera xana baruan Bonge moja la interview

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +15

    Nice interview

  • @hassanlusewa9008
    @hassanlusewa9008 Před 5 lety +2

    Dah leo ndio NIMEMUELEWA Masoud Kipanya aseee kumbe kitambo

  • @manenoalex7453
    @manenoalex7453 Před 5 lety

    masody tunakipenda sana kipindi chako cha maisha plass

  • @getaromagaiwa7918
    @getaromagaiwa7918 Před 5 lety

    Nakukubali sana Masoud Kipanya """ unavyo mchora JPM!!!!!!!!

  • @thomasanthony851
    @thomasanthony851 Před 5 lety

    Hii interview naiona leo but ni njema sana,
    Kingine upuuzi ndani ya clouds fm usiache kutoa

  • @aboudmsonde886
    @aboudmsonde886 Před 5 lety +3

    Baba malcom Allah awape subra inshaallah

  • @LeonardMwakapusya
    @LeonardMwakapusya Před 5 lety +1

    Baruan ni mtangazaji mzuri ambae ajawahi kutokea Tanzania

  • @bongomsasa2496
    @bongomsasa2496 Před 5 lety +1

    My Role Model

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 Před 4 lety

    Barwan the great kwa kweli nakupongeza ni mmoja katika wachapa kazi mahiri kabisa keep it up I like your interviews

  • @msandigeorge8355
    @msandigeorge8355 Před 5 lety

    Brilliant!!

  • @fatumamjenga3114
    @fatumamjenga3114 Před 5 lety

    Namkubali sana kipanya

  • @aboubakarykilaza1013
    @aboubakarykilaza1013 Před 5 lety

    Ni moja ya vipindi bora zaid Africa Nyundo. Naipenda kazi yako Baruani

  • @mussamsella8560
    @mussamsella8560 Před 5 lety +1

    Kitu ambacho nimejifunza na kumuelewa kp ni mtu anaeishi maisha halisi sana ...yupo real sana.
    Kuna watu wanaeleweka kwa ujanjaujanja wao ila huyu ili umuelewe inabidi uwe makini tuu ...yaani ukweri hauna mbwembwe kabisa na ndio alivo kp

  • @pynoCODE
    @pynoCODE Před 5 lety +1

    Nice

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Před 5 lety +4

    Nakumbuka saaana kuhusu kipindi cha PB mtu 3 kama billion 3. Na nakumbuka kipindi kilichobamba zaidi mlivyoingiaga conflicts na waziri wa elimu na utamaduni kipindi kile..., hadi Shigongo nae akaingilia. Na hata siku mnafanya kipindi cha kumuhoji balozi nilikisikia ingawa kwa shida shida kweli matangazo yalikua yanakatika na mliahidi kurudia kesho yake. Ila baada ya siku kama 3 hivi tukaona ziiiii..., iliniumaga saaaana baadae akawa anasikika Gerrard peke yake. Nilitamaniaga saana mngerudiaga tena kufanya kipindi mkiwa wote wa3. Nilikuwaga mshabiki wenu mkubwa mnooo na kipindi kilikua hakinipiti. Safi saana masoud KP.

  • @malulujr
    @malulujr Před 5 lety

    Jaman masood ulitekwa eeee pole sana bora ukae kimya tu usije kufa bure aisee

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa4777 Před 5 lety +2

    Masoud Kipanya ni engine

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Před 5 lety

    Cartoons na animations ni carrier nzuri sana

  • @safikapufi3642
    @safikapufi3642 Před 5 lety

    napenda interveu mtangazaji ajielewe na anaefanyiwa awe anajiekewa inapendaza sana haichoshi kabisa nimewapenda nimefurahi sana

  • @samsonezekiel970
    @samsonezekiel970 Před 5 lety +1

    Namkubali sana JAMAA huyoo

  • @omaryabed3044
    @omaryabed3044 Před 4 lety

    Nakubali masudy

  • @jumaomar8274
    @jumaomar8274 Před 5 lety

    Nice!!

  • @ashminhaabdullah4963
    @ashminhaabdullah4963 Před 5 lety

    Iko vizuri wote wasomi

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Před 2 lety

    Kipindi safi

  • @rajababduly6571
    @rajababduly6571 Před 5 lety

    Iko vzr

  • @zedyrajabu2493
    @zedyrajabu2493 Před 5 lety

    Nilitulia kusikiliza hii interview km unapigwa wimbo wa taifa ,penda sana kp

  • @MwlGano
    @MwlGano Před 5 lety

    Moja kat ya kitu cha ajabu tz,kwamba Musa kipanya hana ndugu na kipanya

  • @evanskamgisha3675
    @evanskamgisha3675 Před 2 lety

    Masoud nilipata warning letter mbili kwasababu ya clouds

  • @rahmamakwisa4089
    @rahmamakwisa4089 Před 5 lety

    kha jaman ndio leo nimegundua kua masoud kipanya na mussa kipanya hawana undugu

  • @hamadshein935
    @hamadshein935 Před 5 lety

    Hzi interview wapi huwa wanasahihisha.naona kila mtu anasema hii 1 zngne zikowapi ili tuzione.aahaa wabongo bna.

  • @laurentngowi3052
    @laurentngowi3052 Před 5 lety +1

    Kweli masud unajua kujibu maswali

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před 5 lety +1

    Afadhali Masoud ungepewa nafasi ya Mlinga utetee jimbo lake!! yule ni kihiyo!

  • @richardkamanya2951
    @richardkamanya2951 Před 5 lety

    Iko poah sanaa

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 Před 5 lety

    Mahojiano mubashar kati ya watangazaji halisi au asilia kwa maana ya kile ambacho mwenyezi Mungu akiwajalia ktk uumbaji wa binadamu na vipaji au vipawa. Hakika Baruan na Massoud Mungu aliwapa hiki kipawa ili mumtukuze yeye kwa kudhihirisha uumbaji wake usio na makosa. Ni rahisi kuwatofautisha na wengine wengi walioko kwenye tasnia kwa mapenzi yao binafsi,na wala si kwa vipaji alivyowajaalia muumba wetu. Binafsi niwapongeze lkn niwakumbushe kuangalia nyuma kuwasaidia ,wengine wenye vipaji kama nyie ,ili mkitoka kurudi mlikotoka ,vipindi kama hivi visiondoke nanyi kwenda huko mlikotoka, kwani sote tupo na kuna siku hatutakuwepo hapa duniani ,Nawaombea Mwenyezi Mungu awape maisha marefu .A men.

  • @gervassikapundwa9632
    @gervassikapundwa9632 Před 5 lety

    Hawavijana wananikumbusha mbali sana

  • @skorastkastivini1663
    @skorastkastivini1663 Před 2 lety

    Bondita

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 Před 5 lety

    Hiki nikipindi hua sikos kuangalia 🙏🙏🙏🙏muhuza

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 Před 2 lety

    Masoud alipoulizwa mara nyingi haupo smart... aliguna kana kwamba muulizaji hakuwa sahihi hahaha!

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @salehsports6372
    @salehsports6372 Před 5 lety +10

    Ndugu yangu Masoud nakuhusia na kuhusia nafsi yangu usije kuingia kwenye mambo yoyote yenye kuhusiana na Betting(Mikeka).

    • @bestman8182
      @bestman8182 Před 5 lety

      Mikeka ina kasoro gani ndugu yangu niachane nayo...naomba nijuze plz

    • @saidsalim851
      @saidsalim851 Před 5 lety +4

      @@bestman8182 kaka kubeti ni kamari na kamari hainanafasi ktk ulimwengu wa kiroho yaani dini zote zinazoamini mungum1 kamari niharumu
      Lakini kwamasikitiko makubwa waliowengi hawajui!!

    • @dottomoshi8324
      @dottomoshi8324 Před 5 lety +1

      Naaam

    • @edwarddaniel5683
      @edwarddaniel5683 Před 5 lety

      @@saidsalim851 haramu ya betting iko katika kitu gani? Mechi zinachezwa unabet team G kushinda unashinda au unaliwa haramu nini hapo

    • @suzanjustine7938
      @suzanjustine7938 Před 5 lety +1

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @halimams2127
    @halimams2127 Před 5 lety

    Wa baba hebu muigeni huyu baba bg up

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Před 5 lety

    Kipindi kizuri sana

  • @loyaltey6407
    @loyaltey6407 Před 5 lety

    Sanatuu

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 5 lety +2

    Gazeti la SANIFU lilikufa KIFO CHA KIKATILI sana...!...we Acha tu KIPANYA....labda tumuulize MANARA..!

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 Před 5 lety

    We Baruan unapenda sana kufanya kipindi na watu wengi wa Kigoma.hebu fanya wastani uone jambo hili

  • @geraldmasawe2837
    @geraldmasawe2837 Před 4 lety

    Salama

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 4 lety

    Vichwa vilikutana 🔥🔥🔥