Kwa HISIA KALI Mbunge KISHIMBA aishauri haya Wizara ya elimu BUNGENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 21

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Před 2 lety +2

    Huyu mbunge Genius 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 Před 2 lety +3

    Mzee huwa anawaza nje ya box,na hii ni Kwa sababu ameishapitia field,SASA tatizo linakuja Kwa hao anao ongea nao ndio hawamuelewi na ikitokea siku wakamuelewa watakuwa wameishachelewa ,kama watu walivyoanza kumuelewa JPM Alf chuma akasepa.

  • @innocentelphas438
    @innocentelphas438 Před 2 lety +2

    Yani huwa nikikusikiliza nahisi ww ndio mbunge pekee unaejua mazingira magumu ya wananchi, huwa ni kama ww ndio mzazi pekeyako ....unamahitaji na kuwawazia watoto wa watanzania wote kama wakwako!!! Wewe ndio yule kiongozi mzazi....ubarikiwe mbunge!!!

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 Před 2 lety +1

    Yaan mawazo ya baadhi ya Wah Wabunge yameanza kugusa ualisia wa maisha yetu ya kawaida... Serikali kuyaunga mawazo hayo sasaa....

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 2 lety +1

    Asante sana mbunge wetu kwa kulisemea hili jambo la shule, kwa niaba ya wa Tz wote tunaomba elimu ya msingi iwe ni miaka 4, na O - Level iwe miaka 4, na A- Level iwe 2 then chuo , tafadhali sana, bila kubadilisha system ya elimu yetu ya tz tutaendelea kubaki nyuma kama koti.

  • @abdulkarimwajadi1759
    @abdulkarimwajadi1759 Před 2 lety +2

    Allah akuongoze Kishimba

  • @michaelnamji7804
    @michaelnamji7804 Před 2 lety +1

    Hakika kada ya ziwa watema madini ya hali ya juu🤝🤝

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 2 lety +1

    Nakuelewa mh kishimba

  • @michaelalfred58
    @michaelalfred58 Před 2 lety +1

    Kishimba huwa nakuelewaga Sana,una hoja Safi za mtaani kabsa

  • @2514SRK
    @2514SRK Před 2 lety +2

    Kishimba Kishimba Kishimba NAKUITA MARA TATU, Wewee UNA AKILI SANA TENA SANA.
    Language is not Substitute of Intelligency.

  • @barakaelmbise4229
    @barakaelmbise4229 Před 2 lety +3

    Wewe mzee mm ntakuja kufanya utalii wa kukuona kama kivutio cha utalii maana wewe ni mtu adimu sana

  • @allyiasachogogwe3753
    @allyiasachogogwe3753 Před 2 lety

    Kishimba anaongea vzr Sana,anawaza Sana nje ya box Ila,anashindwa kuelewa kuwa anchoongea hakiwez kuwa simple,Kama anavofkri,kubadr curriculum,sio leo Wala kesho,

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 Před 2 lety +1

    Huyu ateuliwe awe Waziri au Naibu Waziri ELIMU..
    TUTAPATA MENGI SANA..
    ANAONEKANA ANA MENGI SANA KTK SEKTA HII

    • @hindisaidi5097
      @hindisaidi5097 Před rokem

      Asipewe uwaziri majukumu yatatofautika atakuwa anadil na wizara yake tu

  • @alexaugustino4644
    @alexaugustino4644 Před 2 lety

    👏👏👏🌹

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před rokem

    Kishimbaaa oyeeeee waereze hao wenye erimu uchwaraa

  • @abilahyusufu9001
    @abilahyusufu9001 Před 2 lety +1

    Tukachukue Mitala ya china tukatundisha kiswahili bc itatusaidia sana

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 Před rokem

    Mzee "hawezekani" anaendeleza darasa huru bungeni.tena wanasikiliza lakini sijui kama wanafahamu

  • @mutuamulinge6158
    @mutuamulinge6158 Před rokem

    Haki mzee wetu Hilo la minyoo limenimaliza. Si Bure wanakuita profesa

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 Před 2 lety

    Wazuri wa Mambo ya ndani