Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Ndugu zangu WATANZANIA JOTII NAMBA MOJA KOMEDY KWA TANZANIA NA SEHEME NYINGINE HAKUNA KAMA WEWE JOTII KILA LA KHERI BIG UP SANAAA😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 LIKE ZENU KWA ANAE MKUBALI JOTII🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wale wanaoangalia joti wakiwa wamelala kitandani tujuane kwa like 😂
😅😅
Mm hapa hahahahahaha
😂😂😂
Nipo kitandani kama ww😊
1:26 😂😂😂 kama ni shabiki wa Jot weka like 👍
like unazipeleka wapi lkenge wewe ?acha ushamba 😏
@@officialkamdudu😂😂😂😂
Kiboga ongera sana,na huyu MAMA na yule MAMA mwingine yule kiboga na hawa wa baba wote safi sana ❤❤❤
Kiboga hawakuezi ww ndo bingwa wa comedy 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Acha utani,,kuna akina bhailam,,mtipe,Mwakatobe,kicheche na clam vevo hicho ni kizazi kipya cha comedy kiko moto.
@@jamesmzaki6041usimfananishe joti na vitu vya ajabu ww joti kila secta anaweza😊🎉
😂😂😂Hii nchi ukifa kwa stress umejitakia mwenyewe
Yan
😅😅😅😅😅😅😅😅😅kabisa
Kweli kabisa
Kabisa
😂😂😂😂
Joti you are the best comedian in East Africa respect God bless
Kiboga leo ana ndoa iliyodumu mwezi😂😂😂😂😂😂ameweza😂😂🎉🎉🎉🎉
Dera la kiboga nimelielewaa
Leo sitaki kucoment😂 ila Joti ana balaa sana🔥🔥
Kwa hyo hapo umefanya nn kama hujakoment
😂😂😂😂😂ushakoment tayar
Mbona ushakomenti sasa😂😂😂😂
@@AnnahLusia-bz3lclabda huwa anacomment kwa voice note 😂😂😂
@@rosemahenge9071 😁😁😁😁
Kkkk Joti este comediano me deixa sempre com Boca aberta ✌️
ila joti Ana balaaa
😂😂😂😂😂 One of the funniest comedy kwa zote Kenya 🇰🇪 fan base
Kiboga wangu jmn weee nakupenda bure, sasa huyo mama uwiiiii mbona pambe😂😂
Joti unaroho ngumu kumwita mtu mme wangu alafu wewe mwanamme? Kisa maigizo!!!
Talanta haijifichi mzee,mengine ni tabia ya mtu tu
Umewaza kama Mimi
Ubaya uko wapi
We nae umeanza kumjua joti juzi ama 😂😂😂 we chukua ujumbe cheka yaishe
@@faithpaulo119 basi hana ubunifu wa kubadili style kila siku yeye mama tu?
He's so creative and never disappoint 🎉😂😂
Kiboga yupo kama mie kupenda ngoma😂😂😂😂😂mume mwenyewe uzalendo umemshinda kaingia kucheza 👌🔥
Joti hongera san unafanya kaz nzur Kila cku nakuombea tu maisha marefu yenye aman na furaha
Hahaha tangu anakataza hadi marohani yakamuwai 😂kwahio itaitwa couple kigoma
Joti why can't you give us 2 products per week not only one every Friday!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😊 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
Hatari
Leo nimewahi KIBOGA akee 😂😂😂kama like tujuane vipenzi vya JOTI😂😂
Noma sana😂😂🙌
Kiboga hicho kifua.🤣🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂😂
@@dannylinguist15 Titi titi.🤣🤣🏃
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Baba kiboga ana miuno ya uzazi😂😂
😂😂😂😂joti's videos always put smile on my face😅😂
Sema baba kiboga nimependa alivyokuwa anakata mauno huku analalamika😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣Bro Jotiii wewe ni kiboko kabisa 😂😂😂😂🙌🏼
Nimecheka kifala sana 😅😅😅😅😅wazaramo na kule moro ndo wanapenda sana ngoma😂😂😂😂.
We watu WA morogoro hatari sana Kwa vigoma 😂😂
Hahaha 😂😂😂😂 jamani adi wa morogoro tumepatwa tena
😂😂 Nimependa Zito. Alipoingia kwenye kigoma hapo mwisho
Shukrani😂
@@kingzito31 kaka ongera sana napenda unavyoigiza unakuwa uko series sana
@@kingzito31 ule mguu uvyourusha hahahaha
Mkwe mwenyw ameyarud famasiala nn 😃😃🔥🔥
ni danger❤️🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kidole cha mwisho was just chilling😂😂😂😂
Umetishaass mwamba jotiiiiiiiiu babaaasssssaaaaas
Never disappoint jotiiii😅😂😂🎉
joti bana you the great comedian 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂joti umetisha sana
Love from Rwanda 🇷🇼
Kiboga Hilo ziwa ,shape na hyo make-up nihatari 😂😂
😂😂😂 kila ijumaa toka joti 🎉
Leo wanne nipeni like zangu
Hakiii ya mzungu shahidi muafrika joti ni balaaaa😂😂😂
😂😂😂😂😂....Mzee wangu..🙌🙌🙌
😂😂😂 Lov frm Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kaa la moto mapenzi shatashata kumbe anaficha 😂😂vitu vyake kiboga ❤❤❤
😂😂😂..mume nae kaunga telaaa hahaha nimecheka
hatar na nusu mpaka ame muambukiza mme wake marohani😂🤣
Aliyeona suruali y bwana harusi ilivyofubaa katikati😂😂😂😂😂😂
Nimewah leooo
😂😂😂😂 kitambi kama kichuguu
Daaaah😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂kimewaka namtaka mwanangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo Mimi wakwanza mashabiki wa joti nahombeni like zangu jamani😅😅
Joti wewe kiboko wadaisha mbona hichi kama kipya😂😂😂😂😂😂
Joti madako yako 😂😂😂
Nampenda huyo bibi wewe
Jot kila siku amaliza bando langu😂😂😂😂
Kiboga mwenyewe sasa😂😂😂😂😅😅😅
Ila joti we ni nomaa sana ndo comedy pekee Tanzania wengine wapo nyuma yko
jotii jamn 🙌🙌🙌🔥🔥umejuaa kunifurahisha dah leoo mamboo 😅😅
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai mume naye kaamua kucheza 🤣🤣🤣 kiboga sikuwezi
Ila huyu bwana siku moja atakuja fanya nijikute mochwari kama vile sijapenda😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Waaaaaaaa hio kali 😂😂😂😂😂
Mzee nae ajamboo kwl ng'ombe azeekii maini anayarudii maunooo😂
Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂🤣😊
Wa 888 like zangu please 😂😂😂😂
Mkuu samahani nisaidie Namba ya Scola
Watu hamlali mda wote mnamsubir joti sawa mmeamua niwe wa 24
😂😂😂😂😂😂 joti apewe maua yake😂😂😂😂
King of comedy Tanzanian
Jot anaburudisha sana ila anavyojiekti mwanamke mh kwa maaadili ya kitanzania Mimi sijui
😂😂😂yaan unamuumbua mumeo.viatu vina nuka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amkeni jamani kabla ya wale wa nguvu za kiume awajakoment chochote 😂😂😂😂🇲🇿
Hahahhahaa
Wa kwanza leo Estach Kweli ndani y Dallas tx
😂😂😂😂😂 mqmbo ya shughuli hahahaahaha jmn
Ilo pepoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utafika mbinguni ukiwa umechoka sanaa😂😂😂
Wenyewe mmepata wake zahivyo polen sana, mana nishida ila kama mnapenda wote sawa tu
Kwamapenz shatashata baba sijuwi nishetani nimejikuta TU nipo kwenye kigoma 😅😅
Balaaaa blueee 😂
Leo nimecherewa nimekuwa mtu wa 42
😂😂😂 eti kama nna pepo
Nakupenda bure Joti😂😂❤
Iyo suruali ya mume hpo kat😂😂😂💔
Kaka joti kwenye commedy bado sjaona wakushindanishwa nawewe ni🔥🔥🔥🤣🤣🤣
Dah jot hatariii😂😂😂😂
Karithi kwa mamaake!!🤣🤣🤣🤣
Nimechelewa au
Waw joti kafikisha 1m nimefulahii
GOOOOOOOOD JOBBBBBB BROTHER
Mm nacoment
Jot ni balaa jaman
Miuno ya baba kiboga😂😂😂😂
Ila,,,jot 😆😆😆😆😆😆ety mpnz shata shata uwiiiiiii
Nyie mwishoni jamaa anavyo menya 😂😂😂😂😂😂 Miguu inachanuliwa kama chura
Mimi niwe mkweli sipendi joti anavoigiza mwanamke☝️ ila Ni msanii mzuri sana
Kiboga watu wanagombana weye umefata ndundo😂😂😂😂
Kigoma hiki kipya au chazamani! Ila da KIBOGA😂
Saidi na kiboga mmejua kunichekesha hahahaaa😂😂 viatu vinanuka vundo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂mume akianza ndo itakuwa balaa zaidi shauri yako kiboga
Hahahahahah Good Job Mr Joti With Your Team
Joti 😂😂😂 huyo mme sasa 😅😅😅 0:27 0:28
Imeendaaa iyooo
Kumbe
Ndugu zangu WATANZANIA JOTII NAMBA MOJA KOMEDY KWA TANZANIA NA SEHEME NYINGINE HAKUNA KAMA WEWE JOTII KILA LA KHERI BIG UP SANAAA😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 LIKE ZENU KWA ANAE MKUBALI JOTII🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wale wanaoangalia joti wakiwa wamelala kitandani tujuane kwa like 😂
😅😅
Mm hapa hahahahahaha
😂😂😂
Nipo kitandani kama ww😊
1:26 😂😂😂 kama ni shabiki wa Jot weka like 👍
like unazipeleka wapi lkenge wewe ?
acha ushamba 😏
@@officialkamdudu😂😂😂😂
Kiboga ongera sana,na huyu MAMA na yule MAMA mwingine yule kiboga na hawa wa baba wote safi sana ❤❤❤
Kiboga hawakuezi ww ndo bingwa wa comedy 🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Acha utani,,kuna akina bhailam,,mtipe,Mwakatobe,kicheche na clam vevo hicho ni kizazi kipya cha comedy kiko moto.
@@jamesmzaki6041usimfananishe joti na vitu vya ajabu ww joti kila secta anaweza😊🎉
😂😂😂Hii nchi ukifa kwa stress umejitakia mwenyewe
Yan
😅😅😅😅😅😅😅😅😅kabisa
Kweli kabisa
Kabisa
😂😂😂😂
Joti you are the best comedian in East Africa respect God bless
Kiboga leo ana ndoa iliyodumu mwezi😂😂😂😂😂😂ameweza😂😂🎉🎉🎉🎉
Dera la kiboga nimelielewaa
Leo sitaki kucoment😂 ila Joti ana balaa sana🔥🔥
Kwa hyo hapo umefanya nn kama hujakoment
😂😂😂😂😂ushakoment tayar
Mbona ushakomenti sasa😂😂😂😂
@@AnnahLusia-bz3lclabda huwa anacomment kwa voice note 😂😂😂
@@rosemahenge9071 😁😁😁😁
Kkkk Joti este comediano me deixa sempre com Boca aberta ✌️
ila joti Ana balaaa
😂😂😂😂😂 One of the funniest comedy kwa zote Kenya 🇰🇪 fan base
Kiboga wangu jmn weee nakupenda bure, sasa huyo mama uwiiiii mbona pambe😂😂
Joti unaroho ngumu kumwita mtu mme wangu alafu wewe mwanamme? Kisa maigizo!!!
Talanta haijifichi mzee,mengine ni tabia ya mtu tu
Umewaza kama Mimi
Ubaya uko wapi
We nae umeanza kumjua joti juzi ama 😂😂😂 we chukua ujumbe cheka yaishe
@@faithpaulo119 basi hana ubunifu wa kubadili style kila siku yeye mama tu?
He's so creative and never disappoint 🎉😂😂
Kiboga yupo kama mie kupenda ngoma😂😂😂😂😂mume mwenyewe uzalendo umemshinda kaingia kucheza 👌🔥
Joti hongera san unafanya kaz nzur Kila cku nakuombea tu maisha marefu yenye aman na furaha
Hahaha tangu anakataza hadi marohani yakamuwai 😂kwahio itaitwa couple kigoma
Joti why can't you give us 2 products per week not only one every Friday!! Love from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😊 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
Hatari
Leo nimewahi KIBOGA akee 😂😂😂kama like tujuane vipenzi vya JOTI😂😂
Noma sana😂😂🙌
Kiboga hicho kifua.🤣🤣🤣🙌
😂😂😂😂😂😂
@@dannylinguist15 Titi titi.🤣🤣🏃
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Baba kiboga ana miuno ya uzazi😂😂
😂😂😂😂joti's videos always put smile on my face😅😂
Sema baba kiboga nimependa alivyokuwa anakata mauno huku analalamika😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣Bro Jotiii wewe ni kiboko kabisa 😂😂😂😂🙌🏼
Nimecheka kifala sana 😅😅😅😅😅wazaramo na kule moro ndo wanapenda sana ngoma😂😂😂😂.
We watu WA morogoro hatari sana Kwa vigoma 😂😂
Hahaha 😂😂😂😂 jamani adi wa morogoro tumepatwa tena
😂😂 Nimependa Zito. Alipoingia kwenye kigoma hapo mwisho
Shukrani😂
@@kingzito31 kaka ongera sana napenda unavyoigiza unakuwa uko series sana
@@kingzito31 ule mguu uvyourusha hahahaha
Mkwe mwenyw ameyarud famasiala nn 😃😃🔥🔥
ni danger❤️🔥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kidole cha mwisho was just chilling😂😂😂😂
Umetishaass mwamba jotiiiiiiiiu babaaasssssaaaaas
Never disappoint jotiiii😅😂😂🎉
joti bana you the great comedian 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂joti umetisha sana
Love from Rwanda 🇷🇼
Kiboga Hilo ziwa ,shape na hyo make-up nihatari 😂😂
😂😂😂 kila ijumaa toka joti 🎉
Leo wanne nipeni like zangu
Hakiii ya mzungu shahidi muafrika joti ni balaaaa😂😂😂
😂😂😂😂😂....Mzee wangu..🙌🙌🙌
😂😂😂 Lov frm Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kaa la moto mapenzi shatashata kumbe anaficha 😂😂vitu vyake kiboga ❤❤❤
😂😂😂..mume nae kaunga telaaa hahaha nimecheka
hatar na nusu mpaka ame muambukiza mme wake marohani😂🤣
Aliyeona suruali y bwana harusi ilivyofubaa katikati😂😂😂😂😂😂
Nimewah leooo
😂😂😂😂 kitambi kama kichuguu
Daaaah😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂kimewaka namtaka mwanangu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Leo Mimi wakwanza mashabiki wa joti nahombeni like zangu jamani😅😅
Joti wewe kiboko wadaisha mbona hichi kama kipya😂😂😂😂😂😂
Joti madako yako 😂😂😂
Nampenda huyo bibi wewe
Jot kila siku amaliza bando langu😂😂😂😂
Kiboga mwenyewe sasa😂😂😂😂😅😅😅
Ila joti we ni nomaa sana ndo comedy pekee Tanzania wengine wapo nyuma yko
jotii jamn 🙌🙌🙌🔥🔥umejuaa kunifurahisha dah leoo mamboo 😅😅
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai mume naye kaamua kucheza 🤣🤣🤣 kiboga sikuwezi
Ila huyu bwana siku moja atakuja fanya nijikute mochwari kama vile sijapenda😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Waaaaaaaa hio kali 😂😂😂😂😂
Mzee nae ajamboo kwl ng'ombe azeekii maini anayarudii maunooo😂
Siku yangu imeisha hvyooo Sina stress kabca 😆😂🤣😊
Wa 888 like zangu please 😂😂😂😂
Mkuu samahani nisaidie Namba ya Scola
Watu hamlali mda wote mnamsubir joti sawa mmeamua niwe wa 24
😂😂😂😂😂😂 joti apewe maua yake😂😂😂😂
King of comedy Tanzanian
Jot anaburudisha sana ila anavyojiekti mwanamke mh kwa maaadili ya kitanzania Mimi sijui
😂😂😂yaan unamuumbua mumeo.viatu vina nuka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Amkeni jamani kabla ya wale wa nguvu za kiume awajakoment chochote 😂😂😂😂🇲🇿
Hahahhahaa
Wa kwanza leo Estach Kweli ndani y Dallas tx
😂😂😂😂😂 mqmbo ya shughuli hahahaahaha jmn
Ilo pepoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Utafika mbinguni ukiwa umechoka sanaa😂😂😂
Wenyewe mmepata wake zahivyo polen sana, mana nishida ila kama mnapenda wote sawa tu
Kwamapenz shatashata baba sijuwi nishetani nimejikuta TU nipo kwenye kigoma 😅😅
Balaaaa blueee 😂
Leo nimecherewa nimekuwa mtu wa 42
😂😂😂 eti kama nna pepo
Nakupenda bure Joti😂😂❤
Iyo suruali ya mume hpo kat😂😂😂💔
Kaka joti kwenye commedy bado sjaona wakushindanishwa nawewe ni🔥🔥🔥🤣🤣🤣
Dah jot hatariii😂😂😂😂
Karithi kwa mamaake!!🤣🤣🤣🤣
Nimechelewa au
Waw joti kafikisha 1m nimefulahii
GOOOOOOOOD JOBBBBBB BROTHER
Mm nacoment
Jot ni balaa jaman
Miuno ya baba kiboga😂😂😂😂
Ila,,,jot 😆😆😆😆😆😆ety mpnz shata shata uwiiiiiii
Nyie mwishoni jamaa anavyo menya 😂😂😂😂😂😂 Miguu inachanuliwa kama chura
Mimi niwe mkweli sipendi joti anavoigiza mwanamke☝️ ila Ni msanii mzuri sana
Kiboga watu wanagombana weye umefata ndundo😂😂😂😂
Kigoma hiki kipya au chazamani! Ila da KIBOGA😂
Saidi na kiboga mmejua kunichekesha hahahaaa😂😂 viatu vinanuka vundo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂mume akianza ndo itakuwa balaa zaidi shauri yako kiboga
Hahahahahah Good Job Mr Joti With Your Team
Joti 😂😂😂 huyo mme sasa 😅😅😅 0:27 0:28
Imeendaaa iyooo
Kumbe