RECAP: UCHAMBUZI SHOW YA ALIKIBA CANADA, UONGOZI UNAMUANGUSHA, RAYAVANNY WAANDAAJI WANAMUANGUSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny
  • Zábava

Komentáře • 63

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před 27 dny +7

    King kiba King 👑 ❤❤❤

  • @user-ix8kb1co9q
    @user-ix8kb1co9q Před 26 dny +4

    Tmkiba oye yaaa❤❤❤❤❤

  • @abcdefghijklmno59466
    @abcdefghijklmno59466 Před 26 dny +5

    Wewe ndie mtangazaji TZ, wengine wote wapambe.

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Před 26 dny +2

    Kiba unyama sana❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PhilimoniLangeni
    @PhilimoniLangeni Před 27 dny +5

    Wewe mutohe alikiba huko unasikia wewe uyo ndo msani namba Moja Tanzania hiiii umeona show hiyo mzee kaonesha ukumwa Sanaa alikiba wangekua wengine apo tungeongea mengine

  • @Mbaley
    @Mbaley Před 26 dny +3

    Guy unaupenda mziki wa bongofleva elmando

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 26 dny +3

    Bro KingKiba ana heshima yake sema n msanii asieh na makuzi imagine alikiba na yeye angekuwa na mbwembwe kama hao wanaojikuta wakubwa 😂 ingekuwa ni balaaa

  • @donbrighter
    @donbrighter Před 27 dny +7

    So why would Alikiba afanye show yabure kama haowatu. Kwani ashakuomba hela yakula bro

  • @user-uf5eo9vy3d
    @user-uf5eo9vy3d Před 27 dny +8

    Kiba ni fundi kitambo Sana aongeze bidii kweny kupush mbele mziki wake kimataifa

    • @blackchinaworldwide8292
      @blackchinaworldwide8292 Před 27 dny +1

      Sasa nawewe music wake umefika wapi 😂😂😂😂 ile tamasha ujue

    • @HakizimanaFiston
      @HakizimanaFiston Před 27 dny

      Alikiba nini sasa Alikiba hapo walikuja kamakumuona R Kelly ao Nelly ivo

    • @WendoJuma
      @WendoJuma Před 27 dny +2

      Show za kiba nizakibabe...sio upige pige vishow mchwara..afadhali akae miaka minne lakini akitangaza Show.. inakua kubwa

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před 26 dny +2

    Kweli broo ,Kwa Rivanny inatia huzuni kuona show haikufanyika

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr Před 27 dny +5

    Ww tok lin rayvanny akaw International artist

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- Před 21 dnem

    Sema huyu jamaa anatafuta kiki t 😂😂ila ache maneno yasiokuwa na ushahid ajitahid huenda kuitwa pale next level

  • @KipampeMedia
    @KipampeMedia Před 27 dny +4

    😂😂😂 apo kwenye kupafom bure ndio kasheshe

    • @RahelYohana-xw5ve
      @RahelYohana-xw5ve Před 26 dny +1

      Chizi huyu show bure yeye angeweza hajui kuwa hiyo ni kaz

  • @tomsijohni
    @tomsijohni Před 27 dny +3

    Ndo shids za media za Tanzania kukandia Wasanii wengine ili wengine wakue juu miaka yote

  • @james-lx6rf
    @james-lx6rf Před 27 dny +1

    umeongea kweli kuhusu alikiba anatuangusha saaaana sana sana anafanya vitu kwa kujiskia

  • @user-ki2wo7us1b
    @user-ki2wo7us1b Před 27 dny +3

    ❤❤

  • @chodohbbway2843
    @chodohbbway2843 Před 25 dny

    sanaaaa manejment zinaua wasanii

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Před 26 dny +1

    Mbona haja post huwo ubishi ili tukaona na tukaamini kama ni kweli muongo muongo muongo show yake asinge pata watu mbwa huyu sehem alie kuwepo king hao wasenge wote hawawezi kutamba

  • @malishjimmy9529
    @malishjimmy9529 Před 24 dny

    Hey Bomgo5,
    Afrofest is a free Afro-Canadian music event promoting African musical culture. Maybe Alikiba just came for the event to promote his fan base. There has been no gate collection at the event always. Lots of Bongo Flava artist are gonna lose their saving if they tyrina fake shows to match up Simba.

  • @user-zt1vu4ho2y
    @user-zt1vu4ho2y Před 25 dny

    Hizo mambo intkw kufnywa na msanii undr ground na co lv aliyonayo kibao au mond

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 Před 26 dny

    Alikiba hajui mziki wa kisasa bado yupo na nyimbo za akina seya

  • @user-zt1vu4ho2y
    @user-zt1vu4ho2y Před 25 dny

    Wewe upo tayr kufnya kazi bila kulipwa?

  • @natureboy972
    @natureboy972 Před 27 dny +3

    Uyujama anakwama wapi ivi unadhani kiba anaweza kupiga show yabule ? Acha upumbavu kijana kwani wew hutaki kua mutangazaji mukubwa mbona huendi inje

  • @iddysonyo1356
    @iddysonyo1356 Před 26 dny

    Mando please naomba unijbu je Africa hiii ni msanii gani levo ya alikiba ambae bado ananguvu kama alikiba pia usisahau alikiba nimiongoni yawasanii waliofanya show nyingi nje zaidi kwahiyo pialazima kiwango kishuke

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 Před 26 dny

    Mziki wa kiba hauwezi kuingia afronation

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- Před 21 dnem

    Broo ndio ujue huo ni uongo hapana ukwel yaan mtu mpk afike kwenye show alaf ndio pana ugomvi

  • @barekebavugemasudi3436

    Vany boy tatizo watu wanamsimamia ni wandugu zake njo shida hana chakuwafanya

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 Před 27 dny +1

    Hao wakina Ali, Rayvany, wakina Mario, konde hawanaga Ménagement ni washikaji zao wabeba begi na camera tu 🤣🤣

  • @Hassanmoreno07
    @Hassanmoreno07 Před 27 dny

    Leo umeongey ukweli

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato Před 26 dny

    Kiba afanyi show za bure bro hayo mambo ya wale wasafi ya kufanya bure

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim6482 Před 26 dny

    Alikiba kiboko

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu669 Před 26 dny

    Kila kitu kingekuwa simple kama kuchukua camera na microphone then life was going to be easy😂😂😂

  • @SokoroboyNdend-iv1js
    @SokoroboyNdend-iv1js Před 26 dny

    Teem kiba sema yebaba

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Před 27 dny

    Huyu jamaa hajijui hajitambui anabadilika kama kinyonga

  • @vanjay8685
    @vanjay8685 Před 26 dny

    tatizo lenu ni kumpa rayvanny ukubwa asionao..show zote za international kadandia,,,show ya mtv ilikua ya maluma ,show zote mbili za albania kadandia dakika tatu na anatolewa,india kaenda harusini,dubai show ilikua ya norah fateh..sikumbuki show ya rayvanny yeyote yake mwenyewe aliyofanya maana hata london juzi aliitwa tu kama opening act...alafu huku mnamuita international

  • @yfhff5268
    @yfhff5268 Před 27 dny

    Sasa si awafukuze hilo ndio tatizo la kubebana

  • @user-km4om6bw1j
    @user-km4om6bw1j Před 23 dny

    Km

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 26 dny

    Inaonyesha apo rayvann ndo Kila kitu ray yeye ndo management ndokila kitu ..iyo manegment sio professional haawapo kikaz

  • @bakarisalim6482
    @bakarisalim6482 Před 26 dny

    Hakuna ya KAZI ya bure

  • @opsbunhalisi
    @opsbunhalisi Před 26 dny

    Apana uyo ni Big brand anafanya biashara bro. Hawezi kwenda for free. Kunawa wasaani wangapi hawaendi huku bro Yani ni wasaani wadogo?

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 27 dny

    Jamaa anaongea ukweli wasanii wavivu kwenda kimataifa wanangojea watu wawafuate

  • @ShabaniMussa-o4e
    @ShabaniMussa-o4e Před 26 dny

    King kiba uko kasha yokakufany show za bure we kuweza wenziy wana ingiza pesa we upig show bule kisa uwonekan ume piga show nchi za nnje apo nime kupinga king hana shobo izo kk

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Před 26 dny

    Management tupo ila Rayvanny alikataa kutupatia simu yake ili tuandikie mashabiki msamaha.....ikabidi yeye mwenyewe aandike

  • @juliuskafula-ee3yb
    @juliuskafula-ee3yb Před 26 dny

    Yani msanii atengeneze brand yake na mziki wake kwa gharama kubwa alafu apige show Bure. Ebu na wewe nenda MTV Ukatangaze ....Kaa ukijua alikiba sio msanii wa kupiga show Bure brother msanii hawezi kula followers ..

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj Před 27 dny

    Tz tukobado

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 26 dny

    Ivi wewe unaelewa nini kuhuss mziki na show

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před 26 dny

    Ww uko fala acha utangazi br hujuw

  • @alexshabani2012
    @alexshabani2012 Před 27 dny

    Show ya bure ao tunaitji pesa

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 Před 27 dny

    Jamaa ni mkweli na Hana cha utimu anaongea ukwel ..ingependeza wasanii wa eleke kimataifa zaidii ..management wengine sio wa kimataifa ndipo wanakwama bingo pekee

  • @user-rp5fe7ie7t
    @user-rp5fe7ie7t Před 27 dny +1

    wewe nimpumbavu