Kama kweli Aziz k ataripwa pesa hiyo basi league yetu imepanda , na sio kupanda tu basi kombe la CAF litakuja hapa TANZANIA . Kati ya SIMBA SC ama YANGA SC . MW/MUNGU IBARIKI LEAGUE YETU TUFIKE MBALI ZAIDI YA HAPA🙏
Nimchezaji mzuri ila akitaka kwenda aende na viongozi wasimpe msharaha zaid ya 40m make atakua anatia asala timu mwishowe diarra atasem anataka 50m pacome 60m max aucho 60m tutazitoa wapi?
Kitu kitakachoonyesha mafanikio ya timu ni ubingwa na kuuza wachezaji waliovuma kwhyo hata akiondoka bado ni sifa kwa kilabu ya yanga jukumu letu ni kumtengeneza mwingine bora zaidi yake afwate maclahi yake utamu wa soka ikulipe
Nyie nao mmeingia kwenye Habari za Umbea😂😂😂😂 Mnapotea Sasa Mbona hamjasema Tangu Jana,halafu ume copy kwa Kazumari wewe umeshindwahe kufuatilia vyanzo na upo humu humu TANZANIA
Aondoke ila asiende simba ❤
Kama kweli Aziz k ataripwa pesa hiyo basi league yetu imepanda , na sio kupanda tu basi kombe la CAF litakuja hapa TANZANIA . Kati ya SIMBA SC ama YANGA SC . MW/MUNGU IBARIKI LEAGUE YETU TUFIKE MBALI ZAIDI YA HAPA🙏
Wanipemimi hiyo nafasi jamani,daah, hela zote hizi. Mi hata50 tu.
Aende asitutishe hee
Master k you hv to go to another club b'cause the bigger offerings that given to him.after the next session he'going to regret myftiend.
Mhhhhhh! Mpira unalipa hivyo. Heko kwa wapambanaji
Ndugu mwandish wa Habari tupe live tu mpaka hapo Aziz yanga hawapo nae tena waseme tu ukweli iyo pesa ni kubwa sana mara nyumba ya kuish 😂😂😂😂😂❤
Jamani aende tu,hiyo pesa ni nyingi mno
Mkuki ni kwa nguruwe kwa binadamu mchungu😂😂😂😂😂😂😂
Bwege huyo jamaa!
Safiii aziz K❤❤❤❤kenge hao
Asiondoke bwana ukipendwa na Wananchi kuna raha😂😂😂 ukipewa hata mshahara ukiwa mdogo no problem
Yangna imeiva ninyi aimtegemei azizi tu
💚💛😊
Jemedari mdomo mrefu sana, anaumia nini kwani!?
😂😂😂😂😂
Makolo kwinyo tabu Iko pale pale
Chama tunae na Wala hatuling ki akitik hatutikisiki
Ki akiwepo tabu Iko pale pale
Chama Mpira ameshaumalizia Simba
Hana pakuenda uyo Kiki tu izo atabaki
Yanga wanapenda kiki xana wameona hawaongelew usajili wa cmba umezima wanatafuta kiki
Sasa simba wamefanya usajili gani
Millon 97 mchezaji gani wa africa atakataa?huyo atakuwa chizi.huo ni uuongo mtupu.
Wanasemaga tu baadae unaskia anawadai😂😂
Kawaida sana kwa football,ukiona hivyo ujue ana offer zaidi ya hiyo sehemu nyingine ndio Mana anakataa kama ni kweli.
Huyu atakuwa ameogopa kuondoka na majini😅
Bwana kama ye anaondoka asepe mbona mayele aliondoka tukajua yanga itayumba ila ndo iko juu mawinguni
Huyu kijana kalogwa na yanga sio bule kukataa pesa nyingi kiasicho
Soccer la bongo Bongo hilo...kiasi kinachosemwa kwenye media siyo anachopokea mchezaji......
Mpira ni maisha mafupi aende tu
Anakuaje kama siyo mchaga pesa zote izo bado anawaza
ameanza kua na tabia kama za chama kuwasumbua viongozi
Aondoke tu
Nimchezaji mzuri ila akitaka kwenda aende na viongozi wasimpe msharaha zaid ya 40m make atakua anatia asala timu mwishowe diarra atasem anataka 50m pacome 60m max aucho 60m tutazitoa wapi?
Kabisa Huyu chizi
😈 👿🏃🏼
Hizo kiki
Kitu kitakachoonyesha mafanikio ya timu ni ubingwa na kuuza wachezaji waliovuma kwhyo hata akiondoka bado ni sifa kwa kilabu ya yanga jukumu letu ni kumtengeneza mwingine bora zaidi yake afwate maclahi yake utamu wa soka ikulipe
rais wa yanga ni jemedari said?
VIONGOZI NI WAONGO SANA
Nyie nao mmeingia kwenye Habari za Umbea😂😂😂😂
Mnapotea Sasa
Mbona hamjasema Tangu Jana,halafu ume copy kwa Kazumari wewe umeshindwahe kufuatilia vyanzo na upo humu humu TANZANIA
Aende kokote, Yanga ipo hata bila yeye.
Shukurani ya punda ni mateke
Kbsa 💯
Bado hamjasema 😂😂😂😂😂
Tulieni sindaano iwaingie c mlicheka kwa chama leo mnalia kwa aziz k🐸🐸🐸🐸🐸🐸
Koroboi povu la nn na mchezaji wa yanga tuliza mshono we Debora
😂😂😂aliondoka mayere mzeee na tukabamba makolo tulieni
Tuliza tako Ilo dawa ingie azz haend kokote kolo wew
Sawa debora
@@HalimaMaulidi-sv7le haya sema sasa wew Debora si ulikuwa unaropoka ovyo vp Aziz kaenda wapi ww koroboi