DIAMOND AVUA MENO YAKE YA DHAHABU, AONGEA KWA HISIA NA MASHABIKI
Vložit
- čas přidán 13. 10. 2023
- DIAMOND AVUA MENO YAKE YA DHAHABU, AONGEA KWA HISIA NA MASHABIKI
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Zuchu na Diamond oyeee!!! Litawachoma jamani❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Simba la ma simba dangote
Ni kweli kabisa simba wangu wanatutesa sana hasa kama mimi ambaye siwezi kulala mpaka nione shoo yako my lion nateseka mno kulazimika kuangalia shoo za vilandage nikiwa nasubiria shoo yako, kuna siku nilikaa kwenye TV mapaka saa 11 asubuhi ndio ukaingia kuimba kesho yake nilikuwa nasinzia tu kazini, bora wawe wanawai hata saa 7 au saa 8 shoo iishe watu tulale
Ujinga wako huo c ungelala😊
Nimekuona my cute zuu❤❤❤❤❤
Tena wanatutesa zaid sis tunaoangalia kweny tv jmn tulikesha sitting room 😢😢😢😢
Nilijua ni mimi tu ndio nilikesha yan nilikesha nikisubiri diamond aimbe akaingia saa 11 ajfajili daa niliumia mno sema nampenda ilinilazimu kukesha mpaka nimuone jamani wanatutesa sana kwa kweli
@@yusternyirenda7231 kiekiekie kiekiekie
Mon artiste préféré depuis DRC
Powa
Simba kama Simba🙌🙌🙌🙌💪💪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
🔥🔥🔥
💪💪
Wambea, litawachoma
❤❤❤❤❤❤
Kwani diamond akiperform katikati ya wasanii wengne hatutaenjoy au
Mimi binafsi huwa naaka kusubiria diamond na zuchu waimbe ndio nikalale napata ugumu wa kukesha pale zuchu ameshaimba nasubiria diamond aimbe kumbe yeye anaimba mwishoni, tena walifanya vizuri diamond kuimba mwishoni maana angekuwa anaimba wa kwanza zuchu wa pili ningekuwa nikimaliza kuwaangalia wao tu naenda kulala nina muda mchafu wa kutazamq shoo za wasanii wengine, hao wasanii wengine huwa nawatazama ili muda uende nione shoo ya zuchu na diamond tu na sio vinginevyo
Waliochelewa hawataona
@@yusternyirenda7231 yes
I'm the one who count like no . 1k
Hehehehehe moto huo
❤❤❤❤❤wakoroge sumu hiyo imeenda💯💯💯💯💯🌹🌹🌹🌹🌹
Wengine tunasubiri wazazi walale ndio turuke ukuta
❤❤❤❤❤🎉
simba la masimba
Komaa naye zuu
👂Tunaleta Nini????
Vip kuhusu founda kupafom
Kishapotezwa huyo na watu wake 😢😢
Mmejichanganya Leo siku moja na tembo mtakoma mahalamia niny
Wtu wengne bna, hv yule fupi nyundo ndo amtishe chibu! hujui km ni baba ake alomleta mjini akamfundsha mpka kuvaa! mpk leo anatembea na tatoo na chibu nenga na kasema hatokuk kuifuta mpk azikwe nayo qmanina lazma ashike adabu yke
Oya mondi Fidovato apaform mwisho Ama sivyo akipanda mapem akishuka tunasepa nae na tunawapiga makofu mnasepa.
Mapete yote mkononi ya nini.
Ya kuvaliwa 😂😂
Hiyo ya kwako ni Ishara ya umasikini...
❤❤❤😂
Acha kuchigamba we hunachochot
Powa
❤❤❤❤❤❤