RECAP: RAYVANNY amewapita ALIKIBA, DIAMOND, HARMONIZE NUMBERS?? HAYA ndio MAFANIKIO yake ya KIMUZIKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • Zábava

Komentáře • 47

  • @King-bureslepro
    @King-bureslepro Před 25 dny +4

    Hujakosea kaka
    1.Diamond
    2.Rayvanny
    3.Harmonize
    4.Alikiba

  • @2BRAND_MUSIC
    @2BRAND_MUSIC Před 25 dny +6

    Kwamimi kaka naku unga mkono yaani wakisema tanzania wachukue wasaniii wawili watatoka ni Rayvanny na diamond wengine watabaki kwasababu mimi nafatilia shoo za wasanii kimataifa naona ni wawili tuuuuuuu tafadhali makofi kwaoooooo👏👏👏👏👏

  • @user-oe5ze5uq8m
    @user-oe5ze5uq8m Před 25 dny +2

    Weye el mando unaongeya point nzuri sana Wangu mungu akubariki sana

  • @user-vx3ud5pq2h
    @user-vx3ud5pq2h Před 25 dny +1

    Ukweli mtupu ❤❤❤

  • @HazardHbcomEmmanuelprodduseign

    Vraiment se réel merci beaucoup pour les informations nécessaires 🇨🇩

  • @FabriceKihanga-de7rp
    @FabriceKihanga-de7rp Před 25 dny +2

    Nakupendaka kwasababu unawachanaka sana

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Před 24 dny +1

    Umesema ukweli

  • @NtygaMuaney
    @NtygaMuaney Před 25 dny

    🙋‍♂️100%brow🇲🇿

  • @ray45king84
    @ray45king84 Před 25 dny +2

    Tusisahau Rayvanny ft Zuchu number one ina mil93

  • @Ommychui
    @Ommychui Před 25 dny +1

    Yo brooo I lived in Zimbabwe for more than 15 years wasani wa Tz tuliozea kuwa sikiya Zimbabwe 🇿🇼 I won't lie gyz it's only Simba and Chui...apa juzi juzi kidogo Zuchu na harmo after single again release....nje yamipaka ya Tz Simba na Chui are big trust me gyz...atakaye pinga anamatatizonyake binafsi

  • @mohamedtwalibu7685
    @mohamedtwalibu7685 Před 20 dny

    Ukwer kaka mm nakuunga mkono revyanny kawazid wasanii wengi sana hapa tanzania

  • @emanueldaniel1080
    @emanueldaniel1080 Před 22 dny

    umesahau number one 93m

  • @leonarddavid70
    @leonarddavid70 Před 25 dny

    🙌

  • @user-hm3qm2nf1v
    @user-hm3qm2nf1v Před 25 dny +2

    Wambie konde gang wanan'gang'ania msanii wao namba moja 😅😅😅😅😅

  • @PatricalVevo
    @PatricalVevo Před 25 dny +1

    Mbona kibyonge we mchane kisturi uyo

  • @josphatsimaye3813
    @josphatsimaye3813 Před 24 dny

    Tumutowe Alikiba tumuache harmonize , diamond,rayvanny

  • @BenjaminMardoche-dk8tn

    Unasema kweli kaka

  • @karaniomoit5259
    @karaniomoit5259 Před 25 dny

    Bosss sikwelewi kabisa kila siku unakosoa wasani

  • @ivannjoro9367
    @ivannjoro9367 Před 25 dny +1

    Huyu jamaa anachukia hamonize sana am from kenya bt huyu ana wivu sana n konde

    • @feronandsulubu6711
      @feronandsulubu6711 Před 24 dny

      Hata wewe unajua Rayvanny nimkubwa zaidi apa Kenya halafu ndo hana drama

  • @AlfroLyd
    @AlfroLyd Před 25 dny

    Hiyo show ya Congo nilikuwepo, yaani hata ma promoters hiyo show haiku promotiwa, ila Rayvanny alijaza Tu sababu ya ukubwa wake, ndomana kila mara hua nasema Kisha Diamond PLATINUMZ Kwa ukubwa anafata Rayvanny, Alikibi sijuwi kwanini bado ana tajwa kwenye A list ya Tanzania, numbers Hana, inje ya Africa mashariki hajulukani, he used to be big olden days but today he's maybe number between number 7 to 10

  • @Music4785
    @Music4785 Před 25 dny

    Unauwezo wakuchambuwa bro that's main point chui wanamchukulia poa

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 Před 25 dny

    Bro usicho elewa, kunakukubalika na system na kukubalika na kitaa, harmo nikama kendrik lamar, anakubalika mtaani, Ray nikama drake anakubalika na system, the system can be corrupted but kitaa is always real.

  • @hilarymayende
    @hilarymayende Před 25 dny

    Bongo5 don't force things the way you see
    Be professional na uache ushapiki learn things from sns

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm Před 21 dnem

    Kama umependa bc umeptriza

  • @Obnicenoble14
    @Obnicenoble14 Před 25 dny

    Wanaomshusha ni wanaofuatilia mziki wa ndani tu ndo maana utakuta wanamringanisha ata na kina marioo ambao hata hawana maajabu kimataifa so hatushangai ila watawapandisha ila jamaa atazidi kutembea tu .

  • @user-xr4dp1cs5b
    @user-xr4dp1cs5b Před 25 dny +1

    Konde boy yuko wappp kileeee nyingiiii nahata nje hajatoka saiii

  • @barekebavugemasudi3436

    Broo ukisema tetema ya bila simba haingefika pale na pia ukitaka kubichunguza ana ngoma gani ingine ? Na pia izo show anaalikwa afanye peke yake. Na pia gramy kama vany yupo basi na simba yupo sababu ngoma wameshirikiana. Na uyo rayvanny ana hit gani ingine😂 kama alivumba kwa iyo moja2

  • @josphatsimaye3813
    @josphatsimaye3813 Před 24 dny

    Chapili ,achaa kumukoseya eshima Harmonize mupe mahua yake🎉

  • @aliadremanengolilo6378

    Wewe harmonize unamchukia kwasababu kondeboy ni kipenz cha kitaa

  • @kasereka-vy3mw
    @kasereka-vy3mw Před 25 dny

    toa alikiba siyo hamo sasa nasisi toka uliza ninani aliye fanyikiwa kualika Raisi kwenye show 😂😂😂😂

  • @AkonJacquesAkonkwa
    @AkonJacquesAkonkwa Před 25 dny

    Una ongeya ila unatoka toka tena eti konde mwandishi bora tena mario tena mbosso sasa upo wapi. Acha uongo zuchu ata kuwa mkubwa nje nana ongozewa na lebo! Atoke awe pekeyake tuone. Na ray nyimbo yake akiwa na boss wake ingine yawapi kali kuliko

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 25 dny

    Pck anadai eti Ray alikuwa anaumwa na tumbo! We angalia tapeli ndio promota

  • @alimasndayikeza
    @alimasndayikeza Před 25 dny

    Wekaka acakuonge uonga hangalia vizuri mbere yakuongeya vitu abavyo habijui

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Před 24 dny

    Alikiba ndo atakiwi kuwepo kabsaa hapo

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr Před 25 dny +1

    Lei ckutukani kw7b ujamgusa alikiba kw ubaya

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před 25 dny +1

    Ww utakuja ni kichaa rayvanny kashafanya show wap au unaangaalia show za kualikwa

  • @michaeljuma7764
    @michaeljuma7764 Před 25 dny

    Bro huwezi shinda kumtukuza rayvanny Kwa kigezo kimoja kila siku, atoe wimbo mwingine ufanye maajabu, BET anayo ila makubwa gani amefanya zaidi???? Kwenye show za kualikwa unasema msanii mkubwa?? Si afadhali huyu anaefungua shows kubwa mchana. Rayvanny Hana mapya, ni Yale yale. Ukiongelea dili marekani, ukubwa wa dili tunaongelea thamani. Kwenye big three, diamond platnumz wa kwanza rayvanny wa pili alikiba wa tatu, full stop.

  • @InayotafutwaStation
    @InayotafutwaStation Před 24 dny

    Uki fatilia vizuri Rayvanny ndo Msanii wakwanza Tanzania akisha ana fatia Simba ila kwasababu Simba ndo Ali mtowa rayvanny yeye ndo Msanii wakwanza Tanzania wapili rayvanny

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před 25 dny +1

    Mzik mzur haupimwi na views za michongo za CZcams

  • @chrispinmkanda6097
    @chrispinmkanda6097 Před 25 dny

    Unafikili wavutaji wanaelewaga hawanaga fact ckuzote

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před 25 dny

    Kwaiyo wewe unataka kusema nini kuusu hao wasanii sisi tunasemaje number moja na number mbili zina wenyewe hao rayvanny na harmonize watafute number zao sio number moja wala sio number mbili

  • @abdulmalikali9063
    @abdulmalikali9063 Před 21 dnem

    Wimbo kubwa east Africa kwenye historia ya spotify ni MWAKI yake nzau ina zaidi ya 100m views spotify. Do your facts right Mr "I think I know it all" wewe unamchukia Sana harmonize and ndo maana unasema wimbo wa harmonize ulio na views wengi ni kwangwaru alafu ya pili ni single again ya 31m which is total lies Kuna nyimbo za harmonize zina views zaidi ya single again... Mpe siifa rayvany bila ya kumkandamiza harmonize...

  • @KakaKitis
    @KakaKitis Před 25 dny

    El mondo kaka ngoja niku tell something my brother I know sometimes you been talking nonsense sana eti rayvanny he have mama tete can you ask your small hakili who the are ft with don’t start talking because you don’t think eti na wewe your talk 😅😅😅😅

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před 25 dny

    Ww ni mwehu inabid ukapimwe fala ww