Noma!! DIAMOND na MBOSSO wamchezesha JUX ''mitungi'' warembo wavamia steji kutaka waendelee na Show

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 12. 2022
  • Noma!! DIAMOND na MBOSSO wamchezesha JUX ''mitungi'' warembo wavamia steji kutaka waendelee na Show
  • Zábava

Komentáře • 130

  • @yusufm1
    @yusufm1 Před rokem +49

    Utaskia Jamaa Freemason 😂😂😂😂 Huoni mtu anavyojituma jukwaani

    • @mwajumajuma2999
      @mwajumajuma2999 Před rokem +4

      Kama cyo filimansoni mwambie aowe Sasa wamnyonye dam

    • @gxygxy9143
      @gxygxy9143 Před rokem +5

      @@mwajumajuma2999
      Wewe nani kakupa mamlaka ya kupangia watu muda wa kuoa? Maisha ya hovyohovyo ya Kiswahili kuoa kwa kuwa-challenge watu wasio na faida wala mchango kwenye maisha yako ni upuuzi na mwenye mawazo hayo hawezi kufanikiwa kimaisha.
      First of all shida ni type zenu mbumbumbu msioa na elimu wala hamjui FREEMASONRY humaanisha kitu gani, Freemason society siyo cult kama wapumbavu wanavyodhani na society hiyo watu huoa/huolewa na huishi maisha kama watu wengine.
      Chuki zenu, roho za husda, wivu na uchawi manaokuwa mmeurithi huwasababisha kuwa na chuki dhidi ya watu wanaofanikiwa kimaisha.
      Hata kama kweli angekuwa yuko kwenye Freemason community angeoa kama angeamini ya kuwa yuko na mwanamke sahihi(wife material) katika muda sahihi wa kuoa, mambo ya ndoa mtu huamua kwa kadri ajisikiavyo moyoni na si kuoa kwa ajili ya kuwaridhisha watu.

    • @yakoboesenga5754
      @yakoboesenga5754 Před rokem +3

      @@mwajumajuma2999 mm ni team kond sasa ww nani alikuhambia freemosn ni kuto kuhowa

    • @mwajumajuma2999
      @mwajumajuma2999 Před rokem

      @@gxygxy9143 hiyo inajulikana haipingiki mjinga kama ww na mpumbavu usyo juwa ndo hulijui hilo lakini ndoivo sinaga ushabiki mandazi Mimi so baki hapohapo maana povu limekutoka utazani umekunywa maji ya uzazi unalipwa kwani

    • @mwajumajuma2999
      @mwajumajuma2999 Před rokem +1

      @@yakoboesenga5754 ndo masheliti alio pewa sinipo nae chama kimoja

  • @benomeya797
    @benomeya797 Před rokem +26

    Nimependa sound iko pouwa sana.......Mond kama mond hatariiiiiiii sana simba

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 Před rokem +63

    Simba ni mtu hatari sana, ana vibe la kutosha kuingia tu kwa steji limeibuka shangwe la kufa mtu tofauti na mwanzo, mondi kwa kumiliki jukwaa ni noma, lakini kuna vilandage flani utasikia wakisema mondi ni freemason bila kuangalia anavyojituma kuimba na kucheza kwa steji 🙏

    • @jonathanalais.m1303
      @jonathanalais.m1303 Před rokem +3

      Ati shoga sana wao itabidi wakubali bidii

    • @zulfakibwana6193
      @zulfakibwana6193 Před rokem +2

      Mashallah baba nillan

    • @neemayusuph6638
      @neemayusuph6638 Před rokem +3

      Hahahaha

    • @eddy55179
      @eddy55179 Před rokem +1

      Hamna kitu kama freemason ndugu ,,,watu Wana hustle na wanatiboa hujui mtu katokea wapi ,,,,
      Sema wabongo wengi tumefichwa vitu na tunaamini KILA kitu ni freemason ila hamnaga kitu chaivo watu wanahustle .....
      Music is about feeling ,,

    • @eddy55179
      @eddy55179 Před rokem +1

      Mfano mdogo ata wewe kama umesoma Basi kunamtu alikuwa nakubalika darasani kwenu KWA kitu franii ,,,,Why hamkumuita freemason
      This is hustling na kukubalika na watu

  • @daudflavour320
    @daudflavour320 Před rokem +29

    Vibe la awali wakat simba ayupo na alipokuepo ni tofaut sana huyo ni hatar

  • @mrsnam6897
    @mrsnam6897 Před rokem +20

    Mondi anachomfanyia mbosso Mungu anakiona, nimeipenda hii

  • @muddymiusic1624
    @muddymiusic1624 Před rokem +29

    Jux anafundishwa jins ya kushambulia jukwaa na simba

  • @paskomilesjohn5892
    @paskomilesjohn5892 Před rokem +13

    Adi wee, adi wee, adi wee✌🏾💥

  • @kiddybrown7154
    @kiddybrown7154 Před rokem +3

    Achana na Simba akipanda jukwaani wewe💓💓💓huyu jamaa anajua bhanaaa..apingaye apinge tu kwa Chuki🥰🥰🥰🥰

  • @abdulzitotaibo4126
    @abdulzitotaibo4126 Před rokem +7

    Diamond sou teu fã ak em Mozambique

  • @somanda8140
    @somanda8140 Před rokem +12

    Ninoma sana aise mond kama mond

  • @zaituneadremaneadremane5698

    diamond platnumz👌👌👌👌

  • @dicksoncosmas1368
    @dicksoncosmas1368 Před rokem +12

    Simba na juma wajengewe sanam mbez

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem +12

    Asake wa Tandaleeee on fire

  • @King_186
    @King_186 Před rokem +5

    Diamond is firee

  • @sultanjey479
    @sultanjey479 Před rokem +17

    Stage ya mwenyewe wameiharibu 😂😂

  • @donatienalinoti5185
    @donatienalinoti5185 Před rokem +3

    Mbosso ana jiweza Sana n'a jux

  • @mtetezimbeki7539
    @mtetezimbeki7539 Před rokem +15

    Simba atabaki kuwa simba tuu kubari kataa

  • @cosmedaudijose7320
    @cosmedaudijose7320 Před rokem +10

    Simba number milele.

  • @Humphrey_mj
    @Humphrey_mj Před rokem +3

    Daaaa huyu jamaaa ana upepo kinomaa 😁😁

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před rokem +7

    😂😂😂 diamond simba🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @samwelimwaim7136
    @samwelimwaim7136 Před rokem +3

    The only one KING am team KIBA only

  • @dismanpaschal8328
    @dismanpaschal8328 Před rokem +8

    Diamond hatari na nus

  • @dailystories4513
    @dailystories4513 Před rokem +9

    Kama wamesponsor sioni shida

  • @izyvon6070
    @izyvon6070 Před rokem +10

    Akuna kama simba tz diamond noma by izyvon

  • @ibraimoselemane17ibraimo29

    Simba balaaaaaa

  • @chingamokondemzchingamakon7295
    @chingamokondemzchingamakon7295 Před 11 měsíci +1

    Show ya kinhamaaa simba @ Jum jux & Mbosso kirung ikitaka maisha na kula bata nenda Wassaf Classic

  • @faiza1066
    @faiza1066 Před rokem +3

    Mond yy ana nyota hata wale wameondoka wcb watamani tu kurudi ila kutamka ndio kazi hivi wanajituma lakini wapi nyota zao haingai

  • @officialG-iq4cw
    @officialG-iq4cw Před 3 měsíci

    Simbaa ❤️❤️❤️❤️

  • @omarrashid3932
    @omarrashid3932 Před rokem +1

    Haya yanayo sema huyu jamaa fremason masenge kweli jamaa noma uyu Simbaaa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Před rokem +7

    KO jux alimwita mondi kuja kupromote ngomazake na wasanii wake 😂😂😂😂 upumbvu Sana huu

  • @khamsoleen
    @khamsoleen Před rokem +11

    Mond hatari

  • @abdoulayesow8826
    @abdoulayesow8826 Před rokem +6

    Platnumz

  • @faidhabakari5616
    @faidhabakari5616 Před rokem +2

    Jux ana uwaa mitungii😂😂😂nakubali

  • @feisaldasilvajr311
    @feisaldasilvajr311 Před rokem +8

    Hatariii

  • @daisythetech
    @daisythetech Před rokem +9

    Mond bana event siyo yake ila amepiga promo nyimbo ya mbosso.....he so smart 🤓

  • @margaretbirenge4081
    @margaretbirenge4081 Před rokem +8

    Nilisubiri nimuone zuhura ndio basi 😒😒

  • @user-rh6nu4fc3p
    @user-rh6nu4fc3p Před 3 měsíci

    Diamond ni moto huyu jamaa

  • @feisaldasilvajr311
    @feisaldasilvajr311 Před rokem +8

    😍😍😍

  • @ngungamusictv4245
    @ngungamusictv4245 Před rokem +1

    Já estou ligado ❤❤❤👍♥️♥️🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 Před rokem +3

    Huyo ukimuchukia utateseka saana mondi kwanza mshikaji hana noma huyo

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před rokem +7

    Sound iko poa sanaaaaaaa naomba mond nae ajifunze katika sound mara nyng huwa snakwaruza akifanya jambo lake

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Před rokem +7

    Safi

  • @jcrackcrack1669
    @jcrackcrack1669 Před rokem +18

    Wcb wanajua kupoteza mtu,wanajua ngoma za kurusha jukwaani

  • @kenjaboy8070
    @kenjaboy8070 Před rokem +2

    Isee nimoto wamekiwasha sana guys

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Před rokem

    Energy Makbul

  • @barakabregaboybregaboy734

    Man no 1

  • @yakoboesenga5754
    @yakoboesenga5754 Před rokem +3

    Dah! Jux mwenyewe vyake ana chake 🤣🤣

  • @twalhamussa3711
    @twalhamussa3711 Před rokem +1

    mapenz yata niuwa jamaniiiieeee mitungi iyo vaib iyo apoa sas atali owa eeeewweee

  • @saidi1365
    @saidi1365 Před rokem

    Huy ndy mwambino mzee wasifaa

  • @danielthobias
    @danielthobias Před rokem +1

    Nakubali

  • @michaelsebikari4861
    @michaelsebikari4861 Před rokem +1

    Simba kama Simba

  • @user-rh6nu4fc3p
    @user-rh6nu4fc3p Před rokem

    Diamond ni mkali aiseee

  • @user-bh8ub3jr4j
    @user-bh8ub3jr4j Před rokem

    🥰😍🤩😍🥰 courage

  • @vanessaandrew737
    @vanessaandrew737 Před rokem

    Jmn mondi ana vibe sio poa

  • @godymaster8727
    @godymaster8727 Před rokem +4

    Mnatamani mondi ashuke kimziki mmevulia

  • @jeradymswima8312
    @jeradymswima8312 Před rokem +1

    Aaaaaaaa mondo noma sana

  • @presentmusic2543
    @presentmusic2543 Před rokem +2

    Hakuna kitu kinanifuraisha kama mapenzi na upendo wa dhati simba anaompea mboso.jamani tujifunze kupendana kama vile modi anavyotuonyesha kwa wasanii wake

  • @benjagindo6251
    @benjagindo6251 Před rokem +2

    Mond we ni mwishoooooooooo

  • @hassannakembetwa5079
    @hassannakembetwa5079 Před rokem +1

    Mbos kama mbos pamoj sana

  • @salmamkwawila6506
    @salmamkwawila6506 Před rokem

    Noma sanaa

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před rokem +1

    Asakeee wa Tandale katishaaaa balaaaaa

  • @jaydannychawaboy5418
    @jaydannychawaboy5418 Před rokem

    king khan 😍😍😍

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl Před rokem

    Mondiiiiiii nomaaa

  • @user-bh8ub3jr4j
    @user-bh8ub3jr4j Před rokem

    Building diamond

  • @user-ux3id5is4c
    @user-ux3id5is4c Před rokem

    Noma sanaaaa

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Před rokem +4

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽👍👍🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪

  • @user-zb1ln8lb2z
    @user-zb1ln8lb2z Před 11 měsíci +1

    eeeeeeeeh guy😅😅😅

  • @muyumbaadrien9265
    @muyumbaadrien9265 Před rokem +1

    Nime kubali

  • @PatrishaNgonyani-dw5oc

    Nawakubari

  • @neemamarwa672
    @neemamarwa672 Před 3 měsíci

    Huyu mondi ni hatari😢

  • @pasckokigelulye2167
    @pasckokigelulye2167 Před rokem +1

    Nskubalii simba

  • @boniphacefsto4208
    @boniphacefsto4208 Před rokem +1

    Mond fund kinoma

  • @dolvanmwagogo
    @dolvanmwagogo Před rokem

    Jux ma mondy kama pacha wawili wanaopendwa

  • @user-ux3id5is4c
    @user-ux3id5is4c Před rokem

    Maneno maneno Huwa haya kosi

  • @alikonge8864
    @alikonge8864 Před rokem

    Hayo niyo

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Před rokem +1

    Chibu la dangote hatar saaana

  • @mbanjenyambega2525
    @mbanjenyambega2525 Před 11 měsíci

    akunaga kam simbaaa

  • @FestoPaul-qp7hs
    @FestoPaul-qp7hs Před 2 měsíci

    D

  • @user-vm7bk3xr1z
    @user-vm7bk3xr1z Před 10 měsíci

    Uyu jamaa anajituma

  • @ElihadJohn-wl2jo
    @ElihadJohn-wl2jo Před rokem

    Auto

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Před rokem +8

    Sadala kimuziki amekwisha kama Mr Nice. Anabaki kwa kiki tu

    • @Saidkhel
      @Saidkhel Před rokem

      Unataka kufirwa eeh

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Před rokem +3

      Hahahahahaha maskini mnatabu unateseka ukiwa wapi choko wewe uyo ndio Platnumz Simbaaaaaa hakuna Kama mwamba uyu East Africa nzima

    • @florenceelikana3040
      @florenceelikana3040 Před rokem

      Anajifaliji huyo

    • @faidhabakari5616
      @faidhabakari5616 Před rokem

      Kuma mako sadala mama Ako na anko Ako wa kimbiji😂

  • @somanda8140
    @somanda8140 Před rokem +8

    Ninoma sana aise mond kama mond

  • @user-ux3id5is4c
    @user-ux3id5is4c Před rokem

    Maneno maneno Huwa haya kosi