Pa kujifunza hapa licha kufurahisha " Mwanamke mpumbafu uvunja ndoa yake kwa mikono yake" kikubwa usifanye maamuz ukiwa na jazba au hasira tulia fanya uchunguz ndipo ufanye maamuz kwenye jambo lolote maana hasira ni hasara Thank Joti na Team yako kutukumbusha haya sema zile ndosi 😁😁😁
Kichaa wangu!! mchizi wangu !!! Swaiba wng,!! Mnyamwez wng!! Unaenipa furaha katka maisha yangu hata kama maisha yawe magumu kias gani" nikikuangalia tu nasahau shida zooote nabak nafuraha tuu¡¡ Love you broo
Wale wanaokubali kazi anayo ifanya joti wanipe like tafadhali🙏🙏🙏
Wote mnasema wa kwanza haya mm wa mwisho naomben like zenu jaman
The first comedian that I really like in Tanzania is Joti!! He is talented!!
Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮
Tena mashoga wanatuponzaga 🤣🤣🤣🤣like zenu jamani jotti bhana 🤣🤣🤣🤣
😄😄😄
Jamani mashoga tuwe nao Makini
Sema jotiii ni living legend trust me🇵🇹🇵🇹🇵🇹
Yes
Good creative love this from South africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Wale ambao atuwezi kuangalia bila kusoma comment tujuane hapaaa👍
Tupo wengi
Kama Mimi😂😂🙌🙌
Yaani😂😂
Tupooo
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mashoga washenzi kweli wakiyavuruga hao Wanapotea ety shoga utanipigia hatariiiii Sana Bro Jotiii nakubali 🙌🏼🔥🔥🔥
Jot never dessapoint mashabiki zake . From South Africa 😙 we love you our beloved Tanzanian n kenya big up . Like 👏👍
Nilikuwa macho nasubiria comedy wangu 😂😂
wa kwanza mimi hapa like zenu kwa wingi kama unamkubali joti
Hahah huyu tyson au mandonga hat like 5
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Asante kiboga love from Rwanda 🇷🇼
kumbe turibenshi
@@sifayvonne140 cyane😂
Mbona shoga utanipigia 🤣🤣🤣😂😂. Kitombangile kitwango mzee wa mikazo
Tyson au Mandonga🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
🤣🤣🤣🤣 akili za kuambiwa changanya na zako unaona umekosa ndoa kwa ajili ya rafiki
Watching from kenya🔥
Pambaneni na maisha yenu magumu huko
@@fahimahussein6795 hahahaha
I love your video watching from Kenya 🇰🇪
Bila kisoma coment nitachekaje
😂😂❤️
Tujuane kama tumemuona mama na love bite 😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
imenibidi ni rejee tena kuangalia nione
😂
umenifanya niiangalie Mara mbili hii video kuitafuta love bite
@@graciedadry9794 😂😂
@@da45king umeiona
Jaman like zang na mie leo😂😂😂
Live from Birchenought bridge zimbabwe ( pamoja sana KAZI nzuri)
Mi nawapongeza wote mmecheza vizuri mmetoa elimu kamili kwa jamii ongeleni sana ❤️🤝
From 🇰🇪🇰🇪you'd comedy is something..keep up!......😂😂😂😂😂
Iv joti mamaako yupo hai au Mungu alishampenda zaidi maana iv vituko natamani awe anakuona we kiboko hakhiamungu sema nn❤️💯💪
Hako kamzikii nywii nywiii nywiiii kananiacha hoiiii 😄 😄 🤣
Ila JOTI ni shida akili zako unazijuwa mwenyewe 🤣🤣🤣😂
Joti komesha🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimecheka wallah na nguo alovaa joti😂😂😂
uliza Kwanza. Unavamia na kuanza kupiga mtu haumjui. Shogaaaaaaa kaaga mapemaaaaaa kaenda kusimulia mbele ya safari.
Joti hii inafaa kuwa episode 1 nasubir another ep much lov from+254
Ya leo sio nzuri kabisa kwa mara ya kwanza jot hajanifurahisha
Nguvu moja twende sawa 💪😂😂😂
Huyu Tyson ama mandonga 🤣🤣🤣🤣 Leo nipewe like pia mm kheeeee jamani
Mapema sanaaa Leo SAA 12 kitu kipo hewani Joti agombee ubunge weeeuweeeee
hv huyo shoga ake dawa zake za vichaa anameza kweli maana yasingetokea haya km angemeza😁😁😁
🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti alivyoshuka kwenye pikipiki anavyozunguka!😂😂
We acha tu nmechek mpk
Pole mama umekutana na ngumi hatari iliyotoka qatar 🇶🇦 iitwayo SUGUNYO
Funny but hivi ndivyo wanawake hudanganyana marafiki wengine si wakusikiliza, wambea sana!🤣😅
😆😂😂😂😂nimecheka kisenge 😂😆😆😆
Nakubali sana jotiii!!!!,😂🤣
Brother upo vizuri sana maana unajua sana tu
Tyson 😂😂😂😂this one should have a continuation
😀😀😀😀
Gonga like tulioamka kwa ajili ya joti😅😜
Joti unatuumiza kwa kucheka. Wee mtoto mwisho wa matatizo
Legend 🔥 🔥 🔥
Napendaga akiigiza hivi 😂😂😂
Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸😛
Duuuh hatar jaman maana watu mnawah balaa
Madam Doremila ka 4.9GB 😄 🤣
Joti 🔥 😍
Huyo shetan wako nimempenda joti🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Nishai nimeipenda hii inafundisho kwenye ndoa, wambeya, wanafiki,
Assistindo apatir de moçambique 🇲🇿 força
Kikiki
Joti nkiangalia comedy zk lazima nicheke ata km nmekacrika najikuta nacheka bila kutarajia mashallah umebarkiw kipaji
Pa kujifunza hapa licha kufurahisha " Mwanamke mpumbafu uvunja ndoa yake kwa mikono yake" kikubwa usifanye maamuz ukiwa na jazba au hasira tulia fanya uchunguz ndipo ufanye maamuz kwenye jambo lolote maana hasira ni hasara
Thank Joti na Team yako kutukumbusha haya sema zile ndosi 😁😁😁
Kibogaaa😂😂😂
Mama Mkwe kachezea SUGUNYO hatari
🤣🤣🤣
Nadjiuliza sana ivi Joti akiwa nyumbani kwake anadjikamatadje anaweza akashitukiya amedjifanya kama mke wake kwa kweli
Yaani joti nampenda sana aiseee😃😃😃😃
Kiboga katulia tuu mwenyewe saloon
🤣🤣, Samia naona umekubughu kwa kuyavuruga ya aliokwishakujivuruga, then unamuacha atange nalo mwenyewe. Kiboga huishwi vituko. Lesson learnt. Big up.
Kukurupuka huko wadada jifunzeni
Iko tu sawa... People should verify info before spreading...
Asante kwa kunipa furaha joti nakupenda buree
Nimekua mtu wamiamoja nanne kukomenti 😃😃kweli watu wapomakini
Jmn huyu kaka nampenda bure kbs anajua kufulaisha
Nimeirudia mara 10🤣🤣🤣🤣🤣komed ni mmoja tu tz🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😂😂😂😂mjifuze saa nyingine marafiki pia usiwasikilize sana ona sasa🤣🤣🤣🤣🤪🤪🤪🤪
Very interesting,I like your comedy from kenya
Kichaa wangu!! mchizi wangu !!! Swaiba wng,!! Mnyamwez wng!! Unaenipa furaha katka maisha yangu hata kama maisha yawe magumu kias gani" nikikuangalia tu nasahau shida zooote nabak nafuraha tuu¡¡ Love you broo
Mwanagu huyu Taison au Mandonga 😂😂😂😂Kiboga ajibu alikuwa kashakuwa John Cena Kabisa🤣🤣😂😂😂
Joti unajua sana nakupendaga sana😂😂😂
Me pia ns
Sema mama mkwe ana binge la lovebit la ukweli shingon🙈🙈🙈
WAle ambao wanaa amini kwamba joti ni king comed
vitu kama hizi zina fanyikaga kweli,lesson to learm
Big up bro unajua sana jot keep it up go on bro
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂shoga umemkosesha mwenzio ndoa kujifanya mandonga mtu kazi hadi kwa mama mkwe😂😂ukimuoa huyo mwanamke niite mbwa
Ukiwa Ivo move inakuwa tamu sana
Atiiii ukimuoa huyo mwanamke niite mbwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Joti pamoja sana haswa uki act kama ivi
🤣🤣🤣am done with this Joti
leoo nimewahii wa 3 like zenuu kwa wingiii
Acha ushamba ivi upewe like kwa na walio igiza apewe Nini?
@@joycegeorge4712 0p
0
Ahaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka mpk nimelia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila joti umeniuwa yaani ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Huyu mpambe mwenye track suit ya light blue Ana bonge la papa boxer inaloa hapa 😅😅😅😂😂😂
Joti unatengeneza maigizo mazuri,sana tuu.🎥🍻💥🍾💫🪄🪁
Nichambe kooo
Mama mkwe wangu mmbwa jamani
😂😃😃🤣🤣😅😄😆😅
Jot very good,mashoga ni ovyo kabisa
🤣🤣🤣🤣 harakaharaka haina baraka! Kukurupuka nako inahuuuuu
Tyson au mandonga
WE JOTI UJUE MBAVU ZANGU ZNAUMA HAPA 🤣🤣🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🙌🙌
Much love brother jot
Duuh 😮😮😮😮😮hii kwenye real life ipo sana
🤣🤣🤣🤣Ati jonh sina😂😂😂😂🤣u kil it♨️🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Sema joti msenge sna 😂😂😂😂😂
Kiboga nomaaa sana
Nshakuwa john Cena kabisa daaaaah nigfa yah crazy 😂😂😂😂
Nakupenda buleee
Huy naon mandog maan si kwa sugunyo hizo ulizopigwa mkwe
Najiita mpaka me mwenyewe 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😝😝
Hahahahahaha napendaga kumuangalia joti
Mungu wangu hili jambo ni ngumu jamani ha! Kampiga mama mkwe
Saf Sana jot liwefunzo kwetu ss