HOUSE GIRL EP 35 || love story💞💕

Sdílet
Vložit

Komentáře • 1,6K

  • @FridaTarimo
    @FridaTarimo Před 20 dny +367

    Wanao sema candy ameingia Cha kiume munipe like zangu😂❤

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před 20 dny +334

    Kama unamkubali bib zuuh Ngonga like nyingi kwa bb zuuh kwa mpigania mjuu wake apone,,,,,,❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq Před 20 dny +29

    Watu wa zuu mko wapi nipeni like zangu

  • @khadijastambuli4540
    @khadijastambuli4540 Před 20 dny +17

    Kai kapona candy atakoma jamn nipen like zanu Toka naanza kuifatiliya sijawahi kukoment

  • @AffectionateDinosaur-pn6pw
    @AffectionateDinosaur-pn6pw Před 20 dny +92

    wangap mmefurah zuu na Kai kupona dondosha like za kutosha

  • @maryamt594
    @maryamt594 Před 20 dny +30

    Leo nitalala vizul kuona kai ikosawa kwagupata hakiri mitangu nianze kuyifatiria sijapata like hata moja munipeye basi❤❤❤

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel Před 20 dny +26

    Jamani kwenyee hizi ndoa tuwe waaaminifuuu kwakweli natumtegeemee mungu napia wewe mwenye mdadaa wa kazi mpende Kama mwanao ukimnyanyapaa kumbuka unawatoto unamuachia nyumbni je yeye ata wafanya nini 🙏🙏🙏🙏 kumladh kwasababu Kila kitu duniani kinategemeana. Nipe nikupe 💕💕💕💕

  • @besuramahenge6032
    @besuramahenge6032 Před 20 dny +16

    Nimefungia nimekuwa wa mwisho like hata moja tu

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 Před 20 dny +515

    Tunae omba iwe inaachiliwa vipande viwili kwa siku like apa

  • @Scolayusuph558
    @Scolayusuph558 Před 20 dny +69

    Jaman mtuongezee dakika ata 30 mnao taka tyuongezewe dakika tyujuane kwa like ❤

  • @LinaLina-uu5pw
    @LinaLina-uu5pw Před 20 dny +35

    Team zuu gonga likes hapa tukingojea kutetwa kwa cendy na bibi zuu

  • @user-zm8wo1ue7e
    @user-zm8wo1ue7e Před 20 dny +10

    Jamn movie imeshutiwa kwamwalabu hadi nawaona majiran zang had job kwang napaona❤❤❤❤❤

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 Před 20 dny +74

    Wa 6 😢😢kazi ya bibi iendelee 😅nipeni basi like hata 3

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s Před 20 dny +150

    Team Gen_z gonga like tukisonga..alafu kama unapenda vile shosh ameanza kuteza kendy gather here🎉😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Johar903
      @Johar903 Před 20 dny +2

      ❤❤❤❤safi sana Mungu kajibu 36 inatoka lini

    • @user-wv4xs2tn4m
      @user-wv4xs2tn4m Před 20 dny +2

      naona sasa move imeanza kunoga jamani apo patamu

    • @user-ys3wz1sf7s
      @user-ys3wz1sf7s Před 20 dny +1

      Leo nnafuraa kweli kuina mambo yamekua sawa

    • @user-ob8lz4eg2k
      @user-ob8lz4eg2k Před 20 dny +1

      Asnte mungu

    • @user-tj9gk6rr8w
      @user-tj9gk6rr8w Před 20 dny +1

      😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤝🤝🤝

  • @SophieAbel-vu6hv
    @SophieAbel-vu6hv Před 20 dny +13

    Nilikuwa mnyonge kumuona kai anavyoendesha na kandri sasa nimekuwa na fraha kumuona kai anajitambua anachofanya👏👏

  • @Edoublej4_tz
    @Edoublej4_tz Před 20 dny +6

    Sania na mwenzako mliokuwepo maeneo ya mlimani me shabiki yenu nawaita mnajikuta mmesha jipata.., 👍

  • @OliverLeonard-dp8kz
    @OliverLeonard-dp8kz Před 20 dny +35

    Jamn Kila nikiingia hum ndan naona wanaomba like na me naomba leo na me hata moja

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před 20 dny +69

    Tunaomin zuuh anakwenda kupona soon karibun tujuane kwa like zakutisha,,,,😂😂😂😂❤❤❤

  • @HadijaHamisi-yt3pn
    @HadijaHamisi-yt3pn Před 20 dny +2

    Mwalala you tube Kwan watu jman daah Aya nipeni like hata 2 jman❤❤❤❤

  • @JulianaEmanuel-jn3yo
    @JulianaEmanuel-jn3yo Před 20 dny +6

    Wow ndy tulikuwa tunapatak hpa patamu team oyee🥰

  • @user-ck7gb7rf2b
    @user-ck7gb7rf2b Před 20 dny +68

    Mashallah hii filamu yapendwa dakika Tano Iko n koment mia uwii ila yote tiss nipen like plz team zibala🤣😊

  • @JacklineMazonge
    @JacklineMazonge Před 20 dny +32

    Waungwana tumuombee zuuh wetu 🎉like kwa zuuh wake

    • @user-xo7ns7bc8c
      @user-xo7ns7bc8c Před 20 dny

      Yaani nmefurahi kumuona Kai karudi kuwa sawa Candy kwisha ww

  • @QudrahFelix-qf9my
    @QudrahFelix-qf9my Před 20 dny +5

    Saizi kunanoga ila plz mungekua munaweka hata mb ili❤❤❤

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před 20 dny +5

    sahii candy atapatikana kwel aibu inamfata .🎉🎉munipee like bx

  • @Saada-ze1kl
    @Saada-ze1kl Před 20 dny +27

    Kwa mpigo nshafika hapa❤ Bibi weldone. Atleast Kuna nuru sasa

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Před 20 dny +72

    Huyo ni zuu kama hatakua zuu mninyime like ikirushwa hewani part 36 sawa ila huyo zuu ndie kakamata mkono wa kai ❤❤❤❤❤❤saii wale wafuasi wa candy wanatamani kulia au vip ❤❤❤❤❤

  • @LovenessNgonela
    @LovenessNgonela Před 20 dny +4

    Wanaoanini kai ndie atakae Fanya zuu apone like tafadhali ❤❤

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Před 20 dny +4

    Waaaah huu ni moto kweli nani amerudi raudi 2 kama Mimi,hongereni nyote kwa kazi nzuri,am from 🇰🇪🥰 kenya 🇰🇪🇰🇪❤❤❤

  • @PriscillahOchalu
    @PriscillahOchalu Před 20 dny +12

    𝑀𝑖𝑚𝑖 𝑙𝑒𝑜 𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑎𝑜𝑚𝑏𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑛𝑖𝑛𝑦𝑖𝑚𝑒 𝑙𝑖𝑘𝑒𝑠

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd Před 20 dny +24

    Wenye tunaminii zuu atapona na kai gonga like hapa,alafu watuekee vipande viwili kwa siku please ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @zulekha-jv9rn
    @zulekha-jv9rn Před 20 dny +2

    Jamani Leo Niko nafuraha Kai kapona waaaah🎉🎉🎉😂❤❤big up inanonga sana

  • @user-ks9ui8td7y
    @user-ks9ui8td7y Před 20 dny +3

    Waa nimefurahi San kwasabab zuu amepatikana na Kai amelundi kwenye hali yake

  • @GraceJulius-kv3rz
    @GraceJulius-kv3rz Před 20 dny +36

    Leo nimewahi naomba like 10 tuu

  • @kalamapendo2701
    @kalamapendo2701 Před 20 dny +20

    Leo patamu hapa 😂😂😂😂💃💃💃 baada yakuomboleza our fall gen z tunafuta machozi na house girl ❤

  • @VgmukomboziOficiel
    @VgmukomboziOficiel Před 20 dny +4

    CANDY amepata homa kinamwanzo kinamwisho team zuuuu muko apa tuna tobowa Kai kapona nilingojeya sana

  • @heliethilomo6553
    @heliethilomo6553 Před 20 dny +3

    Hakuna chanel inayonipa rahaa kama busati tv,,stress zotee kwishaaaaa 🤣🤣

  • @NduwimanaRehema-qi4hc
    @NduwimanaRehema-qi4hc Před 20 dny +15

    Nawapenda sana❤🇧🇮🇴🇲

  • @haythammohd5599
    @haythammohd5599 Před 20 dny +17

    Amkeeni jamaniii busati washafanya mambo hukuuuu

  • @ChristianRugenge-kd1xh
    @ChristianRugenge-kd1xh Před 20 dny +12

    Busati Tv ina tuburudisha kabisa na tena ata niwe na stress muki posty iyi movie Na stress yote inafika na Isha like apa kama una mpenda kayi ❤❤❤

  • @user-gs3hx3kd3r
    @user-gs3hx3kd3r Před 20 dny

    Yaaan hapo batamu xaxa twende naloo wana family ❤❤🎉🎉oyeee oyeee hongera ziende kwa bib zuuh umeupiga mwigi 🥰🥰💗 bora kai kapona Alhamdulillah Allah awazindixhie kipaji inshaAllah 🤲

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v Před 20 dny +17

    Timu zuuu oyeee

  • @user-qv7dm4ok6g
    @user-qv7dm4ok6g Před 20 dny +14

    Tupo ama tuko buys muniachi likes wapenzi tujuwane

    • @GRACEGWEMERA
      @GRACEGWEMERA Před 20 dny

      Nimeipenda sana iyoooo ❤❤❤

    • @GRACEGWEMERA
      @GRACEGWEMERA Před 20 dny

      Jamani tupo pamoja sana aiseeeeh 😊😊😊❤

  • @user-ie8cu9vm6p
    @user-ie8cu9vm6p Před 20 dny +1

    Kaz nzuri sana yan hamna shoo mbovu mungu awazidishie❤❤❤❤❤❤

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc Před 20 dny +1

    Wapi likes za bibi zuu jaman 🎉🎉❤❤

  • @ZainabuAlly-lm1lg
    @ZainabuAlly-lm1lg Před 20 dny +28

    Wakwanza leo naomben laik zang

  • @user-xz8vo2yh1j
    @user-xz8vo2yh1j Před 20 dny +11

    Mko fasta sana hongereni

  • @lydiahnyongesa69
    @lydiahnyongesa69 Před 20 dny +2

    Tuliofurahi kai kurejesha fahamu 😅😅👍

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj Před 20 dny +3

    Hatimaye zuu kapatikana like kwa bi zuu kapambana kwa ajili ya kai na mjukuu wake

  • @user-tq7gp3ue7g
    @user-tq7gp3ue7g Před 20 dny +21

    Mbio karibu nianguke aya mkuje vizur msinikanyage😂😂😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 20 dny +19

    Kai anabadilikaga kama shetan,

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 Před 20 dny +1

    Jamani yaani furaha nilionayo acha Allah awe shahidi wa hilo zuu kaingia mikoni mwa bb kai nae kazinduka nyinyi kina masozi endeeni kupanga mipango feck ila nime cheka BB 😂😂😂eti kanda au kande😂😂😂😂 Busati tv kila ninapo angalia tanfilia hii hujikuta nafuraha sana mbarikiwe hadi mshangae❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c Před 20 dny +1

    😂😂😂😂 leo nacheka coz kaka kai amerudi sawa na zuu atapona kilicho baki ni candy bomu litamlipukia mwenyewe wp like za bibi jaman mwenye anamkubali bibi like hapa plz 🙏🏼 ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ornellaniyongabire4487
    @ornellaniyongabire4487 Před 20 dny +51

    Muko wp sasa njo munip like zangu😂😂❤

  • @MamoDhaMacho
    @MamoDhaMacho Před 20 dny +21

    Nipen like zangu nimekuwa wa kwanza leo

  • @joleemvungi
    @joleemvungi Před 20 dny

    Waoooo mchezo mtamu sana i .hongera zenu 🎉🎉🎉

  • @TrinityMyula
    @TrinityMyula Před 20 dny +1

    Jamn nomben na mimi na like kila nikiingia nakut watu wanaomb like

  • @ZaneGideon-sp2pj
    @ZaneGideon-sp2pj Před 20 dny +5

    Eeeeeeh Ila Candy 😂😂😂😂😂😂🙌 aaaah kiboko 😂😂😂😂😂

  • @momkhan-hc7zh
    @momkhan-hc7zh Před 20 dny +13

    tupo hapa

  • @NaterciaSilvestreNachomb-pc6ic

    Napenda sana house girl naomba like mimi nipo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Před 20 dny +1

    Lovely All The Team . Nimechelewa Lakn Nimefika Niko Ndani. Arusi Tunayo Au Hatuna Kai Tuambie

  • @GeoffreyNyachae-gj1eg
    @GeoffreyNyachae-gj1eg Před 20 dny +10

    kazi nzuri tuko hadi mwisho .

  • @RatifaSekamba
    @RatifaSekamba Před 20 dny +23

    Naombeni likes zangu wakwanza leo

  • @YusraAbdallah-h6j
    @YusraAbdallah-h6j Před 20 dny +1

    hapa Sasa movie ndo inaenda kuwa tamu ndo movie inaanza team Kai gonga like hapa❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ub9py1np4o
    @user-ub9py1np4o Před 20 dny +1

    Mbn tamu jamn msikawie bs episode 36❤❤❤❤

  • @user-xh5mr8pj5g
    @user-xh5mr8pj5g Před 20 dny +28

    Naombeni like zenu TM zuu jaman

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 Před 20 dny +13

    Kai amepona sasa movie ichangamke😊

  • @dinah9303
    @dinah9303 Před 20 dny +2

    Yaah nikama mm ndio nilirokwa sinaka amani sasa sai nko n amani wee Asante mungu 🙏🙏🙏❤❤

  • @catherinemnyani78
    @catherinemnyani78 Před 20 dny +2

    Nyie cjawai kukoment ila Leo daah ni moto 🎉🎉🎉 umewaka shel candy kula chuma icho 36 ischelewee

  • @MupaMumbo-fi4gu
    @MupaMumbo-fi4gu Před 20 dny +20

    Namna hio BB zuuh

  • @jumannerajabu5288
    @jumannerajabu5288 Před 20 dny +15

    Kaz nzur

  • @user-mq3zd9vk2p
    @user-mq3zd9vk2p Před 20 dny

    Leo nmewahi jmn naomba like. Team bibi zuu tujuane plz

  • @sabrahnibuka1211
    @sabrahnibuka1211 Před 20 dny

    Alhamdulillah Kai amerudi ktk ufahamu wake❤

  • @FaidhaMassoud
    @FaidhaMassoud Před 20 dny +9

    Wa first

  • @AsNew-w6i
    @AsNew-w6i Před 20 dny +15

    Naomba like zangu jmni😅

    • @John-pv1xr
      @John-pv1xr Před 20 dny

      Nenda zanzibari watakupa zipi za kutosha

  • @user-mp3si5de2i
    @user-mp3si5de2i Před 20 dny +1

    Wap team khai🎉🎉🎉

  • @user-my1vi6wv9h
    @user-my1vi6wv9h Před 20 dny +1

    Ila candy mkavu kwelii daaah😂😂😂😂 kama si wew

  • @user-wk1zu4hl2x
    @user-wk1zu4hl2x Před 20 dny +8

    Duuh iki kipande kimenikosha kinyama congrats to BUSATI TV

  • @user-mc6hr2od2z
    @user-mc6hr2od2z Před 20 dny +8

    Number one from Kenya!

  • @user-yi6xp4my6w
    @user-yi6xp4my6w Před 20 dny +2

    wuuuwi nimejifunza uongo hahudumi na cha uchawi huponywa na uchawi na cha maombi na maombi kazi nzuri sana hongera

  • @JenifaAnthony
    @JenifaAnthony Před 20 dny +55

    Jaman naombe hata like moja wapendwa ,sijawahi hata kupona jaman

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 Před 20 dny +8

    Hongera kwako shoshi zuuu,penda wewe saana,candy must gooooooh

    • @glorykadzo
      @glorykadzo Před 20 dny

      😂😂😂amekua ruto

    • @sifamaureen2792
      @sifamaureen2792 Před 20 dny

      @@glorykadzo AK nimependa hii ,shoshi zuu amecheza kama genz Wa Kenya candy must gooooooh rever and forever 🤣🤣🤣🤣

  • @JantyMoh-oo6gf
    @JantyMoh-oo6gf Před 20 dny +1

    Mashallah🙏🙏🙏😂😂

  • @tinahminja2452
    @tinahminja2452 Před 20 dny +1

    Candy kishakuramba polee😂😂

  • @MaliaRoman
    @MaliaRoman Před 20 dny +5

    Jamanii nyie nawapenda Bure mnawahisha vipande❤🎉🎉🎉

  • @BukuluFelix
    @BukuluFelix Před 20 dny +9

    Kai baba umefunguliwa ooh. Asnte MUNGU

  • @user-lu1xx3wp5j
    @user-lu1xx3wp5j Před 20 dny +1

    Daah, mnanifurahisha sana mjitaidi basi kwa siku mtutoleee angalao mbili,

    • @busatitv
      @busatitv  Před 20 dny

      Kwani tokea jana tunatoa ngapi Mpenzi?

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 Před 20 dny +6

    Safi sana kai dawa zimetoka 😂😂😂😂

  • @user-tb8hz9hn8f
    @user-tb8hz9hn8f Před 20 dny +16

    Tamu saiv MN nilivyulugwa

  • @zaharahamadi3784
    @zaharahamadi3784 Před 20 dny +1

    Leo acha niwape ma love love mmenifurahisha sana kazi zuri sana mbarikiwe❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @LydiaCostantine
    @LydiaCostantine Před 20 dny

    Nna furaha sana yaan mpka apa harusi tunayo❤️🔥💋💕💞😍🥰😘 Mrs Kai Zuri💯

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx Před 20 dny +19

    Jamani mim ndio wakwanza leo like bas jamani

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge Před 20 dny +8

    Nipo hapa❤ Team Zuu twende nalo jamani

  • @HawaChake
    @HawaChake Před 20 dny +1

    Inaerimisha kiukweri nawapenda wote mmebeba uwalicya ww kweri kongore watanzania wenzangu mpo vizuri

  • @salosalo-w8i
    @salosalo-w8i Před 20 dny

    good work ❤❤❤nawapenda Sana naomba like Ni mm kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SaadaHaroun
    @SaadaHaroun Před 20 dny +15

    Watu hata hamjaangalia mnaomba like t mxieeeew

    • @HappyJohn-zw5lu
      @HappyJohn-zw5lu Před 20 dny +1

      Wananikera xana badala waangalie had mwisho watoe maoni wako kuomba like

    • @AnnaKinyana
      @AnnaKinyana Před 20 dny +1

      ​@@HappyJohn-zw5lumi ndo wananiuzi Sana

  • @user-uk1oc7xb4r
    @user-uk1oc7xb4r Před 20 dny +8

    Like kwa kai❤❤ waoooo uchawi umesha toka

  • @ElizabettEmanuel
    @ElizabettEmanuel Před 20 dny +18

    Niwambie kitu msiwe mnacomment mpaka mwisho maan mnaomba like tuuu alafu mwisho amsemi mmejifunza Nini ili upate like nyingi toa maoni yako uoone. Kama hamtapata like kwasababu Kila Mtu ananamna anajifunza kupitia wewe

  • @nadzuwazidi
    @nadzuwazidi Před 20 dny

    Video imefika patanu wanaoamini candy kishamuramba gonga like 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @AmmieMohd
    @AmmieMohd Před 20 dny +5

    Mambo ni 🔥🔥 aya naombe like hata moja leo jomony😢😊

  • @user-uk1oc7xb4r
    @user-uk1oc7xb4r Před 20 dny +6

    Leona mimi nimekua wa kwanza naomben like❤