JUSTINE KESSY AMALIZA MJADALA WA UBOVU WA SIMBA VS YANGA| WANGEFUNGWA 5 NYINGINE YANGA WANGEAMUA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 04. 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Komentáře • 84

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 Před měsícem +12

    Yanga hawakucheza 100

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před měsícem +7

    Daaaah jamaaa unajuwa San 🫡🫡

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 Před měsícem +4

    Jamaa anajua mpira sana hongera kwa hilo.

  • @bensonfikirini4112
    @bensonfikirini4112 Před měsícem +4

    Huyu jamaa namuelewa sana aisee ni wachache sana aisee🎉

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před měsícem +17

    Syo simba tu hajamheshim yanga bali hata yanga kipind cha pili ni kama walisharthika na magoli 2 kipind cha pili yanga walicheza kama wako mazoezini avic town sijui ndo mipango ya kutunziana heshima???

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 Před měsícem +7

    Dah kwa mara ya kwnza huyu Kessy leo kanikosha sana. Maua yake

  • @ericsangasa9872
    @ericsangasa9872 Před měsícem +2

    Huyu jamaa nilikuwa simuelewi sana, ila kwa uchambuzi huu, anajua mpira kabisa , kaka big up

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Před měsícem +5

    Brother kessy🤣🤣🎉🎉

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah8416 Před měsícem +3

    Nakupenda lesson unachambuwa moira vizuri sana

  • @AyubuNavara
    @AyubuNavara Před měsícem +4

    bro 🙌

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 Před měsícem +7

    😂😂😂😂😂huyu jamaa kaongea point sana. Km Yanga angefungukia booster aseee Simba wangepoteana. Nadhani yale magoli mawili yaliwabwetelesha sana

  • @bensonpaul3672
    @bensonpaul3672 Před měsícem +4

    Wewe ulitabili Yanga kufungwa ,nashangaaa unatoa semina ya kuishemu Yanga

  • @broynmajamla3074
    @broynmajamla3074 Před měsícem +5

    Sometimes unakua kigeugeu broo

  • @jumasalim4380
    @jumasalim4380 Před měsícem +5

    WE UOGOPI?

  • @allanmihayo3041
    @allanmihayo3041 Před měsícem +11

    Kigeu geu kingi xna si wew ulisema simba hawezi kufungwa mara 2 au sio wew jkesi chambua xoka kulingana na perfomax ya timu

  • @IsraelMwakagire-hn8pn
    @IsraelMwakagire-hn8pn Před měsícem +5

    Ulisema huoni yanga ikimfunga simba acha kugeuka

  • @haidarysalehe9056
    @haidarysalehe9056 Před měsícem +5

    YANGA HAWAKUPIGA LILE GAME LAO KINGEWAKA TANO TENA😂

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim6305 Před měsícem +2

    Uyu jamaa kabla makundi ya CAF hayaja pangwa alisema kila mtu anamuogopa Yanga,baada ya Yanga kupangwa na Mamelodi akasema Mamelod ni tim ya pili kuwa na wachezaji wenye thamani kubwa kwaiyo Yanga hawana nafasi,Yanga kampashida mamelod akabadilika,Game ya pili ya Yanga na simba alisema anaona Yanga anaenda kupigwa,Simba kapigwa amebadilika,AMNA KITU APO

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Před měsícem +5

    Wewe kesy nilishasema huna lolote unayoyasema leo tofauti kisha unajiita mchambuzi huna lolote kigeugeu wewe

  • @hassansadick5528
    @hassansadick5528 Před měsícem +3

    Yanga ni Bora kuliko Simba sanaaaaa

  • @EdisoniEneliko
    @EdisoniEneliko Před měsícem +6

    Nakukubali kaka nilikusubili xana

    • @victornyese9009
      @victornyese9009 Před měsícem +1

      Napenda sana uchambuzi wako mwamba

    • @victornyese9009
      @victornyese9009 Před měsícem +2

      Mpira unaujua vizuri mwanangu

    • @sheilahmnaro874
      @sheilahmnaro874 Před měsícem +3

      Bro nilikuwa nakusibiri sana kwa kauli yako ile ulisema Yanga anaenda kuandabishwa

  • @RamadhaniKhamisi-hs8um
    @RamadhaniKhamisi-hs8um Před měsícem +2

    Mjomba kazi hii niya mchome tu ww bado sana

  • @user-ht5tc5yv5t
    @user-ht5tc5yv5t Před měsícem +2

    Aisee yaan nakubaliana na wewe Sana Yanga Jana wamecheza kawaida mnooo Mpira tulioutegemea nitofaut kabisaaa, kuna mda mashabiki tunashikilia roho jamaan 😅😅

  • @RevocatusSungura
    @RevocatusSungura Před měsícem +2

    Nkoooo nkooo nkooo😂😂😂😂

  • @JohnHerbet-os7uh
    @JohnHerbet-os7uh Před měsícem +2

    Acha ujinga ulisema simba anashinda

  • @graphicshome862
    @graphicshome862 Před měsícem

    Justine next level brother

  • @user-ll6pj3vl1e
    @user-ll6pj3vl1e Před měsícem

    Na kuelewa kaka

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 Před měsícem +2

    Si uhamie yanga ikupe raha vizuri 😅

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Před měsícem +1

    Wanaenda koo koo

  • @user-xf9ng6ru3u
    @user-xf9ng6ru3u Před měsícem

    Reo kk,umeona aibu kuuficha ukweri,maana kizuri kinajiuza,

  • @HusseinNdonde
    @HusseinNdonde Před měsícem

    Najuelewa sana Kessy, na hiyo ndo habari hiyo

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi Před měsícem +6

    Mchambusi atakiwi kuwa kama wewe ulisema yanga anafunga ama sele,acheni mapenzi ya timu zenu mbovu mseme ukweli

    • @geraldgogadi7054
      @geraldgogadi7054 Před měsícem +2

      Alisema yanga wataadhilika

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Před měsícem

      Huyo kila media anaongea tofauti,,, kabla ya mechi kuna media nyingine pia alisema yanga anashinda,,, yani ni kinyonga inategemea upepo wa anaemuhoji

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 Před měsícem +2

    we si hulisema yanga atafungwa,,?

  • @leonardmhagama5828
    @leonardmhagama5828 Před měsícem

    You got data and mpira unaujua sana kaka

  • @user-qd6yl1ub8v
    @user-qd6yl1ub8v Před měsícem

    Ulisema yanga atafungwa na Simba leo mbona umebadlili gia angani

  • @HamiduZowo
    @HamiduZowo Před měsícem

    🙏

  • @user-mw6ym2vr9f
    @user-mw6ym2vr9f Před měsícem +1

    Unachambua au unasifia,uchawa umezidi

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před měsícem

    Mtangazaji hajui kati ya almasi na dhahabu ipi ina thamani ! Mmmh!

  • @user-vs5ow5jt1w
    @user-vs5ow5jt1w Před měsícem

    Aa batha VP tn

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham Před měsícem +1

    Justin ndo mchambuzi mwongo,aliwapa ushindi Simba leo anajifanya kuchambua nini?

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz Před měsícem

    Kigeugeu😂

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf Před měsícem

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před měsícem

    Mwamba unajua BOLI na unamhutia mdikilizaji amalize KIOINDI chako

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před měsícem

    C mchambuzi ni CHAWAAA

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 Před měsícem

    Nenda zko uk mjinga mkubwa www ao yanga wamepigwa na Azam juz TU

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x Před měsícem

    mbona ivo kaka unaisifu yanga kiroho nzuri karibu yanga ikuondoleye stress

  • @maryjkiosa3380
    @maryjkiosa3380 Před měsícem +2

    Uyo nae anaongea sana sasa hapo anachambua nn zaidi ya uchawa pimbi wewe ebu tupishe

  • @KulijeNovart
    @KulijeNovart Před měsícem

    Kinyonga huyu, yaani kama siyo mwanaspot, ulisema Simba hawezi kufungwa mara mbili

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 Před měsícem

    Yy aliongea kwamba yanga ataadabishwa vp leo?

  • @SadikijumanneAseche
    @SadikijumanneAseche Před měsícem

    Hh

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 Před měsícem

    Wew.kigeu na ww Una matatizo ya kiakili mpumbafu Wew

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq Před měsícem

    Pekeake. Ndoo mkweli uyu

  • @user-jn3nf7uw1w
    @user-jn3nf7uw1w Před měsícem

    Na BADOOOOO..KULOPKA KWINGI MPIRA 0

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před měsícem

    Ww siulisema Simba watashinda

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 Před měsícem

      Uwe unasikiliza vizuri na una nafasi ya kurudia kusikiliza. Alisema hivi, simba wanaweza kushinda au kudro kama watamheshim na kumnyatia yanga na yanga anaweza kushinda, kudroo au kufungwa na akasema akisema yanga ashinde means afunge buster basi simba ataaibika.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf Před měsícem

    Ww co mchambuzi kabisa ulisema Simba anashinda ww haujui.

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem

    Wewe unajua soka❤

  • @user-yf2ro1wb4y
    @user-yf2ro1wb4y Před měsícem

    Kessy wewe mtu na nusu

  • @user-lq1fm4dj2n
    @user-lq1fm4dj2n Před měsícem +1

    Unalopoka tu alafu unasahau nenda uko hueleweki wewe

  • @jothamkibona2919
    @jothamkibona2919 Před měsícem +1

    Kigeugeu wewe

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem

    weee unafeli wp kila siku unageuka tu kuna vile ulisema na hatujaviona kenge wewe

  • @basilkamage2196
    @basilkamage2196 Před měsícem

    Huyu jamaa naye just alisema simba hawawezi kufungwa mara 2

  • @modestzacharia8939
    @modestzacharia8939 Před měsícem +3

    Huyu Ni mchambuzi uchwara. Kila mtu kauona mpira. Adanganye wajinga na wasiofuatilia soka. Yanga hawezi kuwa bora kuliko Simba. Takwimu katoa wapi za ubora ?

    • @emmanuelzwallo3933
      @emmanuelzwallo3933 Před měsícem +2

      Hujui mpira.

    • @emmanuelzwallo3933
      @emmanuelzwallo3933 Před měsícem +2

      HEBU toa takwimu zako ukizingatia performance ya timu na uwezo wa mtu mmoja mmoja ndo umpinge sasa huyu jamaa

    • @benjaminmoses5575
      @benjaminmoses5575 Před měsícem

      hilo nalo mmekariri kuna muda umepita imebaki kuwa expired endeleeni kuamini vitu mgando

    • @leahsimba4788
      @leahsimba4788 Před měsícem

      We nae n fala kumbe 😅

    • @pilipilimanga2619
      @pilipilimanga2619 Před měsícem

      Ndugu tuwe tunakubali hali halisi. Tuache ushabiki pembeni Yanga kwa sasa wako vizuri.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před měsícem

    Ila Mwanzo hukusema Kocha wa YANGA alisema yy alifanya Mazoezi

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf Před měsícem

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.

  • @FadhiliSelf
    @FadhiliSelf Před měsícem

    Leo ndo unaona yanga ni bora huna lolote, kigeugeu ww.