RECAP: ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE COLLABO INAKUJA?? MAPUNGUFU POA YA NANDY NA MAUA SAMA, UPENDO TU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • Zábava

Komentáře • 19

  • @christiancuma6146
    @christiancuma6146 Před 6 dny +5

    Bro. Mbona hauja fanya Recap juu ya studio na vipindi za Crown media? Love from Congo

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx Před 6 dny

      Kwa nini asiemde yeye kwanza kimataifa mbwa huyu kwani yeye hafai kwenda huko kimataifa

    • @WendoJuma
      @WendoJuma Před 6 dny

      Kweli kabisa..jamaa mnafki sana

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 Před 6 dny

      Mi nishamsona hivi ushawai kuona anatoa mapungufu wimbo hata wa msanii mmoja wa wcb ? Hata aimbe hovyo

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 Před 6 dny +2

    Mapungufu yanakuaga kwenye nyimbo ambazo sio za WCB tu hahaha yan hata huna aibu et upendo wakati roho inakuima

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před 6 dny +1

      Huyu huwa ni chawa kindakindaki wa WCB

    • @SharafiPanjoro-mg9uw
      @SharafiPanjoro-mg9uw Před 6 dny +1

      umeona eeeh huyu jamaaaa mapungufu Anaona nyimbo nje na wcb tu huyu jamaaa sijui yukoje

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Před 6 dny +1

    Huku kila siku nilikutoa nilikutoa nilikutoa nilikutoa Haaaaaa

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před 3 dny

    Wasanii wetu kufanya collabo inawezekana ila shida huwa inakuja pale je, nani atakuwa mstari wa mbele kumfata mwenzie kuomba collabo? Tatzo liko hapo bwana Armando 🙄

  • @user-gz4qb9wz3d
    @user-gz4qb9wz3d Před 5 dny

    Nadhani unaota ndoto ya mchana sana ww hakuna kolabo apo

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Před 6 dny

    Hapo kwenye Alikiba na Diamond daaaahh hatari....

  • @IssaIssa-wc6nm
    @IssaIssa-wc6nm Před 6 dny

    Kulilia kolabo zakimkakati tu ... Kusapoti wasanii waendembele aaaah utaki

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 6 dny

    Wabongo atupendani

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 6 dny

    Nani kakudanganya King na Dainamoo ni jambo la kibiashara?

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 Před 6 dny

    Asante sana mchambuzi wetu umeongea vzr sana kweli wasanii wetu wawe wamoja

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 Před 6 dny

      Kwaza yeye mwenyewe hana upendo na wasanii hivi nikuulize umesshawai kuona anatoa mapungufu wimbo wa hata uwe wa kucoppy ila ni kutoka wcb?manguf ni kaz ni kwenyekaz Za wasanii ambao sio anaowapenda tu je yupo fea? Huyo mtu ni chawa tu hana lolote anakatisha tamaa wasanii

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo7617 Před 6 dny

    Acha ujinga fanya recap ya vipindi crownfm mana ww ulisemaga kiba hana uwezo wa kusimamia media....ebu tufanyie recap tuone

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 Před 6 dny +1

      Hawezi, ni wivu tu unamsumbua huyu mtangazaji.

    • @dicksontimotheo7617
      @dicksontimotheo7617 Před 6 dny

      @@furahachuma9039 alikiba kawasprize sana hawaamini wanachokiona asaivi naona watangazaji wengi wanatamani kwenda crown mana naskia wasafi pale wananyanyaswa sana na familia ya boss hawana uhuru