MZEE MASATU: WENDA MO SIO SIMBA!! | SIZUNGUMZI HADI SIMBA DAY | WASAMBARATISHE UONGOZI
Vložit
- čas přidán 20. 04. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - Sport
Hata Yanga hawakupendi Mzee ongelea team yako😂,,yaan hapo Bado mpaka msemee💚💛🙏🏿
Huyu mzee na mzee said nawapenda sana licha ya kwmb wote mashabiki wa Kitimoto FC😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee saidi una Akili sana Mo yuko lwa maslahi anatoa pesa na analenga kupata pesa zaidi.
Pesa kidogo anazotoa kwa ajili ya usajili ameweka kama mtego tu au uchonganishi pesa kidogo inakwenda kwenye usajili na nyingine watu wanatia ndani na mwisho wa siku wenyewe mtamuomba arudi na akirudi atarudi kwa masharti masharti yenyewe asiulizwe ili apate kula vizuri.
Asante Mzee hii changamoto ya fitna kubwa Sana aibu haija wahi tokea Inshallah Boss MO awachomoe wake na wanasimba tubadilishe wetu hiyo ndio jawabu mollah anajua kadhiaa hii tunayo pata😅
Mzee Masatu umeongea ukwer viongoz wanashida sana sijui wanatuchukulieje sisi wanasimba
Mzee masatu Simba haipangwi vizuri uwanjani. Mfano foard yetu 8 Mpe Kapombe7Kibu 9Fred 10 babakari 11 Chama.Pale mbele fanya jihadi. Nyuma weka 6 Shemaron 5 Inonga 4 Kenedy 2 Israel 3 Husen
Kweli masatu.
Uko sawa kwa sababu wanaongelea kufurahishwa na matokeo kama vile wameshinda
Apishe
Manzoki yeye anasemaje kwan?😂😂😂
Wamchukue na mayele wakasaidiane ......
sana mzee masatu unaongea vizuri sana hadi saizi tunaumwa kwaajili ya kuipenda simba hata ww masatu jitaidi kama itawezekana uweze kuonana naye kwaajili ya ushauri
Kabisa Somo tunge pigwa 10 ili tupate fundisho mwakani usajili uwe bora Inakera
Kam awachukui ayo twende namawe tu kuwapiga au tukawachomee ndani
Wajiudhuru jmn kwann hawatuelew watuachie timu yetu sisi wanaharibu timu hawana hata habar na malalamiko yetu jmn huzun kweli😢
Jikaze mzee
Asa MO akuhurumie kvp wakat sasa hv unaambiwa MO extra energy ndo bidhaa inayouzwa sana. Kila sehem mna matangazo yake. Awahurumie kwa lipi..??? Muindi hana huruma, kikubwa pesa. Msiposhtuka mtapotea. Shauri yenu, akina Try again na Mangungu mambo kwao swafi kabsa
Yaani wazee nyie tunawaheshimu, ifike mahali msiwe mnaongea shombo, maana vipigo tulivyowapiga ni MINYAMA NJE MINYAMA NDANI...!
Bado hamjasema mpka mseme
Jamani tuletew kati
Yan mnateseka,lkn hamjapitia kipindi cha Bakuli km Yanga
MO
Mjanja alikuwa anatoa hongo kwa wachezaji na merefa
Mo sio mpenzi wa Simba anatafuta umaarufu tu. Alishasema anapata hasara hawezi kuweka pesa wakati anapata hasara. Arudishe timu kwa wanachama akafadhili cricketi.
Sasa Man U wafanyeje, kama nyinyi mnalia hivi
Amedy alli anapapana sana mo ivi unaona haya kweli mashabiki tuna lalamika huoni
Sisi tumefulai yanga nbili tosha
Nilichogundua bado mashabiki wa simba hawajajua tatizo ni nn... tatizo ni mifumo ya uendeshaji wa club...hata nchi hii matatizo mengi yanatokea kutokana na mifumo iliyopo
Hawazidi wawili madunduka wenye kuelewa
Yaani Mo ninaemjua mim eti atoloke peper marekani aje kuangalia smba na mashujaa THUBUTU
Kamiulizee mama yakoo
niwape pole, ili mnusuruke na ubeberu huo, mtuombee yanga msimu ujao tuwapige simba 10-0 nje na 0-10 ndani.
Mo akiondoka Benchika anaondoka??? timu apewe kibadeni.
Huwapendi ndo mafundi,nyinyi mtabaki bla bla tu😂😂😂 mko mabinafsi
Dugu mtan🎉😅😊 I'llgazaji wandishi wa habalim😂tusaidie kina😂cho
Dunduka lenye hekima na Busara.
nyie simba wahuni sana mnazima simu.
Nadhani ifike viongozi wa simba wajitadhini kama wanafaa!!
Kama ni kweli Mangungu kuja Simba Sc katokea Pan Afrika fc ambalo ni tawi la yanga basi watu wamedhamiria kuiua Simba Sc kabisa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa Nini matola hafukuzwi? Kunanini hapo alieda kusoma kuja kuiuwa simba? Sisi tunajua kila kitu yote kwa yote matola ajihuzuru timu Haina matatizo wengine wote mnawaonea waliomusomesha matola hawakujua Yani matola hajielewi
Mzee wapende tuu usiye mpendwa kaka hamna namna😂
Ww masatu yanga utaipendaje wakati ww ni simba,ongelea simba yako yanga haikuhusu
Ona huu ng'ombe ya njano na kijani🚮
Uongozi.na.wachezaji.sio
Huipendi yanga, kwani umesikia yanga wanakupenda ww, hatukupendi kabisa.achana na Yanga yetu
Chuki zaki ndio zinakutafuna!
sasa serikal itatusaidiaje wakat serikal ni adui wa simba? simba ikeshiliki kimataifa mara 5 rimbo fainal iyo serikal unayo sema imetusapot nn? uto mangungu mwenyewe kirus kutoka ukouko ccm, simba inanaadui wengi, raisi mwenyewe yanga utakimbilia wap?
MO Mangungo Tray again wote wapigaji ndiomaana wakodi police kukamata mashabik Gb 64
Mangungu mnamuonea tu hapo yeye hana kauli yupo kama boya tu
Ndugu mtangazaji hebu mwambiye huyo mzee asiweke simu kwenye mapigo ya moyo ni hatari aiweke mfuko wa suruali tafadhari sana
Hawezi akakubali atakwambia wewe ni Yanga.
Hawa kwa sasa hawako sawa hata uaingizi hawalali
Mzaramo ndio kabisaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
@@BrunoNamanga🤣🤣🤣🤣🤣✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼
@Brun😂😂😂oNamanga
Mo.ni.simba.damu
😂😂😂😂Simba dam angeyafurahia haya😢😢😢😢
Huu usenge wenu wa kuweka matokeo feki kishabiki 7-2 ni uchoko acheni kufwira
acha matus we bangi lako pekeka bugurun uko we ushafilwa mara ngapi? hi sio vita mshamba wee au matako yanakuwasha?
@@ramadhanidaudi5878 nitolee usenge na wewe unaona raha kuchafua nembo ya Simba na hao wanahabari wako uchwara