MZEE MASATU: WENDA MO SIO SIMBA!! | SIZUNGUMZI HADI SIMBA DAY | WASAMBARATISHE UONGOZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
  • Sport

Komentáře • 59

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 Před měsícem +3

    Hata Yanga hawakupendi Mzee ongelea team yako😂,,yaan hapo Bado mpaka msemee💚💛🙏🏿

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 Před měsícem +4

    Huyu mzee na mzee said nawapenda sana licha ya kwmb wote mashabiki wa Kitimoto FC😂😂😂

  • @abdallahussi2978
    @abdallahussi2978 Před měsícem

    Mzee saidi una Akili sana Mo yuko lwa maslahi anatoa pesa na analenga kupata pesa zaidi.
    Pesa kidogo anazotoa kwa ajili ya usajili ameweka kama mtego tu au uchonganishi pesa kidogo inakwenda kwenye usajili na nyingine watu wanatia ndani na mwisho wa siku wenyewe mtamuomba arudi na akirudi atarudi kwa masharti masharti yenyewe asiulizwe ili apate kula vizuri.

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před měsícem +3

    Asante Mzee hii changamoto ya fitna kubwa Sana aibu haija wahi tokea Inshallah Boss MO awachomoe wake na wanasimba tubadilishe wetu hiyo ndio jawabu mollah anajua kadhiaa hii tunayo pata😅

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před měsícem

    Mzee Masatu umeongea ukwer viongoz wanashida sana sijui wanatuchukulieje sisi wanasimba

  • @laurentnazary5624
    @laurentnazary5624 Před měsícem +2

    Mzee masatu Simba haipangwi vizuri uwanjani. Mfano foard yetu 8 Mpe Kapombe7Kibu 9Fred 10 babakari 11 Chama.Pale mbele fanya jihadi. Nyuma weka 6 Shemaron 5 Inonga 4 Kenedy 2 Israel 3 Husen

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před měsícem

    Kweli masatu.

  • @abdallahussi2978
    @abdallahussi2978 Před měsícem

    Uko sawa kwa sababu wanaongelea kufurahishwa na matokeo kama vile wameshinda

  • @RomaJorojick
    @RomaJorojick Před 10 dny

    Apishe

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Před měsícem +7

    Manzoki yeye anasemaje kwan?😂😂😂

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před měsícem +2

      Wamchukue na mayele wakasaidiane ......

  • @user-ri2cr2zp4o
    @user-ri2cr2zp4o Před měsícem

    sana mzee masatu unaongea vizuri sana hadi saizi tunaumwa kwaajili ya kuipenda simba hata ww masatu jitaidi kama itawezekana uweze kuonana naye kwaajili ya ushauri

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 Před měsícem +2

    Kabisa Somo tunge pigwa 10 ili tupate fundisho mwakani usajili uwe bora Inakera

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Před měsícem

    Kam awachukui ayo twende namawe tu kuwapiga au tukawachomee ndani

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 Před měsícem

    Wajiudhuru jmn kwann hawatuelew watuachie timu yetu sisi wanaharibu timu hawana hata habar na malalamiko yetu jmn huzun kweli😢

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před měsícem

    Jikaze mzee

  • @arnoldrwegoshora449
    @arnoldrwegoshora449 Před měsícem

    Asa MO akuhurumie kvp wakat sasa hv unaambiwa MO extra energy ndo bidhaa inayouzwa sana. Kila sehem mna matangazo yake. Awahurumie kwa lipi..??? Muindi hana huruma, kikubwa pesa. Msiposhtuka mtapotea. Shauri yenu, akina Try again na Mangungu mambo kwao swafi kabsa

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +1

    Yaani wazee nyie tunawaheshimu, ifike mahali msiwe mnaongea shombo, maana vipigo tulivyowapiga ni MINYAMA NJE MINYAMA NDANI...!

  • @hackileo
    @hackileo Před měsícem +1

    Bado hamjasema mpka mseme

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t Před měsícem

    Jamani tuletew kati

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Před měsícem

    Yan mnateseka,lkn hamjapitia kipindi cha Bakuli km Yanga

  • @ismailsalumu1112
    @ismailsalumu1112 Před měsícem

    MO
    Mjanja alikuwa anatoa hongo kwa wachezaji na merefa

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 Před měsícem

    Mo sio mpenzi wa Simba anatafuta umaarufu tu. Alishasema anapata hasara hawezi kuweka pesa wakati anapata hasara. Arudishe timu kwa wanachama akafadhili cricketi.

  • @buzaglomichael4339
    @buzaglomichael4339 Před měsícem

    Sasa Man U wafanyeje, kama nyinyi mnalia hivi

  • @MeckMsea-cx1ct
    @MeckMsea-cx1ct Před měsícem

    Amedy alli anapapana sana mo ivi unaona haya kweli mashabiki tuna lalamika huoni

  • @user-to9xw2mc9m
    @user-to9xw2mc9m Před měsícem +1

    Sisi tumefulai yanga nbili tosha

  • @gtvonlinemdee7001
    @gtvonlinemdee7001 Před měsícem

    Nilichogundua bado mashabiki wa simba hawajajua tatizo ni nn... tatizo ni mifumo ya uendeshaji wa club...hata nchi hii matatizo mengi yanatokea kutokana na mifumo iliyopo

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 Před měsícem

    Hawazidi wawili madunduka wenye kuelewa

  • @CheerfulDrumKit-du7qk
    @CheerfulDrumKit-du7qk Před měsícem

    Yaani Mo ninaemjua mim eti atoloke peper marekani aje kuangalia smba na mashujaa THUBUTU

  • @user-ir4fk4cs7k
    @user-ir4fk4cs7k Před měsícem

    Kamiulizee mama yakoo

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem

    niwape pole, ili mnusuruke na ubeberu huo, mtuombee yanga msimu ujao tuwapige simba 10-0 nje na 0-10 ndani.

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem

    Mo akiondoka Benchika anaondoka??? timu apewe kibadeni.

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Před měsícem

    Huwapendi ndo mafundi,nyinyi mtabaki bla bla tu😂😂😂 mko mabinafsi

  • @Stephano722
    @Stephano722 Před měsícem

    Dugu mtan🎉😅😊 I'llgazaji wandishi wa habalim😂tusaidie kina😂cho

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem

    Dunduka lenye hekima na Busara.

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Před měsícem

    nyie simba wahuni sana mnazima simu.

  • @josephjila957
    @josephjila957 Před měsícem

    Nadhani ifike viongozi wa simba wajitadhini kama wanafaa!!

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 Před měsícem +1

    Kama ni kweli Mangungu kuja Simba Sc katokea Pan Afrika fc ambalo ni tawi la yanga basi watu wamedhamiria kuiua Simba Sc kabisa.

  • @Stephano722
    @Stephano722 Před měsícem

    Kwa Nini matola hafukuzwi? Kunanini hapo alieda kusoma kuja kuiuwa simba? Sisi tunajua kila kitu yote kwa yote matola ajihuzuru timu Haina matatizo wengine wote mnawaonea waliomusomesha matola hawakujua Yani matola hajielewi

  • @AthumanKingu
    @AthumanKingu Před měsícem

    Mzee wapende tuu usiye mpendwa kaka hamna namna😂

  • @amaniandrew534
    @amaniandrew534 Před měsícem +2

    Ww masatu yanga utaipendaje wakati ww ni simba,ongelea simba yako yanga haikuhusu

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah Před měsícem

    Uongozi.na.wachezaji.sio

  • @user-ct4jp1ux1z
    @user-ct4jp1ux1z Před měsícem

    Huipendi yanga, kwani umesikia yanga wanakupenda ww, hatukupendi kabisa.achana na Yanga yetu
    Chuki zaki ndio zinakutafuna!

  • @ramadhanidaudi5878
    @ramadhanidaudi5878 Před měsícem

    sasa serikal itatusaidiaje wakat serikal ni adui wa simba? simba ikeshiliki kimataifa mara 5 rimbo fainal iyo serikal unayo sema imetusapot nn? uto mangungu mwenyewe kirus kutoka ukouko ccm, simba inanaadui wengi, raisi mwenyewe yanga utakimbilia wap?

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    MO Mangungo Tray again wote wapigaji ndiomaana wakodi police kukamata mashabik Gb 64

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 Před měsícem

      Mangungu mnamuonea tu hapo yeye hana kauli yupo kama boya tu

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 Před měsícem +1

    Ndugu mtangazaji hebu mwambiye huyo mzee asiweke simu kwenye mapigo ya moyo ni hatari aiweke mfuko wa suruali tafadhari sana

    • @BrunoNamanga
      @BrunoNamanga Před měsícem +1

      Hawezi akakubali atakwambia wewe ni Yanga.
      Hawa kwa sasa hawako sawa hata uaingizi hawalali
      Mzaramo ndio kabisaaaa

    • @user-mx9bt2mj2l
      @user-mx9bt2mj2l Před měsícem

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před měsícem

      ​@@BrunoNamanga🤣🤣🤣🤣🤣✌🏼✌🏼✌🏼✌🏼

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 Před měsícem

      ​@Brun😂😂😂oNamanga

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah Před měsícem

    Mo.ni.simba.damu

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před měsícem +2

      😂😂😂😂Simba dam angeyafurahia haya😢😢😢😢

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před měsícem

    Huu usenge wenu wa kuweka matokeo feki kishabiki 7-2 ni uchoko acheni kufwira

    • @ramadhanidaudi5878
      @ramadhanidaudi5878 Před měsícem

      acha matus we bangi lako pekeka bugurun uko we ushafilwa mara ngapi? hi sio vita mshamba wee au matako yanakuwasha?

    • @thehustlerafrica4368
      @thehustlerafrica4368 Před měsícem

      @@ramadhanidaudi5878 nitolee usenge na wewe unaona raha kuchafua nembo ya Simba na hao wanahabari wako uchwara