BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 12. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 16

  • @dar24media
    @dar24media  Před 7 měsíci +2

    Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761

  • @jumamajid7557
    @jumamajid7557 Před 7 měsíci +1

    PPE personal protective equipment

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 6 měsíci +1

    WALIYE VUNJA RECORD BAHARIA #GAMBA VS #KABUNYAU hawa
    jamaa daa! Sema uyu baharia nayeye ameuwa kinoma kumbukeni Ameanzia
    ubahari kwenye MAJI YA KUNYWA mujue😂
    Siyo kitoto ziwan siyo poa
    Halafu istoshe uyu baharia
    Maisha yake yalikuwa ndan
    Ya bahari lakin wale tulio waskiliza walipita baharin
    Kisha wakafika nchi kavu
    Maisha yao yakaendelea uko

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Před 7 měsíci

    Big up stori nzuri

  • @davydmlay3264
    @davydmlay3264 Před 7 měsíci

    Nai subiria

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 7 měsíci

    Yeah mbanga kwa hewa 🔥🔥🔥🔥🔥😊

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 Před 7 měsíci

    Paka awezi kuwa Panya ✌

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Před 7 měsíci +4

    Stori iliyokua juu sana ya 2023 ilikua ya 'Kabinyau' jamaaa wa kokorikoo...mwamba alijua kuhadithia sana story yake,step by step.....kutoka bongo,dizonga hadi mwamtoni ulaya,,,,,lakini hii nimeshindwa kumalizia sielewi

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 Před 7 měsíci +3

      Anzia mwanzo utasau hio ya mzee wa kokoriko

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 Před 7 měsíci

      @@shaloboy3861 kuna lipi kaka

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Před 7 měsíci

    Baada ya dhiki Faraja

  • @roviykamage5423
    @roviykamage5423 Před 7 měsíci

    Mchecbemuzi msizifungie wengine tuanatamani kuzitizama wakati wa utulivi so mkizipiga pini tunashangaa y mchehemzi unatunyima uhondo

  • @Byme6434
    @Byme6434 Před 7 měsíci

    Usiombe Kwenye Kazi Ukutane Na Muhindi Utajuta Ndomaana Umangani Mwarabu Anamchukia Muhindi Kama Halijakukuta unaweza Kusema Mwarabu Anamuonea Muhindi

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Před 7 měsíci

    Sijaelewa?? Mbona haifunguki

    • @nashnene6326
      @nashnene6326 Před 7 měsíci

      Ilikua bado, chini kumeandikwa itakuwa premiered baada ya dk kadhaa