Show Nzima ya Diamond Platnumz na Jux kwenye Tuzo za Trace Rwanda
Vložit
- čas přidán 20. 10. 2023
- Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
#marioo #diamond #alikiba #zuchu #mbosso #rayvanny #zai #kontawa #neywamitego #harmonize #afunguka #yanga #azam #simba #jinsiya #namnaya #baikoko #story #kajala #ireneuwoya #paula #wasafi #piewdew #wwe - Sport
Asante diamond platnums 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 kwakutujengea heshima nafurahi sana kuwa shhabiki wa WCB Simba aujawahi niangusha,,
Kwakweli siamini kama diamond platnums huyu ninaemjuwa Mimi amekuwa juu kiasi hiki jamani chukuwa mauwa Yako diamond platnums 🔥🔥🔥⭐⭐✨✨💥💐🌹🌺🌸🌿🍂🌾🌿☘️☘️🌱🌼
Wow!!❤ stage zao nzuri kama za ulaya
Huko hamna mafisadi hata ndege walinza kumiliki kabla yetu
Mshenziii amewanyooshaa nyoko zao chezea shibu dangote nini❤❤❤❤❤❤mond wetu twajivunia wewe
Salute to diamond platnumz this is so amazing
Best artist in Africa.. I say Africa because despite the fact that Simba is from a Swahili nation, he still competes with the best artists
🙏💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
He's the best
Hamonize kweendraaa na umakonde wako wa kikuma simba❤❤❤
Tanzania tunajivunia uwepo wako ,,diamond kwakweli nasema ,mungu akuongoze Zaid kazi zako wtz tunakupongeza Sana na popote inaunguruma,simbaaaa😅😅hongera kwa tuzo
Big performance
I'm Førm Ethîøpîà Díàmóñd Always kîñg Øff Kíñg 💪💪
Hatari sana
Yan amemalizia vizur😊😊😊😊
Rwanda 🇷🇼 wako juu kwenye mambo ya ukumbi na maandalizi kama Ulaya
Vraiment upendo
Kenya tanzania simba ❤❤❤❤
Ila Mond yupo juu bnaa alipoingia kwenye nyimbo ya Jux stage ilibadlika na ukumbi ukawaka moto ful shangweeeee
Simba kweli baba lao jamn apewe maua yake 🙏❤️🙏❤️👈❤️🙏
Like zangu😂
Uyo ndo simba la masimba dangote mpaka waseme baba 😂😂😂❤
❤❤❤jamaaa anajua mpaka anaboa
Jux anaenda kimataifaf
Nasisi tukipata Alena yetu itapendeza Sana Sema mama Bado ananunua magori akimaliza atatuwekea na sisi bajeti
I like the way the cameraman does it well 🎉
Simple marketing strategy.
Kuwa na mangers ambao watafanya research ya nyimbo zako zinazopendwa sehemu Ili ukipaform watu wawe na VIBE.
Hii itasaidia kukujenga kwa siku zijazo.
Huu ujumbe wangu ni kwa wasanii wachanga sio MONDI
Tanzania representing in the house
nabado mtasema mpakamseme badohamjasema nautashema simba fanyakaziyako😅
Umetisha kk
kaka mondi umetisha
East africa finest😍😍
🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Simba❤❤😂😢😅😅😅
2:53 ❤❤❤❤❤❤
Simba aaaaa
Amazing performance🫡🫡
❤❤❤❤ super
Huyu jamaa hanaga muda wa kupumzika....i sure yu anafanya kaz usiku na mchana, na mkono wenye bidii acha upate...
Duuuuu ❤❤❤
Umemheshimisha Jux
Nawaza huyu diamond asingekuepo Muzik wetu sijui ungekuwa wapi now maan wasanii wengi TZ hawajitumiii kabisa. Diamond umetuheshimisha sana
Simba
Simba ni simba na ndo baba lao
Je hao kweli ni washirikina
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊
Harmonize kwendaaaaaaa!
Pafomas good
D mmoja tuu tz
Baba lao
❤❤
Mwingine hajalewa mwingine yupo na chameleone halafu wanajiita wakubwa
Zambia tunakubali saana diamond,kazinzuli saana burundi mukowapi???😂😂😂
Big parfomce
🙏🙏🙏🙏❤❤❤
,🤪🤪🤪🤪🤔