@@YonaMhumba-ry2bc Mungu ni wa upendo Waefeso 6:12 (KJV) Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Nawasikiliza sana naona jinsi mnavyopoteana angalia unavyojibu kwa kiburi.
Muongofu mpy unajua maandko kama Yesu alivojaribwa nyikani🤣🤣🤣 jifunze kuwa na adabu mzaz wako akikosea usiende ovyo kama mwehu...kasome habari na Nuhu alipokwa amelewa kipi kilifanyika
Kweli kabisa karibu zaidi mungu wangu dunia imechafuka sana , uzidi kubarikiwa mbarikiwa wewe
Amen ❤️ Asante Mungu, kweli niwe karibu na wewe Mungu wangu, ubarikiwe muchungazi Mbarikiwa ❤
Bwana akubariki sana mtumishi wa. Mungu wimbo umenigusa sana
Bwana asifiwe sana babá mchungaji
Tunazidi kumshukuru MUNGU tu kwa nyimbo nzuri.
Mungu wambinguni azidi kukutia nguvu maana mwenye kuvumilia hata mwisho ndiye atakae okoka mathayo 24: 13
Aminaa aminaa barikiwa sanna mtumishi
Uko na kipaji kikubwa chenye upako mwingi ndani ya tenzi. Linaguza mioyo Kwa undani mtumishi. Kinahubiri kwenye nafsi za walimwengu....
HALLELUYAH.
Neema izidiyo na moyo uliopondeka sana
Ameeen ❤❤❤
Ameen ❤❤❤❤❤
Nipo nazidi kubarikiw tu
Amen
Hakika wimbo huu unanigusa kila nikiusikiliza mungu aendelee kukuinua mtumishi wa mungu
Amina Amina MUNGU atukuzwe milele Asante kwa ujumbe ubarikiwe na Bwana Yesu Kristo
🙏🙏🙏
Kipaji kikubwa sana ndani ya Isyesye🎉🎉🎉❤❤❤
Salome Simba jike shikamoo kweli mungu fundi
Haleluya haleluya baba yetu ubarikiwe sana amen?
Haleluya!! Karibu sana na wewe
Barikiwa mtumishi
Wonderful wonderful wonderful 😭😭😭🙏
Karibu na wewe niwe karibu na wewe😢😢😢
Eeeeeeeeeeeeen napenda tenzi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Karibu nawewe Bwana wangu zaidi
Sasa ndio sawa usisahau ulipoinuliwa ndipo urudi ili MUNGU akuinue tena Acha kupambana na watu pambana na dhambi
Basi wajiona umeshauuuuuuuri pole
@@YonaMhumba-ry2bc Mungu ni wa upendo Waefeso 6:12 (KJV) Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. Nawasikiliza sana naona jinsi mnavyopoteana angalia unavyojibu kwa kiburi.
Muongofu mpy unajua maandko kama Yesu alivojaribwa nyikani🤣🤣🤣 jifunze kuwa na adabu mzaz wako akikosea usiende ovyo kama mwehu...kasome habari na Nuhu alipokwa amelewa kipi kilifanyika
Amen
Tunazidi kumshukuru MUNGU tu kwa nyimbo nzuri.