MBARIKIWA MWAKIPESILE VIDEO MUSIC-TENZI NO 129. KARIBU NA WEWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 04. 2024

Komentáře • 32

  • @AlipoMwasenga
    @AlipoMwasenga Před měsícem +1

    Kweli kabisa karibu zaidi mungu wangu dunia imechafuka sana , uzidi kubarikiwa mbarikiwa wewe

  • @jacquelinemassengo5466
    @jacquelinemassengo5466 Před měsícem +1

    Amen ❤️ Asante Mungu, kweli niwe karibu na wewe Mungu wangu, ubarikiwe muchungazi Mbarikiwa ❤

  • @brillynone5748
    @brillynone5748 Před 2 měsíci

    Bwana akubariki sana mtumishi wa. Mungu wimbo umenigusa sana

  • @HenriquesAlberto-bx7op
    @HenriquesAlberto-bx7op Před 2 měsíci

    Bwana asifiwe sana babá mchungaji

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před 3 měsíci +1

    Tunazidi kumshukuru MUNGU tu kwa nyimbo nzuri.

  • @neemarabani
    @neemarabani Před 3 měsíci

    Mungu wambinguni azidi kukutia nguvu maana mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakae okoka mathayo 24: 13

  • @reginmaiko3688
    @reginmaiko3688 Před 2 měsíci

    Aminaa aminaa barikiwa sanna mtumishi

  • @miriamwangari7417
    @miriamwangari7417 Před 3 měsíci +1

    Uko na kipaji kikubwa chenye upako mwingi ndani ya tenzi. Linaguza mioyo Kwa undani mtumishi. Kinahubiri kwenye nafsi za walimwengu....
    HALLELUYAH.

  • @noelmwembe6419
    @noelmwembe6419 Před 3 měsíci

    Neema izidiyo na moyo uliopondeka sana

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před měsícem

    Ameeen ❤❤❤

  • @jacksoncharles5411
    @jacksoncharles5411 Před 2 měsíci

    Ameen ❤❤❤❤❤

  • @user-sn8zz1fk6o
    @user-sn8zz1fk6o Před 3 měsíci

    Nipo nazidi kubarikiw tu

  • @user-ri8jr2ui7u
    @user-ri8jr2ui7u Před 3 měsíci

    Amen

  • @leonardjamson-tb4jj
    @leonardjamson-tb4jj Před 3 měsíci

    Hakika wimbo huu unanigusa kila nikiusikiliza mungu aendelee kukuinua mtumishi wa mungu

  • @gracelauzi9746
    @gracelauzi9746 Před 3 měsíci

    Amina Amina MUNGU atukuzwe milele Asante kwa ujumbe ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo

  • @ezrakayagambe5926
    @ezrakayagambe5926 Před 3 měsíci

    🙏🙏🙏

  • @simonphabiano9050
    @simonphabiano9050 Před 3 měsíci

    Kipaji kikubwa sana ndani ya Isyesye🎉🎉🎉❤❤❤

  • @paskalinamwalongo5248
    @paskalinamwalongo5248 Před 3 měsíci

    Salome Simba jike shikamoo kweli mungu fundi

  • @DanielKoipapei
    @DanielKoipapei Před 3 měsíci

    Haleluya haleluya baba yetu ubarikiwe sana amen?

  • @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH

    Haleluya!! Karibu sana na wewe

  • @user-jb9vs6gt3m
    @user-jb9vs6gt3m Před 3 měsíci

    Barikiwa mtumishi

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před 3 měsíci

    Wonderful wonderful wonderful 😭😭😭🙏

  • @PASTOR_SHITINDI
    @PASTOR_SHITINDI Před 3 měsíci

    Karibu na wewe niwe karibu na wewe😢😢😢

  • @user-lm5px2bh2b
    @user-lm5px2bh2b Před 3 měsíci

    Eeeeeeeeeeeeen napenda tenzi

  • @elelwanamkabo8712
    @elelwanamkabo8712 Před 3 měsíci

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele167 Před 3 měsíci +1

    Karibu nawewe Bwana wangu zaidi

  • @dastankalinga442
    @dastankalinga442 Před 3 měsíci

    Sasa ndio sawa usisahau ulipoinuliwa ndipo urudi ili MUNGU akuinue tena Acha kupambana na watu pambana na dhambi

    • @YonaMhumba-ry2bc
      @YonaMhumba-ry2bc Před 3 měsíci

      Basi wajiona umeshauuuuuuuri pole

    • @dastankalinga442
      @dastankalinga442 Před 3 měsíci

      @@YonaMhumba-ry2bc Mungu ni wa upendo Waefeso 6:12 (KJV) Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Nawasikiliza sana naona jinsi mnavyopoteana angalia unavyojibu kwa kiburi.

    • @YonaMhumba-ry2bc
      @YonaMhumba-ry2bc Před 3 měsíci

      Muongofu mpy unajua maandko kama Yesu alivojaribwa nyikani🤣🤣🤣 jifunze kuwa na adabu mzaz wako akikosea usiende ovyo kama mwehu...kasome habari na Nuhu alipokwa amelewa kipi kilifanyika

  • @user-ri8jr2ui7u
    @user-ri8jr2ui7u Před 3 měsíci

    Amen

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před 3 měsíci +1

    Tunazidi kumshukuru MUNGU tu kwa nyimbo nzuri.