MGANGA MMBEA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 523

  • @prenciaiqram9382
    @prenciaiqram9382 Před rokem +220

    Nimejikuta nimecheka kwasauti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙈 wapenzi wa joti nipeni like jamaniiiiiii from 🇧🇮

  • @magaritanzania6540
    @magaritanzania6540 Před rokem +182

    Kwa wale mashabiki wa joti naombeni like 10 tu jaman😭😭😭

  • @marianakamb-fg7sk
    @marianakamb-fg7sk Před rokem +5

    Lazma mwaka huu tu buni mbwinu😂😂😂 kelele moja kwa joti ake nyieee😂😂😂

  • @mbeyaforex9374
    @mbeyaforex9374 Před rokem +64

    Kama unamkubal jot kuwa ndo best comedian gonga like

  • @saidharith5643
    @saidharith5643 Před rokem +37

    kutoka Kenya watu wangu tunaomkubali kiboga nigotee like

  • @janujuma9704
    @janujuma9704 Před rokem +20

    Leo nimecheka jmn ebu gonga like hapa kama umeenjoy 😅😅

  • @imranakber2212
    @imranakber2212 Před rokem +40

    I like joti when he acts like kiboga,eti mi Siyo kiboga mi bi aisha.joti is the best comedian .

  • @modyabdalla769
    @modyabdalla769 Před rokem +393

    Kama unamkubali sna joti naomba like yako apaa zifike hata 20.

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před rokem +32

    🤣🤣🤣🤣Baaada ya king 👑 Majuto R.I.P Joti you are the best 🙏🏼🤗🥰

  • @amneabbas6007
    @amneabbas6007 Před rokem +8

    joti katika wasanii wako hawa wapya huyu mama na huyu mganga wanachekesha sana sana jamani hujakosea wanafit sehem zao

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem +22

    Jot tuachilie mbali nguo za kike zinapendeza sana jaman.👍👍👍❤❤❤❤❤❤👍👍👍halafu comend wa kimataifa sana.

  • @adilpro3172
    @adilpro3172 Před rokem +4

    Mguu umekomaa unamanyoya utafkiri kazaliwa kwenye ukoo wa nyani😂😂😂, mguu umekoma kama nondo akikupiga lazma wende moyi aaaahh mama umetisha😂😂😂

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před rokem +11

    Ijumaa ya leo iko vizuri kabisa. Mganga mbea kweli 🤣🤣🤣🤣🤣. Big up jot nimecheka kifala sana 😅😅😅😆😆😆😆.

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Před rokem +24

    Miss you dada kiboga.Ila leo umeumbuka shost 🤣🤣

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Před rokem +30

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mganga kanifurahisha Sana ety friji langu haligandishi anatoa Siri za mteja. Kiboga jamani ety siitwi Kiboga naitwa bi Aisha. Nakubali Sana Bro 😂😂😂😂😂😂🙌🏼

    • @olicej7837
      @olicej7837 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Před rokem +37

    Joti I really like your work!!
    Love from Burundi 🇧🇮!!

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před rokem +51

    Joti never disappoint 🤣🤣🤣

  • @captainjoseph8131
    @captainjoseph8131 Před rokem +15

    "Nishai ntombangile kitwangu" much respect bro!

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard6050 Před rokem +6

    Kama umeona leo mganga ndo MAN OF THE MATCH nipe likes

  • @kingyehoshafatitvbornerys2496

    Hivi like wanapataje wenzangu jamani hebu nifundishen mi mgeni

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před rokem +16

    Fridge langu haligandishi 😂😂 much love from 🇶🇦🇶🇦

  • @bamumarc7012
    @bamumarc7012 Před rokem +58

    Tu resteras le meilleur, le meilleur, le meilleur de la comédie Tanzanienne .❤️. Nous te qualifions parce que tu le mérites vraiment. J'aime trop tes comédie frère 😅. C'est depuis RDC🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩. Dans sa ville de Lubumbashi. Batoto ya Katanga

    • @ambokilemussa3518
      @ambokilemussa3518 Před rokem

      Naomba uniadd urafikivfb unifundishe kilingala merc boucop karibu Tanzania

    • @bamumarc7012
      @bamumarc7012 Před rokem

      @@ambokilemussa3518 namiye napenda rafiki yangu. Unipatiye numéro Yako ya watsap pour que tutafutane na tusumburiye vizuri. Lingala eza langue moko ya kitoko. Utajuwa kusumburiya tu bien

    • @graderhassanmk9364
      @graderhassanmk9364 Před rokem +1

      tulia hacha kiherehere chako na vifaransa hapa kenge wewe

    • @bamumarc7012
      @bamumarc7012 Před rokem

      @@graderhassanmk9364 tu vois combien de fois les Tanzaniens vous n'êtes pas sérieux vous 🙄. Le faite qu'on parle bien vous voulez nous monter sur les naire. Tu n'es pas sérieux monsieur.

    • @miriammarlwa7816
      @miriammarlwa7816 Před rokem

      Utt00ppp009op09lluu to you urhzi do ft ew

  • @danvats
    @danvats Před rokem +52

    Kama wew ni team joti gonga like hapo

  • @adolphdamas3189
    @adolphdamas3189 Před rokem +14

    Kiboga kapatikana...🤣🤣
    Ni lesson🗯️
    Michepuko inafelishaga kinoma🫂
    Joti ni master wa creativity

  • @chichi_pris9117
    @chichi_pris9117 Před rokem +49

    Jamani kisa nimecherewa amnipi like 😳 naomba like bc ata 10 tunaomkubali kiboga😂😂

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před rokem +18

    Never disappoint Jotiiii 🤣😂😛🤸

  • @bubikiarttv5325
    @bubikiarttv5325 Před rokem +11

    BUBIKI ART TV pia tunamkubali sana,na sisi pia ni wasanii wa comedy kutoka Shinyanga

  • @kassimungemba5830
    @kassimungemba5830 Před rokem +7

    Mganga ametisha sana.
    Memory ina GB 50 lkn kabakiwa na Kb 2!!🤣🤣

  • @dragoncyber7079
    @dragoncyber7079 Před rokem +6

    "Me sio kiboga naitwa bi aishaaaa...."😂🤣🤣😅😂😂😂😂

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Před rokem +3

    Huyo Bi Mgae ni Expert wa Mmbea kuliko huyo mganga, 🤣🤣.

  • @HusseinAli-fs4lu
    @HusseinAli-fs4lu Před rokem +11

    Hahahahaha.... Kiboga is the best!!!!! 😂😂❤️

  • @CoinMarketZone
    @CoinMarketZone Před rokem +17

    Watching from Qatar, JOTI "you are beating a lot" yaani unaupiga mwingi!

  • @mayakimani7224
    @mayakimani7224 Před rokem +1

    Salut kwako bro jot Kaz ikopouw sana

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před rokem +9

    Joti huyu mama ulimtowa wapi maana ni shida 🤣🤣🤣🤣👏👏👏

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 Před rokem

      Muigizaji 🤣🤣

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq Před rokem

      @@zaudatmakula3454 mimi nikimuona tu huwa nacheka kabla ya vituko vyake ndo awe mama mkwe sijui inakuaje 😄 🤣 😂

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 Před rokem +7

    😂😂😂 nilicheka kifala mganga anavyoenda nje wakuwaambia watu 😂😂

  • @giftmkumbwa4909
    @giftmkumbwa4909 Před rokem +4

    🤣🤣🤣🤣 mwaka huu wanawake lazima tu........ mganga ee!! ee!! Jot 🙌🙌🙌

  • @athenaramadhani8889
    @athenaramadhani8889 Před rokem +24

    Jamaniiii!!! I miss Kiboga for real 😅😅😅😅😅😅😅

  • @martamustini6946
    @martamustini6946 Před rokem +7

    Joti unajua na unajua tenaaa ❤❤

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 Před rokem +6

    style hii ya kujifunikaa nimeipendaa, mpyaa naombaa like zenu

  • @Steve-hf9fx
    @Steve-hf9fx Před rokem +2

    Huyu mwamba ameshindikana kweliii

  • @gloriousgal2001
    @gloriousgal2001 Před rokem +3

    Si Kiboga tena ila Bi.Aisha🤣🤣🤣mgaga mmbea kwelikweli 🤣🤣🤣

  • @nurutwaha4528
    @nurutwaha4528 Před rokem +7

    Mimi sio KIBOGA naitwa BI AISHA🤣🤣🤣

  • @ankalmohadevez
    @ankalmohadevez Před rokem +6

    Joti President Of Eastern African Comedy..Mob 💕 From #254

  • @sumaadamson214
    @sumaadamson214 Před rokem +2

    Nampenda sana jot na hanaga mpinzani anayepinga anye boga 😂😂😂

  • @gatekanene5753
    @gatekanene5753 Před rokem +7

    😁😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣 napenda Joti akiigiza kama mwanamke yani uwaga naceka hadi mkojo unatoka big ap bro we love you comedy wangu mpendwa ♥ 😆 🤣 😄 MUNGU akutunze hadi mbinguni uwe mcekeshaji wa peponi 🤣🤣🤣🤣

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 Před rokem +1

      Jamani hata mm napenda sana akiigiza kama mwanamke

  • @suleimansalim8744
    @suleimansalim8744 Před rokem +2

    jamnii BI Aishaa nimependaaa, naomba like zenuu nyingii

  • @frankkayombo8664
    @frankkayombo8664 Před rokem +7

    Ila mganga 😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

  • @QUEENBEEOG
    @QUEENBEEOG Před 3 měsíci +1

    Ivi izo like huwa mnataka ni za nn huwa mnapata maokoto au yani unakuta comment yake tu nipeni like basi😂😂

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Před rokem +8

    Kwa waliotazama asubuhiii hiii likes za KUTOSHA HAPA

  • @JohnLauMusic
    @JohnLauMusic Před rokem +17

    Team joti gonga like hapa

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před rokem +5

    jotiiiiii mamaeeee senge wwww em acha jamani nime jikojolea ofisin kwakichekooooonjmn fala sana wwwwwwwwww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mganga sengeee sanaaaa iv waganga awa wapo natamani kutane naoooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 Před rokem +1

    🤣🤣, au Kiboga huyo mganga alitaka ubaki humo ndani kwake.

  • @valyagraphicstz799
    @valyagraphicstz799 Před rokem +5

    Nusu nichelewee🤣🤣🤣 joti ni💥💥

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před rokem +5

    Hhhhhh joti we mkali sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @daduofficialkilifi3671
    @daduofficialkilifi3671 Před rokem +1

    kazi nzuri sana....ila salamu kwa BI KAUYE

  • @darvie7653
    @darvie7653 Před rokem +4

    Hahah etii tangulia usinifanye chambooo🤣🤣🙌

  • @nimujocentre2173
    @nimujocentre2173 Před rokem +7

    Mi sio Kiboga naitwa Bi Aishaaa😂😂😂😂😂😂

  • @johnngeke6457
    @johnngeke6457 Před rokem +1

    Leo nimekuwa wa 90 kulike nipeni like zenu jamani

  • @azizsaleh9402
    @azizsaleh9402 Před rokem +10

    Tunaomba joti atuandalie kitu cha kufungia 2022 mwaka 🎉

  • @fatumaomary9635
    @fatumaomary9635 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣 jini mbeaaa....haaa mganga we si mtu mxurii si kwa jini uyooooo🤣🤣🤣

  • @rebeccajoseph2315
    @rebeccajoseph2315 Před rokem +4

    Yaaani nikiwa na hasira nikicheki comedy zako moyo wanguuu burudaaniii🤣🤣🤣

  • @mvfff7224
    @mvfff7224 Před rokem

    Ahahaaaaaa uyu mganga hatariii du nimecheka sana,,, Alhamdulillah,,,mmm jot

  • @ngosha4207
    @ngosha4207 Před rokem +10

    Moja

  • @sandianasamijo6426
    @sandianasamijo6426 Před rokem +5

    Vraiment tu va me tué un jour joti 🤩 cœur avec toi mon meilleur comédie kiboga 😀😀😀💪🇨🇩🇨🇩 nous t'aimons à jamais

  • @priscakakwaya3399
    @priscakakwaya3399 Před rokem +1

    Nimecheka kwa sauti kwa kweli big up Joti

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Před rokem +2

    Kinacho nishangaza ni kwa Nini subscribers hawa fiki m1 wakati huyu ndio comedian bora nchini 🙌🙌🙌🙌😄😄

    • @muzhilhasheem9487
      @muzhilhasheem9487 Před rokem

      Unajua kuna wengne huangalia tuu na kupta kushoto sio wale kila ijumaa hupata ujumbe kuwa kuna mzgo mpyaa

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 Před rokem +2

    Kazi nzuri hujawahi feli

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před rokem +4

    Hahaha nakukubali Mr Joti

  • @chengobabahk3901
    @chengobabahk3901 Před rokem +1

    All the way from 254.Big up mkubwa angu joti

  • @kelly_visiontz
    @kelly_visiontz Před rokem +5

    😂😂😂😂😂 Yan mwaka huu lazima tubwinu mbunu

  • @ibutilehyila9146
    @ibutilehyila9146 Před rokem +1

    Jmn joti utaua watu kwa kicheko aseee, hahahaaaaaaaaa!!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @veronicajulius6741
    @veronicajulius6741 Před rokem

    Hahahha nyieeee jotii jmn number one mpinzani Amna et ndan maelekezo hajackia vzr kaenda kuulza Tena nje hahah joti number one aisee number one juu kabisaaaa

  • @user-no3ul2ol4b
    @user-no3ul2ol4b Před 5 měsíci +2

    Hahahaha tuliopo2024 gonga like

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 Před rokem

    Yaani Joti wewe ni noma hayupo wakukufikia Kiboga😁😁

  • @mickeyyusuph1469
    @mickeyyusuph1469 Před rokem +3

    Messi wa comedy bongo 🙌🙌

  • @bantkmaca5756
    @bantkmaca5756 Před rokem +2

    Kila kitu ya joti Iko sawa kaka nakukubali mno,Mimi shabiki wako🤣🤣254

  • @erickassey6706
    @erickassey6706 Před rokem +1

    Mi Sio kibogaa. Naitwa bi Aishaa 🙌🙌🙌😂😂😂😂

  • @nsuleiman730
    @nsuleiman730 Před rokem

    Friji lako haligandishi voo bwan jinii limeisha gesii😆 🤣 😂 😹 😆 🤣 😂 😹 😆 🤣 😂

  • @josejacob7579
    @josejacob7579 Před rokem +3

    Sema mganga katisha 👊

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před rokem

    Wamelaaniwa wale wanaume wanaojifananisha na wanawake na pia wamelaaniwa wale wanawake wanaojfananisha na wanaume

  • @naomimaphie5087
    @naomimaphie5087 Před rokem +3

    You never disappoint jotiiiii

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 Před rokem +1

    😂😂, Dorice ulikuwa hujui kama Kiboga ni KIKULACHO, 🤣🤣.

  • @malihamusah7288
    @malihamusah7288 Před rokem

    Hahahahhahahahahahahah umemaliza mganga kwa umbea huo...kiboba kiboko wallai

  • @Coutinho_112
    @Coutinho_112 Před rokem +11

    Wa mwanzooooo😂🇹🇿

  • @jajimkuumnyama6214
    @jajimkuumnyama6214 Před rokem +4

    Kuna siku nimeota nipo nawe chumba kimoja nililia usiku mzima😂😂😂😂

  • @julianambilinyi3341
    @julianambilinyi3341 Před rokem

    Muogope Mungu acha Jambo hili Ni chukizo kwa Mungu

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Před rokem +4

    🤣🤣🤣Siyo Kiboga ni bi Aisha 🙌

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Před rokem +1

    😂😂😂😂😂😂😂Mii mgeni kila nmependa comedy zako joti

  • @mwajumarajabu7173
    @mwajumarajabu7173 Před rokem +1

    Hahahah bi aisha maranda

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Nafulai sana nikiona part zako🤣🤣🤣

  • @georgenjeri8547
    @georgenjeri8547 Před rokem

    Hata Usimalizie, Huyu nani na Kunaendelea nini hapa?Eti Una Haraka Wataka Kuenda ,Huendi na badaboda wala Kibajaji Lazima Kieleweke!!!!!!😂😂

  • @NEIRAJGROUPLIMITED
    @NEIRAJGROUPLIMITED Před 6 měsíci

    Naicheck hii tena leo tarehe Ijumaa ya 29 February 2024. Joti mchawi wa comedy EAST AFRICA 😂😂😂😂

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před rokem

    ila joti wezio wote wakient kikike jamani wala tuchek www baba iko nikipaji walh senge wwww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dyonkiing4010
    @dyonkiing4010 Před rokem +4

    Love from🇲🇿♥️

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu4999 Před rokem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 khaaaaaa jini friji haligandishi

  • @alphoncinabertha8238
    @alphoncinabertha8238 Před rokem +2

    Wa kwanza leo ❤😂😂

  • @elymsakuzi6493
    @elymsakuzi6493 Před rokem +1

    Tubunu mbunu, tubwinu mbuni😂😂😂

  • @brysonmeena1086
    @brysonmeena1086 Před rokem +1

    Hahahahaha leo nimekua number one

  • @EligiaMbinga
    @EligiaMbinga Před rokem +1

    Tubwinu mbunu😂😂😂😂

  • @rubenatulange3665
    @rubenatulange3665 Před rokem +1

    Joti mukali waho best of comedy