AZIZ KI AUKATAA MSHAHARA WA MILIONI 97 KWA MWEZI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024

Komentáře • 51

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona Před 17 dny +10

    Aondoke ila asiende simba ❤

  • @africakaka7217
    @africakaka7217 Před 16 dny +2

    Kama kweli Aziz k ataripwa pesa hiyo basi league yetu imepanda , na sio kupanda tu basi kombe la CAF litakuja hapa TANZANIA . Kati ya SIMBA SC ama YANGA SC . MW/MUNGU IBARIKI LEAGUE YETU TUFIKE MBALI ZAIDI YA HAPA🙏

  • @martinlema4192
    @martinlema4192 Před 16 dny +5

    Wanipemimi hiyo nafasi jamani,daah, hela zote hizi. Mi hata50 tu.

  • @PendoPetro-jl1zx
    @PendoPetro-jl1zx Před 17 dny +10

    Aende asitutishe hee

  • @andrewkamese8492
    @andrewkamese8492 Před 16 dny +4

    Master k you hv to go to another club b'cause the bigger offerings that given to him.after the next session he'going to regret myftiend.

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 Před 16 dny +3

    Mhhhhhh! Mpira unalipa hivyo. Heko kwa wapambanaji

  • @user-yd9ds1zs1i
    @user-yd9ds1zs1i Před 16 dny +3

    Ndugu mwandish wa Habari tupe live tu mpaka hapo Aziz yanga hawapo nae tena waseme tu ukweli iyo pesa ni kubwa sana mara nyumba ya kuish 😂😂😂😂😂❤

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 Před 16 dny +2

    Jamani aende tu,hiyo pesa ni nyingi mno

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 17 dny +3

    Mkuki ni kwa nguruwe kwa binadamu mchungu😂😂😂😂😂😂😂

  • @rogatemsangi6418
    @rogatemsangi6418 Před 16 dny +1

    Bwege huyo jamaa!

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 16 dny

    Safiii aziz K❤❤❤❤kenge hao

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Před 16 dny +1

    Asiondoke bwana ukipendwa na Wananchi kuna raha😂😂😂 ukipewa hata mshahara ukiwa mdogo no problem

  • @OscarthomasMwakanyamale
    @OscarthomasMwakanyamale Před 16 dny +1

    Yangna imeiva ninyi aimtegemei azizi tu

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 Před 16 dny

    💚💛😊

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 Před 16 dny

    Jemedari mdomo mrefu sana, anaumia nini kwani!?

  • @wahidabakar
    @wahidabakar Před 17 dny +2

    😂😂😂😂😂

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Před 16 dny +1

    Makolo kwinyo tabu Iko pale pale
    Chama tunae na Wala hatuling ki akitik hatutikisiki
    Ki akiwepo tabu Iko pale pale

  • @ericamkoba9101
    @ericamkoba9101 Před 16 dny

    Hana pakuenda uyo Kiki tu izo atabaki

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 17 dny +4

    Yanga wanapenda kiki xana wameona hawaongelew usajili wa cmba umezima wanatafuta kiki

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 Před 17 dny +3

    Millon 97 mchezaji gani wa africa atakataa?huyo atakuwa chizi.huo ni uuongo mtupu.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 16 dny +1

      Wanasemaga tu baadae unaskia anawadai😂😂

    • @geofreykayombo401
      @geofreykayombo401 Před 16 dny

      Kawaida sana kwa football,ukiona hivyo ujue ana offer zaidi ya hiyo sehemu nyingine ndio Mana anakataa kama ni kweli.

  • @cngeze
    @cngeze Před 16 dny

    Huyu atakuwa ameogopa kuondoka na majini😅

  • @happinesspitalis4448
    @happinesspitalis4448 Před 16 dny

    Bwana kama ye anaondoka asepe mbona mayele aliondoka tukajua yanga itayumba ila ndo iko juu mawinguni

  • @user-sn2wz8zs8y
    @user-sn2wz8zs8y Před 16 dny

    Huyu kijana kalogwa na yanga sio bule kukataa pesa nyingi kiasicho

  • @deusmichael2290
    @deusmichael2290 Před 16 dny

    Soccer la bongo Bongo hilo...kiasi kinachosemwa kwenye media siyo anachopokea mchezaji......

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před 16 dny

    Mpira ni maisha mafupi aende tu

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 16 dny

    Anakuaje kama siyo mchaga pesa zote izo bado anawaza

  • @UmmyZakiah
    @UmmyZakiah Před 16 dny

    ameanza kua na tabia kama za chama kuwasumbua viongozi

  • @leonidaleonard9382
    @leonidaleonard9382 Před 16 dny

    Aondoke tu

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před 16 dny +1

    Nimchezaji mzuri ila akitaka kwenda aende na viongozi wasimpe msharaha zaid ya 40m make atakua anatia asala timu mwishowe diarra atasem anataka 50m pacome 60m max aucho 60m tutazitoa wapi?

  • @asifreds8787
    @asifreds8787 Před 16 dny

    😈 👿🏃🏼

  • @Maofamedia
    @Maofamedia Před 16 dny

    Hizo kiki

  • @user-qe2kl7iz3s
    @user-qe2kl7iz3s Před 16 dny

    Kitu kitakachoonyesha mafanikio ya timu ni ubingwa na kuuza wachezaji waliovuma kwhyo hata akiondoka bado ni sifa kwa kilabu ya yanga jukumu letu ni kumtengeneza mwingine bora zaidi yake afwate maclahi yake utamu wa soka ikulipe

  • @livematchcentre21
    @livematchcentre21 Před 17 dny +1

    rais wa yanga ni jemedari said?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 16 dny

    VIONGOZI NI WAONGO SANA

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 Před 16 dny

    Nyie nao mmeingia kwenye Habari za Umbea😂😂😂😂
    Mnapotea Sasa
    Mbona hamjasema Tangu Jana,halafu ume copy kwa Kazumari wewe umeshindwahe kufuatilia vyanzo na upo humu humu TANZANIA

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Před 17 dny +10

    Aende kokote, Yanga ipo hata bila yeye.

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 17 dny +2

    Tulieni sindaano iwaingie c mlicheka kwa chama leo mnalia kwa aziz k🐸🐸🐸🐸🐸🐸

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Před 16 dny +1

      Koroboi povu la nn na mchezaji wa yanga tuliza mshono we Debora

    • @user-cv4jb1bm6i
      @user-cv4jb1bm6i Před 16 dny +1

      😂😂😂aliondoka mayere mzeee na tukabamba makolo tulieni

    • @TalentMapenzi-ie1dr
      @TalentMapenzi-ie1dr Před 16 dny

      Tuliza tako Ilo dawa ingie azz haend kokote kolo wew

    • @vickhongole6611
      @vickhongole6611 Před 16 dny

      Sawa debora

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm Před 16 dny

      @@HalimaMaulidi-sv7le haya sema sasa wew Debora si ulikuwa unaropoka ovyo vp Aziz kaenda wapi ww koroboi